Iv wewe zamani ulikuwa unaimba myimbo nzuri sasa nani anayekudaganya hili wimbo wala halina msisimuko kama kamwanaishutu tafuta kalivyomuomboleza rais magufuli wewe umerongwa labda naliinaga maana sikuelewi zamani zilikuwa zinaelimisha safari ya morogoro mimi nilikuwa mshabiki wako lakini nakuhama unanikera tulipanga kukuita bariadi mjini lakini kama shomi shako nishene bayegejage
Ongera sana ngelela Kwa kazi yako nzr Niko nje ya nchi ila nakusikiliza kaka piga kazi brother
Toka nimjue ngelela hajawahi kukosea
Msanii huyu ngelela yuko vizuri Sasa Serikali ichukue hatua ya kuwaendeleza vipaji vyao.
nakubali
❤❤❤😂😂😂😂
Iv wewe zamani ulikuwa unaimba myimbo nzuri sasa nani anayekudaganya hili wimbo wala halina msisimuko kama kamwanaishutu tafuta kalivyomuomboleza rais magufuli wewe umerongwa labda naliinaga maana sikuelewi zamani zilikuwa zinaelimisha safari ya morogoro mimi nilikuwa mshabiki wako lakini nakuhama unanikera tulipanga kukuita bariadi mjini lakini kama shomi shako nishene bayegejage