Imani ya kichaa -Mch Emmanuel Kabese
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Imani ya kichaa ni moja ya somo bora sana litakalo kusaidia katika kushikilia Imani uliyokuwa nayo wewe mtu uliyeokoka .
Kitabu cha waamuzi 11:1-3 Kwa habari za Yefta .
Mchungaji Emmanuel Kabese kupitia kanisa la Eagt Chemchem lililopo Olasiti Jijini Arusha ,Anakukuribisha katika Ibada za maombi ,na maombezi .
Namna ya kufika kanisani Panda hice zinazoelekea Olasiti shukia kituo cha Kibao cha shule ,Utaona Bango kubwa .au Uliza kwa Askofu Kabese .
Mawasiliano zaidi -0767721700.
Tembelea mitandao ya kijamii
Instagram-Eagtchemchemtv.
Facebook page-Eagtchemchemtv.
RUclips -Eagt chemchem tv .
Karibu.
Mungu akuinue baba
Ku pitia yefta imani yangu imekua,,baba nakupenda sanaaa