DAYOO afunguka KIINGEREZA kumtesa, mama kuuza POMBE za kienyeji, shavu la DIAMOND, bifu na PLATFORM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Комментарии • 31

  • @alichanzi8095
    @alichanzi8095 8 месяцев назад +6

    Jamaa ni mwandishi mzuri sana, soon he's going to be one of the biggest artist in East Africa 🌍

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 8 месяцев назад +1

    Respect to dayooo his super talented 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲 keep doing the best music 🎵🎶

  • @tomfoss9613
    @tomfoss9613 8 месяцев назад +4

    Namkubali sana huu mwamba since day one namskiliza

  • @greison10b
    @greison10b 8 месяцев назад +1

    High respect Hana miyeyusho anaongea ureality wa maisha anayoptia💪💪

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 8 месяцев назад +5

    Dayo uko vzur kimziki kaza

  • @juniorchobobachaboba1581
    @juniorchobobachaboba1581 8 месяцев назад +1

    Mwaka wa mwisho kufanya kazi kwenye Company za watu,ni mwaka wa kuwa na Company yangu mwenyewe sasa.

  • @OFFICIALDEETONY
    @OFFICIALDEETONY 8 месяцев назад

    Nitaimba Sana huu mwaka

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 8 месяцев назад +1

    Ile nikuone ilee🔥✍️ ase ndo ilifanya nimjue kipindi ile natumia tiktok na hii ya huu mwaka

  • @Udiboytz
    @Udiboytz 6 дней назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @godcheudandy2534
    @godcheudandy2534 8 месяцев назад +2

    Sasa mbn hujamuuliza pacha wake yuko wapi nlitamani kujua hilo

    • @jacobfredy5677
      @jacobfredy5677 8 месяцев назад

      Pacha Ake alikuwa ni wakike na alifariki wakiwa wadogo

  • @nasramuhammad2046
    @nasramuhammad2046 8 месяцев назад +3

    Ata uku kenya tunatamba nayo

  • @Matsonwu3ti
    @Matsonwu3ti 8 месяцев назад

    Dayoo anajua sana nani muandishi mzuri wanyimbo

  • @LucyMichael-pn6pr
    @LucyMichael-pn6pr 8 месяцев назад +1

    Among my fav🤛🏼

  • @WizzyAlmando-yp7vh
    @WizzyAlmando-yp7vh 8 месяцев назад +1

    Apo kwenye chapgpt umetuokoa weng kaka sky thank

  • @estherdusabe1439
    @estherdusabe1439 8 месяцев назад

    Nakubali

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv 8 месяцев назад

    Dayoo❤🔥🔥

  • @HassanMbululo
    @HassanMbululo 8 месяцев назад +2

    Chat Gpt n atar sana

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 8 месяцев назад +5

    Napia nakushauli usiwe mlamba midomo nakuona na ww unalamba midomo sipend

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla 8 месяцев назад

      😂Wew ndio hupend? Na huwezi kumpangia mtu afanye nin 😂kwamim ninavo jua ukiongea kwa mda unakuta lips zimekauka unalamba midomo sasa nyie mkiona mtu analamba lips mnaona kama ni shoga😂😂😂

    • @fatmasaaed144
      @fatmasaaed144 8 месяцев назад

      ​@@njoroboihastlanakwambiaaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @KelvineNicodemus
    @KelvineNicodemus 4 месяца назад

    Say naitwa mangiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 8 месяцев назад

    Dabo O moja😂

  • @nanatz
    @nanatz 8 месяцев назад

    Huyuuu nae hawezi kufanya interview bira kumuogeleea platform 😏😏😏🤣 siuseme ukweli kam una murogaa mwezioooo

    • @blessedeaglemusic5324
      @blessedeaglemusic5324 8 месяцев назад +1

      😂😂😂oyaaaa...anamaniisha digital platforms sio platform msanii😅😅😅😅kua makini na chukua muda kuelewa

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 8 месяцев назад +1

    Dayoo yule shoga😅

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 8 месяцев назад

      Sijakuelewa

    • @nanatz
      @nanatz 8 месяцев назад

      Weee nae shoga ni baba akooo 😏😏 ao shoga ni dayo

    • @aminammbaga7736
      @aminammbaga7736 8 месяцев назад

      Yule ni dayon