"MMEIONA HELIKOPTA NA NIMEAMUA KUPITA KWENYE VUMBI" MAGUFULI AKIWA NJIANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 219

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 4 года назад +28

    Jembe Magufuli nakukubali sana Rais wangu. Mungu atupe nn watanzania. Love mingi mingi sana kwako

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 4 года назад +38

    Like kwaa. Baba wa taifa hili john pombe Joseph magufuli. Kwa kazi nzuri

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 4 года назад +1

      ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html

    • @JohnWick-tl6zt
      @JohnWick-tl6zt 4 года назад

      Leo Ni SIKU nzuri 🌹 nawe Ni Mtu wa Muhimu sana, nina Imani una Bando . pata Kisa Cha Nyerere 🎇 ruclips.net/video/4TlVwbmMr3Y/видео.html

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 4 года назад +20

    Magufuli hoyee utashinda kwa kishindo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu 💯💯💯💯
    Ccm hoyee 💯💯💯

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      Yes. Upinzani wataaibika na vibaraka wao. Wale wanaosahau mema ya JPM ni wakati wa kujitafakari sana na kufanya uamuzi wa akili na siyo kwenda kwa msisimko na mkumbo. Tutakuja kujuta sana.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 года назад +24

    Barikiwa baba yetu Dr.John Pombe Joesph Magufuli, historia yako kwetu TZ haitakaaa ifutike mpaka juu mbinguni. Umetutoa gizani nchi mzima. Tunakuombea USHINDI MKUBWA MNOMNO.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +4

      Thanks my dada. Ameifanya nchi imerudi kwenye ramani. Madini ya Tanzanite walikuwa wanachimba kilo 300 kwa mwaka. Baada ya JPM kuweka ukuta, sasa ni kilo zaidi ya 4000. Kutoka ndege moja mbovu hadi ndege 11 kubwa.

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 4 года назад +1

      ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html

  • @jullipusoe7838
    @jullipusoe7838 4 года назад +28

    Unatupenda na tunakupenda MUNGU akulinde na Mabeberu

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 года назад +31

    Jembe Magu la watu wengi hongera kiongoz

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo496 4 года назад +35

    Tunampenda hivyo hivyo hata mkimponda

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      Asantee N. Cheers! Tunakumbuka JPM alikotutoa. Tunajua haya yote ni pressure kutoka magharibi. Siunakumbuka ilivyokuwa Libya na Venezuela? Rais walidanganywa kwa kila namna hadi Marekani ikawa inawarubuni wananchi kwa misaada, wakati huohuo imeiwekea nchi vikwazo vya kiuchumi. Ulishaona wapi kitu kama iko? Ujue mataifa ya ughaibuni yana lengo moja tu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Tanzania. JPM alikuwa amesema NO. Sasa dalali wao kajivika mavazi ya kuwatakia mema wananchi. Huo ni uongo. Angekuwa hivyo, asingepinga ile sheria ya madini. Asingejihusisha katika ukamataji wa ndege zetu SA na Canada. Asingeizodoa nchi yetu katika kipindi cha korona. Huo siyo uzalendo ni usaliti. JPM kajitoa kwa dhati kuipigania nchi yake usiku na mchana.

  • @braveliontv935
    @braveliontv935 4 года назад +19

    Hautasahau john , pia na Pope ao Magufuri nani hafunge na Magufuri nyumbani , baba huu 👍👍👍👍👍👍

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 4 года назад +19

    Chapa kazi mzee wasio kuelewa watakuelewa tu

  • @sanifumedia9614
    @sanifumedia9614 4 года назад +1

    TUNDU LISSU AKIIPATA HII VIDEO SIJUI ITAJUWAJE? NABII TITO AMCHAFUA HADHARANI BILA WAGA
    ruclips.net/video/z_gKZGWdaQs/видео.html

  • @ibrahimmwendo5076
    @ibrahimmwendo5076 4 года назад +11

    Sawa baba wapinzani kila kitu wanapinga bungeni Sasa Afanyeje? Bajeti wanapinga shida Sana chagua CCM no MOJA DAIMA

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 4 года назад +5

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais wetu......

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +22

    RAISI WE2

  • @teacherd
    @teacherd 4 года назад +1

    MASWALI HAYA LAZIMA YATOKE KWENYE MTIHANI WAKO
    ruclips.net/video/x9UTZnq5GWw/видео.html

  • @jandpelectronics363
    @jandpelectronics363 4 года назад +16

    WAPIGAJI WOTE HAWAWEZI MPENDA JPM

    • @shangwehalisi7659
      @shangwehalisi7659 4 года назад

      Ukwel ndio huo

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +2

      Umeonaeee JPM ni mzalendo wa kwanza. Alisema They thought I would be part of them. Never!

    • @michaelwillombe1794
      @michaelwillombe1794 4 года назад +2

      Umetonesha kwenye kidonda. Ukweli ndo huo. Walifanya siasa ni dili akaja mzalendo asiependa ujinga, akabana mirija ya unyonyaji mpaka kwa wazungu, leo eti hatumtaki amaa kweli bora ukweli mchungu kuliko ungo mtamu maana mwisho wa siku majuto ni maumivu makali. Wavivu wa kufikiri na wavivu wa kufanya kazi ndo utawaona wanataka mpaka vitambulisho vya umachinga eti vitoweke, sasa mapato kwa kuiendeleza nchi yenu mtatoa wapi? Majibu ni kwenda kuiuza nchi kwa kuweka rehani madini raslimali za taifa na kuomba mikopo ambayo mwisho wa siku itashindikana kuilipa na kuiuza nchi. Jamani hakuna binadamu alie mkamilifu sawa ila Magufuli kafanya ya uzalendo wa kweli kaonyesha jinsi gani anaipenda Tanzania 🇹🇿 kwakweli mtu anaebeza basi hata malezi ya kwao hayakua safi hakufundishwa neno Asante. Ingekua marais nao wanasajiliwa na mataifa mbali mbali kama wachezaji mpira, yaani Magufuli angeshanunuliwa kwa pesa nyingi sana ili akafanye kazi nchi nyingine. Tunambeza sisi wakati ni tunu ya taifa letu. Akina mbowe na lisu wanapigana risasi eti ni magufuli, wanaanguka wanategua miguu eti ni Magufuli aibu kwenu viongozi waongo hata mkipewa nchi mtaiongoza kwa uongo uongo. MUNGU tuvushe tukinge na ufedhuli huu na uchafu huu kama ulivyotukinga na CORONA kwa kumpa hekima na busara kiongozi wetu wa Tanzania. MUNGU ibariki Tanzania MUNGU mbariki Magufuli Amen!!!!!

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +2

      @@michaelwillombe1794 Dah! Asante sana kaka. Binadamu ni wepesi sana kusahau. Nchi hii ilikuwa kama shamba la bibi. Watumishi hewa. Wanafunzi na mikopo hewa. Vyeti feki. Wizi wa makinikia. Mikataba mibovu. Miundombinu duni. Mashirika kama ATCL yalikuwa yamekufa kabisa. Meli? Hospitali CT-SCAN na dawa kuibiwa au kuharibiwa kwa makusudi. Wale jamaa waliokuwa wanakula mishahara ya mamilioni. Mafuta ghafi/petroleum. Safari nyingiii za nje ya nchi. Jamani wahenga walisema: usiache mbachao kwa msala upitao.

    • @michaelwillombe1794
      @michaelwillombe1794 4 года назад +2

      @@missangela6720 Asante dadaangu. Kuelewa wanaelewa sana sema fikra ndo bado hazijakomaa. Wanataka aje rais aseme nchi hii bado masikini yule aliesema nchi hii tajiri alikua muongo ili waanze kutupiga za uso. Bila Magufuli mataifa mengine mpaka leo wangekua gizani kuhusu suala la CORONA lakini MUNGU kafanya ufunuo kwetu tanzania. Leo hatuogopi mikusanyiko tupo huru na maisha yanaendelea. Ndugu zangu watanzania tuache uvivu hakuna mtu atakaekuletea maendeleo zaidi ya wewe mwenyewe, serikali inarahisisha kila mmoja wetu afikie malengo kwa haraka kwa kununua ndege, meli, kutengeneza barabara za lami, kutengeneza mabwawa ili tuwe na umeme wa uhakika nakadhalika. Biashara ziende haraka kutoka kwenye vyanzo vya uzalishaji mpaka sokoni kwa haraka. Pia tusibweteke sio ukisoma mpaka ma degrees na ma masters lazima ukaajiriwe. Angalieni matajiri wa tanzania na nchi nyingine niwafanya biashara sio waajiriwa jamani tuwe na initiatives tuwe watu wakufanya research hakuna alie masikini umasikini ni tabia ya kila mmoja mvivu. Hakyna atakaekuletea chakula na hela mezani brethren. Let us be creative.

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 4 года назад +4

    Magu anjielewa sana anatakiwa awafanyie nini kwa watz ndio maana anafanya, wasiomuellewa kwa sababu zao watajijua mwenyewe na chuki zao piga kaz mzee baba usijali wanafiki

  • @jacksonkiganda9656
    @jacksonkiganda9656 4 года назад +8

    MAGUFURI NDO RAISI WA WANYONGE NAUNGA MKONO MIAKA 5 TENA

  • @kashiagrosama3952
    @kashiagrosama3952 4 года назад +5

    Kwanini uwaombe kura.kura zote ni za kwako

  • @kabonakabona8121
    @kabonakabona8121 4 года назад +15

    Chumaaaaaa ✔️💯

  • @janethmrishi5370
    @janethmrishi5370 4 года назад +3

    Umepata baba ccm oyeeee

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 4 года назад +7

    Jpm namba moja

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      True. Unaambiwa huko kwa wenzetu kila mtu anasema: we want our president to be like Magufuli of Tanzania

  • @newsongcelebration6994
    @newsongcelebration6994 4 года назад +5

    Magufuli baba lao💪

  • @millardyleonardy7296
    @millardyleonardy7296 4 года назад +13

    NAKUBALII KAZ ZAKO MKUU BIG UP SANAAA AISEEHH ILA EMAIL YNGU BADO HUJA REPLY MKUU🙏🙏🙏💪💪💪💪

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +3

      @@maribaisack2097 Ujue hamjui vile wapinzani wanavyofanys hujuma ili wasipewe maendeleo ili wapate visongizio kwamba serikali imeshindwa kutekeleza ilani. Kama mtu anaweza kusingizia alivamiwa na kuteguliwa mguu, atashindwaje hizo figisu? Mbona Arusha walijichomea ofisi ya chama?

    • @saitielmlay1855
      @saitielmlay1855 4 года назад

      @@bajajre6638 unapatikana wapi??

  • @lovenessmlinda1347
    @lovenessmlinda1347 4 года назад +4

    Yule mlemav wa miguu ana kaz Sana kwakoo Mzee, anajikaza tuuu

    • @muhdsseif5785
      @muhdsseif5785 4 года назад

      Usiseme mlemavu. Ni sisi ccm tulompiga risasi. Hapa unampaka matope baba magu

  • @tumbwenekilale6962
    @tumbwenekilale6962 4 года назад +8

    JPM OYEEEEE
    CCM oyeeeee

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 года назад +1

    Alafu ukisikia Yanga wanaisema sana Simba wamezidiwa. CCM msiwaseme sana CHADEMA majukwaani watu wengi walikuwa hawajui CHADEMA ni kina nani nyie ndio mnawapandisha chart wajulikane. Kila kukicha CHADEMA mnawaogopea nini haswa kwa kuwa wana MAKAMANDA.

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +1

    Safi Sana jembe, utapita

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 4 года назад +2

    Naamini IPO siku wasiojua uwepo wako wataujua na watakuwa njia moja na we we, endelea kupiga kaz wakisutuka tuko mbali kwamba were ndiwe sahihi

  • @pilisadiki1972
    @pilisadiki1972 4 года назад +12

    Ccm oyeeeee

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 4 года назад +2

    Baba lao Magufuli ni Wewe tu Mungu yuko upande wako kabisaa

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 4 года назад +1

    Lkini mzee wangu. Mm nauliza suali moja. Kwa nn hizo Gari Mumeweka rangi za CCM.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +3

      Kwa sababu ni mali ya CCM

    • @georgegodfrey4776
      @georgegodfrey4776 4 года назад

      Hata angeweka rangi ya ACT ungeuliza tu

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +1

      @@georgegodfrey4776 Kuuliza si ujinga. Aheri huyu kuliko wale wanaotukana. Anayeuliza huwa anataka kuelewa

  • @nadhifunadhifu9501
    @nadhifunadhifu9501 4 года назад +1

    Lov u magu😘

  • @abdullahsultani4377
    @abdullahsultani4377 4 года назад +1

    Kwa ubaguzi huu hutopata kura

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 4 года назад +3

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      Yep! Umenikoshaaaa nimekuoenda bureee. JPM will always be remembered as the President who made our country great again. Hapo upoooo?

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga2200 4 года назад +8

    Safiiiii

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 4 года назад +7

    Umepita

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif5785 4 года назад +1

    Japi ni kweli umefanya ufisadi na wizi mkubwa wa rasilimali zetu baba tutakupa miaka 5 maana wewe umetuwezesha kuwaona diamond. Tulikuwa hatujawahi baba. Sisi tunajua inabidi watu wapigwe risasi na hata wengine wafe ili mabeberu waogope baba. Hiyo copta panda na siku moja utatupakia ukiongeza miaka 10 mengine ya urais

  • @evasaimon2101
    @evasaimon2101 4 года назад +3

    Safii Sana💯✔️

  • @michaeljbkubugu7331
    @michaeljbkubugu7331 4 года назад

    kwahayo maneno mbona nikama unafanya siasa hadi kwenye ukwer mbona ulisikika ukisema maendeleo hayana chama kwahiyo hapo umeongea nini? acheni kujisahauliaha

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 4 года назад +5

    Raid Wa maana JPM hooyeeeee,!!

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 4 года назад +4

    Hii ya kutumia Luga zingine mbona TUME imetoa sheria na imekataza wagombea wasitumie Lugha zingine sasa mbn uyu mgombea anatumia au ni kwa baadhi ya wagombea tu alafu mbona kuna wakt anasemaga maendeleo hayana chama alafu anakuja anasema tusipochagua ccm aweki maendeleo hii inachanganya sana

    • @ibrahimmwendo5076
      @ibrahimmwendo5076 4 года назад +2

      Hao wengine wanakataa bajeti Sasa maendeleo jimboni yatakwendaje? MAGU Yuko sahihi kabisa Safi sanaaa

    • @chale0ify
      @chale0ify 4 года назад

      Hapo sasa

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +1

      @@ibrahimmwendo5076 Bungeni wanataka kwenda, maendeleo hawataki. Sasa tuwaeleweje, kwa mfano?

  • @chandeabdallah275
    @chandeabdallah275 4 года назад +1

    Wangap walilio sikia kulia kushoto

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 2 года назад

    Daaaaaaah,
    Hivi ni kweli baba umelala,
    Pumzika kwa amani CHUMA

  • @patrickpaul6689
    @patrickpaul6689 4 года назад +2

    Nakutogilwe sana JPM

  • @johnyty498
    @johnyty498 4 года назад +1

    makufuli hayana nafas tanzania

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @nurdinahmada5213
    @nurdinahmada5213 4 года назад +1

    Mitano tena kwa Dr J P M

  • @johnyty498
    @johnyty498 4 года назад +1

    eti ulijenga ww, hela zetu useme umejenga ww?? watanzania wanakubali tu eti

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +1

      Jiulize kwa nini hawakujenga miaka yote, ukipata jibu niambie. Hapo upooo???

  • @paulmkawa4456
    @paulmkawa4456 4 года назад +1

    Eti upendo, watu tunalipa kodi we mzee acha kutufanya mateka wako sisi sio sawa na watoto wako sisi ni watanzania walipa kodi

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 4 года назад

      Je kuna nchi gani duniani hawalipi kodi? Bila kodi hakuna maendeleo. Sawa zamani kodi zilikuwa zinalipwa lakini zilikuwa hazifanyi kazi zinazolengwa.

    • @paulmkawa4456
      @paulmkawa4456 4 года назад

      Hujanielewa ww

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 года назад

    Huyu hakuwa Raisi wa helicopter kama waliopo leo

  • @amedeusjerome5050
    @amedeusjerome5050 4 года назад

    Rudini nyumbani kwa lisu kumenoga

  • @ericndonde5471
    @ericndonde5471 4 года назад

    John Pombe Magufuli ww ni mfano wa Moses aliye watoa wana wa Israel kwenye utumwa

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 4 года назад

    LIRAISI LETU ILO JPM LIKAMANDA LIBABALAO💪

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 4 года назад +1

    Washaur mmushaur kusema kaul hzo n ubaguz

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @Magenhiro-c8m
    @Magenhiro-c8m 4 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ulungongo gugasate nadume nulugulya bhugale bhujiku da! Hatali 🔥 jamani magufuli wangu

  • @ozybizness3914
    @ozybizness3914 4 года назад +1

    Hatunywi sumu hatunyongi ccm mbele Kwa mbele
    MAGUFULI Baba lao

  • @gabrielbisekwa5238
    @gabrielbisekwa5238 4 года назад +3

    Five Tena

  • @iddyrashid1009
    @iddyrashid1009 4 года назад +1

    Umepita mheshimiwa

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +2

    Ubaguz Sana

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Pombe mhh ayo majina tu kweli tutakoma

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад

    Siasa kweli utumwa WA files mweeee!

  • @alistidiusjohnkaroly7920
    @alistidiusjohnkaroly7920 4 года назад

    Kumbe wewe si mpenda Maendeleo badala yake wewe ni mpenda ccm kwa maana hii mfumo huu sio kabisa

  • @bableeyzabdalla531
    @bableeyzabdalla531 4 года назад +2

    Hilo vumbi ni utawala wenu mbaya WA ubaguzi

  • @oscarkasalile5058
    @oscarkasalile5058 2 года назад

    Wewe ulikuwa mzalendo wa kweli kweli.

  • @danieltungira3837
    @danieltungira3837 4 года назад +1

    Mzee wewe ni kiongozi in real,siyo kiongozi maneno

  • @chazyteshakimaro4659
    @chazyteshakimaro4659 4 года назад +2

    Ubaguzi wa chama hatutaki nilikuwa nakuheshim lakini mhhhh

    • @danielbaraka8903
      @danielbaraka8903 4 года назад

      kweli kabisa mbaguzi uyo

    • @danielbaraka8903
      @danielbaraka8903 4 года назад

      Eti ndio mzalendo uyo

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +1

      Hukumwelewa JPM kaka. Alisema wapinzani wanakataa kupitisha bajeti na kupinga kila kitu na kitukana. Sasa maendeleo ya majimboni mwao wanayapatejee kimfano???? Wear uwe ndo baba halafu mtoto akutukane halafu anataka umlishe, inakujaaaa? Mbona waungwana majimbo yao yanang'aa freshi tuuuu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 года назад

      @@danielbaraka8903 je yule pimbi?

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 4 года назад +1

    Hatukupiiiiiiiiiiii

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      Ahahss kakufsnyaje? Wengine tunampa hata kama hajawahi kufika huku kwetuuu. Maana aliyoyaganya hakuna Mtanzania ambaye hajafaidi matunda yake mazuri. Unaambiwa ile makinikia ilikuwa miradi ya mabepari na wanagawana na madalali wao humo nchini. Magufuli kapiga stop. Utaavhaje kumpigia kura kimfano??????

  • @hassanngolo1670
    @hassanngolo1670 4 года назад +1

    Magu kwa Igagala zote zako!!!!!!

  • @tabufredmakunga8436
    @tabufredmakunga8436 4 года назад +1

    Amina amina

  • @karanijunior1257
    @karanijunior1257 4 года назад

    Kwei. Magufuli. Uko. Raba. Sana. Tena. 10

  • @leahsimba7159
    @leahsimba7159 4 года назад +6

    Woyoooo

  • @lamecksaimon6494
    @lamecksaimon6494 4 года назад +5

    Noooma xana

  • @barakakomba6171
    @barakakomba6171 4 года назад +1

    Tutembelee na sisi huku ludewa mheshimiwa

  • @husseinmiraji1321
    @husseinmiraji1321 4 года назад +3

    Ulijenga wewe unahela ya kutujengea kutoka mfukoni kwako ?kujenga zahanati na Barbara siyo msaada mkuu wangu

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 4 года назад +1

      Wewe ulitaka upewe nini kijana mvivu????

    • @t1910j
      @t1910j 4 года назад +1

      Ulitaka afanye nini? Ulitaka ajenge na pesa zake? Mbona akili finyu jamani? Nenda kampigie kura Lissu wenu na Zitto. Tuache sisi.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 года назад

    Watanzania tumchagua Lissu atukombowe.tumeteseka sna kipindi cha magu

    • @Duniakuu25
      @Duniakuu25 4 года назад

      Fara wewe umeteseka kwa lipi,we na wapigaji wengine mtakiona

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 4 года назад

      @@Duniakuu25 sasa basi..ibeni kura muone cha mtema kuni

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 года назад

    Kwaiyo bila kiongozi wa ccm jimbo lake huwezi kufanya maendeleo wakati wewe ndio kiongozi wa tanganyika sio wabunge wala madiwani wewe fanya maendeleo wasiokupenda wakupende wachakutaka watu wote wapende ccm bila upinzani huwezi kufanya maendeleo hata maisha yetu y majumbani tunapambana n wapinzani

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 4 года назад +3

    We ni jembe , Hata upande wa pili wanajua wewe ni Jembe

  • @jumailinje3145
    @jumailinje3145 4 года назад +3

    Huwezi kumpa mtoto wa jirani chakula na familia yako ina njaa.😂😂😂 Ubaguzi haujawahi kuicha salama ccm.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +2

      Ili tujifunze kuunga mkono bajeti na kushirkiana na serikali katika kuendeleza gurudumu la maendeleo majimboni. Jinsi viongozi wenu walivosusia bunge waksti wa korona, ndo sera yenu ya kukataa kila kitu ili ionekane serikali ya JPM haifanyi kazi. Pamoja na kuwa mmejifunza kulenga shabaha zenu bila kukosea, wenzenu tumejifunze kuruka juu angani bila kutua. Hahahaha Tukutane Oktoba 28 my kaka. Cheers

    • @jumailinje3145
      @jumailinje3145 4 года назад

      @@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.

    • @jumailinje3145
      @jumailinje3145 4 года назад

      @@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад +2

      @@jumailinje3145 Bunge letu limerekebisha mikata mibaya ya madini iliyokuwa inatunyonya, wakati huo tulikuwa tunapata mrabaha wa asilimia 4 tu! Na hata hiyo nne hatukuwa tumelipwa tangu 1998! JPM amefanya mabadiliko makubwa, sasa hivi wachimbaji wa ndani na wachimbaji wadogo2 wamepewa vipaumbele kwenye sekta ya madini. Pia lazima wananchi wa eneo husika la madini wafaidike kwa uchimbaji wa madini: fidia, biashara, miundombinu, huduma kama vile vituo vya afya, shule, nk. Tatizo la upinzani ni kupinga kila kitu, hata yale ambayo yangepaswa kuungwa mkono na kila Mtanzania. Hilo ni kosa kubwa sana. Halafu pili, kama wao ni kupinga kila kitu basi hawastahili kuchaguliwa na wananchi kuwa wawakilishi wao. Kwa namna hiyo, wakiendelea kukataa kila kitu, na kupinga na kutukana, hawawezi kuleta maendeleo katika majimbo yao. Ndiyo maana JPM anawatahadharisha wananchi wawe makini wasiwachague viongozi ambao hawajitambui wala hawatangulizi maslahi mapana ya nchi.

    • @maikomwaryobawaryoba3804
      @maikomwaryobawaryoba3804 4 года назад

      @@jumailinje3145 tatzo cdm hawaeleweki kipndi cha JK walipga mambo mengi saivi wanamsifu JK vp hapo ww unaelewa nn kwenye chama hawajawai kuptisha bajet yoyote inayo letwa bungen unaelewa nn kwenye chama kama hicho ingekua uchaguzi ukipta wanaunga bajeti na kuahilikiana kwenye maendeo hapo sawa walisema shilika la ngege limekufa JPM kalifufua saiv wanapnga ndo nn tuwaelewe

  • @farajamwamahonje856
    @farajamwamahonje856 4 года назад +1

    Mambo

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 2 года назад

    Basi tu

  • @azmhamza8484
    @azmhamza8484 4 года назад

    Sio kila mmoja atakupenda na sio atakae kuchukia sio mtanzania ubaguzi kwa muongoza nnchi sio mzuri Tanzania nimoja mtu akupende asikupende bado ni raia wa Tanzania ana haki yakufanyiwa kinacho staili kama mwanannchi

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Wawa na mama yu utaisoma namba mwaka huu

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +1

    Ubnafsi mzee

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 4 года назад +2

    Mmmmh!

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 года назад +10

    Ndio rais wa kwanza kutangaza ubaguzi wa maendeleo kutokana na vyama. Kina kikwete hawakua hivi. Nilimpenda ila kwa kauli hii wengi wata mchukia

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 4 года назад

      Mm bado nampenda na usemayo si kweli,

    • @symonfrank8361
      @symonfrank8361 4 года назад

      Pekeako labda

    • @siromyhemed9464
      @siromyhemed9464 4 года назад +3

      Watu wanachaguliwa na wananchi zikija bajeti za maendeleo wanapinga .......ungekuwa ungefanyaje? Hizo kauli anaongea ila wawakilishi wengi wabunge wanakimbia hawasemi matatizo ya wananchi wao.....

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 года назад

      @@siromyhemed9464 . Hawasemi kivipi wakati wanapingwa kwakua ni opposition. Kwani hamsikii anacho kisema

    • @salmaramadhan5386
      @salmaramadhan5386 4 года назад +2

      Hata usemeje nampenda hivyo hivyo

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 4 года назад

    Tumeiona, ndo inayokwenda chato hii?

  • @alexmwanry4342
    @alexmwanry4342 2 года назад

    No

  • @dannyford6355
    @dannyford6355 4 года назад +5

    Maendeleo hayana chama leo unakataa maendeleo kwa wapinzani

    • @sahachi397
      @sahachi397 4 года назад +1

      Tatizo ya wapinzani hawana shukurani vichaaaa.

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 4 года назад +1

      Wanakula ruzuku matapeli hao hasa chadomooo hafai hata kuishi na binadamu wahuni wale

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      @@sahachi397 Kabisa. Wana lengo la kumvurugia Anko ili ionekane hafanyi kitu. But hawatafanikiwa

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 4 года назад +2

    Amedhihirisha majimbo ndiyo wakati wake. Ina maana sisi upinzani ndio basi Tena. Tumemsoma

  • @hasniaa3575
    @hasniaa3575 2 года назад

    💚💚🖤😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲

  • @hasniaa3575
    @hasniaa3575 2 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 года назад +1

    Mh

  • @nyasikelvin2206
    @nyasikelvin2206 4 года назад

    Wajumbeeeeeeeeew

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 года назад +5

    Kwa hivyo Hakuna upinzani Tanzania si mseme tu

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 4 года назад +1

      @bjzee, upinzani wa nini tanzania kwanza, wapi uliona upinzani kabla ya maendeleo ya nchi, democrasia dunia nzima hawakuwa nayo mpaka walipo jijenga MAGUFULI OYEEE

    • @perpetuambizo1518
      @perpetuambizo1518 4 года назад

      Thanks

    • @perpetuambizo1518
      @perpetuambizo1518 4 года назад

      Thanks

    • @budakassim2191
      @budakassim2191 4 года назад

      Yaani ni tabu tupu

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      @@mzalendomzalendo2567 Mfumo wa vyama vingi ni mpango wa mabepari kuendelea kuinyonya bara la Afrika na kuzidisha umaskini wa wananchi. Imagine chama kimoja cha ACT kimepewa 18,000,000,000 /bilioni 18 kwa ajili ya kampeni tu. Hapo kuna vyama zaidi ya 13. Bado Tume ya uchaguzi. Karatasi za kura tu zenyewe tunachaps kwa bilioni 44 South Afrika.

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 4 года назад +1

    Maendeleo hayana chama
    Kwann wewe mbaguzi hivyo
    Yaani juma kapuya ndo kakufanya ujenge barabara!!!!!!
    Ajabu Sana.

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 года назад

    Mungu ni mwema....ruclips.net/video/wr4NLOcRbSc/видео.html

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 4 года назад +2

    Mzee sikukosoi ila nauliza tu,si unasemaga maendeleo hayachagui/hayana chama.Sasa hii kauli siielewi!

    • @mosesshagembe316
      @mosesshagembe316 4 года назад

      Kajisahau ila msamehe

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      Anasema kweli kwa sababu wapinzani mjengoni Dodoma kazi yao kupinga kila kitu na kutukanaaaaa sasa miradi ya maendeleo unadhani wataifustilia? Lengo lao kuvuruga juhudi za maendeleo ya Anko ili ionekane JPM kashindw kazi. Lakni bado Rais wetu anawapelekea maendeleo hadi majimboni mwao kama Arusha kwa akina sijui Lema

    • @msetikebwasi6895
      @msetikebwasi6895 4 года назад

      @@mosesshagembe316 good

    • @msetikebwasi6895
      @msetikebwasi6895 4 года назад +1

      @@missangela6720 Good baby

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 года назад

      @@msetikebwasi6895 Thanks snaaaa jmn

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 4 года назад +3

    malizia tuu muda wako uondoke wewe MBAGUZI..hiyo ni mikoa maskini tuu..kilimanjaro huku tumebarikiwa

  • @wizanakitvonline6190
    @wizanakitvonline6190 4 года назад +1

    Hana lolote huyu

  • @joshuamkupi6893
    @joshuamkupi6893 4 года назад +1

    HATIMAYE ZITO KABWE AJIUNGA CCM💥💥🔥❗️
    Link👇👇
    ruclips.net/video/m915JRu4XCs/видео.html

  • @tz7976
    @tz7976 4 года назад

    Tatizo wapinzani kinacho wafanya mumchukie Magufuli ndicho tunacho mpendea bora mjikatae2