Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Dada farida nakupenda najiamini kazini kwangu kwakitumia mafunzo yako yaani ni bando langu tu😘😘
Hongera sanaa
Asante dada mwnyez mungu amekupa kipaji kwakwel ashukuriwe allah!
Uko vizuri sana mungu akubariki uendelee kuishi miaka mia
Unafundisha sana dada nakuelewq
Asnte dada nakupenda
Farida Mungu akubariki sana unasaidia wengi mnooo nikiwa mmoja wapo ninae faidika na video zako
Happy new year madam wangu nimekuja nmejfunza vingi
Hongela dad nilikuwa sijui dizaini ya kuskia lasta za aina gani nimezielewa asnte
Mungu amtuze
Dd Farida upo vzur mungu akubariki
Nzuri sana hii Mungu akubariki kwa mafunzo tunayopata
Sante sana
Nimeipenda iko good madam
Vizuri sana❤
Naomba kuliza unaweza tumia rasta ya aina yoyote
Nimekuelewa Sana dada wajina
Madam wangu happy new year 💋😘
Naomba nifundishe notres
Mnasuka vizuri
Inahitaji rasta bunda ngapi
❤❤❤❤ da farida
Ni aina gani ya rasta inatumika?
Asante dada nimepata kitu
Hii Rasta inaitwaje na inauzwa Bei gan
Barikiwa san
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimekupenda hapo unasema usipokua makini unaweza kumchoma mteja ni kweli baadhi ya saloon hawana umakini unahisi kabisa huyu mtu ataniunguza aiseee , mfano wewe umesema hakikisha mpo kama wa 4 eti mtu unakuta ni mmoja anataka afanye mwenyewe
Midoli ya kujifunzia inapatkn pia?
Da farida mikia unasuka mpka mwisho
Nataka kujifunza
Niunganishe kwenye group
Dada faridakwan rasta za maj mot n tofaut na za kawaida?
kazi nzuri sana barikiwa
Sante snaaa
Rasta gani zinatumika
Ukishaweka maji moto unakausha na draya alaf ndo unafungua au unazfungua hivohivo mbichi?
Huwek kwa draya
Madam mi nimejalibu mawimbi hayakai wap nakosea?
Farida apo kwenye mawimbi ukishachoma na maji moto unatoa uzi muda huohuo au unasubiri zikauke ndo mawimbi yatokee?
Jaman uko wap nataka nisuke
Kaz nzr mnooo ila madam umebana sauti jamaniii mjitahd kuongea kea sauti kubwa iv
Sawa pia ongeza kwa simu yako
Mi nina swali.. apo kwenye mawimbi ukishaliweka na maji moto. Unayafujua muda huohuo au umasubiri zikauke ndo ufunue mawimbi
Mbona mi nikiweka mawimbi yanakuwa marefu hayawi mafupi km hvo
Madam mi nimejalibu mawimbi hayakai wap nakosa?
Unatumia rasta gan
Unaweza kusuka kwa Rasta Aina yeyote
Farida ninashida na hivo viti vya darling navipataje?
Dada farida nakupenda najiamini kazini kwangu kwakitumia mafunzo yako yaani ni bando langu tu😘😘
Hongera sanaa
Asante dada mwnyez mungu amekupa kipaji kwakwel ashukuriwe allah!
Uko vizuri sana mungu akubariki uendelee kuishi miaka mia
Unafundisha sana dada nakuelewq
Asnte dada nakupenda
Farida Mungu akubariki sana unasaidia wengi mnooo nikiwa mmoja wapo ninae faidika na video zako
Happy new year madam wangu nimekuja nmejfunza vingi
Hongela dad nilikuwa sijui dizaini ya kuskia lasta za aina gani nimezielewa asnte
Mungu amtuze
Dd Farida upo vzur mungu akubariki
Nzuri sana hii Mungu akubariki kwa mafunzo tunayopata
Sante sana
Nimeipenda iko good madam
Vizuri sana❤
Naomba kuliza unaweza tumia rasta ya aina yoyote
Nimekuelewa Sana dada wajina
Madam wangu happy new year 💋😘
Naomba nifundishe notres
Mnasuka vizuri
Sante sana
Inahitaji rasta bunda ngapi
❤❤❤❤ da farida
Ni aina gani ya rasta inatumika?
Asante dada nimepata kitu
Hii Rasta inaitwaje na inauzwa Bei gan
Barikiwa san
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimekupenda hapo unasema usipokua makini unaweza kumchoma mteja ni kweli baadhi ya saloon hawana umakini unahisi kabisa huyu mtu ataniunguza aiseee , mfano wewe umesema hakikisha mpo kama wa 4 eti mtu unakuta ni mmoja anataka afanye mwenyewe
Midoli ya kujifunzia inapatkn pia?
Da farida mikia unasuka mpka mwisho
Nataka kujifunza
Niunganishe kwenye group
Dada faridakwan rasta za maj mot n tofaut na za kawaida?
kazi nzuri sana barikiwa
Sante snaaa
Rasta gani zinatumika
Ukishaweka maji moto unakausha na draya alaf ndo unafungua au unazfungua hivohivo mbichi?
Huwek kwa draya
Madam mi nimejalibu mawimbi hayakai wap nakosea?
Farida apo kwenye mawimbi ukishachoma na maji moto unatoa uzi muda huohuo au unasubiri zikauke ndo mawimbi yatokee?
Jaman uko wap nataka nisuke
Kaz nzr mnooo ila madam umebana sauti jamaniii mjitahd kuongea kea sauti kubwa iv
Sawa pia ongeza kwa simu yako
Mi nina swali.. apo kwenye mawimbi ukishaliweka na maji moto. Unayafujua muda huohuo au umasubiri zikauke ndo ufunue mawimbi
Mbona mi nikiweka mawimbi yanakuwa marefu hayawi mafupi km hvo
Madam mi nimejalibu mawimbi hayakai wap nakosa?
Unatumia rasta gan
Unaweza kusuka kwa Rasta Aina yeyote
Farida ninashida na hivo viti vya darling navipataje?