#BREAKING
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Innocent mwageni mwenye umri wa miaka 72 ,.mkazi wa halmashauri ya wilaya ya madaba mkoani Ruvuma amekutwa ameuwawa kwa kukatwa katwa na mapanga sehemu mbali mbali za mwili wake