DAYOO afunguka KIINGEREZA kumtesa, mama kuuza POMBE za kienyeji, shavu la DIAMOND, bifu na PLATFORM
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...
Jamaa ni mwandishi mzuri sana, soon he's going to be one of the biggest artist in East Africa 🌍
Respect to dayooo his super talented 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲 keep doing the best music 🎵🎶
Namkubali sana huu mwamba since day one namskiliza
High respect Hana miyeyusho anaongea ureality wa maisha anayoptia💪💪
Dayo uko vzur kimziki kaza
Mwaka wa mwisho kufanya kazi kwenye Company za watu,ni mwaka wa kuwa na Company yangu mwenyewe sasa.
Nitaimba Sana huu mwaka
Ile nikuone ilee🔥✍️ ase ndo ilifanya nimjue kipindi ile natumia tiktok na hii ya huu mwaka
🎉🎉🎉🎉
Sasa mbn hujamuuliza pacha wake yuko wapi nlitamani kujua hilo
Pacha Ake alikuwa ni wakike na alifariki wakiwa wadogo
Ata uku kenya tunatamba nayo
Dayoo anajua sana nani muandishi mzuri wanyimbo
Among my fav🤛🏼
Apo kwenye chapgpt umetuokoa weng kaka sky thank
Kabsa
Nakubali
Dayoo❤🔥🔥
Chat Gpt n atar sana
Napia nakushauli usiwe mlamba midomo nakuona na ww unalamba midomo sipend
😂Wew ndio hupend? Na huwezi kumpangia mtu afanye nin 😂kwamim ninavo jua ukiongea kwa mda unakuta lips zimekauka unalamba midomo sasa nyie mkiona mtu analamba lips mnaona kama ni shoga😂😂😂
@@njoroboihastlanakwambiaaa😂😂😂😂😂😂😂
Say naitwa mangiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Dabo O moja😂
Huyuuu nae hawezi kufanya interview bira kumuogeleea platform 😏😏😏🤣 siuseme ukweli kam una murogaa mwezioooo
😂😂😂oyaaaa...anamaniisha digital platforms sio platform msanii😅😅😅😅kua makini na chukua muda kuelewa
Dayoo yule shoga😅
Sijakuelewa
Weee nae shoga ni baba akooo 😏😏 ao shoga ni dayo
Yule ni dayon