Yes. Upinzani wataaibika na vibaraka wao. Wale wanaosahau mema ya JPM ni wakati wa kujitafakari sana na kufanya uamuzi wa akili na siyo kwenda kwa msisimko na mkumbo. Tutakuja kujuta sana.
Barikiwa baba yetu Dr.John Pombe Joesph Magufuli, historia yako kwetu TZ haitakaaa ifutike mpaka juu mbinguni. Umetutoa gizani nchi mzima. Tunakuombea USHINDI MKUBWA MNOMNO.
Thanks my dada. Ameifanya nchi imerudi kwenye ramani. Madini ya Tanzanite walikuwa wanachimba kilo 300 kwa mwaka. Baada ya JPM kuweka ukuta, sasa ni kilo zaidi ya 4000. Kutoka ndege moja mbovu hadi ndege 11 kubwa.
Asantee N. Cheers! Tunakumbuka JPM alikotutoa. Tunajua haya yote ni pressure kutoka magharibi. Siunakumbuka ilivyokuwa Libya na Venezuela? Rais walidanganywa kwa kila namna hadi Marekani ikawa inawarubuni wananchi kwa misaada, wakati huohuo imeiwekea nchi vikwazo vya kiuchumi. Ulishaona wapi kitu kama iko? Ujue mataifa ya ughaibuni yana lengo moja tu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Tanzania. JPM alikuwa amesema NO. Sasa dalali wao kajivika mavazi ya kuwatakia mema wananchi. Huo ni uongo. Angekuwa hivyo, asingepinga ile sheria ya madini. Asingejihusisha katika ukamataji wa ndege zetu SA na Canada. Asingeizodoa nchi yetu katika kipindi cha korona. Huo siyo uzalendo ni usaliti. JPM kajitoa kwa dhati kuipigania nchi yake usiku na mchana.
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais wetu......
Umetonesha kwenye kidonda. Ukweli ndo huo. Walifanya siasa ni dili akaja mzalendo asiependa ujinga, akabana mirija ya unyonyaji mpaka kwa wazungu, leo eti hatumtaki amaa kweli bora ukweli mchungu kuliko ungo mtamu maana mwisho wa siku majuto ni maumivu makali. Wavivu wa kufikiri na wavivu wa kufanya kazi ndo utawaona wanataka mpaka vitambulisho vya umachinga eti vitoweke, sasa mapato kwa kuiendeleza nchi yenu mtatoa wapi? Majibu ni kwenda kuiuza nchi kwa kuweka rehani madini raslimali za taifa na kuomba mikopo ambayo mwisho wa siku itashindikana kuilipa na kuiuza nchi. Jamani hakuna binadamu alie mkamilifu sawa ila Magufuli kafanya ya uzalendo wa kweli kaonyesha jinsi gani anaipenda Tanzania 🇹🇿 kwakweli mtu anaebeza basi hata malezi ya kwao hayakua safi hakufundishwa neno Asante. Ingekua marais nao wanasajiliwa na mataifa mbali mbali kama wachezaji mpira, yaani Magufuli angeshanunuliwa kwa pesa nyingi sana ili akafanye kazi nchi nyingine. Tunambeza sisi wakati ni tunu ya taifa letu. Akina mbowe na lisu wanapigana risasi eti ni magufuli, wanaanguka wanategua miguu eti ni Magufuli aibu kwenu viongozi waongo hata mkipewa nchi mtaiongoza kwa uongo uongo. MUNGU tuvushe tukinge na ufedhuli huu na uchafu huu kama ulivyotukinga na CORONA kwa kumpa hekima na busara kiongozi wetu wa Tanzania. MUNGU ibariki Tanzania MUNGU mbariki Magufuli Amen!!!!!
@@michaelwillombe1794 Dah! Asante sana kaka. Binadamu ni wepesi sana kusahau. Nchi hii ilikuwa kama shamba la bibi. Watumishi hewa. Wanafunzi na mikopo hewa. Vyeti feki. Wizi wa makinikia. Mikataba mibovu. Miundombinu duni. Mashirika kama ATCL yalikuwa yamekufa kabisa. Meli? Hospitali CT-SCAN na dawa kuibiwa au kuharibiwa kwa makusudi. Wale jamaa waliokuwa wanakula mishahara ya mamilioni. Mafuta ghafi/petroleum. Safari nyingiii za nje ya nchi. Jamani wahenga walisema: usiache mbachao kwa msala upitao.
@@missangela6720 Asante dadaangu. Kuelewa wanaelewa sana sema fikra ndo bado hazijakomaa. Wanataka aje rais aseme nchi hii bado masikini yule aliesema nchi hii tajiri alikua muongo ili waanze kutupiga za uso. Bila Magufuli mataifa mengine mpaka leo wangekua gizani kuhusu suala la CORONA lakini MUNGU kafanya ufunuo kwetu tanzania. Leo hatuogopi mikusanyiko tupo huru na maisha yanaendelea. Ndugu zangu watanzania tuache uvivu hakuna mtu atakaekuletea maendeleo zaidi ya wewe mwenyewe, serikali inarahisisha kila mmoja wetu afikie malengo kwa haraka kwa kununua ndege, meli, kutengeneza barabara za lami, kutengeneza mabwawa ili tuwe na umeme wa uhakika nakadhalika. Biashara ziende haraka kutoka kwenye vyanzo vya uzalishaji mpaka sokoni kwa haraka. Pia tusibweteke sio ukisoma mpaka ma degrees na ma masters lazima ukaajiriwe. Angalieni matajiri wa tanzania na nchi nyingine niwafanya biashara sio waajiriwa jamani tuwe na initiatives tuwe watu wakufanya research hakuna alie masikini umasikini ni tabia ya kila mmoja mvivu. Hakyna atakaekuletea chakula na hela mezani brethren. Let us be creative.
Magu anjielewa sana anatakiwa awafanyie nini kwa watz ndio maana anafanya, wasiomuellewa kwa sababu zao watajijua mwenyewe na chuki zao piga kaz mzee baba usijali wanafiki
@@maribaisack2097 Ujue hamjui vile wapinzani wanavyofanys hujuma ili wasipewe maendeleo ili wapate visongizio kwamba serikali imeshindwa kutekeleza ilani. Kama mtu anaweza kusingizia alivamiwa na kuteguliwa mguu, atashindwaje hizo figisu? Mbona Arusha walijichomea ofisi ya chama?
Alafu ukisikia Yanga wanaisema sana Simba wamezidiwa. CCM msiwaseme sana CHADEMA majukwaani watu wengi walikuwa hawajui CHADEMA ni kina nani nyie ndio mnawapandisha chart wajulikane. Kila kukicha CHADEMA mnawaogopea nini haswa kwa kuwa wana MAKAMANDA.
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
Japi ni kweli umefanya ufisadi na wizi mkubwa wa rasilimali zetu baba tutakupa miaka 5 maana wewe umetuwezesha kuwaona diamond. Tulikuwa hatujawahi baba. Sisi tunajua inabidi watu wapigwe risasi na hata wengine wafe ili mabeberu waogope baba. Hiyo copta panda na siku moja utatupakia ukiongeza miaka 10 mengine ya urais
kwahayo maneno mbona nikama unafanya siasa hadi kwenye ukwer mbona ulisikika ukisema maendeleo hayana chama kwahiyo hapo umeongea nini? acheni kujisahauliaha
Hii ya kutumia Luga zingine mbona TUME imetoa sheria na imekataza wagombea wasitumie Lugha zingine sasa mbn uyu mgombea anatumia au ni kwa baadhi ya wagombea tu alafu mbona kuna wakt anasemaga maendeleo hayana chama alafu anakuja anasema tusipochagua ccm aweki maendeleo hii inachanganya sana
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
Hukumwelewa JPM kaka. Alisema wapinzani wanakataa kupitisha bajeti na kupinga kila kitu na kitukana. Sasa maendeleo ya majimboni mwao wanayapatejee kimfano???? Wear uwe ndo baba halafu mtoto akutukane halafu anataka umlishe, inakujaaaa? Mbona waungwana majimbo yao yanang'aa freshi tuuuu
Ahahss kakufsnyaje? Wengine tunampa hata kama hajawahi kufika huku kwetuuu. Maana aliyoyaganya hakuna Mtanzania ambaye hajafaidi matunda yake mazuri. Unaambiwa ile makinikia ilikuwa miradi ya mabepari na wanagawana na madalali wao humo nchini. Magufuli kapiga stop. Utaavhaje kumpigia kura kimfano??????
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
Kwaiyo bila kiongozi wa ccm jimbo lake huwezi kufanya maendeleo wakati wewe ndio kiongozi wa tanganyika sio wabunge wala madiwani wewe fanya maendeleo wasiokupenda wakupende wachakutaka watu wote wapende ccm bila upinzani huwezi kufanya maendeleo hata maisha yetu y majumbani tunapambana n wapinzani
Ili tujifunze kuunga mkono bajeti na kushirkiana na serikali katika kuendeleza gurudumu la maendeleo majimboni. Jinsi viongozi wenu walivosusia bunge waksti wa korona, ndo sera yenu ya kukataa kila kitu ili ionekane serikali ya JPM haifanyi kazi. Pamoja na kuwa mmejifunza kulenga shabaha zenu bila kukosea, wenzenu tumejifunze kuruka juu angani bila kutua. Hahahaha Tukutane Oktoba 28 my kaka. Cheers
@@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.
@@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.
@@jumailinje3145 Bunge letu limerekebisha mikata mibaya ya madini iliyokuwa inatunyonya, wakati huo tulikuwa tunapata mrabaha wa asilimia 4 tu! Na hata hiyo nne hatukuwa tumelipwa tangu 1998! JPM amefanya mabadiliko makubwa, sasa hivi wachimbaji wa ndani na wachimbaji wadogo2 wamepewa vipaumbele kwenye sekta ya madini. Pia lazima wananchi wa eneo husika la madini wafaidike kwa uchimbaji wa madini: fidia, biashara, miundombinu, huduma kama vile vituo vya afya, shule, nk. Tatizo la upinzani ni kupinga kila kitu, hata yale ambayo yangepaswa kuungwa mkono na kila Mtanzania. Hilo ni kosa kubwa sana. Halafu pili, kama wao ni kupinga kila kitu basi hawastahili kuchaguliwa na wananchi kuwa wawakilishi wao. Kwa namna hiyo, wakiendelea kukataa kila kitu, na kupinga na kutukana, hawawezi kuleta maendeleo katika majimbo yao. Ndiyo maana JPM anawatahadharisha wananchi wawe makini wasiwachague viongozi ambao hawajitambui wala hawatangulizi maslahi mapana ya nchi.
@@jumailinje3145 tatzo cdm hawaeleweki kipndi cha JK walipga mambo mengi saivi wanamsifu JK vp hapo ww unaelewa nn kwenye chama hawajawai kuptisha bajet yoyote inayo letwa bungen unaelewa nn kwenye chama kama hicho ingekua uchaguzi ukipta wanaunga bajeti na kuahilikiana kwenye maendeo hapo sawa walisema shilika la ngege limekufa JPM kalifufua saiv wanapnga ndo nn tuwaelewe
Sio kila mmoja atakupenda na sio atakae kuchukia sio mtanzania ubaguzi kwa muongoza nnchi sio mzuri Tanzania nimoja mtu akupende asikupende bado ni raia wa Tanzania ana haki yakufanyiwa kinacho staili kama mwanannchi
Watu wanachaguliwa na wananchi zikija bajeti za maendeleo wanapinga .......ungekuwa ungefanyaje? Hizo kauli anaongea ila wawakilishi wengi wabunge wanakimbia hawasemi matatizo ya wananchi wao.....
@bjzee, upinzani wa nini tanzania kwanza, wapi uliona upinzani kabla ya maendeleo ya nchi, democrasia dunia nzima hawakuwa nayo mpaka walipo jijenga MAGUFULI OYEEE
@@mzalendomzalendo2567 Mfumo wa vyama vingi ni mpango wa mabepari kuendelea kuinyonya bara la Afrika na kuzidisha umaskini wa wananchi. Imagine chama kimoja cha ACT kimepewa 18,000,000,000 /bilioni 18 kwa ajili ya kampeni tu. Hapo kuna vyama zaidi ya 13. Bado Tume ya uchaguzi. Karatasi za kura tu zenyewe tunachaps kwa bilioni 44 South Afrika.
Anasema kweli kwa sababu wapinzani mjengoni Dodoma kazi yao kupinga kila kitu na kutukanaaaaa sasa miradi ya maendeleo unadhani wataifustilia? Lengo lao kuvuruga juhudi za maendeleo ya Anko ili ionekane JPM kashindw kazi. Lakni bado Rais wetu anawapelekea maendeleo hadi majimboni mwao kama Arusha kwa akina sijui Lema
Jembe Magufuli nakukubali sana Rais wangu. Mungu atupe nn watanzania. Love mingi mingi sana kwako
Like kwaa. Baba wa taifa hili john pombe Joseph magufuli. Kwa kazi nzuri
ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
Leo Ni SIKU nzuri 🌹 nawe Ni Mtu wa Muhimu sana, nina Imani una Bando . pata Kisa Cha Nyerere 🎇 ruclips.net/video/4TlVwbmMr3Y/видео.html
Magufuli hoyee utashinda kwa kishindo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu 💯💯💯💯
Ccm hoyee 💯💯💯
Yes. Upinzani wataaibika na vibaraka wao. Wale wanaosahau mema ya JPM ni wakati wa kujitafakari sana na kufanya uamuzi wa akili na siyo kwenda kwa msisimko na mkumbo. Tutakuja kujuta sana.
Barikiwa baba yetu Dr.John Pombe Joesph Magufuli, historia yako kwetu TZ haitakaaa ifutike mpaka juu mbinguni. Umetutoa gizani nchi mzima. Tunakuombea USHINDI MKUBWA MNOMNO.
Thanks my dada. Ameifanya nchi imerudi kwenye ramani. Madini ya Tanzanite walikuwa wanachimba kilo 300 kwa mwaka. Baada ya JPM kuweka ukuta, sasa ni kilo zaidi ya 4000. Kutoka ndege moja mbovu hadi ndege 11 kubwa.
ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
Unatupenda na tunakupenda MUNGU akulinde na Mabeberu
Jembe Magu la watu wengi hongera kiongoz
Tunampenda hivyo hivyo hata mkimponda
Asantee N. Cheers! Tunakumbuka JPM alikotutoa. Tunajua haya yote ni pressure kutoka magharibi. Siunakumbuka ilivyokuwa Libya na Venezuela? Rais walidanganywa kwa kila namna hadi Marekani ikawa inawarubuni wananchi kwa misaada, wakati huohuo imeiwekea nchi vikwazo vya kiuchumi. Ulishaona wapi kitu kama iko? Ujue mataifa ya ughaibuni yana lengo moja tu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Tanzania. JPM alikuwa amesema NO. Sasa dalali wao kajivika mavazi ya kuwatakia mema wananchi. Huo ni uongo. Angekuwa hivyo, asingepinga ile sheria ya madini. Asingejihusisha katika ukamataji wa ndege zetu SA na Canada. Asingeizodoa nchi yetu katika kipindi cha korona. Huo siyo uzalendo ni usaliti. JPM kajitoa kwa dhati kuipigania nchi yake usiku na mchana.
Hautasahau john , pia na Pope ao Magufuri nani hafunge na Magufuri nyumbani , baba huu 👍👍👍👍👍👍
Chapa kazi mzee wasio kuelewa watakuelewa tu
TUNDU LISSU AKIIPATA HII VIDEO SIJUI ITAJUWAJE? NABII TITO AMCHAFUA HADHARANI BILA WAGA
ruclips.net/video/z_gKZGWdaQs/видео.html
Sawa baba wapinzani kila kitu wanapinga bungeni Sasa Afanyeje? Bajeti wanapinga shida Sana chagua CCM no MOJA DAIMA
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Rais wetu......
RAISI WE2
Mab
Wako
🙏🙏🙏
Sahihi
0656909023
MASWALI HAYA LAZIMA YATOKE KWENYE MTIHANI WAKO
ruclips.net/video/x9UTZnq5GWw/видео.html
WAPIGAJI WOTE HAWAWEZI MPENDA JPM
Ukwel ndio huo
Umeonaeee JPM ni mzalendo wa kwanza. Alisema They thought I would be part of them. Never!
Umetonesha kwenye kidonda. Ukweli ndo huo. Walifanya siasa ni dili akaja mzalendo asiependa ujinga, akabana mirija ya unyonyaji mpaka kwa wazungu, leo eti hatumtaki amaa kweli bora ukweli mchungu kuliko ungo mtamu maana mwisho wa siku majuto ni maumivu makali. Wavivu wa kufikiri na wavivu wa kufanya kazi ndo utawaona wanataka mpaka vitambulisho vya umachinga eti vitoweke, sasa mapato kwa kuiendeleza nchi yenu mtatoa wapi? Majibu ni kwenda kuiuza nchi kwa kuweka rehani madini raslimali za taifa na kuomba mikopo ambayo mwisho wa siku itashindikana kuilipa na kuiuza nchi. Jamani hakuna binadamu alie mkamilifu sawa ila Magufuli kafanya ya uzalendo wa kweli kaonyesha jinsi gani anaipenda Tanzania 🇹🇿 kwakweli mtu anaebeza basi hata malezi ya kwao hayakua safi hakufundishwa neno Asante. Ingekua marais nao wanasajiliwa na mataifa mbali mbali kama wachezaji mpira, yaani Magufuli angeshanunuliwa kwa pesa nyingi sana ili akafanye kazi nchi nyingine. Tunambeza sisi wakati ni tunu ya taifa letu. Akina mbowe na lisu wanapigana risasi eti ni magufuli, wanaanguka wanategua miguu eti ni Magufuli aibu kwenu viongozi waongo hata mkipewa nchi mtaiongoza kwa uongo uongo. MUNGU tuvushe tukinge na ufedhuli huu na uchafu huu kama ulivyotukinga na CORONA kwa kumpa hekima na busara kiongozi wetu wa Tanzania. MUNGU ibariki Tanzania MUNGU mbariki Magufuli Amen!!!!!
@@michaelwillombe1794 Dah! Asante sana kaka. Binadamu ni wepesi sana kusahau. Nchi hii ilikuwa kama shamba la bibi. Watumishi hewa. Wanafunzi na mikopo hewa. Vyeti feki. Wizi wa makinikia. Mikataba mibovu. Miundombinu duni. Mashirika kama ATCL yalikuwa yamekufa kabisa. Meli? Hospitali CT-SCAN na dawa kuibiwa au kuharibiwa kwa makusudi. Wale jamaa waliokuwa wanakula mishahara ya mamilioni. Mafuta ghafi/petroleum. Safari nyingiii za nje ya nchi. Jamani wahenga walisema: usiache mbachao kwa msala upitao.
@@missangela6720 Asante dadaangu. Kuelewa wanaelewa sana sema fikra ndo bado hazijakomaa. Wanataka aje rais aseme nchi hii bado masikini yule aliesema nchi hii tajiri alikua muongo ili waanze kutupiga za uso. Bila Magufuli mataifa mengine mpaka leo wangekua gizani kuhusu suala la CORONA lakini MUNGU kafanya ufunuo kwetu tanzania. Leo hatuogopi mikusanyiko tupo huru na maisha yanaendelea. Ndugu zangu watanzania tuache uvivu hakuna mtu atakaekuletea maendeleo zaidi ya wewe mwenyewe, serikali inarahisisha kila mmoja wetu afikie malengo kwa haraka kwa kununua ndege, meli, kutengeneza barabara za lami, kutengeneza mabwawa ili tuwe na umeme wa uhakika nakadhalika. Biashara ziende haraka kutoka kwenye vyanzo vya uzalishaji mpaka sokoni kwa haraka. Pia tusibweteke sio ukisoma mpaka ma degrees na ma masters lazima ukaajiriwe. Angalieni matajiri wa tanzania na nchi nyingine niwafanya biashara sio waajiriwa jamani tuwe na initiatives tuwe watu wakufanya research hakuna alie masikini umasikini ni tabia ya kila mmoja mvivu. Hakyna atakaekuletea chakula na hela mezani brethren. Let us be creative.
Magu anjielewa sana anatakiwa awafanyie nini kwa watz ndio maana anafanya, wasiomuellewa kwa sababu zao watajijua mwenyewe na chuki zao piga kaz mzee baba usijali wanafiki
MAGUFURI NDO RAISI WA WANYONGE NAUNGA MKONO MIAKA 5 TENA
Uchaguzi mtupuuuu
Kwanini uwaombe kura.kura zote ni za kwako
Chumaaaaaa ✔️💯
Umepata baba ccm oyeeee
Jpm namba moja
True. Unaambiwa huko kwa wenzetu kila mtu anasema: we want our president to be like Magufuli of Tanzania
Magufuli baba lao💪
NAKUBALII KAZ ZAKO MKUU BIG UP SANAAA AISEEHH ILA EMAIL YNGU BADO HUJA REPLY MKUU🙏🙏🙏💪💪💪💪
@@maribaisack2097 Ujue hamjui vile wapinzani wanavyofanys hujuma ili wasipewe maendeleo ili wapate visongizio kwamba serikali imeshindwa kutekeleza ilani. Kama mtu anaweza kusingizia alivamiwa na kuteguliwa mguu, atashindwaje hizo figisu? Mbona Arusha walijichomea ofisi ya chama?
@@bajajre6638 unapatikana wapi??
Yule mlemav wa miguu ana kaz Sana kwakoo Mzee, anajikaza tuuu
Usiseme mlemavu. Ni sisi ccm tulompiga risasi. Hapa unampaka matope baba magu
JPM OYEEEEE
CCM oyeeeee
Alafu ukisikia Yanga wanaisema sana Simba wamezidiwa. CCM msiwaseme sana CHADEMA majukwaani watu wengi walikuwa hawajui CHADEMA ni kina nani nyie ndio mnawapandisha chart wajulikane. Kila kukicha CHADEMA mnawaogopea nini haswa kwa kuwa wana MAKAMANDA.
Safi Sana jembe, utapita
Naamini IPO siku wasiojua uwepo wako wataujua na watakuwa njia moja na we we, endelea kupiga kaz wakisutuka tuko mbali kwamba were ndiwe sahihi
Ccm oyeeeee
Nakubali chuma
Baba lao Magufuli ni Wewe tu Mungu yuko upande wako kabisaa
Lkini mzee wangu. Mm nauliza suali moja. Kwa nn hizo Gari Mumeweka rangi za CCM.
Kwa sababu ni mali ya CCM
Hata angeweka rangi ya ACT ungeuliza tu
@@georgegodfrey4776 Kuuliza si ujinga. Aheri huyu kuliko wale wanaotukana. Anayeuliza huwa anataka kuelewa
Lov u magu😘
Kwa ubaguzi huu hutopata kura
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
Yep! Umenikoshaaaa nimekuoenda bureee. JPM will always be remembered as the President who made our country great again. Hapo upoooo?
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
Safiiiii
Yesu kimbio hajawahikuniacha
Umepita
Japi ni kweli umefanya ufisadi na wizi mkubwa wa rasilimali zetu baba tutakupa miaka 5 maana wewe umetuwezesha kuwaona diamond. Tulikuwa hatujawahi baba. Sisi tunajua inabidi watu wapigwe risasi na hata wengine wafe ili mabeberu waogope baba. Hiyo copta panda na siku moja utatupakia ukiongeza miaka 10 mengine ya urais
Safii Sana💯✔️
kwahayo maneno mbona nikama unafanya siasa hadi kwenye ukwer mbona ulisikika ukisema maendeleo hayana chama kwahiyo hapo umeongea nini? acheni kujisahauliaha
Raid Wa maana JPM hooyeeeee,!!
Hii ya kutumia Luga zingine mbona TUME imetoa sheria na imekataza wagombea wasitumie Lugha zingine sasa mbn uyu mgombea anatumia au ni kwa baadhi ya wagombea tu alafu mbona kuna wakt anasemaga maendeleo hayana chama alafu anakuja anasema tusipochagua ccm aweki maendeleo hii inachanganya sana
Hao wengine wanakataa bajeti Sasa maendeleo jimboni yatakwendaje? MAGU Yuko sahihi kabisa Safi sanaaa
Hapo sasa
@@ibrahimmwendo5076 Bungeni wanataka kwenda, maendeleo hawataki. Sasa tuwaeleweje, kwa mfano?
Wangap walilio sikia kulia kushoto
Daaaaaaah,
Hivi ni kweli baba umelala,
Pumzika kwa amani CHUMA
Nakutogilwe sana JPM
makufuli hayana nafas tanzania
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
Mitano tena kwa Dr J P M
eti ulijenga ww, hela zetu useme umejenga ww?? watanzania wanakubali tu eti
Jiulize kwa nini hawakujenga miaka yote, ukipata jibu niambie. Hapo upooo???
Eti upendo, watu tunalipa kodi we mzee acha kutufanya mateka wako sisi sio sawa na watoto wako sisi ni watanzania walipa kodi
Je kuna nchi gani duniani hawalipi kodi? Bila kodi hakuna maendeleo. Sawa zamani kodi zilikuwa zinalipwa lakini zilikuwa hazifanyi kazi zinazolengwa.
Hujanielewa ww
Huyu hakuwa Raisi wa helicopter kama waliopo leo
Rudini nyumbani kwa lisu kumenoga
John Pombe Magufuli ww ni mfano wa Moses aliye watoa wana wa Israel kwenye utumwa
LIRAISI LETU ILO JPM LIKAMANDA LIBABALAO💪
Washaur mmushaur kusema kaul hzo n ubaguz
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ulungongo gugasate nadume nulugulya bhugale bhujiku da! Hatali 🔥 jamani magufuli wangu
Hatunywi sumu hatunyongi ccm mbele Kwa mbele
MAGUFULI Baba lao
Five Tena
Umepita mheshimiwa
Ubaguz Sana
Pombe mhh ayo majina tu kweli tutakoma
Siasa kweli utumwa WA files mweeee!
Kumbe wewe si mpenda Maendeleo badala yake wewe ni mpenda ccm kwa maana hii mfumo huu sio kabisa
Hilo vumbi ni utawala wenu mbaya WA ubaguzi
Mmm wivu sana wewe kakangu
Wewe ulikuwa mzalendo wa kweli kweli.
Mzee wewe ni kiongozi in real,siyo kiongozi maneno
Ubaguzi wa chama hatutaki nilikuwa nakuheshim lakini mhhhh
kweli kabisa mbaguzi uyo
Eti ndio mzalendo uyo
Hukumwelewa JPM kaka. Alisema wapinzani wanakataa kupitisha bajeti na kupinga kila kitu na kitukana. Sasa maendeleo ya majimboni mwao wanayapatejee kimfano???? Wear uwe ndo baba halafu mtoto akutukane halafu anataka umlishe, inakujaaaa? Mbona waungwana majimbo yao yanang'aa freshi tuuuu
@@danielbaraka8903 je yule pimbi?
Hatukupiiiiiiiiiiii
Ahahss kakufsnyaje? Wengine tunampa hata kama hajawahi kufika huku kwetuuu. Maana aliyoyaganya hakuna Mtanzania ambaye hajafaidi matunda yake mazuri. Unaambiwa ile makinikia ilikuwa miradi ya mabepari na wanagawana na madalali wao humo nchini. Magufuli kapiga stop. Utaavhaje kumpigia kura kimfano??????
Magu kwa Igagala zote zako!!!!!!
Amina amina
Kwei. Magufuli. Uko. Raba. Sana. Tena. 10
Woyoooo
Noooma xana
Tutembelee na sisi huku ludewa mheshimiwa
Ulijenga wewe unahela ya kutujengea kutoka mfukoni kwako ?kujenga zahanati na Barbara siyo msaada mkuu wangu
Wewe ulitaka upewe nini kijana mvivu????
Ulitaka afanye nini? Ulitaka ajenge na pesa zake? Mbona akili finyu jamani? Nenda kampigie kura Lissu wenu na Zitto. Tuache sisi.
JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.
Watanzania tumchagua Lissu atukombowe.tumeteseka sna kipindi cha magu
Fara wewe umeteseka kwa lipi,we na wapigaji wengine mtakiona
@@Duniakuu25 sasa basi..ibeni kura muone cha mtema kuni
Kwaiyo bila kiongozi wa ccm jimbo lake huwezi kufanya maendeleo wakati wewe ndio kiongozi wa tanganyika sio wabunge wala madiwani wewe fanya maendeleo wasiokupenda wakupende wachakutaka watu wote wapende ccm bila upinzani huwezi kufanya maendeleo hata maisha yetu y majumbani tunapambana n wapinzani
We ni jembe , Hata upande wa pili wanajua wewe ni Jembe
Huwezi kumpa mtoto wa jirani chakula na familia yako ina njaa.😂😂😂 Ubaguzi haujawahi kuicha salama ccm.
Ili tujifunze kuunga mkono bajeti na kushirkiana na serikali katika kuendeleza gurudumu la maendeleo majimboni. Jinsi viongozi wenu walivosusia bunge waksti wa korona, ndo sera yenu ya kukataa kila kitu ili ionekane serikali ya JPM haifanyi kazi. Pamoja na kuwa mmejifunza kulenga shabaha zenu bila kukosea, wenzenu tumejifunze kuruka juu angani bila kutua. Hahahaha Tukutane Oktoba 28 my kaka. Cheers
@@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.
@@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.
@@jumailinje3145 Bunge letu limerekebisha mikata mibaya ya madini iliyokuwa inatunyonya, wakati huo tulikuwa tunapata mrabaha wa asilimia 4 tu! Na hata hiyo nne hatukuwa tumelipwa tangu 1998! JPM amefanya mabadiliko makubwa, sasa hivi wachimbaji wa ndani na wachimbaji wadogo2 wamepewa vipaumbele kwenye sekta ya madini. Pia lazima wananchi wa eneo husika la madini wafaidike kwa uchimbaji wa madini: fidia, biashara, miundombinu, huduma kama vile vituo vya afya, shule, nk. Tatizo la upinzani ni kupinga kila kitu, hata yale ambayo yangepaswa kuungwa mkono na kila Mtanzania. Hilo ni kosa kubwa sana. Halafu pili, kama wao ni kupinga kila kitu basi hawastahili kuchaguliwa na wananchi kuwa wawakilishi wao. Kwa namna hiyo, wakiendelea kukataa kila kitu, na kupinga na kutukana, hawawezi kuleta maendeleo katika majimbo yao. Ndiyo maana JPM anawatahadharisha wananchi wawe makini wasiwachague viongozi ambao hawajitambui wala hawatangulizi maslahi mapana ya nchi.
@@jumailinje3145 tatzo cdm hawaeleweki kipndi cha JK walipga mambo mengi saivi wanamsifu JK vp hapo ww unaelewa nn kwenye chama hawajawai kuptisha bajet yoyote inayo letwa bungen unaelewa nn kwenye chama kama hicho ingekua uchaguzi ukipta wanaunga bajeti na kuahilikiana kwenye maendeo hapo sawa walisema shilika la ngege limekufa JPM kalifufua saiv wanapnga ndo nn tuwaelewe
Mambo
Basi tu
Sio kila mmoja atakupenda na sio atakae kuchukia sio mtanzania ubaguzi kwa muongoza nnchi sio mzuri Tanzania nimoja mtu akupende asikupende bado ni raia wa Tanzania ana haki yakufanyiwa kinacho staili kama mwanannchi
Wawa na mama yu utaisoma namba mwaka huu
Ubnafsi mzee
Mmmmh!
Ndio rais wa kwanza kutangaza ubaguzi wa maendeleo kutokana na vyama. Kina kikwete hawakua hivi. Nilimpenda ila kwa kauli hii wengi wata mchukia
Mm bado nampenda na usemayo si kweli,
Pekeako labda
Watu wanachaguliwa na wananchi zikija bajeti za maendeleo wanapinga .......ungekuwa ungefanyaje? Hizo kauli anaongea ila wawakilishi wengi wabunge wanakimbia hawasemi matatizo ya wananchi wao.....
@@siromyhemed9464 . Hawasemi kivipi wakati wanapingwa kwakua ni opposition. Kwani hamsikii anacho kisema
Hata usemeje nampenda hivyo hivyo
Tumeiona, ndo inayokwenda chato hii?
No
Maendeleo hayana chama leo unakataa maendeleo kwa wapinzani
Tatizo ya wapinzani hawana shukurani vichaaaa.
Wanakula ruzuku matapeli hao hasa chadomooo hafai hata kuishi na binadamu wahuni wale
@@sahachi397 Kabisa. Wana lengo la kumvurugia Anko ili ionekane hafanyi kitu. But hawatafanikiwa
Amedhihirisha majimbo ndiyo wakati wake. Ina maana sisi upinzani ndio basi Tena. Tumemsoma
Naona hujamwelewa Rais wetu
mungu mkuu najua nimapenzi ya mola
💚💚🖤😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲
Mh
Wajumbeeeeeeeeew
Kwa hivyo Hakuna upinzani Tanzania si mseme tu
@bjzee, upinzani wa nini tanzania kwanza, wapi uliona upinzani kabla ya maendeleo ya nchi, democrasia dunia nzima hawakuwa nayo mpaka walipo jijenga MAGUFULI OYEEE
Thanks
Thanks
Yaani ni tabu tupu
@@mzalendomzalendo2567 Mfumo wa vyama vingi ni mpango wa mabepari kuendelea kuinyonya bara la Afrika na kuzidisha umaskini wa wananchi. Imagine chama kimoja cha ACT kimepewa 18,000,000,000 /bilioni 18 kwa ajili ya kampeni tu. Hapo kuna vyama zaidi ya 13. Bado Tume ya uchaguzi. Karatasi za kura tu zenyewe tunachaps kwa bilioni 44 South Afrika.
Maendeleo hayana chama
Kwann wewe mbaguzi hivyo
Yaani juma kapuya ndo kakufanya ujenge barabara!!!!!!
Ajabu Sana.
Mungu ni mwema....ruclips.net/video/wr4NLOcRbSc/видео.html
Mzee sikukosoi ila nauliza tu,si unasemaga maendeleo hayachagui/hayana chama.Sasa hii kauli siielewi!
Kajisahau ila msamehe
Anasema kweli kwa sababu wapinzani mjengoni Dodoma kazi yao kupinga kila kitu na kutukanaaaaa sasa miradi ya maendeleo unadhani wataifustilia? Lengo lao kuvuruga juhudi za maendeleo ya Anko ili ionekane JPM kashindw kazi. Lakni bado Rais wetu anawapelekea maendeleo hadi majimboni mwao kama Arusha kwa akina sijui Lema
@@mosesshagembe316 good
@@missangela6720 Good baby
@@msetikebwasi6895 Thanks snaaaa jmn
malizia tuu muda wako uondoke wewe MBAGUZI..hiyo ni mikoa maskini tuu..kilimanjaro huku tumebarikiwa
We pia mbaguzi uliombagua mama ako wakat anakuzaa
Wewe ni jinga kuliko wote mtaani kwenu, Hiki chuma subiri oct 28
Kiazi wewe
Hakika mwaka huu ntampigia kura JPM namkubali sana.
Mbaguzi baba yako
Hana lolote huyu
HATIMAYE ZITO KABWE AJIUNGA CCM💥💥🔥❗️
Link👇👇
ruclips.net/video/m915JRu4XCs/видео.html
Tatizo wapinzani kinacho wafanya mumchukie Magufuli ndicho tunacho mpendea bora mjikatae2