Mtu unachukuliwa tu vizuri dhen ndo kwaheri, watu wanahofu sana saizi, kutii sheria bila shuruti ni jambo jema na ndivyo inavyopaswa kuwa, ila kwa yanayoendelea nadhani kuna mahali panavuja lazima pazibwe watu waondokane na hofu.
Wewe,huna unachokijua ungekuwa wewe ndiwe umeibiwa ungesubiri aje,askari wa,kiume,ndipo amkamate?!Pili ikitokea umemkamata,wiizi, nyumbani,kwako,wa,jjinsia tofauti na wewe ungemkamata au ungemwacha ende na Mali,yako ,, a,yako
Aisee acheni kuripoti Kwa njia ya kujipendekeza semen ukweli hakuna mtu mwenye Imani na polisi wa Tanzania Tena kesho utasikia kijana kapotea alafu polisi wakatae hawajamkamata
@@mosesjohnswilla9926 msaada Gani miaka kumi na tatu iliyopita jeshi la police la Tanzania ndilo lilikua na heshima kuliko polisi wa nchi nyingine yeyote afrika mashariki na kati Kwa sasa wameporomoka hatari hatuwategemej Wala kuwa na Iman nao sasa njoo niibie ujue sitegemei police na mali zangu unaleta wewe na ukoo wako mzima
Huwezi kukubali Tu kukamatwa polisi anakuja Tu kukuchukua Hana kielezo ht kimoja ukimwambia mkali Hali zenyewe zimekuwa mby watuwanauliwa ovyo jezi za polisi muda mengine kivuli cha watu waovu
Tamaa ya pesa alitaka akamate mwenyewe apate hela wakati yeye ni jike acha azaraulike tena wangemvua na nguo. Arafu anapiga mikwara ety gusa uniform yangu msenge huyo hana hata nguvu na fikra ya kujua yeye ni jinsia gani amkamate nani?
Jike hata mama yako na dada zako. Na pia unaweza ukazaa majike sijui kama utapenda walimwengu waite wanao majike. Acha dharau ya jinsia maana wote wameumbwa na Mungu. Na hayo majike ndio yamekulea na kukufikisha ulipo
Ningekuwa askari ningekuwa sikamati nasubiri mshahara wangu tu kwa mwezi.... Maana sisi raia tumezidi kuwadharau hawa askari wetu na mitandaoni tunawatukana hovyo.....
Umeongea point. Watu wanasupport ujinga kwa kufuata mkumbo, kwa hiyo sasa hivi wahalifu wote wasikamatwe na Polisi... Tanzania ni masikini sio tu kwa sababu ya kuwa na viongozi wasiofaa, kiasi kikubwa inachangiwa na kuwa na raia wajinga, wenye uwezo mdogo wa kufikiri...
Sote watanzania atujasoma sheria sababu awo polis ndiyo kabisa pombe zinawapeleka pabaya walikuja kwetu polis kusachi utazania kuna jambazi au magaidi wakaiba ela kisa makaratasi tu @@happynkya9770
Kaka lazima awepo na wakiume wewe wakike wakike tu lolote laweza tokea alafu jamii ikashangaa,we ni mtu mzima ushanielewa kama huna D mbili huwez elewa@@PAWAKESSYPAWA-s7v
Ivi askari wanafeli wapi kwanini hamuangalii jinsia wakati wa ukamataji lakin.wakati mwingine mnalazimisha watu kuingia katika mitiani ya kukiuka sheria wakati manajia taratibu zote za ukamati embu fanyeni kazi kwa ueledi msikurupuke kwa maslah binafsi
Nimesoma comment zote, asilimia 99.9 ya watoa maoni ni wajinga kwa kiwango cha phd. Sasa kwa kifupi ni hivi, kwakua askari huyo mnafikiri amekosea na kesi iliyofunguliwa niya raia mwenzetu basi ushauri wangu ni kwamba Raia wote tz mkifanyiwa chochote malizana nacho hukohuko mtaani msifike vituoni kulalamika kwakua mkilalamika mnataka mtuhumiwa akamatwe walati askari akifika kkukamata hamtaki kukamatwa na mnamuung mkono mkamatwaji.
Ww nimzembe sna Yan ww ni o brain, iv ww kama niaskr umeibiwa unaweza kwenda mkamata mharfu nakwastaili gan, tatizo police akilizenu zimebez kwenye ubabe ndio maana mnarogwa
@@laninjeje8290 bro wewe ni failure kabisa, matusi inaonesha jinsi gan umefeli kimaisha, unajua backgriund ya hiyo situation ililuaje mpaka akaja askari wa kike. Na nan kakwambia kuwa katika ukamataji kuna jinsia aisee. Nyie ndo mnadandia tren kwa mbele mitandaon bila kujua uhalisia, shule muhimu sana aisee
Mp Jackson unajua sana Sheria kupekuliwa mwilini ndo inabadilika tu lakini kwenye kukamata hakuna jinsia tatizo wabongo wengi tunalishwa matango pori na wanasheria wasojua
@@yasintajoseph7495 ndio apamusu tena ilitakiwa amsaidie afande waende wote ad kituoni kama amuamini kwasabu walifu sasa watapata nafasi kupitia uumgongo
Yani huyo atakuwa ameshakamatwa na Amini hatosahau maisha Yake yote na ataheshimu Askari wote maana najua alichokutana nacho Saiv atakuwa anajutia😂😂😂😂😂
Kukataa kukamatwa ni unyanyasaji? Kim na mama yake wako sawa kukataa. Sheria hairuhusu mtuhumiwa wa kiume kukamatwa na askari wa kike. Hasa kwa kumshikashika kama hivyo. Hapo Kim alinyanyaswa. Lakini pia, ukamataji una procedure zake, askari ajitambulishe, aje na kiongozi wa mtaa na akukamate na kusaini hati ya ukamataji. Kama havikufanyika una haki ya kukataa kwa kuwa anayekukamata hatambuliki. Uniform siku hizi ni nyingi.
Mwenzetu ulitapikwa eti , huna hata woga kutamka kiungo hicho bila ukakasi wakati huko ndo ulipitia na bado unatarajia kutunga mimba kwa huko unakotukana na huyo unae mlala akiona hii ajitafakari sana
Jifunze kuripoti, huyo koplo wa Polisi ni wakike anaendaje kumkamata mtuhumiwa wa kiume? Taratibu za ukamataji wamekosea polisi waache mazoea ya makosa kuwa halali
@@jumaseif2452 Ukikuta uyo polisi Mume wake ni mwanajeshi au kaka yake nk.. nini kitatokea..!? Na uyo aliyeibiwa ukikuta ana ndugu mjeshi itakuaje..!? Hii nchi ngumu elewa sio unatukana tu
Mwandishi wewe sheria ya kukamata hiko hivi polisi wa kike hana ruhusa ya kumshika au kumkamata mtuumiwa wa kiume angekuja na askari wa kiume pili angeonyesha kibali cha kumkamata tatu mjumbe yeyote wa kijiji au mwenyejiti anapaswa kuwepo.
Acha kudanganya watu kwenye Public wewe, Kifungu kipi cha Sheria ipi?? Hujui sheria unalea maneno ya mtaani ipo hivi ,Hakuna Exception ya Askari wa kike kumkamata wa kiume bali askari wa kiume kumkamata wa Mwanamke tu...Na hakuna mwongozo wa kupiti kwa Mtendaji wala mwenyekiti kisheria ....hyo hufanywa tu na polisi kuweka ustaarabu na Kuondoa taharuki
😂😂😂 Mwanajeshi ana hbr na dada wa watu askari... sasa huyo askari wakike anaendaje kukamata mwanaume huko... 😂😂😂😂 mimi nimevutiwa kujua nn kiliendelea na huyo mwanajeshi!!!!
Kwa askari ni chunguee, kwa mzee kibao je? Ni tamu? Jamani tuache masihara na hii nchi sheri zifuatwe ila Police kama kweli ndo mnateka watu acheni kwa faida ya vizazi vyenu. Ni maoni yangu tuuu!!! Naomba Mungu awajaze hofu muweze kutenda yaliyo ya haki.
Mmmh mbona huyo Mwanajeshi ametulia tu, hakuna jambo baya kama askari akisahau mafunzo, ukiona Hali Ni hivyo haina haja ya kuonyesha misuli, huyo Mwananchi aandikiwe Barua ya wito afike kituoni, hakuna haja ya kupigizana makelele na Raia wakati Polisi una mbinu nyingi za kumkamata mtuhumiwa, alafu kwanini uende kwenye tukio la ukamataji peke yako? Elimu Kwa Askari wetu bado inahitajika saaana
Mwandishi Polisi amesha hukumu anasema Ara B anayo na ni mwizi, Kwa polisi huyo sio mtuhumiwa bali mwalifu tayari, Aliye ibiwa simu ana Receipt yake na anaweza onyesha alipataje?
We mtangazaji unajielewa kweli kila cku watu wanatekwa na hao police alafu unaona kama askari kafanyiwa unyanyasaji mjeda mm namuunga mkono kuzia kijana kukamatwa
Kama ilivyo mujibu wa sheria,na tunavyo ona kwenye tv,askari jeshi angemshauri ndugu yake kukubali wito wa askari polisi,hadi pale sheria ichukuwe mkondo wake,lakini kwa ukosefu wa uzalendo jeshi kuunga mchono mtuumiwa Kisha ndugu!!!!!!,huyo naye ni kibaka pia
Tanzania kumbe tatizo linaanzia kwa kuwa vyombo vya habari vinavyoripoti habari kwa mihemko bila kuzingatia taaluma plus wananchi wasiojielewa tutachelewa sana.
Haya mambo ya kwenda kumkamata mtu kienyeji enyeji ndo madhara yake haya Kuna taratibu za ukamataji sio mradi tu una sare unaenda kumkamata nchi yenyewe ishaaribika hiiii
Acheni ujinga unyanyasaji uko wapi hapo yeye ilibidi atumie mbinu za kiaskali kumkamata yeye hajatumia njia za kiaskali maana njia ya kumkamara mtu ni sheria kwahiyo yeye hajafanya maadili ya kiaskali
Unyanyasaji uko wap hapo nyie waandishi mnakuwaga mnashida gani? Huyo jamaa kakataa arrest ila sio unyanyasaji kwa polisi wa kike kisa kukataa kukamatwa, acheni kupotosha jamii
Kwani jeshi la.polis halinaa wanaume kwsn sheria ya ukamataji inasemaje mwanaume anakamatwa na askar wakiume na wakike hivo hvo tatizo jeshi la polis ni viraza wanafanya kaz kwa mazoea kuna muongoz wa jeshi la polisi unaitwa P G O
Mambo yenyewe yamebadilika ss hv hata mie ningekataa
😁😁😁
Tumekuw wakenya😂😂😂😂😂
Kataa ila ukipigwa virungu usilalamike
😂
Mtu unachukuliwa tu vizuri dhen ndo kwaheri, watu wanahofu sana saizi, kutii sheria bila shuruti ni jambo jema na ndivyo inavyopaswa kuwa, ila kwa yanayoendelea nadhani kuna mahali panavuja lazima pazibwe watu waondokane na hofu.
Kwnn akamate mwanaume na yeye ni wakike anatakiwa aje wakiume hakuna shida.
Kwa hiyo mhalifu atakaa akimsubiri askari mwanaume?
Wewe,huna unachokijua ungekuwa wewe ndiwe umeibiwa ungesubiri aje,askari wa,kiume,ndipo amkamate?!Pili ikitokea umemkamata,wiizi, nyumbani,kwako,wa,jjinsia tofauti na wewe ungemkamata au ungemwacha ende na Mali,yako ,, a,yako
Mbna huelewek
Kakojoe ulale ujii lolote
@@CyprianMisanakwa kweli asije akakojoa litandani
Nadhani mama mzazi alikua na mawazo ya yanayoendelea kwa sasa
We mwandishi kumaamamko hapo angemkamata wa kiume
Pamoja
Haswaa
Ila Mimi naona sheria iko kwa wanyonge
Dah! Hapo umenena ndugu.
kweli kaka
Mama aliogopa mwanae kukamatwa asije potea kabisa
Ndio alitaka wakamteke waovu wakubwa hao
Endeleeni kusupport ujinga kwa kufuata mkumbo, kwa hiyo sasa hivi wahalifu wote wasikamatwe na Polisi!?
@salimmussa9kuma719
Nimegundua ya kuw hii channel inahusika na askali 😂😂😂
Aisee acheni kuripoti Kwa njia ya kujipendekeza semen ukweli hakuna mtu mwenye Imani na polisi wa Tanzania Tena kesho utasikia kijana kapotea alafu polisi wakatae hawajamkamata
Na wew siku ukiibiwa au kupigea usiende polisi kutafuta msaada maana hauna Imani nao
@@mosesjohnswilla9926 msaada Gani miaka kumi na tatu iliyopita jeshi la police la Tanzania ndilo lilikua na heshima kuliko polisi wa nchi nyingine yeyote afrika mashariki na kati Kwa sasa wameporomoka hatari hatuwategemej Wala kuwa na Iman nao sasa njoo niibie ujue sitegemei police na mali zangu unaleta wewe na ukoo wako mzima
police aliekwambia kama kuna msaada bila ya pesa ni nani😂
Usijidanganye@@maphieemanuel3137
Nakubal@@maphieemanuel3137
Huwezi kukubali Tu kukamatwa polisi anakuja Tu kukuchukua Hana kielezo ht kimoja ukimwambia mkali Hali zenyewe zimekuwa mby watuwanauliwa ovyo jezi za polisi muda mengine kivuli cha watu waovu
Polisi anatakiwa kutulia shaka mtu yoyote ata kama hana kielelezo
Tamaa ya pesa alitaka akamate mwenyewe apate hela wakati yeye ni jike acha azaraulike tena wangemvua na nguo. Arafu anapiga mikwara ety gusa uniform yangu msenge huyo hana hata nguvu na fikra ya kujua yeye ni jinsia gani amkamate nani?
We na nipunguwani sii upeleke mwanao akakamatwe mbwa ww machawa wa mama abduli mnasmbua Sana. Majukumu ya nyoko 6:18 😅
@@edwinamos9734 wewe unatumia kifungu gani cha sheria kutetea hizo hoja zako? Una uhakika na unachokisema?
Jike hata mama yako na dada zako. Na pia unaweza ukazaa majike sijui kama utapenda walimwengu waite wanao majike.
Acha dharau ya jinsia maana wote wameumbwa na Mungu.
Na hayo majike ndio yamekulea na kukufikisha ulipo
@@euniestherwilliam1513 Ahsante sana kwa ujumbe wako. Afikirie upya huyo alieandika aache chuki zisizokuwa na maana dhidi ya askari,
Huna akili
Ningekuwa askari ningekuwa sikamati nasubiri mshahara wangu tu kwa mwezi.... Maana sisi raia tumezidi kuwadharau hawa askari wetu na mitandaoni tunawatukana hovyo.....
Umeongea point. Watu wanasupport ujinga kwa kufuata mkumbo, kwa hiyo sasa hivi wahalifu wote wasikamatwe na Polisi... Tanzania ni masikini sio tu kwa sababu ya kuwa na viongozi wasiofaa, kiasi kikubwa inachangiwa na kuwa na raia wajinga, wenye uwezo mdogo wa kufikiri...
Hakuna mtangazaji hapa.....anasimulia as if anasoma sehemu
Mtangazaji mwenyewe anaonekana mapepe
Kwa akili yang nshamtia la kati mapema2 😁😁😁
Cc tunawajua Sana wanawake acha kujimaliza kwa maneno mengi kila kitu unyanyasaji
Tunakoelekea huku. Askari watakuwa wanapigwa😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Kabsa kwani sihawajielew
Huko ndio tunapoelekea hatuna Imani tena na hao
Traffic c walipigwa na abolia na konda na driver
Kwanza askari wa kike anakujaje kumkamata mtuhumiwa mwanaume kama siyo kutafuta kudhalilishwa kama hivo !!
Hapo nipo upande wa police kwa mara ya kwanza ila issue ya Mzee kibao sijaipenda
Hata mimi
Kisimi Cha bibi ako
Upo upande wa police ckw7 bu huna Akir police wa kike atakamata vip raia wa kiume
@@babazizu1255 jeshi Bado Lina changamoto wakifanya vzuri angalau tuwa tie moyo
wee ndoo huna akiri kwasababu huelewi chochote kuhusu ukamataji@@babazizu1255
Huyu mwandishi hajielewi,,,,😂😂😂
😂😂😂😂😂 kabisa mwandishi hueleweki
Yaani siku hizi mtu yeyote ni mwandishi hata wauza madafuu, very unprofessional
@@khalfankomba8257kama ni hivyo na wewe si ukatangaze? fyuuuuuu hujielewi wew.hiyo fani siyo shamba la bibi yako.
Huyu mwandishi muugaa na serikali
Huy mwandishi mkundu wako
Unyanyasaji upi kaka kuwa professional
Mwandishi wa hovyo sana
Wewe Mwandishi hacha Upumbavu au Kibaraka wa CCM wewe na Uovu unaofanyika Sasa.Haujui kwamba Polisi hawaaminiwi kwasasa😮
😂😂😂😂@@EzekielKandonga
Kumwambia mini.siyo mwanamke mwenzakooo tayari unynyasaji kijinsia
Unyanyasaji upi
Mwanamke anakamata mwanamke mwenzie....mwanaume pia hvyohvyo ..Kwann wanatuma askari mwanamke
Ungekuwa wew ndo umeibiwa simu yako na mwizi wako umemuona usingeomba msaada Kwa askari huyo wa kike?
Tuacheni shobo
kasome tena sheria vizuri swala la kukamata yeyote anakukamata ila kwenye kusachiwa hapo ndipo jinsia inahusika sasa huyu anakamatwa hasachiwi
Huna unachokijua ww kuhusu Sheria
Sote watanzania atujasoma sheria sababu awo polis ndiyo kabisa pombe zinawapeleka pabaya walikuja kwetu polis kusachi utazania kuna jambazi au magaidi wakaiba ela kisa makaratasi tu @@happynkya9770
Kaka lazima awepo na wakiume wewe wakike wakike tu lolote laweza tokea alafu jamii ikashangaa,we ni mtu mzima ushanielewa kama huna D mbili huwez elewa@@PAWAKESSYPAWA-s7v
Kukamatwa na Demu nayo Dharau😂🖐🏽
Alaf dem wenyew mmoja tu ata mim asingenichukua
Lkn demu huyo huyo kaingia leba akakuxaaaa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Siku ukihitaji msaada wake sijui utamwita demu au itakuwaje
@@xxxl-jf2ji sas inategemea huna kesi anakuchukuaje wengine wanasingizia tu
Ujamaa kuma kweli kafanyiwa unyanya saji na nani😂😂😂😂❤
Et jamaa bwabwa sana
Unyanyasaji uko wapi hapo
Kumuita wewe ni mwanamke hiyo ni hali nzuri mnaamini
Huyu mwandishi bwabwa
Ivi askari wanafeli wapi kwanini hamuangalii jinsia wakati wa ukamataji lakin.wakati mwingine mnalazimisha watu kuingia katika mitiani ya kukiuka sheria wakati manajia taratibu zote za ukamati embu fanyeni kazi kwa ueledi msikurupuke kwa maslah binafsi
Nimesoma comment zote, asilimia 99.9 ya watoa maoni ni wajinga kwa kiwango cha phd. Sasa kwa kifupi ni hivi, kwakua askari huyo mnafikiri amekosea na kesi iliyofunguliwa niya raia mwenzetu basi ushauri wangu ni kwamba Raia wote tz mkifanyiwa chochote malizana nacho hukohuko mtaani msifike vituoni kulalamika kwakua mkilalamika mnataka mtuhumiwa akamatwe walati askari akifika kkukamata hamtaki kukamatwa na mnamuung mkono mkamatwaji.
Nisawa nanyie mnanini mnamsaadagani keshi zaubakaji zamauwaji ninyamaze nisijenika
Unatombwa na wachawi wewe sio bure, hapo alitakiwa Kuja askari wa kiume ndo amkate mharifu wa kiume
Ww nimzembe sna Yan ww ni o brain, iv ww kama niaskr umeibiwa unaweza kwenda mkamata mharfu nakwastaili gan, tatizo police akilizenu zimebez kwenye ubabe ndio maana mnarogwa
Ww mdio mjinga
@@laninjeje8290 bro wewe ni failure kabisa, matusi inaonesha jinsi gan umefeli kimaisha, unajua backgriund ya hiyo situation ililuaje mpaka akaja askari wa kike. Na nan kakwambia kuwa katika ukamataji kuna jinsia aisee. Nyie ndo mnadandia tren kwa mbele mitandaon bila kujua uhalisia, shule muhimu sana aisee
Ata mm auwez ukanichukua kizembe kizembe ivy
Sema yule mwanajeshi jau sana 😅😅😅 et kama haoni kinachoendelea
Analinda Kazi
Hujui unachokiongea mzee, mtu keshapoteza miaka yake ya kutosha kazini hawezi kupoteza kazi kizembe namna hiyo....
Protocal ndo maana hajasaidia kukamata
Kakaa mbali Kwa sababu ni ndugu yake ata yeye Sheria inamkamata vizur tu kwan ni askar
Yupo kwa sababu ni ndgu na kama sio. Ndgu asingeinekana kabisa😅😅😅
Mp Jackson unajua sana Sheria kupekuliwa mwilini ndo inabadilika tu lakini kwenye kukamata hakuna jinsia tatizo wabongo wengi tunalishwa matango pori na wanasheria wasojua
Umejifunza wapi hii😂
Sawa Tanzania sijua sis wendawazimu au njaa ya pesa afande wa kike anaendaje kumkamata mwanaume au ndio maokoto
Napenda vitu kama ivo😅😅😅😅😅 eti inauzwaa
Inabidi mambo yafukie hapo maana kila anaekamatwa anapotea au anauliwa mmm ata mm nisingelikubari 😢😢😢
Kwani kituo hakina askari wakiume mpaka askari wakike akamkamate mtuhumiwa wa kiume 😂
ilinalo waliangalie wangemtuma men mwenzake nd pangechimbika sasa
Uyo mwanajeshi mbona Kama hayamuhusu
@@yasintajoseph7495😂😂😂😂😂kakaak
@@yasintajoseph7495 ndio apamusu tena ilitakiwa amsaidie afande waende wote ad kituoni kama amuamini kwasabu walifu sasa watapata nafasi kupitia uumgongo
Kituo Cha vijibweni kina mpk mgambo yule baunsa
Yani huyo atakuwa ameshakamatwa na Amini hatosahau maisha Yake yote na ataheshimu Askari wote maana najua alichokutana nacho Saiv atakuwa anajutia😂😂😂😂😂
Hairuhusiwi polisi kumkamata mwanajeshi mbona ipo wazi jaman hii mwanajeshi hukamatwa na mwanajeshi mwenzie tena mwenye cheo kikubwa zaidi
Hatutii sheria tena kwani utii umegeuka kuwa mauti na kupoteza ndugu zetu
Naukipigwa usilalamike
Yeye niasikari wakike kwann hajamwita asikari wakiume iliwakamkamate acheni hizo halafu upelelezi hauko hivo yaan eti nimemuona mtuhumiwa umemuonaje niyeye kakuibia acheni hizo😢😢
Hahaha nacheeka mwenyewe😅
Mwandishi ongeza knowledge
Huyo alitakiwa aje askari wa kiume siyo wa like kwani sheria hawajui? Pia unatakiwa na RB iwepo siyo nguvu😢
Sheria haizuii mwanamke kukamata mwanaume, bali mwanaume kukamata mwanamke ndo hairuhusiwi
Hii inaitwa kunya anye kuku akinya Bata kaharisha
😂😂😂😂
😂😂😂😂@@upendogreutert199
Sheria inasema mwanamke ana mamlaka
Sheria askari wa koke harusiwi kumkamata mwanaume na askari wa kiume harusiwi kumkamata mwanamke
Sheria namba ngap?
Punguza bhangi
Fnya vituko uone 😊
Rudia kusoma vizuri sheria
Haruhusiwi kumpekua sio kukamata tofautisha arrested and searching
Kukataa kukamatwa ni unyanyasaji? Kim na mama yake wako sawa kukataa. Sheria hairuhusu mtuhumiwa wa kiume kukamatwa na askari wa kike. Hasa kwa kumshikashika kama hivyo. Hapo Kim alinyanyaswa. Lakini pia, ukamataji una procedure zake, askari ajitambulishe, aje na kiongozi wa mtaa na akukamate na kusaini hati ya ukamataji. Kama havikufanyika una haki ya kukataa kwa kuwa anayekukamata hatambuliki. Uniform siku hizi ni nyingi.
😂😂😂😂 hahahah et kaka mwanajeshi ndy usikamatwe na ss tusio na kaka wajesh apo vp
Piga kisu ya kuma akamwaambie samia
😂😂
Mwenzetu ulitapikwa eti , huna hata woga kutamka kiungo hicho bila ukakasi wakati huko ndo ulipitia na bado unatarajia kutunga mimba kwa huko unakotukana na huyo unae mlala akiona hii ajitafakari sana
@@dottojumbe-jk5ggacha ujinga akate kinembe kabsa
Mkundu@@NiazonBukokemkundu wa Mama yako unanuka
Kuma la Mama yako inatoa harufu
Jifunze kuripoti, huyo koplo wa Polisi ni wakike anaendaje kumkamata mtuhumiwa wa kiume? Taratibu za ukamataji wamekosea polisi waache mazoea ya makosa kuwa halali
Ni vizuri wakala na kichapo kizuri ili siku nyingine waweze kutii sheria bila shuruti. Pumbavu kabisa
Wanakushenyeta polic mamayako
Polic waonevusana ukitii Sheria wanakubambikia kesi nahasa polic wanawake Mimi pia nimhanga
Mama askari nimekukubali aiseee. Wakupe nyota aisee kwa ujasiri huo
Nyota azitokagi kiboya dingi
😂😂😂
Kwan nyota ndiyo Nini!!
Uyo kijana kazi anayo na atamponza uyo ndugu yake mjeshi hata kupoteza kazi. Nchi ngumu hii
WW MKUNDU KWELI....AU UNAPENDA KULOPOKA JE...ANGEKUWA NDUGU YAKO UNGESEMA ATAPOTEZA KAZI
Uyu mwanajeshi yupo sahihi
@@jumaseif2452 Ukikuta uyo polisi Mume wake ni mwanajeshi au kaka yake nk.. nini kitatokea..!? Na uyo aliyeibiwa ukikuta ana ndugu mjeshi itakuaje..!? Hii nchi ngumu elewa sio unatukana tu
@@jumaseif2452mwambie huyo kenge
@@GeorgeElias-p5ommh apo kazi ipo tna sio ndogo
Mwandishi wewe sheria ya kukamata hiko hivi polisi wa kike hana ruhusa ya kumshika au kumkamata mtuumiwa wa kiume angekuja na askari wa kiume pili angeonyesha kibali cha kumkamata tatu mjumbe yeyote wa kijiji au mwenyejiti anapaswa kuwepo.
Acha kudanganya watu kwenye Public wewe, Kifungu kipi cha Sheria ipi?? Hujui sheria unalea maneno ya mtaani ipo hivi ,Hakuna Exception ya Askari wa kike kumkamata wa kiume bali askari wa kiume kumkamata wa Mwanamke tu...Na hakuna mwongozo wa kupiti kwa Mtendaji wala mwenyekiti kisheria ....hyo hufanywa tu na polisi kuweka ustaarabu na Kuondoa taharuki
@@njanededan9979Wewe ndiyo unadanganya watu
@@Ima-l8p Soma CRIMINAL PROCEDURE ACT sura ya 20 Revised edition 2022 kifungu cha 11 ,12 ,36 na 45
Jamaa hakufanya Ugaidi aligoma kukamatwa acha kutengeneza taharuki ya kumtumia
Mwandishi umepewa chochote wewe si kwa hyo habari ebu kuweni N basi here..
Sasa hv kila mtu anaogopa kuchukuliwa... 😂😂😂 we mwandishi ukijakuchukuliwa we pia unaweza kukataa😂😂😂
Huyu mwandishi ni osies
😂😂😂 Mwanajeshi ana hbr na dada wa watu askari... sasa huyo askari wakike anaendaje kukamata mwanaume huko... 😂😂😂😂 mimi nimevutiwa kujua nn kiliendelea na huyo mwanajeshi!!!!
Hata jinsi unavyojibu comments, uelewi mwandishi was habari anatakiwa a behave vipi. @@Gachi_TV
Wamemuona wa kike tu angekua mwanaume wasingefanya uwo ujinga😂😂😂
Awoo wakitoka wazima wata potea tu
ACHA USHAMBA WEWE , UNYANYASAJI ,,, UPI , UKWELI NI KWAMBA HAKUNA RAIA ALIYE NA IMANI NA POLICE ,,, TENA WAJIPANGE WAKIJA KUKAMATA WATU MITAANI
Kwa askari ni chunguee, kwa mzee kibao je? Ni tamu? Jamani tuache masihara na hii nchi sheri zifuatwe ila Police kama kweli ndo mnateka watu acheni kwa faida ya vizazi vyenu. Ni maoni yangu tuuu!!! Naomba Mungu awajaze hofu muweze kutenda yaliyo ya haki.
Inavyoonekana watanzania wengi ni vipofu wa sheria😢😢
Mmmh mbona huyo Mwanajeshi ametulia tu, hakuna jambo baya kama askari akisahau mafunzo, ukiona Hali Ni hivyo haina haja ya kuonyesha misuli, huyo Mwananchi aandikiwe Barua ya wito afike kituoni, hakuna haja ya kupigizana makelele na Raia wakati Polisi una mbinu nyingi za kumkamata mtuhumiwa, alafu kwanini uende kwenye tukio la ukamataji peke yako? Elimu Kwa Askari wetu bado inahitajika saaana
Kama amekataa kukamatwa je wito atakubali think twice
Mudamwingine polisi wetu wanatumia ubabe hata Kwa jambo la kiutaratibu😂
Tatizo kujawa na hofu au hakujitambulisha maana uniform si kigezo Cha kutambuliwa.
Uyu ndio Police Sasa afu ana jiamini balaaaa safi sana
Uyo dogo ujuaji utamponza yaani hatosahau maisha yake, uyo kaka yake hatomsaidia chochote.
Haya maisha bana😂😂
Unatoa maelezo kama hujui kuongea unarudia rudia maneno unajiuma uma vigugumizi kazi yako ya kusimulia tu inakushinda
Jamaniii tambuenii sheriaaa skariii yoyoteee ukifanyaaa kosaaa anakukamataaa iriii kukuchachiii ndiooo kunaaa jinsiiia mbiriii Kamaa mwanamkee anatakiwaa akuchachiii uyoooo nakamaaa mwanaumeee atakuchachii uyooo
Mwandishi Polisi amesha hukumu anasema Ara B anayo na ni mwizi, Kwa polisi huyo sio mtuhumiwa bali mwalifu tayari, Aliye ibiwa simu ana Receipt yake na anaweza onyesha alipataje?
Huyu mwanajeshi hana kazi tena.
Mwanajeshi sio kazi yake ya kukamata watu😂
Askari wa JWT hakuingilia alikuwa mbali anaongea na simu tu. Ni vile kakamatwa mama na mtoto wake mtuhumiwa.
Mjeda yupo smart.
😂😂😂Akakamate wakike mwenzake sheria hawaijui
Mwanamke anamkamata yyte na anamsachi yyte
Wewe ndo aujui sheria ukishafavaa vaz lolote la kijesh bas wew unatambulika kama askar Ambae unaweza kuhusika kwenye uwarifu wowote
Mkikosa Habari achane kutupostia uchoko na ucho chezi kwa baina ya majeshi yetu
Wewe polisi hujui kazi yako huruhusiwe kukamata kijana wa kiume ungeomba msaada wa askari polisi wa kiume na sio wewe kumkamata
Nawachukia police Tanzania,
Police ni wauwaji ni watekaji ni watu wasiojulikana,
Police ni adui wa raia tujilinde wenyewe tafadhali
We mtangazaji unajielewa kweli kila cku watu wanatekwa na hao police alafu unaona kama askari kafanyiwa unyanyasaji mjeda mm namuunga mkono kuzia kijana kukamatwa
Wewe mwandi nahuyo askar nawengine wote wasenge
Kwahiyo unafurahia mwananchi mwenzio kutekwa na hao wauwaji
Wewe usituletee tena habari unprofessional kabisa hujui kuripoti unatusimulia badala tusikilize sauti mwanzo mwisho
Yeye askari wa kike atamkamataa vp mwnaumee au sheria ipoojee??!au askar wa kiume ndoo aruhsiw kumkamanda mwnamke??
Acha ushamba mwandishi uyo askari wakike aruhusiwi kukamapa wanaume uyo anadili na wanawake jaribu kutoa elimu acha kuriport kitu kwa mhemko
Someni Sheria za nchi mjue sio Kiropoka ropoka tu
Mtangazaji msenge weee
Mwandishi Katoka milembe yeye wakike ataendaje kumkamata wakiume
Amenyanyaswa na nani? Mwandishi wewe nawe. Siyo Kila jambo askari avimbe tuu. Mangine Niya kawaida tuu wangemwelekeza tuu.
Sasa uyu Askari mbona anamuhusisha Mjeda wakati yeye hajamgusa siyo poa kabisa
Kama ilivyo mujibu wa sheria,na tunavyo ona kwenye tv,askari jeshi angemshauri ndugu yake kukubali wito wa askari polisi,hadi pale sheria ichukuwe mkondo wake,lakini kwa ukosefu wa uzalendo jeshi kuunga mchono mtuumiwa Kisha ndugu!!!!!!,huyo naye ni kibaka pia
Tanzania kumbe tatizo linaanzia kwa kuwa vyombo vya habari vinavyoripoti habari kwa mihemko bila kuzingatia taaluma plus wananchi wasiojielewa tutachelewa sana.
Haya mambo ya kwenda kumkamata mtu kienyeji enyeji ndo madhara yake haya Kuna taratibu za ukamataji sio mradi tu una sare unaenda kumkamata nchi yenyewe ishaaribika hiiii
Tuheshim majukumu ya wenzetu hyo ni mbaya uwezi ingilia kazi ya mwenzio pengine kwa kumsaidia lkni sio kuzuia.
Acheni ujinga unyanyasaji uko wapi hapo yeye ilibidi atumie mbinu za kiaskali kumkamata yeye hajatumia njia za kiaskali maana njia ya kumkamara mtu ni sheria kwahiyo yeye hajafanya maadili ya kiaskali
Hapo sioni unyanyasaji
Unyanyasaji uko wap hapo nyie waandishi mnakuwaga mnashida gani? Huyo jamaa kakataa arrest ila sio unyanyasaji kwa polisi wa kike kisa kukataa kukamatwa, acheni kupotosha jamii
mtangazaji ni choko kwanini aje akamate mwanamke wakati yeye ni mwanaume???!.
Kwani jeshi la.polis halinaa wanaume kwsn sheria ya ukamataji inasemaje mwanaume anakamatwa na askar wakiume na wakike hivo hvo tatizo jeshi la polis ni viraza wanafanya kaz kwa mazoea kuna muongoz wa jeshi la polisi unaitwa P G O
Mwandishi mpuuzi sana wewe kwanza hujui chochote kuhusu sheria alafu
Sheria inasemaje
Mwanaume atakamatwa na askari wa kiume.
Vipi huyu WP akamkamate mwanaume?
Jamani acheni jamaa agome kwenda na askari maana sikuizi askari ndio wanakuchukua alafu unakutwa umekufa
Polis kachemka huwez kumkamata jinsia tofaut
Mtuhumiwa wa kiume anatakiwa kukamatwA na askari wa kiume, wewe mwandishi vipi hata Sheria huzijui
Uyu mtangazaji msenge kweli unyanyasaji Gani asikari wa kike ana mamlaka ya kumkamata au kumshika mtuhumiwa wa kiume
Sikuizi POLICE wanateka watu,Nan atakubali kiulaini
Ht mm nsingekubali
Mtuhumiwa afuati ivyo ndomana askari wetu kilasiku watalaumiwa
Acha kuchafua wanajeshi wewe, mbona sisi tunaibiwa simu zeto tunalipoti police simu zetu hazipatikani
Mwandishi huna akili anae dhalilishwa ni mtuhumiwa. inatakiwa akamatwe na mwanaume.