Kitu usichokijua, ukakivamia kiushabiki ni tatizo sana na hii inatugharimu sana wa Afrika, miradi yote ni sera za Chama cha mapinduzi za muda mrefu ila kila anaekuja anaona pagumu wanaipita tu kwa uwoga wa kuthubutu, uvivu pia ulichangia na hasa bank ya dunia inaogopewa sana riba ni kubwa lakini ukimudu pia wanaweza wasitoe mkopo kwa wivu mbaya na ndio mana Magu alikuwa anakopa Bank ya Afrika zaidi kuliko bank ya dunia, hivyo kwa uthubutu wake wa kutimiza ilani ya chama chake na kuwapita maraisi wote kasoro mkapa tu aliekuwa na damu mbaya watu hawakuona aliyoyafanya ikiwa udhibiti wa pesa za mapato kwa kuanzisha malamka ya mapato Tanzania yaani TRA huko nyuma ikiitwa forodha, lakini ujenzi wa madaraja barabara nk! Sasa anachokifanya mama inapaswa nae pia ashukuriwe kwa kuendeleza miradi yote aliyoiacha boss wake, Apewe sifa zake kwa kweli anafanya kazi kubwa sana maneno kidogo utendaji zaidi, shida ni moja tu anaangushwa na watu aliowapa dhamana kwa kumsaidia wengi sio waaminifu na hawaendani na kasi yake anayoitaka. Nchi za Afrika Magharibi raisi akifa au akimaliza muda wake basi miradi aliyoiacha inaishia hapo hapo na anaekuja huanzisha safari yake na mambo mapya hivyo wanaoumia ni walipakodi maana pesa yao imechezewa kwa vitu visivyoendelezwa, ki ukweli East Afrika tunajitahidi sana japo tupo na changamoto zetu ila hatuwazidi wenzetu.
Kwani MAMA SAMIA na HAYATI MAGUFULI walijenga nchi mbili tofauti?...Mbona watanzania muko na ujinga kila siku usiyopoa?...Hayati Magufuli na Samia ni boat 1, so alipopawacha Magufuli ndipo anaendelea na MAMA na ndivo tunavokwenda kiuongozi. Alipokua hai Magufuli mlimsema sana na alipokufa munamsifu sana hemu tusiwe hivyo badala yake tuongelee na tupende maendeleo na kwa sasa yanaletwa na MAMA na watanzania kiujumla. **KAMA UNACHUKIA HAMA TANZANIA HATUTAKI
@@hamadsuleiman5177 kuna watu wanaona magufuli hakutendewa haki kufa na kwanin asife yeye ni nani mpaka asife na wakati mtukufu wa daraja mtume mohammad s.a.w alikufa
Mhhh,kwa umeme huu unaosua sua kaaaa mimi hapana sitaki kulala njiani kisa umeme umekata na bahati mbaya ukate ukiwa karibu na Tabora utajua haujui 😂😂😂😂
@@leokamil6284 tukubaliane na uwalisia kama tulipigwa kwenye pesa za ndege ya mizigo hapa kwenye TREN sizani kama tutaweza kwendesha mana umeme ukiwepo majenereta na petrol hazita uzika wapigaji waendelee
Muweke na power bank ya umeme ukikatika. Mbona spidi mdogo sana wanunue vichwa vya spidi kuanzia 360km/hr Nakumbuka mwaka jana tulipanda treni ya mwendo Kasi Kutoka Kumamoto mpaka Tokyo Japan kwa lisaa limoja badala ya massa manne na dakika arobaini na SITA. Ni vizuri wanunue vichwa vya spidi kubwa.
Tren za umeme ulaya kutoka mwanza mpaka dar ikiwahi sana ni lisaa limoja na nusu au mawl,lakin hii kutoka moro mpaka dar lisaa na nusu ni tren au gar moshi?mm sjaelewa nieleweshen
nimependa video na audio quality ila natamani kujua zaidi kama kuna longer interview it will be great maana maswali ni mengi. mliondoka mda gani Dar, Mlifika mda gani Moro, hali ya vituo barabarani , hali ya kituo cha Moro?? changamoto yeyote njiani? naskia kuna AC na WiFi je vilifanya kazi?????
Kweli hivi vichwa. Ndiyo alikuwa ameagiza mwamba au ndiyo yale wabunge wetu waliapigia kila bungeni tukamunue yaliyotumika kwa sababu sisi wafrika hatuwezi kutumia vitu vipya.
hili shirika lingekua mbali sana ila kuna wahuni waliingia miaka flan hivi wakapiga pesa ila JPM akarifufua tena...R.I.P JPM japo hawakutaji sana hata hio route ya dar moro ingepewa jina jpm
Hata mimi nashangaa nchi hii utaskia treni inajaribiwa bwawa la umeme linajaribiwa.inamaana maisha yetu na Serekalini yetu yapo kwenye majaribio hayana uhakika 🙌
Unajitahidi Sana Kaka kutuhabarisha watanzania ila Kaka mie nandoto ya Kuwa mwandishi WA habar Ila Sina uwezo WA kulipa Ada nisaidie Kwa hilo takumbea paka siku naingia kaburini
Na huu umeme ai mtatuachilishia ndugu zetu hewani serikali imefanya kazi kubwa sana kuhusu treni ya umeme ila.huo.umeme.wenyewe sasa ndio kazi inapoanzia
Tatizo miradi ya viongoza ndio inachangia kuzorota kwa maendeleo ya hii nchi mtu mmoja ana basi zinaenda mikoa yote ndo maana vitu vya serikali vinakuwa kama viini macho
Wasitutoe kwenye reli ccm ni mbovu tuu imeoza mpaka basi Treni tuu ya kawaida tuu imewashinda ndo hii wataiweza,subirini story nyingiiii Hapa wameambiwa anzeni ili watu waache story za sukari na umeme. Upuuzi mtupu
😂Yani kichwa cha umeme hakifanani na ma behewa😢.,Yani mabehewa nikama ya TREN ya makaa😅😂😂😂😂😂😂yani bongo Kwa upigaji tupo vizuri ange kuwa mangu mabewa yasinge kuwa Yana fanana hivyoo walichukuwa ya TREN ya mafuta wakuweka Kwa ya umeme 😂
Ongera san john pombe magufuri kwa kazi mzuri
Umemsahau na aliyekamilisha.
Magufuri ni levo nyingine,hafananishwi labda baba wa taifa aliyetuunganisha
Hakika, bila Yeye Bado ingekuwa Bado ndoto Kwa serikali kama hizi zilizopo
Hongera sana Rais Samia
Tuacheni unafik na kazi iendelee
Samia nayeye kama mwamba aanzishe miradi yake. Tangu ameingia anatembekea michongo ya JPM
John magufuri,angemalizia miaka 5 tungepiga hatua sana ama kweli maendeleo sio siasa
Asante Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli kwa Kazi nzuri umetutengenezeya Mungu akuweke Mahali pema Kwenye Paradiso yenye amani na Furaha Amen
R.I.P CHUMA JPM!!tutakukumbuka sana kwa miradi yako hii!maono yako etc!!
Mhhhh
Kitu usichokijua, ukakivamia kiushabiki ni tatizo sana na hii inatugharimu sana wa Afrika, miradi yote ni sera za Chama cha mapinduzi za muda mrefu ila kila anaekuja anaona pagumu wanaipita tu kwa uwoga wa kuthubutu, uvivu pia ulichangia na hasa bank ya dunia inaogopewa sana riba ni kubwa lakini ukimudu pia wanaweza wasitoe mkopo kwa wivu mbaya na ndio mana Magu alikuwa anakopa Bank ya Afrika zaidi kuliko bank ya dunia, hivyo kwa uthubutu wake wa kutimiza ilani ya chama chake na kuwapita maraisi wote kasoro mkapa tu aliekuwa na damu mbaya watu hawakuona aliyoyafanya ikiwa udhibiti wa pesa za mapato kwa kuanzisha malamka ya mapato Tanzania yaani TRA huko nyuma ikiitwa forodha, lakini ujenzi wa madaraja barabara nk! Sasa anachokifanya mama inapaswa nae pia ashukuriwe kwa kuendeleza miradi yote aliyoiacha boss wake, Apewe sifa zake kwa kweli anafanya kazi kubwa sana maneno kidogo utendaji zaidi, shida ni moja tu anaangushwa na watu aliowapa dhamana kwa kumsaidia wengi sio waaminifu na hawaendani na kasi yake anayoitaka. Nchi za Afrika Magharibi raisi akifa au akimaliza muda wake basi miradi aliyoiacha inaishia hapo hapo na anaekuja huanzisha safari yake na mambo mapya hivyo wanaoumia ni walipakodi maana pesa yao imechezewa kwa vitu visivyoendelezwa, ki ukweli East Afrika tunajitahidi sana japo tupo na changamoto zetu ila hatuwazidi wenzetu.
Bira Magufuli mungesubiri sana,hiyo ni miaka 5 tu ingekuwa miaka kumi ingekuwaje
Hasira ni za nini
Kwani MAMA SAMIA na HAYATI MAGUFULI walijenga nchi mbili tofauti?...Mbona watanzania muko na ujinga kila siku usiyopoa?...Hayati Magufuli na Samia ni boat 1, so alipopawacha Magufuli ndipo anaendelea na MAMA na ndivo tunavokwenda kiuongozi.
Alipokua hai Magufuli mlimsema sana na alipokufa munamsifu sana hemu tusiwe hivyo badala yake tuongelee na tupende maendeleo na kwa sasa yanaletwa na MAMA na watanzania kiujumla.
**KAMA UNACHUKIA HAMA TANZANIA HATUTAKI
ww ndio mjinga mana akili zko zpo matakoni
@@hamadsuleiman5177 kuna watu wanaona magufuli hakutendewa haki kufa na kwanin asife yeye ni nani mpaka asife na wakati mtukufu wa daraja mtume mohammad s.a.w alikufa
Daima na milele peponi magufuli❤
Hongera sana baba John Pombe Magifuli
Mhhh,kwa umeme huu unaosua sua kaaaa mimi hapana sitaki kulala njiani kisa umeme umekata na bahati mbaya ukate ukiwa karibu na Tabora utajua haujui 😂😂😂😂
Usigope ukikata umeme tunawasha mashine ya dizel 😂
Benki pawa zipo
HONGERA MHE RAIS WETU KIPENZI CHETU WA TANZANIA KAZI IENDELEE MITANO TENA KWA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE DKT SAMIA SULUH HASSAN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤.
RIP John Pombe Magufuli umetufiiisha sehemu nzr
samia tena umeme wenyewe mizengwe hivi
Mnanikera msipomtaja magu
Tungependa kujua Mliopanda Kwa Majaribio Mmetumia Muda Gani kutoka da to Morogoro
Asante mzee wangu magufuli mungu akusamee ulio kosea🙏🙏
Hongereni, kumbe ndo.maana hapa kwetu leo umeme haujakatika. Basi endelea na majaribio kila siku. "Mgeni njoo mwenyeji apone"!
😂
Asante sana raisi samia tujipongeze Watanzania.
Hii treni kwa ndinga yangu mnanikuta nieshalewa baaa😂😂😂😂
dk90 nyingi sana ilitakiwa nusu saa
Haya kazi iendelee mama pokea 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kama ndio treni hii hakika tumepigwa sio tulio onyeshwa na JPM
Ndio maten pacent hayaachwi😅
@@leokamil6284 tukubaliane na uwalisia kama tulipigwa kwenye pesa za ndege ya mizigo hapa kwenye TREN sizani kama tutaweza kwendesha mana umeme ukiwepo majenereta na petrol hazita uzika wapigaji waendelee
hakika umenena kwel
Hivi vichwa vya treni si tuliambiwagwa ni vya majaribio tu!!!! I970's
@@wiseproent8661 SASA KAMA ULIWEZA KUPIGWA PESA ZA NDEGE YA MIZIGO WATASHINDWA VICHWA VYA TRENI HAKUNA CHA MAJARIBIA HICHO NDIO CHENYEWE
Ukiipa basi liende bila kuwako foleni moro hope izo tisini inatoboa tu chap
Hongeren sana maana tulisubir sana
Sasa dk 90 mbn nyingi hvo. Wakati kwa basi dk 120
Shingo yako imebebeba nn sasa😂😂😂
SSH Hongera saana rais kwa kuhakikisha hili jambo litimie
Hongera Tanzania, sisi huku Kenya mtuwachie uporaji wa nchi nyinyi jengeni yenu
Shida iliyopo ni sisi wa Tanzania bado hatuwezi kujisimamia , mambo yetu wenyewe.
Na dhani mnaona MABASI YA MWENDOKASI.
hiii tren ya mwendo Kasi dar mwanza inatumia mda gan
Muweke na power bank ya umeme ukikatika.
Mbona spidi mdogo sana wanunue vichwa vya spidi kuanzia 360km/hr
Nakumbuka mwaka jana tulipanda treni ya mwendo Kasi Kutoka Kumamoto mpaka Tokyo Japan kwa lisaa limoja badala ya massa manne na dakika arobaini na SITA. Ni vizuri wanunue vichwa vya spidi kubwa.
Hongera saana Mhe Rais SSH, kwa hakika umethitisha kuwa tunaweza
💃💃💃 waaaaw Mungu atusaidie !!
Habari za leo
Lisaa limoja na nusu kutoka dar mpaka moro hapana hii sio tren ya umeme mm nakataa kabsa
Treni za umeme zina levels, miundombinu yetu ndio kwanzq inaanza, hatuna vichwa au reli zinazo support 300km/h kwa sasa
Eti muda unaweza kupungua ikawa chini ya dk 90 au kuzidi ikawa juu ya dk 90. Basi tushawaelewa...
Hongera sana, Ila mlisema ni kichwa cha mkandarasi hicho
Dkk 90 uko serious kwel ww kiongoz?!....huon ata aibu kuongea ivo!...sio bus ili icho ni kifaa cha umeme
Tren za umeme ulaya kutoka mwanza mpaka dar ikiwahi sana ni lisaa limoja na nusu au mawl,lakin hii kutoka moro mpaka dar lisaa na nusu ni tren au gar moshi?mm sjaelewa nieleweshen
🤣😂🤣😂🤣mi nwnyewe Sjaelewa si waache tyu tupande mabasi tuelewe moja
Utasikia anatafutwa muekezaji wa kuendesha hii kitu. Mabasi tu yametushinda
Kabsa sio utasikia mm nadhani mpaka sasa kaleta mwekezaji
nimependa video na audio quality ila natamani kujua zaidi kama kuna longer interview it will be great maana maswali ni mengi. mliondoka mda gani Dar, Mlifika mda gani Moro, hali ya vituo barabarani , hali ya kituo cha Moro?? changamoto yeyote njiani? naskia kuna AC na WiFi je vilifanya kazi?????
Congrats❤
baada ya uchaguzi kukalibia majalibio yameanza na kusikiliza kero za wananchi nazo zmepamba moto walikua wp kusikiliza mapema
Hongera Tanzania 🇹🇿 tukinia tutaweza
Bado dkk 90 yaan saa 1:30 ni mda mrefu duuuh. Hiiyo ni kama speed ya gari
Basi panda gari ili uwahi.
Jmn me mshamba mbona naonaga ya wenzetu yapo moja kwa moja hayana mabehewa ya kuunga msaada plzzz
Kweli hivi vichwa. Ndiyo alikuwa ameagiza mwamba au ndiyo yale wabunge wetu waliapigia kila bungeni tukamunue yaliyotumika kwa sababu sisi wafrika hatuwezi kutumia vitu vipya.
Safi Sana Mama Samia suluhu Hassan kipenzi cha wazalendo wa Kweli Piga kazi Mama Wenye akili zitaanza
hili shirika lingekua mbali sana ila kuna wahuni waliingia miaka flan hivi wakapiga pesa ila JPM akarifufua tena...R.I.P JPM japo hawakutaji sana hata hio route ya dar moro ingepewa jina jpm
HATUNA BUDI KUMSHUKURU MUNGU KWA KUWAWEZESHA VIONGOZI WETU KUMALIZA MRADI HUU JAPO BADO UNAENDELEA.HONGERENI SANA WATANZANIA WOTE
Kwa Samiah asingetoa hilo agizo ndio mngefanya nini kama mbadala?
Majaribio gani hayo yasiyoisha..... wstu tunataka safari zianze.. kila siku kujaribu tu, au hamna uhakika na hilo treni?
Bila kuwasha
Hata mimi nashangaa nchi hii utaskia treni inajaribiwa bwawa la umeme linajaribiwa.inamaana maisha yetu na Serekalini yetu yapo kwenye majaribio hayana uhakika 🙌
Ndio maana umeme mdogo aaaaaaaaaaaa hii nchi nahama😂😂😂😂😂😂😂
RIP JPM
Dakika tisini???? Daaah mbona mwendo wa kinyonga
Nataka kukata online nafanyaje
Hongera kwa safari ya kwanza ya treni na ukombozi wa usafiri wa uhaukika mama tena 2025
Unajitahidi Sana Kaka kutuhabarisha watanzania ila Kaka mie nandoto ya Kuwa mwandishi WA habar Ila Sina uwezo WA kulipa Ada nisaidie Kwa hilo takumbea paka siku naingia kaburini
Treni ya kasi dakika 90!? Hamna kitu. Ukipanda gari unawahi kufika
Mbona hawajafika au umeme umakatika?
Mungu amlaani kiwete wa mzoga kwa kumuuwa JPM
"Uhuru na kazi,Hapa kazi tu, Kazi iendelee.."
Hpo hmna tren gari ya abood ilikuwa inatumia dakika 180 hapo imecmama njian kuchukuwa abiria ya. Masaa mawili na nusu
Kama dar had moro dk90 sasa had dodoma masaa6 au 7 kuna tofaut gan na mabasi ebu kwenden zenu
Hivi vichwa vya treni vya miaka ya 70's si tuliambiwa ni kwa ajili ya majaribio tu!!!??? Leo imekuaje...!!???
Dreaming 🙏🙏🙏
Wenzetu tren inatembea km 600 kwa lisaa sisi Tanzania Dar to moro masaa 2 na nakika 20 hapa tumepigwa.
Machibya huna L hivi kweli Kuna mtu ktk Dunia hii hajui kusema LEO😢
Duuh !dkk 90 ? Lisaa na nusu kutoka dar hadi moro ? Si treni ya umeme? Mi nilijua dkk 40 ,45 au 30 . Au mwandishi kakosea kuandika?
samahn naomba kuuliz hyo tren ina sola au ...😂
Kazi iendelee hakuna kama Mama, 0:53
Hii lazima ipate upinzani kwa watu wenye mabasi. Mungu saidia
Wakimaliza haraka wataomba na nini kura hizi ndo ndoano yenyewe
Rip magufuri ,hongera mama umealizia kilicho bora
Kazi iendelee hakuna kama Mama,
Ngoja tuone kodi zetu zikifanya kazi
Kwa umeme gan..!?
Sio ya mwendokasi hio ni standard
Bora mm niendelee kushabikia timu yangu yanga. Kuliko haya mambo ya treni yanan stures sana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Tureniyau,memeyachina 3:38
Umeme uki katika inakuwaje?
Mabehewa tuliyo yatarajia kuyaona kama alivyo tuahidi Rais wa Wanyonge sio kabisa🙆😭🛌
Kila kukicha ni majaribio katika vitu 🙌
Haya majaribio mbona ni kila mara 😊
Semeni tu ukweli hapa, LEO TRENI IMESAFIRI BAADA YA BWAWA LA NYERERE KUANZA KUZALISHA UMEME, RIP JPM
Na huu umeme ai mtatuachilishia ndugu zetu hewani serikali imefanya kazi kubwa sana kuhusu treni ya umeme ila.huo.umeme.wenyewe sasa ndio kazi inapoanzia
Tatizo miradi ya viongoza ndio inachangia kuzorota kwa maendeleo ya hii nchi mtu mmoja ana basi zinaenda mikoa yote ndo maana vitu vya serikali vinakuwa kama viini macho
Hiyo sio treni ya umeme wacheni kutuzengua treni ya umeme haina dereva
Ukweli toka moyoni hata haivutii mwonekano wake wakizamani sana tofauti ni viti tu😢😢😢😢 ukilinganisha na ile tunaiita Express 😢😢😢
Ni kweli Au mnaigiza?
Mbona wamechagua rangi ya yanga,hii nchi maombi hayakwepeki
Wasitutoe kwenye reli ccm ni mbovu tuu imeoza mpaka basi
Treni tuu ya kawaida tuu imewashinda ndo hii wataiweza,subirini story nyingiiii
Hapa wameambiwa anzeni ili watu waache story za sukari na umeme.
Upuuzi mtupu
Hee hii itatumalizia umeme wetu😂😂😂😂
Hii ndo ya umeme au umekosea picha🤔
😂
Tren ya arusha kwa sasa aiji
Jpm angekuwepo isingekufa hats hi I haifikishi miaka 10
Hongera sana rais Samia
Speed ya kobe
Kumbe uko kuna umeme mbona tren inatambea ila sisi wa mikowani umeme hatuna, huku kwetu tuna Wiki umeme atujauwona,
Kama kweli basi nimeamini Tanzania tumepiga hatua kubwa kabisa
Dkk 90 tenaaa ... tren haina kasi
Treni ya mchongo hapo itakuw ya mwendokasi tu na wala sio ya umeme, ilitakiwa nusu saa tu mpka moro
Mabehewa kama ya Reli ya Kati duh!
Umeme 27 ukapanda ad mamilioni lkn umeme wenyewe unakatika ad kero
Nyinyi mnajua train La umeme kweli
Minaomba umeme usikatike kwausalama wa raiya na malizao
😂Yani kichwa cha umeme hakifanani na ma behewa😢.,Yani mabehewa nikama ya TREN ya makaa😅😂😂😂😂😂😂yani bongo Kwa upigaji tupo vizuri ange kuwa mangu mabewa yasinge kuwa Yana fanana hivyoo walichukuwa ya TREN ya mafuta wakuweka Kwa ya umeme 😂
Naulii itakua sh ngapi
Hiyo rangi ya mabehewa kwakweli alochagua anyongwee 😅
Umesema inahanza safar leo kwenyekichwa cha habal