SHUHUDIA POLISI WA KIKE ALICHOFANYA BAADA YA MWANAJESHI KUKATAA KUKAMATWA. HII HATARIII!!!!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @BraxedaDomina-xn4zc
    @BraxedaDomina-xn4zc 3 дня назад +77

    Mambo yenyewe yamebadilika ss hv hata mie ningekataa

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 День назад +5

    Mtu unachukuliwa tu vizuri dhen ndo kwaheri, watu wanahofu sana saizi, kutii sheria bila shuruti ni jambo jema na ndivyo inavyopaswa kuwa, ila kwa yanayoendelea nadhani kuna mahali panavuja lazima pazibwe watu waondokane na hofu.

  • @joachimphilbert3655
    @joachimphilbert3655 3 дня назад +86

    Kwnn akamate mwanaume na yeye ni wakike anatakiwa aje wakiume hakuna shida.

    • @zully756
      @zully756 3 дня назад +7

      Kwa hiyo mhalifu atakaa akimsubiri askari mwanaume?

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 3 дня назад +5

      Wewe,huna unachokijua ungekuwa wewe ndiwe umeibiwa ungesubiri aje,askari wa,kiume,ndipo amkamate?!Pili ikitokea umemkamata,wiizi, nyumbani,kwako,wa,jjinsia tofauti na wewe ungemkamata au ungemwacha ende na Mali,yako ,, a,yako

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 3 дня назад +2

      Mbna huelewek

    • @CyprianMisana
      @CyprianMisana 3 дня назад +1

      Kakojoe ulale ujii lolote

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 3 дня назад

      ​@@CyprianMisanakwa kweli asije akakojoa litandani

  • @davidsalikoki6319
    @davidsalikoki6319 2 дня назад +35

    Nadhani mama mzazi alikua na mawazo ya yanayoendelea kwa sasa

  • @shivodon7388
    @shivodon7388 3 дня назад +27

    We mwandishi kumaamamko hapo angemkamata wa kiume

  • @AfwilileNisaidie
    @AfwilileNisaidie 3 дня назад +34

    Ila Mimi naona sheria iko kwa wanyonge

  • @EvaMashera
    @EvaMashera 3 дня назад +32

    Mama aliogopa mwanae kukamatwa asije potea kabisa

    • @ElibarikiMathayo-um5hq
      @ElibarikiMathayo-um5hq 3 дня назад +2

      Ndio alitaka wakamteke waovu wakubwa hao

    • @salimmussa9719
      @salimmussa9719 День назад

      Endeleeni kusupport ujinga kwa kufuata mkumbo, kwa hiyo sasa hivi wahalifu wote wasikamatwe na Polisi!?

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 16 часов назад

      ​@salimmussa9kuma719

  • @moussabumbor2414
    @moussabumbor2414 2 дня назад +7

    Nimegundua ya kuw hii channel inahusika na askali 😂😂😂

  • @maphieemanuel3137
    @maphieemanuel3137 2 дня назад +21

    Aisee acheni kuripoti Kwa njia ya kujipendekeza semen ukweli hakuna mtu mwenye Imani na polisi wa Tanzania Tena kesho utasikia kijana kapotea alafu polisi wakatae hawajamkamata

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 2 дня назад +1

      Na wew siku ukiibiwa au kupigea usiende polisi kutafuta msaada maana hauna Imani nao

    • @maphieemanuel3137
      @maphieemanuel3137 2 дня назад +1

      @@mosesjohnswilla9926 msaada Gani miaka kumi na tatu iliyopita jeshi la police la Tanzania ndilo lilikua na heshima kuliko polisi wa nchi nyingine yeyote afrika mashariki na kati Kwa sasa wameporomoka hatari hatuwategemej Wala kuwa na Iman nao sasa njoo niibie ujue sitegemei police na mali zangu unaleta wewe na ukoo wako mzima

    • @amourmussa6281
      @amourmussa6281 2 дня назад +1

      police aliekwambia kama kuna msaada bila ya pesa ni nani😂

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 2 дня назад

      Usijidanganye​@@maphieemanuel3137

    • @EmmanuelPaul-v6z
      @EmmanuelPaul-v6z 13 часов назад

      Nakubal​@@maphieemanuel3137

  • @FatmaAhmed-rs2hh
    @FatmaAhmed-rs2hh 2 дня назад +7

    Huwezi kukubali Tu kukamatwa polisi anakuja Tu kukuchukua Hana kielezo ht kimoja ukimwambia mkali Hali zenyewe zimekuwa mby watuwanauliwa ovyo jezi za polisi muda mengine kivuli cha watu waovu

    • @Abdul-p6r7p
      @Abdul-p6r7p День назад

      Polisi anatakiwa kutulia shaka mtu yoyote ata kama hana kielelezo

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 3 дня назад +34

    Tamaa ya pesa alitaka akamate mwenyewe apate hela wakati yeye ni jike acha azaraulike tena wangemvua na nguo. Arafu anapiga mikwara ety gusa uniform yangu msenge huyo hana hata nguvu na fikra ya kujua yeye ni jinsia gani amkamate nani?

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo 3 дня назад

      We na nipunguwani sii upeleke mwanao akakamatwe mbwa ww machawa wa mama abduli mnasmbua Sana. Majukumu ya nyoko 6:18 😅

    • @AyubuIkaku
      @AyubuIkaku 2 дня назад +2

      @@edwinamos9734 wewe unatumia kifungu gani cha sheria kutetea hizo hoja zako? Una uhakika na unachokisema?

    • @euniestherwilliam1513
      @euniestherwilliam1513 2 дня назад +5

      Jike hata mama yako na dada zako. Na pia unaweza ukazaa majike sijui kama utapenda walimwengu waite wanao majike.
      Acha dharau ya jinsia maana wote wameumbwa na Mungu.
      Na hayo majike ndio yamekulea na kukufikisha ulipo

    • @AyubuIkaku
      @AyubuIkaku 2 дня назад +1

      @@euniestherwilliam1513 Ahsante sana kwa ujumbe wako. Afikirie upya huyo alieandika aache chuki zisizokuwa na maana dhidi ya askari,

    • @jumadogani-zi8zk
      @jumadogani-zi8zk 2 дня назад +1

      Huna akili

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 2 дня назад +5

    Ningekuwa askari ningekuwa sikamati nasubiri mshahara wangu tu kwa mwezi.... Maana sisi raia tumezidi kuwadharau hawa askari wetu na mitandaoni tunawatukana hovyo.....

    • @salimmussa9719
      @salimmussa9719 День назад

      Umeongea point. Watu wanasupport ujinga kwa kufuata mkumbo, kwa hiyo sasa hivi wahalifu wote wasikamatwe na Polisi... Tanzania ni masikini sio tu kwa sababu ya kuwa na viongozi wasiofaa, kiasi kikubwa inachangiwa na kuwa na raia wajinga, wenye uwezo mdogo wa kufikiri...

  • @rastonmwakifuna8583
    @rastonmwakifuna8583 3 дня назад +9

    Hakuna mtangazaji hapa.....anasimulia as if anasoma sehemu

  • @Kelvinjoseph-jz7kq
    @Kelvinjoseph-jz7kq 2 дня назад +6

    Kwa akili yang nshamtia la kati mapema2 😁😁😁

  • @AdamLameck-x5n
    @AdamLameck-x5n 2 дня назад +5

    Cc tunawajua Sana wanawake acha kujimaliza kwa maneno mengi kila kitu unyanyasaji

  • @paolo4584
    @paolo4584 3 дня назад +41

    Tunakoelekea huku. Askari watakuwa wanapigwa😅😅😅

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 3 дня назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @RamadhanAlly-cf7du
      @RamadhanAlly-cf7du 2 дня назад +2

      Kabsa kwani sihawajielew

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 2 дня назад +4

      Huko ndio tunapoelekea hatuna Imani tena na hao

    • @erickgabriel6645
      @erickgabriel6645 2 дня назад +2

      Traffic c walipigwa na abolia na konda na driver

    • @JosephatMassae
      @JosephatMassae 2 дня назад +5

      Kwanza askari wa kike anakujaje kumkamata mtuhumiwa mwanaume kama siyo kutafuta kudhalilishwa kama hivo !!

  • @MbokaRechadi
    @MbokaRechadi 3 дня назад +14

    Hapo nipo upande wa police kwa mara ya kwanza ila issue ya Mzee kibao sijaipenda

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 2 дня назад +1

      Hata mimi

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding День назад

      Kisimi Cha bibi ako

    • @babazizu1255
      @babazizu1255 День назад +1

      Upo upande wa police ckw7 bu huna Akir police wa kike atakamata vip raia wa kiume

    • @MbokaRechadi
      @MbokaRechadi День назад

      @@babazizu1255 jeshi Bado Lina changamoto wakifanya vzuri angalau tuwa tie moyo

    • @dangomc_niger
      @dangomc_niger День назад

      wee ndoo huna akiri kwasababu huelewi chochote kuhusu ukamataji​@@babazizu1255

  • @antonychitara5707
    @antonychitara5707 3 дня назад +39

    Huyu mwandishi hajielewi,,,,😂😂😂

    • @josephnobashi3223
      @josephnobashi3223 3 дня назад +1

      😂😂😂😂😂 kabisa mwandishi hueleweki

    • @khalfankomba8257
      @khalfankomba8257 2 дня назад +2

      Yaani siku hizi mtu yeyote ni mwandishi hata wauza madafuu, very unprofessional

    • @stephenrwaich1078
      @stephenrwaich1078 2 дня назад

      ​@@khalfankomba8257kama ni hivyo na wewe si ukatangaze? fyuuuuuu hujielewi wew.hiyo fani siyo shamba la bibi yako.

    • @davideditz2049
      @davideditz2049 2 дня назад

      Huyu mwandishi muugaa na serikali

    • @FelistarGlady
      @FelistarGlady День назад

      Huy mwandishi mkundu wako

  • @emmanuelurio7642
    @emmanuelurio7642 3 дня назад +32

    Unyanyasaji upi kaka kuwa professional

    • @ElibarikiMathayo-um5hq
      @ElibarikiMathayo-um5hq 3 дня назад +4

      Mwandishi wa hovyo sana

    • @EzekielKandonga
      @EzekielKandonga 3 дня назад +2

      Wewe Mwandishi hacha Upumbavu au Kibaraka wa CCM wewe na Uovu unaofanyika Sasa.Haujui kwamba Polisi hawaaminiwi kwasasa😮

    • @aliciamwalimu582
      @aliciamwalimu582 3 дня назад

      😂😂😂😂​@@EzekielKandonga

    • @EvelyneMsaki
      @EvelyneMsaki 2 дня назад +1

      Kumwambia mini.siyo mwanamke mwenzakooo tayari unynyasaji kijinsia

    • @pemberashid7681
      @pemberashid7681 2 дня назад

      Unyanyasaji upi

  • @isackyombe8410
    @isackyombe8410 2 дня назад +8

    Mwanamke anakamata mwanamke mwenzie....mwanaume pia hvyohvyo ..Kwann wanatuma askari mwanamke

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 2 дня назад +2

      Ungekuwa wew ndo umeibiwa simu yako na mwizi wako umemuona usingeomba msaada Kwa askari huyo wa kike?
      Tuacheni shobo

    • @PAWAKESSYPAWA-s7v
      @PAWAKESSYPAWA-s7v 2 дня назад +1

      kasome tena sheria vizuri swala la kukamata yeyote anakukamata ila kwenye kusachiwa hapo ndipo jinsia inahusika sasa huyu anakamatwa hasachiwi

    • @happynkya9770
      @happynkya9770 2 дня назад +1

      Huna unachokijua ww kuhusu Sheria

    • @Saada-g4j
      @Saada-g4j 2 дня назад

      Sote watanzania atujasoma sheria sababu awo polis ndiyo kabisa pombe zinawapeleka pabaya walikuja kwetu polis kusachi utazania kuna jambazi au magaidi wakaiba ela kisa makaratasi tu ​@@happynkya9770

    • @twayasinilukokelwa625
      @twayasinilukokelwa625 День назад

      Kaka lazima awepo na wakiume wewe wakike wakike tu lolote laweza tokea alafu jamii ikashangaa,we ni mtu mzima ushanielewa kama huna D mbili huwez elewa​@@PAWAKESSYPAWA-s7v

  • @raphazardmartin9368
    @raphazardmartin9368 2 дня назад +20

    Kukamatwa na Demu nayo Dharau😂🖐🏽

    • @Fine-BoY
      @Fine-BoY 2 дня назад +3

      Alaf dem wenyew mmoja tu ata mim asingenichukua

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji 2 дня назад +2

      Lkn demu huyo huyo kaingia leba akakuxaaaa😂😂😂😂😂😂

    • @edibertlongino4818
      @edibertlongino4818 2 дня назад +1

      😂😂😂😂

    • @mosesjohnswilla9926
      @mosesjohnswilla9926 2 дня назад +2

      Siku ukihitaji msaada wake sijui utamwita demu au itakuwaje

    • @Fine-BoY
      @Fine-BoY 2 дня назад

      @@xxxl-jf2ji sas inategemea huna kesi anakuchukuaje wengine wanasingizia tu

  • @salmaheri971
    @salmaheri971 2 дня назад +24

    Ujamaa kuma kweli kafanyiwa unyanya saji na nani😂😂😂😂❤

  • @fasterdeule9668
    @fasterdeule9668 2 дня назад +2

    Ivi askari wanafeli wapi kwanini hamuangalii jinsia wakati wa ukamataji lakin.wakati mwingine mnalazimisha watu kuingia katika mitiani ya kukiuka sheria wakati manajia taratibu zote za ukamati embu fanyeni kazi kwa ueledi msikurupuke kwa maslah binafsi

  • @nyawenderkihongo6204
    @nyawenderkihongo6204 3 дня назад +10

    Nimesoma comment zote, asilimia 99.9 ya watoa maoni ni wajinga kwa kiwango cha phd. Sasa kwa kifupi ni hivi, kwakua askari huyo mnafikiri amekosea na kesi iliyofunguliwa niya raia mwenzetu basi ushauri wangu ni kwamba Raia wote tz mkifanyiwa chochote malizana nacho hukohuko mtaani msifike vituoni kulalamika kwakua mkilalamika mnataka mtuhumiwa akamatwe walati askari akifika kkukamata hamtaki kukamatwa na mnamuung mkono mkamatwaji.

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 2 дня назад

      Nisawa nanyie mnanini mnamsaadagani keshi zaubakaji zamauwaji ninyamaze nisijenika

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 2 дня назад

      Unatombwa na wachawi wewe sio bure, hapo alitakiwa Kuja askari wa kiume ndo amkate mharifu wa kiume

    • @makongoronyerere1564
      @makongoronyerere1564 2 дня назад

      Ww nimzembe sna Yan ww ni o brain, iv ww kama niaskr umeibiwa unaweza kwenda mkamata mharfu nakwastaili gan, tatizo police akilizenu zimebez kwenye ubabe ndio maana mnarogwa

    • @AmosiPeter-z3g
      @AmosiPeter-z3g 2 дня назад

      Ww mdio mjinga

    • @Kombs-cr2mj
      @Kombs-cr2mj 2 дня назад

      ​@@laninjeje8290 bro wewe ni failure kabisa, matusi inaonesha jinsi gan umefeli kimaisha, unajua backgriund ya hiyo situation ililuaje mpaka akaja askari wa kike. Na nan kakwambia kuwa katika ukamataji kuna jinsia aisee. Nyie ndo mnadandia tren kwa mbele mitandaon bila kujua uhalisia, shule muhimu sana aisee

  • @SnepaBoy
    @SnepaBoy 2 дня назад +1

    Ata mm auwez ukanichukua kizembe kizembe ivy

  • @allendaniel3172
    @allendaniel3172 2 дня назад +6

    Sema yule mwanajeshi jau sana 😅😅😅 et kama haoni kinachoendelea

    • @alexsimon5576
      @alexsimon5576 2 дня назад +2

      Analinda Kazi

    • @getajo1153
      @getajo1153 2 дня назад +2

      Hujui unachokiongea mzee, mtu keshapoteza miaka yake ya kutosha kazini hawezi kupoteza kazi kizembe namna hiyo....

    • @exprodigitaltechtv5571
      @exprodigitaltechtv5571 2 дня назад +2

      Protocal ndo maana hajasaidia kukamata

    • @Abdul-p6r7p
      @Abdul-p6r7p День назад

      Kakaa mbali Kwa sababu ni ndugu yake ata yeye Sheria inamkamata vizur tu kwan ni askar

    • @tomdizzo8725
      @tomdizzo8725 День назад

      Yupo kwa sababu ni ndgu na kama sio. Ndgu asingeinekana kabisa😅😅😅

  • @rashidhamza1291
    @rashidhamza1291 2 дня назад +6

    Mp Jackson unajua sana Sheria kupekuliwa mwilini ndo inabadilika tu lakini kwenye kukamata hakuna jinsia tatizo wabongo wengi tunalishwa matango pori na wanasheria wasojua

  • @AbdullMsanga-c5h
    @AbdullMsanga-c5h 2 дня назад +1

    Sawa Tanzania sijua sis wendawazimu au njaa ya pesa afande wa kike anaendaje kumkamata mwanaume au ndio maokoto

  • @Amiboy425
    @Amiboy425 2 дня назад +3

    Napenda vitu kama ivo😅😅😅😅😅 eti inauzwaa

  • @AbiaWilliam-s1s
    @AbiaWilliam-s1s 2 дня назад +2

    Inabidi mambo yafukie hapo maana kila anaekamatwa anapotea au anauliwa mmm ata mm nisingelikubari 😢😢😢

  • @RashidShechambo
    @RashidShechambo 2 дня назад +11

    Kwani kituo hakina askari wakiume mpaka askari wakike akamkamate mtuhumiwa wa kiume 😂

    • @Geofreysteven-f5x
      @Geofreysteven-f5x 2 дня назад

      ilinalo waliangalie wangemtuma men mwenzake nd pangechimbika sasa

    • @yasintajoseph7495
      @yasintajoseph7495 2 дня назад

      Uyo mwanajeshi mbona Kama hayamuhusu

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd 2 дня назад

      ​@@yasintajoseph7495😂😂😂😂😂kakaak

    • @Geofreysteven-f5x
      @Geofreysteven-f5x 2 дня назад

      @@yasintajoseph7495 ndio apamusu tena ilitakiwa amsaidie afande waende wote ad kituoni kama amuamini kwasabu walifu sasa watapata nafasi kupitia uumgongo

    • @KhadijaMohamedy
      @KhadijaMohamedy 11 часов назад

      Kituo Cha vijibweni kina mpk mgambo yule baunsa

  • @SwitbertMarcel
    @SwitbertMarcel 2 дня назад

    Yani huyo atakuwa ameshakamatwa na Amini hatosahau maisha Yake yote na ataheshimu Askari wote maana najua alichokutana nacho Saiv atakuwa anajutia😂😂😂😂😂

  • @maloplusking
    @maloplusking 2 дня назад +1

    Hairuhusiwi polisi kumkamata mwanajeshi mbona ipo wazi jaman hii mwanajeshi hukamatwa na mwanajeshi mwenzie tena mwenye cheo kikubwa zaidi

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 3 дня назад +11

    Hatutii sheria tena kwani utii umegeuka kuwa mauti na kupoteza ndugu zetu

  • @RamadhaniSuru
    @RamadhaniSuru 2 дня назад +1

    Yeye niasikari wakike kwann hajamwita asikari wakiume iliwakamkamate acheni hizo halafu upelelezi hauko hivo yaan eti nimemuona mtuhumiwa umemuonaje niyeye kakuibia acheni hizo😢😢

  • @christianomwakibibi9749
    @christianomwakibibi9749 2 дня назад +4

    Hahaha nacheeka mwenyewe😅

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 2 дня назад +2

    Mwandishi ongeza knowledge

  • @JaneMkinga
    @JaneMkinga 3 дня назад +5

    Huyo alitakiwa aje askari wa kiume siyo wa like kwani sheria hawajui? Pia unatakiwa na RB iwepo siyo nguvu😢

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 3 дня назад

      Sheria haizuii mwanamke kukamata mwanaume, bali mwanaume kukamata mwanamke ndo hairuhusiwi

  • @rahema1992
    @rahema1992 3 дня назад +5

    Hii inaitwa kunya anye kuku akinya Bata kaharisha

  • @MsimbeRajabu
    @MsimbeRajabu 2 дня назад +1

    Sheria inasema mwanamke ana mamlaka

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 3 дня назад +10

    Sheria askari wa koke harusiwi kumkamata mwanaume na askari wa kiume harusiwi kumkamata mwanamke

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 2 дня назад

    Kukataa kukamatwa ni unyanyasaji? Kim na mama yake wako sawa kukataa. Sheria hairuhusu mtuhumiwa wa kiume kukamatwa na askari wa kike. Hasa kwa kumshikashika kama hivyo. Hapo Kim alinyanyaswa. Lakini pia, ukamataji una procedure zake, askari ajitambulishe, aje na kiongozi wa mtaa na akukamate na kusaini hati ya ukamataji. Kama havikufanyika una haki ya kukataa kwa kuwa anayekukamata hatambuliki. Uniform siku hizi ni nyingi.

  • @CosmasMlawa-i7k
    @CosmasMlawa-i7k 2 дня назад +1

    😂😂😂😂 hahahah et kaka mwanajeshi ndy usikamatwe na ss tusio na kaka wajesh apo vp

  • @ObediiLaizar
    @ObediiLaizar 3 дня назад +9

    Piga kisu ya kuma akamwaambie samia

    • @GeorgeEdward-e1e
      @GeorgeEdward-e1e 3 дня назад

      😂😂

    • @dottojumbe-jk5gg
      @dottojumbe-jk5gg 3 дня назад +1

      Mwenzetu ulitapikwa eti , huna hata woga kutamka kiungo hicho bila ukakasi wakati huko ndo ulipitia na bado unatarajia kutunga mimba kwa huko unakotukana na huyo unae mlala akiona hii ajitafakari sana

    • @NiazonBukoke
      @NiazonBukoke 3 дня назад

      ​@@dottojumbe-jk5ggacha ujinga akate kinembe kabsa

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 2 дня назад

      Mkundu​@@NiazonBukokemkundu wa Mama yako unanuka

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 2 дня назад

      Kuma la Mama yako inatoa harufu

  • @rashidmakoko540
    @rashidmakoko540 2 дня назад

    Jifunze kuripoti, huyo koplo wa Polisi ni wakike anaendaje kumkamata mtuhumiwa wa kiume? Taratibu za ukamataji wamekosea polisi waache mazoea ya makosa kuwa halali

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 2 дня назад +6

    Ni vizuri wakala na kichapo kizuri ili siku nyingine waweze kutii sheria bila shuruti. Pumbavu kabisa

    • @boxdad
      @boxdad 2 дня назад

      Wanakushenyeta polic mamayako

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh 2 дня назад +1

    Polic waonevusana ukitii Sheria wanakubambikia kesi nahasa polic wanawake Mimi pia nimhanga

  • @Kombs-cr2mj
    @Kombs-cr2mj 2 дня назад +5

    Mama askari nimekukubali aiseee. Wakupe nyota aisee kwa ujasiri huo

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 3 дня назад +4

    Uyo kijana kazi anayo na atamponza uyo ndugu yake mjeshi hata kupoteza kazi. Nchi ngumu hii

    • @jumaseif2452
      @jumaseif2452 3 дня назад +6

      WW MKUNDU KWELI....AU UNAPENDA KULOPOKA JE...ANGEKUWA NDUGU YAKO UNGESEMA ATAPOTEZA KAZI

    • @FrenkMushi-i7f
      @FrenkMushi-i7f 3 дня назад +2

      Uyu mwanajeshi yupo sahihi

    • @GeorgeElias-p5o
      @GeorgeElias-p5o 3 дня назад

      @@jumaseif2452 Ukikuta uyo polisi Mume wake ni mwanajeshi au kaka yake nk.. nini kitatokea..!? Na uyo aliyeibiwa ukikuta ana ndugu mjeshi itakuaje..!? Hii nchi ngumu elewa sio unatukana tu

    • @ElibarikiMathayo-um5hq
      @ElibarikiMathayo-um5hq 3 дня назад

      ​@@jumaseif2452mwambie huyo kenge

    • @treyboy_
      @treyboy_ 2 дня назад

      ​@@GeorgeElias-p5ommh apo kazi ipo tna sio ndogo

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h 3 дня назад +2

    Mwandishi wewe sheria ya kukamata hiko hivi polisi wa kike hana ruhusa ya kumshika au kumkamata mtuumiwa wa kiume angekuja na askari wa kiume pili angeonyesha kibali cha kumkamata tatu mjumbe yeyote wa kijiji au mwenyejiti anapaswa kuwepo.

    • @njanededan9979
      @njanededan9979 3 дня назад

      Acha kudanganya watu kwenye Public wewe, Kifungu kipi cha Sheria ipi?? Hujui sheria unalea maneno ya mtaani ipo hivi ,Hakuna Exception ya Askari wa kike kumkamata wa kiume bali askari wa kiume kumkamata wa Mwanamke tu...Na hakuna mwongozo wa kupiti kwa Mtendaji wala mwenyekiti kisheria ....hyo hufanywa tu na polisi kuweka ustaarabu na Kuondoa taharuki

    • @Ima-l8p
      @Ima-l8p 3 дня назад

      ​@@njanededan9979Wewe ndiyo unadanganya watu

    • @njanededan9979
      @njanededan9979 2 дня назад

      @@Ima-l8p Soma CRIMINAL PROCEDURE ACT sura ya 20 Revised edition 2022 kifungu cha 11 ,12 ,36 na 45

  • @mohamedmdachi4608
    @mohamedmdachi4608 2 дня назад

    Jamaa hakufanya Ugaidi aligoma kukamatwa acha kutengeneza taharuki ya kumtumia

  • @alexmichael5850
    @alexmichael5850 3 дня назад +7

    Mwandishi umepewa chochote wewe si kwa hyo habari ebu kuweni N basi here..

    • @facef5577
      @facef5577 3 дня назад

      Sasa hv kila mtu anaogopa kuchukuliwa... 😂😂😂 we mwandishi ukijakuchukuliwa we pia unaweza kukataa😂😂😂

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 дня назад

      Huyu mwandishi ni osies

    • @facef5577
      @facef5577 3 дня назад

      😂😂😂 Mwanajeshi ana hbr na dada wa watu askari... sasa huyo askari wakike anaendaje kukamata mwanaume huko... 😂😂😂😂 mimi nimevutiwa kujua nn kiliendelea na huyo mwanajeshi!!!!

    • @lovisfrederick3629
      @lovisfrederick3629 2 дня назад

      Hata jinsi unavyojibu comments, uelewi mwandishi was habari ​anatakiwa a behave vipi. @@Gachi_TV

  • @SaidMnachilah
    @SaidMnachilah 2 дня назад +1

    Wamemuona wa kike tu angekua mwanaume wasingefanya uwo ujinga😂😂😂

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 дня назад +1

    Awoo wakitoka wazima wata potea tu

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz4507 2 дня назад

    ACHA USHAMBA WEWE , UNYANYASAJI ,,, UPI , UKWELI NI KWAMBA HAKUNA RAIA ALIYE NA IMANI NA POLICE ,,, TENA WAJIPANGE WAKIJA KUKAMATA WATU MITAANI

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 2 дня назад +1

    Kwa askari ni chunguee, kwa mzee kibao je? Ni tamu? Jamani tuache masihara na hii nchi sheri zifuatwe ila Police kama kweli ndo mnateka watu acheni kwa faida ya vizazi vyenu. Ni maoni yangu tuuu!!! Naomba Mungu awajaze hofu muweze kutenda yaliyo ya haki.

  • @newvisiongames6661
    @newvisiongames6661 2 дня назад +1

    Inavyoonekana watanzania wengi ni vipofu wa sheria😢😢

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 дня назад +2

    Mmmh mbona huyo Mwanajeshi ametulia tu, hakuna jambo baya kama askari akisahau mafunzo, ukiona Hali Ni hivyo haina haja ya kuonyesha misuli, huyo Mwananchi aandikiwe Barua ya wito afike kituoni, hakuna haja ya kupigizana makelele na Raia wakati Polisi una mbinu nyingi za kumkamata mtuhumiwa, alafu kwanini uende kwenye tukio la ukamataji peke yako? Elimu Kwa Askari wetu bado inahitajika saaana

    • @kleofasilyaruu7720
      @kleofasilyaruu7720 2 дня назад +1

      Kama amekataa kukamatwa je wito atakubali think twice

    • @SadiRashidiusiki
      @SadiRashidiusiki 2 дня назад

      Mudamwingine polisi wetu wanatumia ubabe hata Kwa jambo la kiutaratibu😂

  • @NyamshakiMasegeya
    @NyamshakiMasegeya 2 дня назад

    Tatizo kujawa na hofu au hakujitambulisha maana uniform si kigezo Cha kutambuliwa.

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity 2 дня назад +1

    Uyu ndio Police Sasa afu ana jiamini balaaaa safi sana

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 2 дня назад

    Uyo dogo ujuaji utamponza yaani hatosahau maisha yake, uyo kaka yake hatomsaidia chochote.

  • @boniphacemabala5841
    @boniphacemabala5841 2 дня назад +1

    Haya maisha bana😂😂

  • @prezdesho4076
    @prezdesho4076 2 дня назад

    Unatoa maelezo kama hujui kuongea unarudia rudia maneno unajiuma uma vigugumizi kazi yako ya kusimulia tu inakushinda

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 2 дня назад +1

    Jamaniii tambuenii sheriaaa skariii yoyoteee ukifanyaaa kosaaa anakukamataaa iriii kukuchachiii ndiooo kunaaa jinsiiia mbiriii Kamaa mwanamkee anatakiwaa akuchachiii uyoooo nakamaaa mwanaumeee atakuchachii uyooo

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 2 дня назад

    Mwandishi Polisi amesha hukumu anasema Ara B anayo na ni mwizi, Kwa polisi huyo sio mtuhumiwa bali mwalifu tayari, Aliye ibiwa simu ana Receipt yake na anaweza onyesha alipataje?

  • @thomaspascal9641
    @thomaspascal9641 2 дня назад +2

    Huyu mwanajeshi hana kazi tena.

    • @davideditz2049
      @davideditz2049 2 дня назад

      Mwanajeshi sio kazi yake ya kukamata watu😂

    • @Thomas-lm1dq
      @Thomas-lm1dq 14 часов назад

      Askari wa JWT hakuingilia alikuwa mbali anaongea na simu tu. Ni vile kakamatwa mama na mtoto wake mtuhumiwa.
      Mjeda yupo smart.

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 2 дня назад +2

    😂😂😂Akakamate wakike mwenzake sheria hawaijui

    • @JayCompton
      @JayCompton 2 дня назад

      Mwanamke anamkamata yyte na anamsachi yyte

    • @Mariam-h7o6f
      @Mariam-h7o6f День назад

      Wewe ndo aujui sheria ukishafavaa vaz lolote la kijesh bas wew unatambulika kama askar Ambae unaweza kuhusika kwenye uwarifu wowote

  • @allybashysimbambele3380
    @allybashysimbambele3380 2 дня назад

    Mkikosa Habari achane kutupostia uchoko na ucho chezi kwa baina ya majeshi yetu

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 дня назад

    Wewe polisi hujui kazi yako huruhusiwe kukamata kijana wa kiume ungeomba msaada wa askari polisi wa kiume na sio wewe kumkamata

  • @ibrahimlaizer5012
    @ibrahimlaizer5012 2 дня назад

    Nawachukia police Tanzania,
    Police ni wauwaji ni watekaji ni watu wasiojulikana,
    Police ni adui wa raia tujilinde wenyewe tafadhali

  • @SamoraMlwale
    @SamoraMlwale 2 дня назад

    We mtangazaji unajielewa kweli kila cku watu wanatekwa na hao police alafu unaona kama askari kafanyiwa unyanyasaji mjeda mm namuunga mkono kuzia kijana kukamatwa

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 2 дня назад

    Wewe mwandi nahuyo askar nawengine wote wasenge
    Kwahiyo unafurahia mwananchi mwenzio kutekwa na hao wauwaji

  • @faddeyfahey
    @faddeyfahey 2 дня назад

    Wewe usituletee tena habari unprofessional kabisa hujui kuripoti unatusimulia badala tusikilize sauti mwanzo mwisho

  • @AbuuNambia
    @AbuuNambia 2 дня назад

    Yeye askari wa kike atamkamataa vp mwnaumee au sheria ipoojee??!au askar wa kiume ndoo aruhsiw kumkamanda mwnamke??

  • @fadhilndosi5288
    @fadhilndosi5288 2 дня назад

    Acha ushamba mwandishi uyo askari wakike aruhusiwi kukamapa wanaume uyo anadili na wanawake jaribu kutoa elimu acha kuriport kitu kwa mhemko

  • @omariamiri3348
    @omariamiri3348 2 дня назад

    Someni Sheria za nchi mjue sio Kiropoka ropoka tu

  • @ifonlyiknew619
    @ifonlyiknew619 2 дня назад +1

    Mtangazaji msenge weee

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 2 дня назад

    Mwandishi Katoka milembe yeye wakike ataendaje kumkamata wakiume

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 2 дня назад

    Amenyanyaswa na nani? Mwandishi wewe nawe. Siyo Kila jambo askari avimbe tuu. Mangine Niya kawaida tuu wangemwelekeza tuu.

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 2 дня назад

    Sasa uyu Askari mbona anamuhusisha Mjeda wakati yeye hajamgusa siyo poa kabisa

  • @supremeshorts2447
    @supremeshorts2447 2 дня назад

    Kama ilivyo mujibu wa sheria,na tunavyo ona kwenye tv,askari jeshi angemshauri ndugu yake kukubali wito wa askari polisi,hadi pale sheria ichukuwe mkondo wake,lakini kwa ukosefu wa uzalendo jeshi kuunga mchono mtuumiwa Kisha ndugu!!!!!!,huyo naye ni kibaka pia

  • @israelkidolezi8962
    @israelkidolezi8962 3 дня назад +1

    Tanzania kumbe tatizo linaanzia kwa kuwa vyombo vya habari vinavyoripoti habari kwa mihemko bila kuzingatia taaluma plus wananchi wasiojielewa tutachelewa sana.

  • @simonkapesa121
    @simonkapesa121 2 дня назад

    Haya mambo ya kwenda kumkamata mtu kienyeji enyeji ndo madhara yake haya Kuna taratibu za ukamataji sio mradi tu una sare unaenda kumkamata nchi yenyewe ishaaribika hiiii

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola 2 дня назад

    Tuheshim majukumu ya wenzetu hyo ni mbaya uwezi ingilia kazi ya mwenzio pengine kwa kumsaidia lkni sio kuzuia.

  • @msebukwatv1
    @msebukwatv1 2 дня назад

    Acheni ujinga unyanyasaji uko wapi hapo yeye ilibidi atumie mbinu za kiaskali kumkamata yeye hajatumia njia za kiaskali maana njia ya kumkamara mtu ni sheria kwahiyo yeye hajafanya maadili ya kiaskali

  • @paulkessy9440
    @paulkessy9440 2 дня назад +1

    Hapo sioni unyanyasaji

  • @BongoAirdropsMemecoins
    @BongoAirdropsMemecoins 2 дня назад

    Unyanyasaji uko wap hapo nyie waandishi mnakuwaga mnashida gani? Huyo jamaa kakataa arrest ila sio unyanyasaji kwa polisi wa kike kisa kukataa kukamatwa, acheni kupotosha jamii

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 2 дня назад

    mtangazaji ni choko kwanini aje akamate mwanamke wakati yeye ni mwanaume???!.

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 дня назад

    Kwani jeshi la.polis halinaa wanaume kwsn sheria ya ukamataji inasemaje mwanaume anakamatwa na askar wakiume na wakike hivo hvo tatizo jeshi la polis ni viraza wanafanya kaz kwa mazoea kuna muongoz wa jeshi la polisi unaitwa P G O

  • @NestoryMbando-cr9st
    @NestoryMbando-cr9st 2 дня назад

    Mwandishi mpuuzi sana wewe kwanza hujui chochote kuhusu sheria alafu

  • @jmm1840
    @jmm1840 2 дня назад

    Sheria inasemaje
    Mwanaume atakamatwa na askari wa kiume.
    Vipi huyu WP akamkamate mwanaume?

  • @DastaniHizza
    @DastaniHizza 2 дня назад

    Jamani acheni jamaa agome kwenda na askari maana sikuizi askari ndio wanakuchukua alafu unakutwa umekufa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 дня назад

    Polis kachemka huwez kumkamata jinsia tofaut

  • @YacintaJames
    @YacintaJames 3 дня назад +1

    Mtuhumiwa wa kiume anatakiwa kukamatwA na askari wa kiume, wewe mwandishi vipi hata Sheria huzijui

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 2 дня назад

    Uyu mtangazaji msenge kweli unyanyasaji Gani asikari wa kike ana mamlaka ya kumkamata au kumshika mtuhumiwa wa kiume

  • @DavidMourice-oh7pj
    @DavidMourice-oh7pj 2 дня назад

    Sikuizi POLICE wanateka watu,Nan atakubali kiulaini

  • @CosmasErnest-i3t
    @CosmasErnest-i3t 2 дня назад +1

    Ht mm nsingekubali

  • @FrankIkombe
    @FrankIkombe 2 дня назад

    Mtuhumiwa afuati ivyo ndomana askari wetu kilasiku watalaumiwa

  • @herymageta
    @herymageta 3 дня назад +1

    Acha kuchafua wanajeshi wewe, mbona sisi tunaibiwa simu zeto tunalipoti police simu zetu hazipatikani

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 дня назад

    Mwandishi huna akili anae dhalilishwa ni mtuhumiwa. inatakiwa akamatwe na mwanaume.