MAMA AFICHUA UKWELI wa MWANAYE ALIYEJITUPA BAHARINI - ''AMEACHA MKE - ALINIAMBIA ANAJISIKIA VIBAYA''
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- MAMA AFICHUA UKWELI wa MWANAYE ALIYEJITUPA BAHARINI - ''AMEACHA MKE - ALINIAMBIA ANAJISIKIA VIBAYA''
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Assalam alaykum warahmatullah wabarakat ndugu zangu ikiwa wewe ni muislamu waislam tunakinga zetu ukiamka asubuhi swali asubuhi kisha soma kulhuwa lahh kuliaghubira falak na kuliaghubirabinasi na ayatu kursiyu mpaka mwisho tusiswali tu kutoa salam nakuondoka hata kama kuna sihir inakingwa na hizi dua na pia tuzidishe nyiradi dunia sasa hivi watu washirikina sana tafadhali tujitahidi tusiishi bora tunaishi wabillah tawafik mtanisamehe kama kuna sehem nimekosea hata kula hakikisha uwe umesoma hizo
Shukran ndugu ALLAH akulipe kheir kwa ukimbusho
💯
Shukran dada anguu❤❤
Umeongea point mungu akufanyie wepes ishaAllah 🙏
Asante ukhty Allah akulipe kheri Kwa kujitaidi kwko endelea kusoma utafaidika zaidi na elim
Inalilah wainailah rajuun pole sana mmngu daa maskini kijana mzurii mungu amrehemuu inshallah kaburi lake liwe na kivuli 😢😢😢😢😢
Allah amrehemu ,kaka mzuri sana
Mimi NAHISI HAPA WAMETENGENEZA KIPINDI TU NA SIO UHUSKA HALISI WA HILI TUKIO
Poleni sana
Kapigwa pemba huyo hakutakiwa kurudi pemba. Ila mtangazaji mweupe huna mpangalio wa steps kumuuliza mtu maswali
Mbwa nini ww tatizo alikua nalo zamani au hauelewi Nyau ww Pemba kapigwa na nani au Babu yako
@@AbdulrahmanUbaa we kenge maji sikiliza stori vizuri toka mwanzo tumbili wewe
@@abasmwika3432 tatizo amekuwa nalo zaman mama mwenyewe anasema amehangaika sana kumtibu sasa Pemba inahusiknaje apo na matitozo kama mtu anayo basi mahala popote yanatokea
@@AbdulrahmanUbaa ndiomaana nakuambia sikiliza stori vizuri tatizo lilianza akiwa huko huko pemba, yani hiyo zamani walikua wanakaa huko huko pemba lakini walivyohama kuja Zanzibar likaonekana kuisha. Sasa alivyorudi huko kwenye kazi likampata tena ndo ikapelekea umauti lakini wewe umekuja na matusi. Sijasema kila Mpemba ni mchawi la hasha watu wabaya wako kwenye kila kabila ila Allah ndio mjuzi zaidi sisi binadamu tunaishi kwa hisia zaidi
Pole sana Mama
Huyu bibi kasema kazaliw pemba na sasa anaish ZANZIBAR lkn naona an ongea kibar jamni mh
Pole mm
Tatizo ilikuwa lipemba ndioo aliko yapata
Hiiii uongo wakala nishida au ilikuwa hamuna pesa 😂😂😂😂 uongo
Comment ivi Kama mtu anaweza kumchezea mtu kujirusha ivi ivi sio bure mtu alikuwa mzima tuu gafla anarud uko na kuanza umwa na kufanya ilo tukio sio kawaida kwa Imani yangu
Yaani Yale maji yalivyomazito yanavyoogopesha
Mm nina wasiwasi kama siyo bangi sijuwi
Cjui alijitupa na cm 😌
Dooooooh bule kbsa
Wapemba weng wabaguzi tena ubaguz wao wakijinga sana
Wakipumbavu sana😂😂😂
😂😂😂😂😂 yureee
Da Melda umepedeza ,vaa hijabu.
Wamemroga huyo 😢
Nakama amedhulumika basi insha Allah mungu atamueka mahali pema peponi
Ndio maana aliporudi pemba kikazi hyo Hali ikamrudia 😢
Kabisa😢😢😢
Wapemba mmh
Huko Pemba tena!!!
Uchawi uko popote duniani,tusiwalaumu wapemba tu
dada huyu anabuni tuu hata upemba wewenyewe hapo kabisaaa msanii mkubwa wa kijitonyama
Halafu Mpemba anaenda kanisani.
Sio mpemba muongo na ndo maana kaogopa kuonekana
Wachawi nyie ndugu zanguni kwani huko ni peponi husikii anachanganya lafudhi yake nakasema kaishi sana bara kahama mda mrefu mpeni pole hamuwez piteni hui sio uislam😢😢😢 subhanallah lnna lillah wainnaillayhi raji'uun 😢
Pemba ndipo alipoanza kuuguwa na alipoondoka akapona alipoenda tena akashikwa tena 😢😢😢😢😢😢 Allah ndio mjuzi tunaomba afya
Poleni saana familiya Mungu awazidishieni Subra Sote ndio njia
mamake kweli huyu jamani mbona haongei kipemba au kizanzibar
Sikweli huyu Kwa nini asiongeze kiuguja
Wazanzibara hao, wazanzibar wepya 😂
Mpemba mbara
C wazanzibar hawa
Wauza CD
Inalilah wainailah rajiun allah ampe kauli thabiti kaburini mwake inshallah km ni nguvu za giza allah anajua km ni maradhi ya allah nae anajua pia 😢😢😢
kauli thabit ??!! mamaake anaenda kanisani mzee
@@omarhamad6358 yy kazikwa kikiristo?
Ila wanaume jmn wanapitia magumu sana wanahaki kujiuwa jpo ni Zambi utakuta anapita changamoto nying akimwadisa mtu utaskia we mtoto wakiume kuwa nakaba akikosa ela ooh wemwanaume pambana bs wanakuwa hawana pakukimbilia maskin yangu uwanaume kz sana yn alhamdulillah nimeumbwa mwanamke🙏
Kwa hii kesi huyu jamaa alikuwa vzr, hilo tatizo la akili lilishaisha sema huko Pemba na mijini yao huenda walimpachika jini ndo hivyo. Africa kila kitu kinawezekana, witch craft ndo maisha yetu. Mungu atusaidie na kuturehemu katika hilo
Ni kweli dada
Wanaume tumeumbwa mateso mpaka ubao. Ndio maana Mungu alimletea Adam Hawaa kuna ibra kubwa sana pale. Nyie ndio mnatakiwa kutupoza tunamisukosuko mingi sana ya kimaisha. Umeongea kutoka moyoni
Kwa kwel tunatembea na kifo ndio maana tunaambiwa tukae tayari muda wote atujui ck wala saa
Huyu walimsukumiza yaani alitumiwa jini asirudi pemba yaani naona kama kunamtu walikuwa wanamuonea wivu kwenye kazi yake sasa alipomtumia huo ubaya kwamba asirudi tena pemba ndo maana alikuwa mzito kwenda kwenye hiyo kazi yaani kama akirudi tena pemba arudiwe na hili jini limmalize haya kesho kwa mungu ataenda kumlipa why msukumize mwezio kisa rizki
Pole mama mungu akupe subra
Hm kwaio maziko yalifanyika sehem mbili au mana mbona mnatudanganya nahalafu kama huyumama mzanzibar mbona huonge kiznz halafu mkirsto labda ulitoka bara ukaja Zanzibar lakn hajazaliwa mana walozaliwa znz hawaongeivo kwakweli
Kweli hata mimi cjamuelewa uyu mama anaishi zanzibar kivunge haijuh na uwongeaji co wa kizanzibar marehemu pia mkristo cjaelewa miyeeh
Waongo wametafta taarifa wakaigiza
Yah wameigiza coz yule alofatana na marehemu anaongy kipemba na alojitupa maziko yalikuwa tomondoooo
Hlfu kama hajui kujiexplain hivi vizuriii kuhusu hili lkn Allah qareem pengine ndo kweli
Duh pole sana ndugu zetu pamoja na mama yake Mungu aiweke roho Mahali pema peponi Amen 🙏😭 ishallaah Allaah
Mbn yule kaka aliesafri nae alisem anaitwa mahmuud alf uy mama anasem anaitw yust . Nahs pn usanii
Allah amrehemu amsamehe makosa yake inshallah
Ijue dini yako yasema nini
@@omarswaleh6082 nilijua ni mwislamu kwa kweli mpaka mwisho ndo nasikia kanisa
Pole sana mpendwa wangu Mungu akupe faraja kweli inauma lkn Mungu anabaki kuwa Mungu 🙏🏽
Tatizo liko huko Pemba, alianzia huko aliporudi Zanzibar alipona alipoenda tena likamrudia poleni sana
Allah amsameh dhambi zake. Amiin.
mnh ! zambi !! tena Allah ndio amsamehe mbona mamaake amesema alikua kanisan
Pole sana mama kwa kumpoteza mtoto wako. Ila Kwa nni hutaki tukuone sura na unasema umezaliwa pemba mbona lafuzi ya bara
Pole sana, msongo wa mawazo ni matatizo ya afya ya akili pia.
Jibu lipo wazi huko pemba ndiko waliko mtoa roho
Mbona mama ana lafudhi ya Bara? Na anasema kazaliwa pemba? Nna wasiwasi na hili
Mama wa bara huko alikuwa kikazi na mumewee
Na anaenda kanisani!
@@cjrtzmbona kasema kazaliwa pemba
Huyu alitakiwa kupata maombi na kukombolewa kwa Damu na Jina la Yesu Kristo, haya makombe, makombe.... yenu .. daa taabu kweli!!
Kwa Imani yako brooo, na Imani zawatu zinaaminika n wenyewe
Polesana mama Allah akupe subra 😭😭😭😭😭😭
Hyo Siyo mpemba wazazi wake tu wamehamia wanyamwezi kutoka bara
Sio ttz maisha popote tu mtu unaweza kuhamia ilimradi tu usivunje sheria za hio sehemu.
Wewe wazazi wako walichimbuka hapo acha ujinga kuwa na akili tahira wewe
Huyo hakutakiwa kurudi Pemba tena na mental illness huwa haiishi haraka hivyo. Mungu amlaze mahali pema peponi
Inna lillah wainna ilayhii raji'unn Allah amsameh makosa yke 🤲😢
Kafa shahid 😢😢😢mola amsamehe amuweke pema amin
Kafa shahid kivipi
Ameen yarrab 🇬🇷🇬🇷🇹🇿
Kifo cha Kufa maji inahisabiwa umekufa shahid @@mimahmimah1595
MAMA KUNA KITU ANAFICHA SANA KWANI TICKET KWA MPESA, HALOPESA TOGOPESA NK HAXINUNULIKI??
Tatzo mtandao tatzo sio kununua
Mmm mtandao sio kweli huyu kijana yawezekana hata hakulipwa pesa yake bandarini hapawezi kukosekana network kwa kiasi hicho yaani pawepo na mtandao wa kuongea na cm halafu pasiwe na network ya kutoa pesa?
Kwa suala la net pemba ipo ni uongo
Usishangae Pemba wanyamwezi wko
Huyu mama. Ni mtanzania bara. Sema yupo san Zanzibar
Asilimia kubwa ya Wazanzibar (Waunguja) asili yao ni Tanzania bara.
Pemba wamefanya Yao aiseeeee
Unahakika?
Global TV imekuja znz kumtafuta mbongo wakaigiza hakuna mpemba atakayeongeq lafdhi hiyo uongo mtupu
We mama mbona unajichanganya unasema ni mzazibar alafu hospital ya kivunge huijui ipo wapi so mwili wa mwanao hujui umepatikana hospitals gan?
Hyu mama hata hyo lafudhi ina mashaka kama kazaliwa pemba asingeongea hivyo
Nyie viumbe hatar sana.Hivi.lafudhi mnaona ya maana sana ee.Azaliwe huko.asizaliwe huko haijalishi nyinyi mmejaza bara na mnaishi kwa raha zenu.Ila mkiona wasukuma tu nongwa.Acheni hizo.
Mbona huyo captain kakosa busara za kufikisha taarifa mbaya kwa wahusika? Yaan unampigia mama wa muhanga halafu unampa taarifa nzito km hizo! Dah unaweza kuuwa hata mama mtu ujuwe
Mama kajikaza hongera kwa subra mie sizan km ningeweza hata kuongea kwakweli
ila walishindwa kufunga safari na kumjulisha mpk wampigie kwenye cmu tukio zito hivyo?
Pole dada Mmungu akupe subra na nguvu katika msiba mzito.
Sura ya Mama nimeiona,, Nani mwengine kaiona
Ngoja niwe makin halafu ntakujibu
Wap umeon
Nimemuona ht mm bonge hv
@@saidahamid1178 angalia vizuri video 📷 utamuona
@@ruqaiamohammed345 mama yake sio bonge ni mwembamba
Atakuwa katupiwa ukichaa afya ya akili watu wanpona.daah mungu tusaidie
Africa moto! Yaani ni balaa tupu! Magonjwa tunatengenezewa! 😭
mhh huyu mama mzazi mbn haelekei kuwa mpemba maana mpemba halisi ata akae bara maisha yake yote basi hawezi kuongea kibongo alafu habar za kanisani tena na mtt ana jina la kiislam mama mkristo alafu mbn katika kumtaja jin mtt wake kasem anaitw yustin kubwa kuliko huyo mama mzanzibar ila hajui ata iyo spitali ya kivunge iko wapi anauliza watu iko unguja au pemba mthn jmn pazito hapa
na kaka mtu pia mkiristo jmn hy lng jicho
Nilitaka kushangaa kutokuona comment za kibaguzi, mbona yule katibu wa Rais Dr Mwinyi ni Mpemba ila anaongea kisambaa! Acheni Ubaguzi kuna Wapemba wapo Tabora anaongea kinyamwezi ilembaya na ukitaka ugomvi na yeye basi mwabie arudi kwao Pemba 😂😂😂😂
@@ahmedNassra-e8iMimi imeenda Pembamwaka 1990, Pale Mkoani Chake Chake kuna Kanisa tena lipo Barabarani. Kwahio wapo Wapemba wakiristo
Baba wa mtot uwenda Mpembaa
MIMI MWENYEWE NAKWAMBIA HANIDANGANYI KITU KUNA WABONGO WAMEISHI PEMBA MIAKA 50 NAWAJUA BADO WAONGEA KIBONGO
Mama ungeingia ktk maombi pale wakat mwanao anakusisitizia kua naumwa
Pole sana dada Mungu akutie nguvu amen masikini mwenyewe alipambambana sana afike nyumbani kwa mama yake 😢😭
Nimemsikiliza mama kasema siku alietaka kumpokea ilikuwa ni jumaa pili na yeye iyo siku alienda kanisani naomba kufahamu Zanzibar kuna wakristo au ni waamiaji tu
Wapo sikuhizi
Wahamiaji tena haramu😅😅😅
hawa ni wasukuma ila wamezaliwa pemba
Wahamiaji haramu
Huyu walimroga maskini 😢
Utashangaaa mapenzi
Pole sana mama allah akupe subra kwenye kipindi hiki kigumu
Siku imefika kila mtu atakufa sababu aliyompangiwa na Allah ila Mtume Muhammad s a w alitumbia tuombe Allah atupe khatima njema na mauti mema
Mungu alamze mahali pema anapostahiki amiin
Huyo mama afanye asilimu miaka yote hiyo bado hujamjua mungu wa kwel
Unaifikiria kama pemba ni kijiji kidogo 😂😂😂😂
Inalillahi wainailahi rajuun. Polesana mama Allah akupe.subra. Allha mpe kauli sabiti
Huyo boss alivyosikia hii taarifa ya msiba lazima amerudisha mwamala
Innalilah wainalilah rajiun pole sana mama😭😭💔💔💔🙏🙏
Hii interview ni ya uongo kabisa. Huyo mama alisema mwanawe anaitwa Justin wakati yule kijana aliyezama anaitwa Mahmoud Mwalim.
hata mm naona uwongo kajidai mpemba na lafudhi ya kibara kabisa
Na anaenda kanisani kuswali!
Huyu sio Mpemba musidanganye huyu ni Ndugu zetu wa Damu ni Mtanganyika huyu
Mbona mimi sijaskia sehem akisema yeye ni mpemba
Msijali huyo ni mzanzibara
Hao ni wanyamwezi wanaoishi makangale wko kibao huko wakuzaliwa hasa
Kwani kuna shida mnyamwezi au mzaramo kuishi Pemba?.Naona kama vile watu wanashanga eti sio mznz.Hivi mtaacha lini unaguzi.Huku bara wa znz wanejenga na hakuna hata mwenye stor nao.
@@aishahazary4097kabisa dunia ya Allah na kasema tawanyikeni katika ardhi yake mpate kujuana na ridhk
Polee sanaaalidaiasindikizwe wengemvunga kamba c kitucha kujua
Pole sana mama Allah akupe subra inshallah
Poleni sana wanafamilia jamani mwenyezi Mungu ndio mpangaji wa kila kitu
Kwanza kwanini ajifiche sura? Hapa kuna usanii
Unataka kumuona ili iweje
Wanaume anaumwa anashindwa kusema anamwambia mamake pekee mama anasema jikaze,mama naumwa jikaze..naumwa sana jikaze 😢
Eti jamaniiii,,wakati anamjua mwanae ana shida angejihimu kumfata huwenda angemfatilia kwa umuhimu huku wasingefika
Pole mama
Allah amrehemu
poleni sana wafiwa kwa kupoteza ndugu yetu mpendwa wetu .
Ndyo nazid kuamin wa huko kuvuka bahari ni wabaguzi,kwan hizo lafudhi nyie zinawalipa bei gani
Hapo sasa
Inalilah wainalilah rajiun Allah amjalie kauli dhabiti
Mpmba gani uyo anoongea kibongo🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Kisha pia kuna mpemba mkristo mana kuna mahali nime sikia alikua ame enda kanisani
Kanisani si Kwa wakristu peke yao, siku hizi hata waislamu wanaenda makanisani
@@MsAggie5 muislam gani anoenda kanisani lbd kuenda Kam diskoo mnke kule diskooo
Mtihani mpemba hawezi kisema kibongo shida hii
Shida unatawaliwa na ukabila pole
Mbona hana lefudhi ya kipemba'
Anaongea kama mbongo
Ni.mbongo sip mpemba huyo
Nenda Mwanza ukawaone Wapemba wanalafudhi za Kisukuma, yaani najiuliza huyu kweli Mpemba mbona anaongea kingosha😅😅😅😅😂😂
@@MrKhatibu 😂😂😂😂acha matan 😂😂
MUSINIDANGANYE HAKUNA MPEMBA MWENYE JINA LILE LA KIKAFIRI ZANZIBAR 100 & NI WAISLAM LAKINI SIO KAMA HIVYO KWENDENII. RABLA HAO WAKIRISTO WA MCHONGO KWAHIO MUTAHAMA WENYEWEEE
Nyie wachawi moto wenu hautazimika
Pole sana Allah akupe nguvu kwenye hiki kipindi kigumu
Sasa we mpemba au m bara mana kumbe unaenda kanisani pemba na znz na makafiri wapi nawapi
Ebu jaribu kuwa muungwana ww ukafiri na mambo hayo wapi na wapi Wenzio wapo kwenye majonzi ya kufiwa na kijana wao then ww unaongea upumbavu .
Kafiri baba yako mzazi
😢😢
Pemba Mmmh 🤔
Yaani wewe mama mtu anakwambia naumwa sana na hali ile ilomtokea zamani unadharau hata km wewe uko mbali ungewaambia wale walokuwa nae wampeleke hospitali
Nilisikia huko Pemba hawakuwa na dawa kwani hakupona hadi alivyomleta unguja ndo akaanza clinic na kupona.
Je wakati anakaa Pemba hakuwa na ndugu?. Huyu Mpemba anaenda Kanisani?
Polen sana ndugu zetu mungu awape uvumiliv wa moyo
Kwanini ajifiche sura? Eda na ukafiri wapinawapi?
Hakuna mpemba mkristo msitudanganye nyinyi
Hajasema yeye ni mpemba
Mtangazaji bana unazani na wenzenu ni wanawake wa hovyo kama nyinyi majike shupa ya bara kutwa kucha mko mitandaoni
Mmh makubwa
Wewe una stress na maisha wtf 😳
Wapemba wachawi sana ukute alichukua mke wa mtu watu wakamaliza
Nimehic ivyo kwaiyoo aalivyoondoka jamaa kaona afadhali alivyoona.kaja tena kaona mhmh
Pole mwanamke mwenzangu Allah akure subira lnshaallah
lafdhi mbona sio hii ya zenj
Mtangazaji kwani viongozi siyo watanzania?