Imani ya kichaa -Mch Emmanuel Kabese

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Imani ya kichaa ni moja ya somo bora sana litakalo kusaidia katika kushikilia Imani uliyokuwa nayo wewe mtu uliyeokoka .
    Kitabu cha waamuzi 11:1-3 Kwa habari za Yefta .
    Mchungaji Emmanuel Kabese kupitia kanisa la Eagt Chemchem lililopo Olasiti Jijini Arusha ,Anakukuribisha katika Ibada za maombi ,na maombezi .
    Namna ya kufika kanisani Panda hice zinazoelekea Olasiti shukia kituo cha Kibao cha shule ,Utaona Bango kubwa .au Uliza kwa Askofu Kabese .
    Mawasiliano zaidi -0767721700.
    Tembelea mitandao ya kijamii
    Instagram-Eagtchemchemtv.
    Facebook page-Eagtchemchemtv.
    RUclips -Eagt chemchem tv .
    Karibu.

Комментарии • 2