Pa kujifunza hapa licha kufurahisha " Mwanamke mpumbafu uvunja ndoa yake kwa mikono yake" kikubwa usifanye maamuz ukiwa na jazba au hasira tulia fanya uchunguz ndipo ufanye maamuz kwenye jambo lolote maana hasira ni hasara Thank Joti na Team yako kutukumbusha haya sema zile ndosi 😁😁😁
Wale wanaokubali kazi anayo ifanya joti wanipe like tafadhali🙏🙏🙏
Wote mnasema wa kwanza haya mm wa mwisho naomben like zenu jaman
Wale ambao atuwezi kuangalia bila kusoma comment tujuane hapaaa👍
Tupo wengi
Kama Mimi😂😂🙌🙌
Yaani😂😂
Tupooo
😂😂😂😂😂😂😂
The first comedian that I really like in Tanzania is Joti!! He is talented!!
Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Tena mashoga wanatuponzaga 🤣🤣🤣🤣like zenu jamani jotti bhana 🤣🤣🤣🤣
😄😄😄
Jamani mashoga tuwe nao Makini
Sema jotiii ni living legend trust me🇵🇹🇵🇹🇵🇹
Yes
Good creative love this from South africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Jot never dessapoint mashabiki zake . From South Africa 😙 we love you our beloved Tanzanian n kenya big up . Like 👏👍
Hahah huyu tyson au mandonga hat like 5
Nilikuwa macho nasubiria comedy wangu 😂😂
wa kwanza mimi hapa like zenu kwa wingi kama unamkubali joti
I love your vids 😘💕👍🏻
Watching from kenya🔥
Pambaneni na maisha yenu magumu huko
@@fahimahussein6795 hahahaha
Live from Birchenought bridge zimbabwe ( pamoja sana KAZI nzuri)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asante kiboga love from Rwanda 🇷🇼
kumbe turibenshi
@@sifayvonne140 cyane😂
Mbona shoga utanipigia 🤣🤣🤣😂😂. Kitombangile kitwango mzee wa mikazo
🤣🤣🤣🤣 akili za kuambiwa changanya na zako unaona umekosa ndoa kwa ajili ya rafiki
Joti hii inafaa kuwa episode 1 nasubir another ep much lov from+254
I love your video watching from Kenya 🇰🇪
Bila kisoma coment nitachekaje
😂😂❤️
Iv joti mamaako yupo hai au Mungu alishampenda zaidi maana iv vituko natamani awe anakuona we kiboko hakhiamungu sema nn❤️💯💪
Pole mama umekutana na ngumi hatari iliyotoka qatar 🇶🇦 iitwayo SUGUNYO
Mi nawapongeza wote mmecheza vizuri mmetoa elimu kamili kwa jamii ongeleni sana ❤️🤝
From 🇰🇪🇰🇪you'd comedy is something..keep up!......😂😂😂😂😂
uliza Kwanza. Unavamia na kuanza kupiga mtu haumjui. Shogaaaaaaa kaaga mapemaaaaaa kaenda kusimulia mbele ya safari.
Hako kamzikii nywii nywiii nywiiii kananiacha hoiiii 😄 😄 🤣
Huyu Tyson ama mandonga 🤣🤣🤣🤣 Leo nipewe like pia mm kheeeee jamani
Tujuane kama tumemuona mama na love bite 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
imenibidi ni rejee tena kuangalia nione
😂
umenifanya niiangalie Mara mbili hii video kuitafuta love bite
@@graciedadry9794 😂😂
@@da45king umeiona
Tyson au Mandonga🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Brother upo vizuri sana maana unajua sana tu
Nguvu moja twende sawa 💪😂😂😂
Jaman like zang na mie leo😂😂😂
Mapema sanaaa Leo SAA 12 kitu kipo hewani Joti agombee ubunge weeeuweeeee
hv huyo shoga ake dawa zake za vichaa anameza kweli maana yasingetokea haya km angemeza😁😁😁
Funny but hivi ndivyo wanawake hudanganyana marafiki wengine si wakusikiliza, wambea sana!🤣😅
Ahaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpk nimelia
Nishai nimeipenda hii inafundisho kwenye ndoa, wambeya, wanafiki,
Duuuh hatar jaman maana watu mnawah balaa
Joti unatuumiza kwa kucheka. Wee mtoto mwisho wa matatizo
Ila JOTI ni shida akili zako unazijuwa mwenyewe 🤣🤣🤣😂
Joti komesha🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimecheka wallah na nguo alovaa joti😂😂😂
Napendaga akiigiza hivi 😂😂😂
Nakubali sana jotiii!!!!,😂🤣
😆😂😂😂😂nimecheka kisenge 😂😆😆😆
Nakupenda buleee
Kiboga nomaaa sana
Mama mkwee kapata mandongaaa
Madam Doremila ka 4.9GB 😄 🤣
Joti 🔥 😍
Pa kujifunza hapa licha kufurahisha " Mwanamke mpumbafu uvunja ndoa yake kwa mikono yake" kikubwa usifanye maamuz ukiwa na jazba au hasira tulia fanya uchunguz ndipo ufanye maamuz kwenye jambo lolote maana hasira ni hasara
Thank Joti na Team yako kutukumbusha haya sema zile ndosi 😁😁😁
Kukurupuka huko wadada jifunzeni
Tyson 😂😂😂😂this one should have a continuation
😀😀😀😀
Joti nkiangalia comedy zk lazima nicheke ata km nmekacrika najikuta nacheka bila kutarajia mashallah umebarkiw kipaji
Ya leo sio nzuri kabisa kwa mara ya kwanza jot hajanifurahisha
Gonga like tulioamka kwa ajili ya joti😅😜
Kiboga katulia tuu mwenyewe saloon
Asante kwa kunipa furaha joti nakupenda buree
🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti alivyoshuka kwenye pikipiki anavyozunguka!😂😂
We acha tu nmechek mpk
Kibogaaa😂😂😂
Mama Mkwe kachezea SUGUNYO hatari
🤣🤣🤣
Nadjiuliza sana ivi Joti akiwa nyumbani kwake anadjikamatadje anaweza akashitukiya amedjifanya kama mke wake kwa kweli
Sema mama mkwe ana binge la lovebit la ukweli shingon🙈🙈🙈
Jmn huyu kaka nampenda bure kbs anajua kufulaisha
Nimekua mtu wamiamoja nanne kukomenti 😃😃kweli watu wapomakini
Huyo shetan wako nimempenda joti🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Iko tu sawa... People should verify info before spreading...
Yaani joti nampenda sana aiseee😃😃😃😃
vitu kama hizi zina fanyikaga kweli,lesson to learm
Et jamani mnisamehe ,mama mkwe analia 😂😂😂😂😂nmecheka nyieeeeee
Very interesting,I like your comedy from kenya
Nimeirudia mara 10🤣🤣🤣🤣🤣komed ni mmoja tu tz🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸😛
Duuh 😮😮😮😮😮hii kwenye real life ipo sana
Ivi joti wew jamani
Mandonga ume tajwaaa
leoo nimewahii wa 3 like zenuu kwa wingiii
Acha ushamba ivi upewe like kwa na walio igiza apewe Nini?
@@joycegeorge4712 0p
0
Legend 🔥 🔥 🔥
Why wapenda ku act demu
Mwanagu huyu Taison au Mandonga 😂😂😂😂Kiboga ajibu alikuwa kashakuwa John Cena Kabisa🤣🤣😂😂😂
WAle ambao wanaa amini kwamba joti ni king comed
Nshakua john cina kbs😂
😁😁😁kajichanganya, wivu huu
Mungu wangu hili jambo ni ngumu jamani ha! Kampiga mama mkwe
Hahaha ndiyo basi tena
Joti unatengeneza maigizo mazuri,sana tuu.🎥🍻💥🍾💫🪄🪁
Saf Sana jot liwefunzo kwetu ss
LA KUMBIWA..................
(Malizien....)😂😂
Joti pamoja sana haswa uki act kama ivi
Kichwaaa kinauma kwa kucheka joti
Huyu mpambe mwenye track suit ya light blue Ana bonge la papa boxer inaloa hapa 😅😅😅😂😂😂
Shikamoo Joti
Ukiwa Ivo move inakuwa tamu sana
Jot very good,mashoga ni ovyo kabisa
Hii Kali sana 👏
Mafunzo haya marafiki c watu wazuri akikuletea maneno chunguza mwanzo maana wao ndio Nyoka
Joti unajua sana nakupendaga sana😂😂😂
Me pia ns
Nakubali
Thobaaa ndoa hamna,
🤣🤣🤣🤣🤣mandonga huyoooooo
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Joy Cina 😀😀😀😀😀😀
Hhh mke mwenyewe sas
Hivo vitasa khaa🤩
Sema joti msenge sna 😂😂😂😂😂
La kuambiwa usikulupukie