Shemeji - Darassa Ft Baraka De Prince | Slave Becomes A King
HTML-код
- Опубликовано: 25 дек 2020
- Enjoy the latest song of Darassa "Shemeji" Ft Baraka De Prince.
#Darassa #SlaveBecomesAKing #DarassaSongs
Follow Me on:
Instagram: / darassacmg255
Twitter: / darassa_cmg
Digital Distribution and Promotion by Ziiki Media - Видеоклипы
I love this song to the moon, and back. Darassa namwelewa sana daaah. Baraka De Prince unifurahisha toka zamani. #amveryserious.
Kwangu hii ni moja ya best collaborations za mwaka huu kwa wasanii wa bongo. Huu wimbo kama utautolea video utafika mbali sana. Asante Darassa ft Baraka the Prince kwa zawadi hii murua
Nyimbo ila wasikilizaji Ni wachache daaaaaaa bongo watu hawajui muziki. Nyimbo Kama hii ilitakiwa iwe I streams zaidi ya miliom mbili.
Utapo mchezea Dada yangu ,utapata tabu😂😂😂😂😂😂😂Shemeji naomba concentrate😂😂😂👑👑👑👑
Baraka da Prince ni mmoja tu..
baraka umeuwaa nakukubalii sana ujawahi nihangusha
Huwa na sauti tamu sana, plus ku flow.
Baraka.....Kauwa...Bonge la chorusssss.....The king himself darasa balaaa
Daaah!! Mbna kila goma kwnye albam yko hatariii!!!!❤️💪🏻
Hii ndo ilifaa ikue no 1 kwenye album, ngoma kali sanaaaaaa
The guy is on fire in his return..be bless darassa let the album run world wide.... Du!! Vocal zmetulia balaa..darassa na baraka mumeua..
Baraka bado ana kitu kikubwa sana ndan yake
Sana
Da prince nomaa sanaaa classic baba laoooo
Anakubarii saaaanaaa
SASA MZEE HII NDIYO NGOMA.. HATARI SANA HII🔥🔥🔥🔥🔥
Kiukweli barakoa da Prince namkubali kinyama wajuba
Kukuelewa wewe darasa kipaji chako, uwezo wako namna unavyo ishi pasipo kick halikadhalika na mengine inahutaji concetration kwa kweli maana uwezo wako ni 💥🔥💥🔥
Yaaaaan baracka sijui.anayumba wap uyu kaka yaaaan anajua mpk anakera
The best barakah never dissapoints
Thanks bro"kumbe pia unamkubali baraka the 🤴"🔥🔥🔥
King Darasa
Kali hii ngoma safii
Video ya hii kazi ndo nawait mzee baba....hujawah kosea
Enjoying your hit right now🔥 Kweli utapata tabuu sana✊
Nomaaaaaa
.Daah wazee hii ngoma n msupu sana..!
Hii ngoma hii Kali sana
Ningekua mimi ndo Darassa ningeanza na video ya shemeji.
Kweli kabisa
Sasa ubaya wa hii Album kila nyimbo ukiwa unaisikiliza unajiambia angeanza video hii.
Brother Fanya Kutupia Video Chap Ngoma Kali Kinoma
Barakah ni moja ya most talented artist ever ila sijui nini tatizo aisee.
Moja ya ngoma zangu pendwa kwa sasa.
Jembe LA mwanzaaa
Oyoooooo
Mii hii nidoziyangu kila sk nani mwingine nidozi kwake
We darasaaaaa umeua babaaaaaaa very serious yaaani
Wakwanza leo
ukiacha ngoma na alikiba hii ndyo ngoma kali hii
Ngoma Kali sanaa
Hii ngoma ni hatarii na nusu bless you darassa and baraka🔥🔥🔥🔥👌🙏🙏
Barakaaaaaaa!!!!??!
Baba we Ni hatarii
🔥🔥🔥
Baraka ninaposema nawe naomba concentrate,,ww Ni msanii mziki unauweza kifani na kimaudhui ,,acha kiburi, acha madharau piga Kaz kaka nakukubali Sana SEMA tu ndo hvo mwamba Kuna mda unakuwaga hologojo
Baraka rud kwenye gem tumems uwepo wako
This guy is so underrated
Very he is very talented..... NGOMA KALI SANA
Nooooooo! Hajashukiwa! Yeye ni Binafsi 😁
Umetsha xna Mr classic music
Noma xn 🔥🔥🔥🔥🔥🏆🏆🏆🏆
Barakaaa kauwaaa
haaahaaa shemeji shingo yako halali yako
hii ndo imehiti zaidi
Darassa ananipa moyo Sana gonga like Kisha subscribe kwa channel yangu tafadhali 🙏
So Nice 💘💘💘💘💘💘
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mdekeze adeke kama mtotoooiio
The best album in Tanzania
The real king of Africa
Baraka na darasa dah mme uwa
Shemeji
Kali
Huyu baraka mrudishe kwa kiba
Umenena
Asubuhi njema kwako Bwana! Unafanya nini mapemaooooo? Anyways kaa heri na uwe na siku nzuri 😊
Hatareee😂😂😂😂😂
baaraka is very underrated he is very talented
Baraka has an ego
Baraka ni mnyama
..nakubali ma role model classic
Am very Serious
Very silias
Imeisha iyo mzee baba
Baraka de prince fire
Naomba nikupe idea ya hii video
It's so good
✅✅✅
Baraka the price is good
Nc song
Nahitaj.....Video ya hii nyimbo chap
255 🔥🔥🔥🔥
Baraka baraka baraka Nimekuita mara 3 ,apa ume concentrate br
Nice song
Salute
❤️❤️❤️
❤️❤️
Noma Sana, saport wazito pita Kwa channel yangu pia apa
❤️
✊🏿🥂🔥🔥🔥🔥🎄
Og
CMG
Hatari na nusu
😊😊😊😊
Bonge la Ngoma
Barakar himself as a man
Acheza baikoko mbele ya baba mkwe. Tizama kilichomkuta hapa 💥💥💥
Link ruclips.net/video/qPb6BlN0aSk/видео.html
We darasaaaaa umeua babaaaaaaa very serious yaaani