MAMA AFICHUA UKWELI wa MWANAYE ALIYEJITUPA BAHARINI - ''AMEACHA MKE - ALINIAMBIA ANAJISIKIA VIBAYA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • MAMA AFICHUA UKWELI wa MWANAYE ALIYEJITUPA BAHARINI - ''AMEACHA MKE - ALINIAMBIA ANAJISIKIA VIBAYA''
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 298

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 месяцев назад +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 8 месяцев назад +53

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakat ndugu zangu ikiwa wewe ni muislamu waislam tunakinga zetu ukiamka asubuhi swali asubuhi kisha soma kulhuwa lahh kuliaghubira falak na kuliaghubirabinasi na ayatu kursiyu mpaka mwisho tusiswali tu kutoa salam nakuondoka hata kama kuna sihir inakingwa na hizi dua na pia tuzidishe nyiradi dunia sasa hivi watu washirikina sana tafadhali tujitahidi tusiishi bora tunaishi wabillah tawafik mtanisamehe kama kuna sehem nimekosea hata kula hakikisha uwe umesoma hizo

    • @aznatfrida5577
      @aznatfrida5577 8 месяцев назад +3

      Shukran ndugu ALLAH akulipe kheir kwa ukimbusho

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 8 месяцев назад +2

      💯

    • @AalyahMkumbo
      @AalyahMkumbo 8 месяцев назад +2

      Shukran dada anguu❤❤

    • @ThauratSule
      @ThauratSule 8 месяцев назад +2

      Umeongea point mungu akufanyie wepes ishaAllah 🙏

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 7 месяцев назад

      Asante ukhty Allah akulipe kheri Kwa kujitaidi kwko endelea kusoma utafaidika zaidi na elim

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 8 месяцев назад +8

    Inalilah wainailah rajuun pole sana mmngu daa maskini kijana mzurii mungu amrehemuu inshallah kaburi lake liwe na kivuli 😢😢😢😢😢

  • @fettyrashid9042
    @fettyrashid9042 8 месяцев назад +11

    Allah amrehemu ,kaka mzuri sana

  • @sadraaly3410
    @sadraaly3410 7 месяцев назад

    Mimi NAHISI HAPA WAMETENGENEZA KIPINDI TU NA SIO UHUSKA HALISI WA HILI TUKIO

  • @crillarlawcmo2366
    @crillarlawcmo2366 8 месяцев назад +1

    Poleni sana

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 8 месяцев назад +3

    Kapigwa pemba huyo hakutakiwa kurudi pemba. Ila mtangazaji mweupe huna mpangalio wa steps kumuuliza mtu maswali

    • @AbdulrahmanUbaa
      @AbdulrahmanUbaa 7 месяцев назад

      Mbwa nini ww tatizo alikua nalo zamani au hauelewi Nyau ww Pemba kapigwa na nani au Babu yako

    • @abasmwika3432
      @abasmwika3432 7 месяцев назад +1

      @@AbdulrahmanUbaa we kenge maji sikiliza stori vizuri toka mwanzo tumbili wewe

    • @AbdulrahmanUbaa
      @AbdulrahmanUbaa 7 месяцев назад

      @@abasmwika3432 tatizo amekuwa nalo zaman mama mwenyewe anasema amehangaika sana kumtibu sasa Pemba inahusiknaje apo na matitozo kama mtu anayo basi mahala popote yanatokea

    • @abasmwika3432
      @abasmwika3432 7 месяцев назад

      @@AbdulrahmanUbaa ndiomaana nakuambia sikiliza stori vizuri tatizo lilianza akiwa huko huko pemba, yani hiyo zamani walikua wanakaa huko huko pemba lakini walivyohama kuja Zanzibar likaonekana kuisha. Sasa alivyorudi huko kwenye kazi likampata tena ndo ikapelekea umauti lakini wewe umekuja na matusi. Sijasema kila Mpemba ni mchawi la hasha watu wabaya wako kwenye kila kabila ila Allah ndio mjuzi zaidi sisi binadamu tunaishi kwa hisia zaidi

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 8 месяцев назад

    Pole sana Mama

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 7 месяцев назад

    Huyu bibi kasema kazaliw pemba na sasa anaish ZANZIBAR lkn naona an ongea kibar jamni mh

  • @BahiyaSaid
    @BahiyaSaid 8 месяцев назад

    Pole mm

  • @SeifAbed-zg8gf
    @SeifAbed-zg8gf 7 месяцев назад

    Tatizo ilikuwa lipemba ndioo aliko yapata

  • @AbdullaSeifKhamis-tv4zq
    @AbdullaSeifKhamis-tv4zq 7 месяцев назад

    Hiiii uongo wakala nishida au ilikuwa hamuna pesa 😂😂😂😂 uongo

  • @chariedecute8200
    @chariedecute8200 8 месяцев назад

    Comment ivi Kama mtu anaweza kumchezea mtu kujirusha ivi ivi sio bure mtu alikuwa mzima tuu gafla anarud uko na kuanza umwa na kufanya ilo tukio sio kawaida kwa Imani yangu

    • @annajohn3377
      @annajohn3377 8 месяцев назад

      Yaani Yale maji yalivyomazito yanavyoogopesha

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 8 месяцев назад

    Mm nina wasiwasi kama siyo bangi sijuwi

  • @chimamilion
    @chimamilion 8 месяцев назад

    Cjui alijitupa na cm 😌

  • @MOHAMEDIMKANGA-jz7fx
    @MOHAMEDIMKANGA-jz7fx 8 месяцев назад

    Wapemba weng wabaguzi tena ubaguz wao wakijinga sana

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 месяцев назад

      Wakipumbavu sana😂😂😂

  • @AbdullaSeifKhamis-tv4zq
    @AbdullaSeifKhamis-tv4zq 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 yureee

  • @zuwenahamoud6690
    @zuwenahamoud6690 8 месяцев назад

    Da Melda umepedeza ,vaa hijabu.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 8 месяцев назад +5

    Wamemroga huyo 😢

    • @omarswaleh6082
      @omarswaleh6082 8 месяцев назад +5

      Nakama amedhulumika basi insha Allah mungu atamueka mahali pema peponi

    • @RoyalClassic-dl5rg
      @RoyalClassic-dl5rg 8 месяцев назад +2

      Ndio maana aliporudi pemba kikazi hyo Hali ikamrudia 😢

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 8 месяцев назад +1

      Kabisa😢😢😢

    • @SalamaAkilimali-ly3bu
      @SalamaAkilimali-ly3bu 8 месяцев назад +1

      Wapemba mmh

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      Huko Pemba tena!!!

  • @SALEHSALEH-lk5jr
    @SALEHSALEH-lk5jr 8 месяцев назад

    Uchawi uko popote duniani,tusiwalaumu wapemba tu

  • @issaally1812
    @issaally1812 8 месяцев назад +1

    dada huyu anabuni tuu hata upemba wewenyewe hapo kabisaaa msanii mkubwa wa kijitonyama

    • @roseberryhamoud6542
      @roseberryhamoud6542 8 месяцев назад

      Halafu Mpemba anaenda kanisani.

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 8 месяцев назад

      Sio mpemba muongo na ndo maana kaogopa kuonekana

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 месяцев назад

      Wachawi nyie ndugu zanguni kwani huko ni peponi husikii anachanganya lafudhi yake nakasema kaishi sana bara kahama mda mrefu mpeni pole hamuwez piteni hui sio uislam😢😢😢 subhanallah lnna lillah wainnaillayhi raji'uun 😢

  • @tausimussa6553
    @tausimussa6553 8 месяцев назад +33

    Pemba ndipo alipoanza kuuguwa na alipoondoka akapona alipoenda tena akashikwa tena 😢😢😢😢😢😢 Allah ndio mjuzi tunaomba afya

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 8 месяцев назад +11

    Poleni saana familiya Mungu awazidishieni Subra Sote ndio njia

  • @zakiasaid4144
    @zakiasaid4144 8 месяцев назад +7

    mamake kweli huyu jamani mbona haongei kipemba au kizanzibar

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 8 месяцев назад +21

    Inalilah wainailah rajiun allah ampe kauli thabiti kaburini mwake inshallah km ni nguvu za giza allah anajua km ni maradhi ya allah nae anajua pia 😢😢😢

    • @omarhamad6358
      @omarhamad6358 8 месяцев назад

      kauli thabit ??!! mamaake anaenda kanisani mzee

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 8 месяцев назад

      @@omarhamad6358 yy kazikwa kikiristo?

  • @chimamilion
    @chimamilion 8 месяцев назад +11

    Ila wanaume jmn wanapitia magumu sana wanahaki kujiuwa jpo ni Zambi utakuta anapita changamoto nying akimwadisa mtu utaskia we mtoto wakiume kuwa nakaba akikosa ela ooh wemwanaume pambana bs wanakuwa hawana pakukimbilia maskin yangu uwanaume kz sana yn alhamdulillah nimeumbwa mwanamke🙏

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад +2

      Kwa hii kesi huyu jamaa alikuwa vzr, hilo tatizo la akili lilishaisha sema huko Pemba na mijini yao huenda walimpachika jini ndo hivyo. Africa kila kitu kinawezekana, witch craft ndo maisha yetu. Mungu atusaidie na kuturehemu katika hilo

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 8 месяцев назад +1

      Ni kweli dada

    • @abasmwika3432
      @abasmwika3432 8 месяцев назад

      Wanaume tumeumbwa mateso mpaka ubao. Ndio maana Mungu alimletea Adam Hawaa kuna ibra kubwa sana pale. Nyie ndio mnatakiwa kutupoza tunamisukosuko mingi sana ya kimaisha. Umeongea kutoka moyoni

  • @sperabais
    @sperabais 8 месяцев назад +4

    Kwa kwel tunatembea na kifo ndio maana tunaambiwa tukae tayari muda wote atujui ck wala saa

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 7 месяцев назад

    Huyu walimsukumiza yaani alitumiwa jini asirudi pemba yaani naona kama kunamtu walikuwa wanamuonea wivu kwenye kazi yake sasa alipomtumia huo ubaya kwamba asirudi tena pemba ndo maana alikuwa mzito kwenda kwenye hiyo kazi yaani kama akirudi tena pemba arudiwe na hili jini limmalize haya kesho kwa mungu ataenda kumlipa why msukumize mwezio kisa rizki

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 8 месяцев назад +18

    Pole mama mungu akupe subra

  • @Aisha-ic1rl
    @Aisha-ic1rl 8 месяцев назад +6

    Hm kwaio maziko yalifanyika sehem mbili au mana mbona mnatudanganya nahalafu kama huyumama mzanzibar mbona huonge kiznz halafu mkirsto labda ulitoka bara ukaja Zanzibar lakn hajazaliwa mana walozaliwa znz hawaongeivo kwakweli

    • @ShaymaaMlanza
      @ShaymaaMlanza 8 месяцев назад

      Kweli hata mimi cjamuelewa uyu mama anaishi zanzibar kivunge haijuh na uwongeaji co wa kizanzibar marehemu pia mkristo cjaelewa miyeeh

    • @lulumussa9009
      @lulumussa9009 8 месяцев назад

      Waongo wametafta taarifa wakaigiza

    • @najatahmada3986
      @najatahmada3986 7 месяцев назад

      Yah wameigiza coz yule alofatana na marehemu anaongy kipemba na alojitupa maziko yalikuwa tomondoooo

    • @najatahmada3986
      @najatahmada3986 7 месяцев назад

      Hlfu kama hajui kujiexplain hivi vizuriii kuhusu hili lkn Allah qareem pengine ndo kweli

  • @ZainabuIddy-r1o
    @ZainabuIddy-r1o 8 месяцев назад +6

    Duh pole sana ndugu zetu pamoja na mama yake Mungu aiweke roho Mahali pema peponi Amen 🙏😭 ishallaah Allaah

  • @nadhratkok8283
    @nadhratkok8283 7 месяцев назад

    Mbn yule kaka aliesafri nae alisem anaitwa mahmuud alf uy mama anasem anaitw yust . Nahs pn usanii

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 8 месяцев назад +17

    Allah amrehemu amsamehe makosa yake inshallah

    • @omarswaleh6082
      @omarswaleh6082 8 месяцев назад

      Ijue dini yako yasema nini

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 8 месяцев назад

      @@omarswaleh6082 nilijua ni mwislamu kwa kweli mpaka mwisho ndo nasikia kanisa

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 8 месяцев назад +5

    Pole sana mpendwa wangu Mungu akupe faraja kweli inauma lkn Mungu anabaki kuwa Mungu 🙏🏽

  • @esternjauzi6310
    @esternjauzi6310 8 месяцев назад +2

    Tatizo liko huko Pemba, alianzia huko aliporudi Zanzibar alipona alipoenda tena likamrudia poleni sana

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 8 месяцев назад +14

    Allah amsameh dhambi zake. Amiin.

    • @omarhamad6358
      @omarhamad6358 8 месяцев назад

      mnh ! zambi !! tena Allah ndio amsamehe mbona mamaake amesema alikua kanisan

  • @jamalubwa
    @jamalubwa 7 месяцев назад +1

    Pole sana mama kwa kumpoteza mtoto wako. Ila Kwa nni hutaki tukuone sura na unasema umezaliwa pemba mbona lafuzi ya bara

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 8 месяцев назад +13

    Pole sana, msongo wa mawazo ni matatizo ya afya ya akili pia.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 7 месяцев назад

    Jibu lipo wazi huko pemba ndiko waliko mtoa roho

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar 7 месяцев назад +1

    Mbona mama ana lafudhi ya Bara? Na anasema kazaliwa pemba? Nna wasiwasi na hili

    • @cjrtz
      @cjrtz 7 месяцев назад

      Mama wa bara huko alikuwa kikazi na mumewee

    • @utaani1
      @utaani1 7 месяцев назад +1

      Na anaenda kanisani!

    • @SafiaOmar
      @SafiaOmar 7 месяцев назад

      ​@@cjrtzmbona kasema kazaliwa pemba

  • @leonceuwandameno6378
    @leonceuwandameno6378 8 месяцев назад +2

    Huyu alitakiwa kupata maombi na kukombolewa kwa Damu na Jina la Yesu Kristo, haya makombe, makombe.... yenu .. daa taabu kweli!!

    • @khamisjina8833
      @khamisjina8833 8 месяцев назад

      Kwa Imani yako brooo, na Imani zawatu zinaaminika n wenyewe

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 8 месяцев назад +7

    Polesana mama Allah akupe subra 😭😭😭😭😭😭

  • @Salma-fv9uu
    @Salma-fv9uu 8 месяцев назад +2

    Hyo Siyo mpemba wazazi wake tu wamehamia wanyamwezi kutoka bara

    • @MahmoudDouchi
      @MahmoudDouchi 8 месяцев назад

      Sio ttz maisha popote tu mtu unaweza kuhamia ilimradi tu usivunje sheria za hio sehemu.

    • @JohnCatherine-f1z
      @JohnCatherine-f1z 8 месяцев назад +1

      Wewe wazazi wako walichimbuka hapo acha ujinga kuwa na akili tahira wewe

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 7 месяцев назад

    Huyo hakutakiwa kurudi Pemba tena na mental illness huwa haiishi haraka hivyo. Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @NairatHassan-nm2dg
    @NairatHassan-nm2dg 8 месяцев назад +2

    Inna lillah wainna ilayhii raji'unn Allah amsameh makosa yke 🤲😢

  • @OmanSohar-d7z
    @OmanSohar-d7z 8 месяцев назад +6

    Kafa shahid 😢😢😢mola amsamehe amuweke pema amin

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 8 месяцев назад

      Kafa shahid kivipi

    • @chalemofaraji8797
      @chalemofaraji8797 7 месяцев назад

      Ameen yarrab 🇬🇷🇬🇷🇹🇿

    • @sweetoh1
      @sweetoh1 7 месяцев назад

      Kifo cha Kufa maji inahisabiwa umekufa shahid ​@@mimahmimah1595

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 8 месяцев назад +2

    MAMA KUNA KITU ANAFICHA SANA KWANI TICKET KWA MPESA, HALOPESA TOGOPESA NK HAXINUNULIKI??

    • @saumumlingi1116
      @saumumlingi1116 8 месяцев назад

      Tatzo mtandao tatzo sio kununua

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz 8 месяцев назад

      Mmm mtandao sio kweli huyu kijana yawezekana hata hakulipwa pesa yake bandarini hapawezi kukosekana network kwa kiasi hicho yaani pawepo na mtandao wa kuongea na cm halafu pasiwe na network ya kutoa pesa?

    • @saidabdullah8623
      @saidabdullah8623 7 месяцев назад

      Kwa suala la net pemba ipo ni uongo

  • @HawaOthman-e2l
    @HawaOthman-e2l 8 месяцев назад +3

    Usishangae Pemba wanyamwezi wko

  • @mohamedhilali9756
    @mohamedhilali9756 7 месяцев назад +1

    Huyu mama. Ni mtanzania bara. Sema yupo san Zanzibar

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 месяцев назад

      Asilimia kubwa ya Wazanzibar (Waunguja) asili yao ni Tanzania bara.

  • @HilderNdunguru-cx2ig
    @HilderNdunguru-cx2ig 8 месяцев назад +9

    Pemba wamefanya Yao aiseeeee

  • @lulumussa9009
    @lulumussa9009 8 месяцев назад

    Global TV imekuja znz kumtafuta mbongo wakaigiza hakuna mpemba atakayeongeq lafdhi hiyo uongo mtupu

  • @MussaSuweidy
    @MussaSuweidy 8 месяцев назад +2

    We mama mbona unajichanganya unasema ni mzazibar alafu hospital ya kivunge huijui ipo wapi so mwili wa mwanao hujui umepatikana hospitals gan?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 8 месяцев назад +2

      Hyu mama hata hyo lafudhi ina mashaka kama kazaliwa pemba asingeongea hivyo

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 8 месяцев назад +1

      Nyie viumbe hatar sana.Hivi.lafudhi mnaona ya maana sana ee.Azaliwe huko.asizaliwe huko haijalishi nyinyi mmejaza bara na mnaishi kwa raha zenu.Ila mkiona wasukuma tu nongwa.Acheni hizo.

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 8 месяцев назад

    Mbona huyo captain kakosa busara za kufikisha taarifa mbaya kwa wahusika? Yaan unampigia mama wa muhanga halafu unampa taarifa nzito km hizo! Dah unaweza kuuwa hata mama mtu ujuwe

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 8 месяцев назад +1

    Mama kajikaza hongera kwa subra mie sizan km ningeweza hata kuongea kwakweli

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 8 месяцев назад

    ila walishindwa kufunga safari na kumjulisha mpk wampigie kwenye cmu tukio zito hivyo?

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 7 месяцев назад

    Pole dada Mmungu akupe subra na nguvu katika msiba mzito.

  • @hemedisalim5522
    @hemedisalim5522 8 месяцев назад +8

    Sura ya Mama nimeiona,, Nani mwengine kaiona

  • @beatricemtui3766
    @beatricemtui3766 8 месяцев назад +2

    Atakuwa katupiwa ukichaa afya ya akili watu wanpona.daah mungu tusaidie

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад +1

      Africa moto! Yaani ni balaa tupu! Magonjwa tunatengenezewa! 😭

  • @ahmedNassra-e8i
    @ahmedNassra-e8i 8 месяцев назад +3

    mhh huyu mama mzazi mbn haelekei kuwa mpemba maana mpemba halisi ata akae bara maisha yake yote basi hawezi kuongea kibongo alafu habar za kanisani tena na mtt ana jina la kiislam mama mkristo alafu mbn katika kumtaja jin mtt wake kasem anaitw yustin kubwa kuliko huyo mama mzanzibar ila hajui ata iyo spitali ya kivunge iko wapi anauliza watu iko unguja au pemba mthn jmn pazito hapa

    • @ahmedNassra-e8i
      @ahmedNassra-e8i 8 месяцев назад

      na kaka mtu pia mkiristo jmn hy lng jicho

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 8 месяцев назад +1

      Nilitaka kushangaa kutokuona comment za kibaguzi, mbona yule katibu wa Rais Dr Mwinyi ni Mpemba ila anaongea kisambaa! Acheni Ubaguzi kuna Wapemba wapo Tabora anaongea kinyamwezi ilembaya na ukitaka ugomvi na yeye basi mwabie arudi kwao Pemba 😂😂😂😂

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 8 месяцев назад

      ​@@ahmedNassra-e8iMimi imeenda Pembamwaka 1990, Pale Mkoani Chake Chake kuna Kanisa tena lipo Barabarani. Kwahio wapo Wapemba wakiristo

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад +1

      Baba wa mtot uwenda Mpembaa

    • @ahmedbaamironlinetv4753
      @ahmedbaamironlinetv4753 8 месяцев назад +1

      MIMI MWENYEWE NAKWAMBIA HANIDANGANYI KITU KUNA WABONGO WAMEISHI PEMBA MIAKA 50 NAWAJUA BADO WAONGEA KIBONGO

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 8 месяцев назад +1

    Mama ungeingia ktk maombi pale wakat mwanao anakusisitizia kua naumwa

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 7 месяцев назад

    Pole sana dada Mungu akutie nguvu amen masikini mwenyewe alipambambana sana afike nyumbani kwa mama yake 😢😭

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 8 месяцев назад +1

    Nimemsikiliza mama kasema siku alietaka kumpokea ilikuwa ni jumaa pili na yeye iyo siku alienda kanisani naomba kufahamu Zanzibar kuna wakristo au ni waamiaji tu

  • @hamidauhuru813
    @hamidauhuru813 8 месяцев назад +1

    Huyu walimroga maskini 😢

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 7 месяцев назад

    Utashangaaa mapenzi

  • @Bimu-u3m
    @Bimu-u3m 8 месяцев назад +1

    Pole sana mama allah akupe subra kwenye kipindi hiki kigumu

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 8 месяцев назад +3

    Siku imefika kila mtu atakufa sababu aliyompangiwa na Allah ila Mtume Muhammad s a w alitumbia tuombe Allah atupe khatima njema na mauti mema

  • @RASHIDRASHID-vw8bp
    @RASHIDRASHID-vw8bp 8 месяцев назад +1

    Mungu alamze mahali pema anapostahiki amiin

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 8 месяцев назад

    Huyo mama afanye asilimu miaka yote hiyo bado hujamjua mungu wa kwel

  • @AbdullaSeifKhamis-tv4zq
    @AbdullaSeifKhamis-tv4zq 7 месяцев назад

    Unaifikiria kama pemba ni kijiji kidogo 😂😂😂😂

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад +1

    Inalillahi wainailahi rajuun. Polesana mama Allah akupe.subra. Allha mpe kauli sabiti

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 8 месяцев назад

    Huyo boss alivyosikia hii taarifa ya msiba lazima amerudisha mwamala

  • @FasdaJamali
    @FasdaJamali 8 месяцев назад

    Innalilah wainalilah rajiun pole sana mama😭😭💔💔💔🙏🙏

  • @MaabadHassan-z7k
    @MaabadHassan-z7k 7 месяцев назад

    Hii interview ni ya uongo kabisa. Huyo mama alisema mwanawe anaitwa Justin wakati yule kijana aliyezama anaitwa Mahmoud Mwalim.

    • @nurdinathuman-lv1gn
      @nurdinathuman-lv1gn 7 месяцев назад +1

      hata mm naona uwongo kajidai mpemba na lafudhi ya kibara kabisa

    • @utaani1
      @utaani1 7 месяцев назад

      Na anaenda kanisani kuswali!

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 8 месяцев назад

    Huyu sio Mpemba musidanganye huyu ni Ndugu zetu wa Damu ni Mtanganyika huyu

    • @JohnCatherine-f1z
      @JohnCatherine-f1z 8 месяцев назад

      Mbona mimi sijaskia sehem akisema yeye ni mpemba

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 8 месяцев назад +1

    Msijali huyo ni mzanzibara

  • @HawaOthman-e2l
    @HawaOthman-e2l 8 месяцев назад +1

    Hao ni wanyamwezi wanaoishi makangale wko kibao huko wakuzaliwa hasa

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 8 месяцев назад +1

      Kwani kuna shida mnyamwezi au mzaramo kuishi Pemba?.Naona kama vile watu wanashanga eti sio mznz.Hivi mtaacha lini unaguzi.Huku bara wa znz wanejenga na hakuna hata mwenye stor nao.

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 месяцев назад

      ​@@aishahazary4097kabisa dunia ya Allah na kasema tawanyikeni katika ardhi yake mpate kujuana na ridhk

  • @ShekhahamedMuhsin
    @ShekhahamedMuhsin 8 месяцев назад

    Polee sanaaalidaiasindikizwe wengemvunga kamba c kitucha kujua

  • @Latifaally390Latifa
    @Latifaally390Latifa 7 месяцев назад

    Pole sana mama Allah akupe subra inshallah

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 8 месяцев назад

    Poleni sana wanafamilia jamani mwenyezi Mungu ndio mpangaji wa kila kitu

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 месяцев назад +1

    Kwanza kwanini ajifiche sura? Hapa kuna usanii

  • @BernadetaMwemtsi
    @BernadetaMwemtsi 7 месяцев назад

    Wanaume anaumwa anashindwa kusema anamwambia mamake pekee mama anasema jikaze,mama naumwa jikaze..naumwa sana jikaze 😢

    • @cjrtz
      @cjrtz 7 месяцев назад

      Eti jamaniiii,,wakati anamjua mwanae ana shida angejihimu kumfata huwenda angemfatilia kwa umuhimu huku wasingefika

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 8 месяцев назад +7

    Pole mama
    Allah amrehemu

  • @BongoZozo-p5m
    @BongoZozo-p5m 8 месяцев назад

    poleni sana wafiwa kwa kupoteza ndugu yetu mpendwa wetu .

  • @saeedalyahmadi1738
    @saeedalyahmadi1738 8 месяцев назад +2

    Ndyo nazid kuamin wa huko kuvuka bahari ni wabaguzi,kwan hizo lafudhi nyie zinawalipa bei gani

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 8 месяцев назад

    Inalilah wainalilah rajiun Allah amjalie kauli dhabiti

  • @SherryFadhil
    @SherryFadhil 8 месяцев назад +4

    Mpmba gani uyo anoongea kibongo🥺🥺🥺🥺🥺🥺

    • @aaas5016
      @aaas5016 8 месяцев назад +1

      Kisha pia kuna mpemba mkristo mana kuna mahali nime sikia alikua ame enda kanisani

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      Kanisani si Kwa wakristu peke yao, siku hizi hata waislamu wanaenda makanisani

    • @SherryFadhil
      @SherryFadhil 8 месяцев назад +1

      @@MsAggie5 muislam gani anoenda kanisani lbd kuenda Kam diskoo mnke kule diskooo

    • @taturamadhan5940
      @taturamadhan5940 8 месяцев назад

      Mtihani mpemba hawezi kisema kibongo shida hii

    • @rhodarichard4494
      @rhodarichard4494 8 месяцев назад

      Shida unatawaliwa na ukabila pole

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 8 месяцев назад +3

    Mbona hana lefudhi ya kipemba'

    • @timebakar
      @timebakar 8 месяцев назад

      Anaongea kama mbongo

    • @rahmarashid1670
      @rahmarashid1670 8 месяцев назад

      Ni.mbongo sip mpemba huyo

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 8 месяцев назад +1

      Nenda Mwanza ukawaone Wapemba wanalafudhi za Kisukuma, yaani najiuliza huyu kweli Mpemba mbona anaongea kingosha😅😅😅😅😂😂

    • @timebakar
      @timebakar 8 месяцев назад

      @@MrKhatibu 😂😂😂😂acha matan 😂😂

    • @ahmedbaamironlinetv4753
      @ahmedbaamironlinetv4753 8 месяцев назад

      MUSINIDANGANYE HAKUNA MPEMBA MWENYE JINA LILE LA KIKAFIRI ZANZIBAR 100 & NI WAISLAM LAKINI SIO KAMA HIVYO KWENDENII. RABLA HAO WAKIRISTO WA MCHONGO KWAHIO MUTAHAMA WENYEWEEE

  • @eliaikammary7525
    @eliaikammary7525 8 месяцев назад

    Nyie wachawi moto wenu hautazimika

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me 8 месяцев назад

    Pole sana Allah akupe nguvu kwenye hiki kipindi kigumu

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 месяцев назад +1

    Sasa we mpemba au m bara mana kumbe unaenda kanisani pemba na znz na makafiri wapi nawapi

    • @chickukategile8359
      @chickukategile8359 8 месяцев назад

      Ebu jaribu kuwa muungwana ww ukafiri na mambo hayo wapi na wapi Wenzio wapo kwenye majonzi ya kufiwa na kijana wao then ww unaongea upumbavu .

    • @LusekeloMwakajila-wd7px
      @LusekeloMwakajila-wd7px 8 месяцев назад +1

      Kafiri baba yako mzazi

    • @williamkeita1519
      @williamkeita1519 7 месяцев назад

      😢😢

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 8 месяцев назад +2

    Pemba Mmmh 🤔

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 8 месяцев назад +3

    Yaani wewe mama mtu anakwambia naumwa sana na hali ile ilomtokea zamani unadharau hata km wewe uko mbali ungewaambia wale walokuwa nae wampeleke hospitali

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 8 месяцев назад

      Nilisikia huko Pemba hawakuwa na dawa kwani hakupona hadi alivyomleta unguja ndo akaanza clinic na kupona.

    • @roseberryhamoud6542
      @roseberryhamoud6542 8 месяцев назад

      Je wakati anakaa Pemba hakuwa na ndugu?. Huyu Mpemba anaenda Kanisani?

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 8 месяцев назад

    Polen sana ndugu zetu mungu awape uvumiliv wa moyo

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 месяцев назад

    Kwanini ajifiche sura? Eda na ukafiri wapinawapi?

  • @MakameVuai-f2w
    @MakameVuai-f2w 8 месяцев назад

    Hakuna mpemba mkristo msitudanganye nyinyi

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 8 месяцев назад

    Mtangazaji bana unazani na wenzenu ni wanawake wa hovyo kama nyinyi majike shupa ya bara kutwa kucha mko mitandaoni

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 месяцев назад

    Wapemba wachawi sana ukute alichukua mke wa mtu watu wakamaliza

    • @hemedyawadhi2935
      @hemedyawadhi2935 8 месяцев назад

      Nimehic ivyo kwaiyoo aalivyoondoka jamaa kaona afadhali alivyoona.kaja tena kaona mhmh

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 8 месяцев назад +2

    Pole mwanamke mwenzangu Allah akure subira lnshaallah

  • @RAMLATHAJI-ig4pf
    @RAMLATHAJI-ig4pf 7 месяцев назад

    lafdhi mbona sio hii ya zenj

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 8 месяцев назад

    Mtangazaji kwani viongozi siyo watanzania?