Umbwa a.k.a lomayani a.k.a chindo man muhuni kutoka kijenge juu Aliestaharabika. Ilikua ni hip hop ngumu sana enzi hizo pale chuga mtengwa akikukutana na mnako ni vita ya hatari back in days 2002 kuja 2008 sio poa
Hip-hop artist hawafai kua fake but this Ninja here is packing, Hizo verses za kina snoop Dogg ni za Nyimbo alizofanya na watu tofauti na yeye amezipaste kwenye beats ambazo pia ni samples na za kudownlod then anatry kudanganya wasiojua....Sina shida na yeye na sijui Sana but Kwa hizo level za kazi zake hakuna manager au msanii yoyote wa majuu anaweza kubali kufanya hatakama alipwe million 100 anayoisema yeye....be real
Umbwa a.k.a lomayani a.k.a chindo man muhuni kutoka kijenge juu Aliestaharabika. Ilikua ni hip hop ngumu sana enzi hizo pale chuga mtengwa akikukutana na mnako ni vita ya hatari back in days 2002 kuja 2008 sio poa
Mbwa mzeee by nuture hiphop kuntu genuine personality .....kumpoteza kakaangu yangu na wanangu kimafungu kinaninyima usingizi mimi sungusungu lege dary
The guy is so real🤜definition of Mbwa Mzee🔥🔥
Maisha ya ndotoni yamekuja kuwa real Nakubali Broh Chindo Man
Respect to Chindo Man the Sky No Limit K- juu✊️👊❤
Nakubal chindo man
Uyu ndo top mc wa Tanzania
Umbwaa🎉🎉
Nakubali chindo man🎉
producer double MTU hatari kabisa asee.
Chindo man aka umbwa mc no 1 tz
🔥🔥🔥🔥🔥
💥💥💥💥💥
Umbwa
mmbwa chindo albam ya lomayani aje?
Mmbwa mzee nyan’gau
🎉🎉🎉
Topc mc chindo
Umbaa mzee namkubal san
GoAT. Brother @Chindoman Albam umeifanya hauja fanya fanya. Miziki ya miziki aisee
Powerful
Yo yo umbwa
Jombii
Romayani 💪🏿
Chindoman
Hip-hop artist hawafai kua fake but this Ninja here is packing, Hizo verses za kina snoop Dogg ni za Nyimbo alizofanya na watu tofauti na yeye amezipaste kwenye beats ambazo pia ni samples na za kudownlod then anatry kudanganya wasiojua....Sina shida na yeye na sijui Sana but Kwa hizo level za kazi zake hakuna manager au msanii yoyote wa majuu anaweza kubali kufanya hatakama alipwe million 100 anayoisema yeye....be real
Watu kama nyie mnatakiwa kuendelea kuwepo ili dunia ibalance.
Nyaturu kocho😅
MIX UP CHEMICAL KWENYE BALATORY.
Tindikali ft stereo & mo plus bonge la ngoma kwnye michano
ubwa
Haileti maana kupewa vesi iliyoko kwenye wimbo wa mwingine,wamekudharau
Ina make sense as a matter of LEVELS Kwa mujibu wa maelezo yake
Bila kudharaurika uwezi kueshimika, that's the real mening of hustle
@@Abdallahligunga-gr4cb umetisha sana
Umbwa