SHOGA KANIPONZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Wadada muwe maakini na mashoga zenu wasiokuwa na kaba juu ya mahusiano yenu

Комментарии • 504

  • @ishimwemurenziange7609
    @ishimwemurenziange7609 Год назад +31

    Wale wanaokubali kazi anayo ifanya joti wanipe like tafadhali🙏🙏🙏

  • @athumanabdullah1526
    @athumanabdullah1526 Год назад +28

    Wote mnasema wa kwanza haya mm wa mwisho naomben like zenu jaman

  • @Thebeast_tz
    @Thebeast_tz Год назад +425

    Wale ambao atuwezi kuangalia bila kusoma comment tujuane hapaaa👍

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +47

    The first comedian that I really like in Tanzania is Joti!! He is talented!!
    Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +118

    Tena mashoga wanatuponzaga 🤣🤣🤣🤣like zenu jamani jotti bhana 🤣🤣🤣🤣

  • @johnsonestomih4587
    @johnsonestomih4587 Год назад +14

    Sema jotiii ni living legend trust me🇵🇹🇵🇹🇵🇹

  • @elishamwakasege9794
    @elishamwakasege9794 Год назад +23

    Good creative love this from South africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @ezechieljacques9320
    @ezechieljacques9320 Год назад +27

    Jot never dessapoint mashabiki zake . From South Africa 😙 we love you our beloved Tanzanian n kenya big up . Like 👏👍

  • @komboally7617
    @komboally7617 Год назад +6

    Hahah huyu tyson au mandonga hat like 5

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Год назад +14

    Nilikuwa macho nasubiria comedy wangu 😂😂

  • @jamesmpiga5935
    @jamesmpiga5935 Год назад +33

    wa kwanza mimi hapa like zenu kwa wingi kama unamkubali joti

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +34

    I love your vids 😘💕👍🏻

  • @hommiemakini8635
    @hommiemakini8635 Год назад +23

    Watching from kenya🔥

  • @mussakizajohnson9646
    @mussakizajohnson9646 Год назад +2

    Live from Birchenought bridge zimbabwe ( pamoja sana KAZI nzuri)

  • @aresdadu
    @aresdadu Год назад +14

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asante kiboga love from Rwanda 🇷🇼

  • @msanyawilliam7499
    @msanyawilliam7499 Год назад +8

    Mbona shoga utanipigia 🤣🤣🤣😂😂. Kitombangile kitwango mzee wa mikazo

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +15

    🤣🤣🤣🤣 akili za kuambiwa changanya na zako unaona umekosa ndoa kwa ajili ya rafiki

  • @chunaamina878
    @chunaamina878 Год назад +2

    Joti hii inafaa kuwa episode 1 nasubir another ep much lov from+254

  • @glanyaw7065
    @glanyaw7065 Год назад +27

    I love your video watching from Kenya 🇰🇪

  • @byelatibazigiza4305
    @byelatibazigiza4305 Год назад

    Iv joti mamaako yupo hai au Mungu alishampenda zaidi maana iv vituko natamani awe anakuona we kiboko hakhiamungu sema nn❤️💯💪

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Год назад +1

    Pole mama umekutana na ngumi hatari iliyotoka qatar 🇶🇦 iitwayo SUGUNYO

  • @valentiniavelini3820
    @valentiniavelini3820 Год назад +1

    Mi nawapongeza wote mmecheza vizuri mmetoa elimu kamili kwa jamii ongeleni sana ❤️🤝

  • @deempress9698
    @deempress9698 Год назад +3

    From 🇰🇪🇰🇪you'd comedy is something..keep up!......😂😂😂😂😂

  • @chrisgeorge9661
    @chrisgeorge9661 Год назад +1

    uliza Kwanza. Unavamia na kuanza kupiga mtu haumjui. Shogaaaaaaa kaaga mapemaaaaaa kaenda kusimulia mbele ya safari.

  • @damsonmsalangi3900
    @damsonmsalangi3900 Год назад +3

    Hako kamzikii nywii nywiii nywiiii kananiacha hoiiii 😄 😄 🤣

  • @thengejunior8180
    @thengejunior8180 Год назад +4

    Huyu Tyson ama mandonga 🤣🤣🤣🤣 Leo nipewe like pia mm kheeeee jamani

  • @sierramikealpha9545
    @sierramikealpha9545 Год назад +13

    Tujuane kama tumemuona mama na love bite 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jeconiamlonganile2443
    @jeconiamlonganile2443 Год назад +13

    Tyson au Mandonga🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @charleskulwa7013
    @charleskulwa7013 Год назад +1

    Brother upo vizuri sana maana unajua sana tu

  • @Son_TV_Online
    @Son_TV_Online Год назад +11

    Nguvu moja twende sawa 💪😂😂😂

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 Год назад +19

    Jaman like zang na mie leo😂😂😂

  • @sweetjesus9863
    @sweetjesus9863 Год назад +2

    Mapema sanaaa Leo SAA 12 kitu kipo hewani Joti agombee ubunge weeeuweeeee

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 Год назад +2

    hv huyo shoga ake dawa zake za vichaa anameza kweli maana yasingetokea haya km angemeza😁😁😁

  • @anidebezibeautyandlifestyle
    @anidebezibeautyandlifestyle Год назад +3

    Funny but hivi ndivyo wanawake hudanganyana marafiki wengine si wakusikiliza, wambea sana!🤣😅

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 Год назад

    Ahaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpk nimelia

  • @teacherkaligodottonjige
    @teacherkaligodottonjige Год назад +1

    Nishai nimeipenda hii inafundisho kwenye ndoa, wambeya, wanafiki,

  • @pendojohn6927
    @pendojohn6927 Год назад +3

    Duuuh hatar jaman maana watu mnawah balaa

  • @susanejd7775
    @susanejd7775 Год назад +1

    Joti unatuumiza kwa kucheka. Wee mtoto mwisho wa matatizo

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Год назад +41

    Ila JOTI ni shida akili zako unazijuwa mwenyewe 🤣🤣🤣😂

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 Год назад +4

    Napendaga akiigiza hivi 😂😂😂

  • @sudijuma3383
    @sudijuma3383 Год назад +3

    Nakubali sana jotiii!!!!,😂🤣

  • @zackygomez1241
    @zackygomez1241 Год назад +10

    😆😂😂😂😂nimecheka kisenge 😂😆😆😆

  • @geofreymalawandu1602
    @geofreymalawandu1602 Год назад

    Nakupenda buleee

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Год назад

    Kiboga nomaaa sana

  • @yohanemellau3220
    @yohanemellau3220 Год назад

    Mama mkwee kapata mandongaaa

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Год назад +7

    Madam Doremila ka 4.9GB 😄 🤣
    Joti 🔥 😍

  • @paulsylvester7877
    @paulsylvester7877 Год назад +4

    Pa kujifunza hapa licha kufurahisha " Mwanamke mpumbafu uvunja ndoa yake kwa mikono yake" kikubwa usifanye maamuz ukiwa na jazba au hasira tulia fanya uchunguz ndipo ufanye maamuz kwenye jambo lolote maana hasira ni hasara
    Thank Joti na Team yako kutukumbusha haya sema zile ndosi 😁😁😁

  • @gosbertgideon6843
    @gosbertgideon6843 Год назад +2

    Kukurupuka huko wadada jifunzeni

  • @missmannydxb
    @missmannydxb Год назад +10

    Tyson 😂😂😂😂this one should have a continuation

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 Год назад

    Joti nkiangalia comedy zk lazima nicheke ata km nmekacrika najikuta nacheka bila kutarajia mashallah umebarkiw kipaji

  • @nachengasir5426
    @nachengasir5426 Год назад +4

    Ya leo sio nzuri kabisa kwa mara ya kwanza jot hajanifurahisha

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 Год назад +26

    Gonga like tulioamka kwa ajili ya joti😅😜

  • @jamilfuad6847
    @jamilfuad6847 Год назад +1

    Kiboga katulia tuu mwenyewe saloon

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Год назад

    Asante kwa kunipa furaha joti nakupenda buree

  • @adilialicious7934
    @adilialicious7934 Год назад +11

    🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti alivyoshuka kwenye pikipiki anavyozunguka!😂😂

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Год назад +6

    Kibogaaa😂😂😂
    Mama Mkwe kachezea SUGUNYO hatari

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Год назад

    Nadjiuliza sana ivi Joti akiwa nyumbani kwake anadjikamatadje anaweza akashitukiya amedjifanya kama mke wake kwa kweli

  • @abdallahhamis2492
    @abdallahhamis2492 Год назад +1

    Sema mama mkwe ana binge la lovebit la ukweli shingon🙈🙈🙈

  • @sarahsilas4509
    @sarahsilas4509 Год назад

    Jmn huyu kaka nampenda bure kbs anajua kufulaisha

  • @shanihawa9666
    @shanihawa9666 Год назад +3

    Nimekua mtu wamiamoja nanne kukomenti 😃😃kweli watu wapomakini

  • @simonkasya6500
    @simonkasya6500 Год назад +1

    Huyo shetan wako nimempenda joti🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Abdul_Rashidkibet
    @Abdul_Rashidkibet Год назад +1

    Iko tu sawa... People should verify info before spreading...

  • @devothamwamwezi2036
    @devothamwamwezi2036 Год назад +2

    Yaani joti nampenda sana aiseee😃😃😃😃

  • @sylviaecke1772
    @sylviaecke1772 Год назад +1

    vitu kama hizi zina fanyikaga kweli,lesson to learm

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Год назад

    Et jamani mnisamehe ,mama mkwe analia 😂😂😂😂😂nmecheka nyieeeeee

  • @TonnyShadrack-e8e
    @TonnyShadrack-e8e Год назад +1

    Very interesting,I like your comedy from kenya

  • @missclementsemizigimisscle7458

    Nimeirudia mara 10🤣🤣🤣🤣🤣komed ni mmoja tu tz🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +6

    Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸😛

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Год назад

    Duuh 😮😮😮😮😮hii kwenye real life ipo sana

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px Год назад

    Ivi joti wew jamani

  • @julianamadana7645
    @julianamadana7645 Год назад

    Mandonga ume tajwaaa

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 Год назад +42

    leoo nimewahii wa 3 like zenuu kwa wingiii

    • @joycegeorge4712
      @joycegeorge4712 Год назад +2

      Acha ushamba ivi upewe like kwa na walio igiza apewe Nini?

    • @jackhaule7066
      @jackhaule7066 Год назад

      @@joycegeorge4712 0p
      0

  • @emmanuellabronde4647
    @emmanuellabronde4647 Год назад +10

    Legend 🔥 🔥 🔥

  • @MohamedMohamed-jc3fi
    @MohamedMohamed-jc3fi Год назад +1

    Why wapenda ku act demu

  • @sherrymeddy6398
    @sherrymeddy6398 Год назад +1

    Mwanagu huyu Taison au Mandonga 😂😂😂😂Kiboga ajibu alikuwa kashakuwa John Cena Kabisa🤣🤣😂😂😂

  • @muhamedsaid4177
    @muhamedsaid4177 Год назад +1

    WAle ambao wanaa amini kwamba joti ni king comed

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 Год назад

    Nshakua john cina kbs😂

  • @adyaalawy8764
    @adyaalawy8764 Год назад

    😁😁😁kajichanganya, wivu huu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад

    Mungu wangu hili jambo ni ngumu jamani ha! Kampiga mama mkwe

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Hahaha ndiyo basi tena

  • @bubexjohn7035
    @bubexjohn7035 Год назад

    Joti unatengeneza maigizo mazuri,sana tuu.🎥🍻💥🍾💫🪄🪁

  • @aliceshija3123
    @aliceshija3123 Год назад

    Saf Sana jot liwefunzo kwetu ss

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 Год назад

    LA KUMBIWA..................
    (Malizien....)😂😂

  • @fertykatambi5364
    @fertykatambi5364 Год назад

    Joti pamoja sana haswa uki act kama ivi

  • @junaitharjamal3761
    @junaitharjamal3761 Год назад

    Kichwaaa kinauma kwa kucheka joti

  • @tosh7671
    @tosh7671 5 месяцев назад

    Huyu mpambe mwenye track suit ya light blue Ana bonge la papa boxer inaloa hapa 😅😅😅😂😂😂

  • @rosekimario5748
    @rosekimario5748 Год назад

    Shikamoo Joti

  • @Emmymajula5838
    @Emmymajula5838 4 месяца назад

    Ukiwa Ivo move inakuwa tamu sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад

    Jot very good,mashoga ni ovyo kabisa

  • @daviesskipesha1351
    @daviesskipesha1351 Год назад

    Hii Kali sana 👏

  • @iznakabir6946
    @iznakabir6946 Год назад

    Mafunzo haya marafiki c watu wazuri akikuletea maneno chunguza mwanzo maana wao ndio Nyoka

  • @linahaule1852
    @linahaule1852 Год назад +6

    Joti unajua sana nakupendaga sana😂😂😂

  • @mkumbasonic8280
    @mkumbasonic8280 Год назад

    Nakubali

  • @saidahenry5459
    @saidahenry5459 Год назад

    Thobaaa ndoa hamna,

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣mandonga huyoooooo

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 Год назад

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
    Joy Cina 😀😀😀😀😀😀

  • @DevyGodlove-hd5uv
    @DevyGodlove-hd5uv Год назад

    Hhh mke mwenyewe sas

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад

    Hivo vitasa khaa🤩

  • @4herson255
    @4herson255 Год назад +2

    Sema joti msenge sna 😂😂😂😂😂

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Год назад +1

    La kuambiwa usikulupukie