Hii nchi ni ya kipuuzi sana, hivi mbona watumishi mlioaminika na raisi wetu, mama yet, mpendwa samia, hivi kichwani akili zimeenea kweliii au!!!? kwani mnashindwa mini kuwambia ndgu zake mlikomficha? Au ndyo mmemnanihii
Hi selikali ya ajabu Sana kumshika mtumishi wa mungu na hawatoi maelezo aliko jmn hii inchi tunako elekea sio salama mungu wa mbingu na inchi shuka waazibu watu wenye tabia chafu km hizi nimejisikia vby na hapo nilicho gundua ni vita iliopo hapo ni wachungaji juu ya utumishi wake Kwa kusingizia mhamiaji lkn tuombe hili taifa liondoke kwenye Hali hii
Naomba 2025 huko kinondoni mchagueni awe diwani Ili apitie kuwa mbuge Hawa ndo viongozi wenye hofu na mungu sio hofu ya wanadam mungu akulinde siku zote za maisha yako huku tuna wenyeviti watetea matumbo
Magari hayana numberplate sasa kama yaweza kuonekana gari Ina plete number lkn ni namba feki sasa vipi ikiwa haina kabisa plate number, na waliokuja hata utaratibu hawaujui kwamba inaeawapasa kuanzia serikali ya mtaa,hapo inabidi maombi watu wa Mungu KUPATA Roho ya Elia juu ya manabii wa Baal moto ushuke uwarambe ijulikane yupo Mungu wa nyakati zote na UTUKUFU ni wake milele
Yes! Big up sana Mwenyekiti hakika umeitendea haki nafasi yako.... endelea kulifuatilia jambo hili hadi ijulikane alipo Mzee wa Yesu...ili haki itendeke.
Ni kweri laweza kuwa JAMBO la kusikitisha Ila Mara nyingi Serikali haifanyi Mambo kwa kukurupuka hapa Kuna Jambo nyuma ya pazia hasa Kama suala la Imani iko na mikanganyiko hapo lazima Serikali iingilie Kati Nakumbuka habari za Mungu wa mkombo binafsi niliwahi kufuatilia hiyo maana ya Imani ya Mungu wa mkombo siyo Mungu aliye Hai Ni Kama tu suala la Mungu wa Zumaridi.
Mim namfaham vizur!!! Lkn sikuzote Mungu hawatupi walio wake Mimi yalinikuta Mambo cyo ya kawaida,Ila jaman watu tunapoenda kuabudu tupige magoti kwanza tumwombe Mungu atuonyeshe Ni wapi penye uwepo wake kwel la sivyoo mh.
AYUBU 19:25-27 "Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi. Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu; Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine. Mtima wangu unazimia ndani yangu!"
Hizi ni nyakati za mwisho watumishi wa Mungu watateswa sana Lengo Lao kufutilia mbali imani na injili ya Yesu kristo Ila watashindana nasi lakini watashindwa Wataingia kwa njia moja watatoka kwa njia saba Hatuogopi wale wauao mwili, Tunamwogopa Bwana wa Majeshi auaye mwili na roho Injili lazima isonge mbele no matter what For to me to live is christ, To die is gain
Naomba kwa unyenyekevu mkubwa serikali imalize hili tatizo kwani linelekea kwenye kuvunja amani pia linafanya serikali isieleweke pia kwani mtumishi wa Mungu afanyiwe hivi yeye Ana haki sawa na we gone wahalifu wenyewe hawafanyiwi hivyo sembuse mtumishi wa Mungu kama mtanzania natamani jambo hili litatuliwe Baraka Mungu ibariki Tanzania yetu
Huyu mwenyekiti hatakiwi kuwa tu mwenyekiti,,,,huyu anatakiwa kuwa kiongozi wa juu zaidi at least mkoani au wa kitaifa. Tuna viongozi wa ajabu sana,tungekuwa na vichwa kama cha huyu mwenyekiti Kuna kelele zisingesikiwa kabisa....
Yaaan maaskari mnakuja kumkamata Askofu usiku na mabunduki yenu kama jambazi na huku mnatishia kumvunia mlango panya road wenyewee Wana njia zao hawavamii kama nyie mlivyomvamia Askofu wetu kanisani kwake.Tunamtaka Askofu wetu Mama Samia Rais wetu wa Tanzania tunaomba utusaidie Kwa hili.
Kuna vikundi vya watu wenye roho mbayaaa! Ni zileee roho tatu za uchafu zinazofanana na vyura zinatoka katika kinywa cha lile joka, mnyama na nabii wa uongo.Hizi ni roho za mashetani! Ufunuo 16:13-14 Ndiyo zinazopinga tusipate huduma ya Mzee wa Yesu.Tupone,tufunguliwe tuwe hai, kutoka kwenye nguvu za giza kwa jina la Yesu Kristo ni ndiye Yehova hapa dunia! Mama Samia usilifumbie macho.Hawa ni watu wenye wivu wa huduma za kiroho kwa wenzao! Wameishiwa!
mama yetu Samia ushatakata nakutakasika wasikutie doa wasiojulikana washindwe wafe na walegee Tz iko mikonon mwa mama mweupe wa ngozi na nafsi wasilete madoa nchini, kemea sana mama
Maelezo ya mwenyekiti safi sana tunaomba Raisi wetu ingilia kati kukomesha unyanyasaji kama huu Kuna watu wana viupatu vyao binafsi vya kutaka kuchafua serikali yako. Mama Samia usinyamaze shughulikia watu kama Hawa wasio na weredi na kunyanyasa watu.
Mpaka mje mchomwe moto na hao wachungaji feki kama walivyofanyiwa Uganda na kibwetere ndipo mtaamini kuwa kuna shetani wamejificha nyuma ya makanisa au nyumba za ibada ,,,,,msiwe watu rahisi sana kuwapokea au mahusiano na watu wasioeleweka wanatoka wapi ,,,maisha yao ,,,nk ,,,dunia hii ni mbaya mno kwa sasa
Tunawaomba viongozi husika na taifa kwa ujumla sisi ni taifa moja na utulivu kwa wote wapendao amani Sana tunawasihi kwa unyenyekevu wenu muangalie hili ijulikane hao Yuko wapi Mzee wa Yesu naomba tena tena Sana tunaomba ajulikane Mzee wa Yesu yupo gereza la wapi au Yuko wapi hatuelewi jamani watu wanalia kanisa linalia tunahitaji uponyaji kwa Nabii yesu anayemtumia angalieni hili.
Wewe unashida ya kufikir ivi askr wa panya rodi ni wauwamiaji ivi nyie askr wote mnajua ni police tu kilakitengo kina majukum yake ndio maana mnawaoneaga police matusi yote yao walimkamata ni askr wa uwamiaji
Uhamiaji wa Tz wanaitaji elimu maana lack of education inawasumbua sana pia wawe wahungwana maana dunia yetu Mungu kawapa wanadamu na wakumbuke mipaka imekuja kuwekwa 1884-1885 na wazungu kwaiyo wawe na hekima katika kutimiza majukumu Yao! Binafsi nawajua sana,Rushwa kwa wingi,wizi,kubambikiana kesi in short nawajua sana.
Mama Samia Raisi wetu kipenzi haya mambo usiyakubali hata kidogo huyu kibiriti na Gerald wahojiwe wawe mfano Kwa wengine wanaotaka kuchafua serikali yetu Makini.
Jamani kumbe bd watekaji wapo serikalin kililio Cha Tundu lisu kupigwa na wasiojulikana mambo hazarani je ngoja tusikilz kuwa tutasikia sauti mama Samia? Big up mwenyekt
Hawa ndo walochaguliwa na wananchi. Unamchagua mtu anaeelewa wajibu wake ,sheria na taratibu za nchini. Ameeleza vizuri kiasi ambacho hata hao wasomi wanaonekana Kituko. Heko heko Mwenyekiti
Huyu mzee wa yesu siyo mtanzania na srori zake ni nzito sana kwenye nchi yake alikotojea subirieni mtayajua mengi simsemei mtajua tuu soon nchi yake wanamtafuta ck nyingi sasa ndo wamempata watamrudisha nchini kwake kujibu tuhuma zake huko hivyo watanzania kuweni makini sana na hizi dini jiongezeni jamani duh mungu awateteee mimi sihami dini yangu ngo?
kama mzee wa Yesu anamtumikia YESU aliye hai basi malango yakutimu kamwe hayata muweza funguo za mamlaka yote anazo YESU..''Bwana MUNGU ametamalaki nchi inatikisika maana yeye ndiye mkuu wa mataifa yote''mtikisiko wake uwafikie huko walipo watesi Amen
Mheshimiwa raisi mama Samia tunakuonba mzee wa yesu amekuwa msaada wawengi wengi turikuwa wagonjwa kwamikono yake mungu ametuponya wengine warikuwa vichaa kwamikono yake wamepona vijana wengi walio kuwa wanatumia madawa yakureviy wameponjwa nareo niwatumishi wa Mungu mama tunakuomba utusaidie mzee wa yesu ajurikane wapi aripo naaki itendeke
Wengi wamechukuliwa ivyoivyo na saut zimepazwa ad sasa ni kimyaaaaa.hawaonekani vituo vya police wala nguo zao.wwngine ad gar lao alijaonekana teena limemezwa😷
Serikali **mikono salama** pole mwenyekiti, umefanya ubinadam mkubwa ila hilo jibu walilokupa ni jibu ambalo siku zote hutolewa kukata maswali ili wafanye yao! Inauma sana
Waebrania 1:9 Umependa haki, umechukia maasi; Kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.*TUPENDE HAKI, TUCHUKIE MAASI NA TUPOKEE NEEMA YA MAFUTA YA SHANGWE IDUMUYO!*
Safi Sana mwenyekiti hakika mtaa wako wanajembe,Mungu amtetee huko aliko.
Hongera sana mwenyekiti hakika maelezo yako yana hekima na busara hakika unajua kujieleza vizuri .
Huu ya m/kiti anajua kujielezea sana..big up kwake
Kwanza hongera sana mwenyekit kwa kazi yako
Mungu akulinde mwenyekiti, damu ya Yesu ikufunike mnyakusa wangu.
Wasije wakakupoteza
Ila mwenyekiti Mungu akubariki cz umefanya Kwa sehemu yako
Mwenyekiti shikamoo🙌
Daaaah inaumasanaah ivitunaelekea wap tz
Mwenyekiti nimemkubali sana anajua kuelezea na kujieleza...yani ana maelezo smart sana.👏👏👏
Ana akili ndefu
Hii nchi ni ya kipuuzi sana, hivi mbona watumishi mlioaminika na raisi wetu, mama yet, mpendwa samia, hivi kichwani akili zimeenea kweliii au!!!? kwani mnashindwa mini kuwambia ndgu zake mlikomficha? Au ndyo mmemnanihii
Hi selikali ya ajabu Sana kumshika mtumishi wa mungu na hawatoi maelezo aliko jmn hii inchi tunako elekea sio salama mungu wa mbingu na inchi shuka waazibu watu wenye tabia chafu km hizi nimejisikia vby na hapo nilicho gundua ni vita iliopo hapo ni wachungaji juu ya utumishi wake Kwa kusingizia mhamiaji lkn tuombe hili taifa liondoke kwenye Hali hii
HUYU SASA NDO MWENYEKITI WA MTAA, SIYO WALE WOGA NA WANAFIKI. MWENYEKITI MITANO TENA! UMEUPIGA MWINGI! HONGERA SANA!
Kabisaa huyu mwenyekiti yuko vizuri sana
Alafu Kama vile aliwahi kuwa mwigizaji huyu Mwenyekiti
Kwa kweli mi nimempenda bure.
Mitano tena inamhusu.
Kabisa miaka mingi mingine. Naomba Mkiti uje huku kwetu Viwege utoe somo kwa wenye viti. Nimekupenda bure
👍👍
Tukipata wenyekiti wengi zaidi apa Tanzania tutafika mbali Sana shelia zinaanzia mtaani Safi Sana🙏
Safi sana mzee mwenyekiti wa mtaa,nimekuelewa upo vizuri kiutendaji mzee.
Naomba 2025 huko kinondoni mchagueni awe diwani Ili apitie kuwa mbuge Hawa ndo viongozi wenye hofu na mungu sio hofu ya wanadam mungu akulinde siku zote za maisha yako huku tuna wenyeviti watetea matumbo
Alivyoonza kutaja vyeo nikajua utopolo kumbe Mwenyekiti Yuko Vizuri Sana. Safi Sana M/KITI
Mwenyekiti anafaa Sana anajua kujieleza na anaelewa Nini anafanya, bigup kwake
Nilidhani nimeona peke yng. Lo sikumbuki nimeona wp mfano wa huyu ktk wenyeviti.
Mwenyekiti huyu angekua mkuu wa polisi wanainchi wasiona hatia wasingekamatwa na hata kama wangekamatwa wasingedhulumiwa haki zao
Magari hayana numberplate sasa kama yaweza kuonekana gari Ina plete number lkn ni namba feki sasa vipi ikiwa haina kabisa plate number, na waliokuja hata utaratibu hawaujui kwamba inaeawapasa kuanzia serikali ya mtaa,hapo inabidi maombi watu wa Mungu KUPATA Roho ya Elia juu ya manabii wa Baal moto ushuke uwarambe ijulikane yupo Mungu wa nyakati zote na UTUKUFU ni wake milele
Yuko vizuri sana
Mwenyekiti mungu akulinde uko vizuri sana
Kazi nzuri mwenyekiti.
Yes! Big up sana Mwenyekiti hakika umeitendea haki nafasi yako.... endelea kulifuatilia jambo hili hadi ijulikane alipo Mzee wa Yesu...ili haki itendeke.
Ni kweri laweza kuwa JAMBO la kusikitisha Ila Mara nyingi Serikali haifanyi Mambo kwa kukurupuka hapa Kuna Jambo nyuma ya pazia hasa Kama suala la Imani iko na mikanganyiko hapo lazima Serikali iingilie Kati
Nakumbuka habari za Mungu wa mkombo binafsi niliwahi kufuatilia hiyo maana ya Imani ya Mungu wa mkombo siyo Mungu aliye Hai Ni Kama tu suala la Mungu wa Zumaridi.
Kweli kabisaa umenena kitu ndugu.Ila huyo mzee mmmh!!! Mungu atusaidie kwakwel 👐👐👐👐
Mim namfaham vizur!!! Lkn sikuzote Mungu hawatupi walio wake Mimi yalinikuta Mambo cyo ya kawaida,Ila jaman watu tunapoenda kuabudu tupige magoti kwanza tumwombe Mungu atuonyeshe Ni wapi penye uwepo wake kwel la sivyoo mh.
Mungu wa binguni akawashushie moto katka maisha Yao hao walimshikilia
AYUBU 19:25-27
"Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi. Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu; Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine. Mtima wangu unazimia ndani yangu!"
Hongera sana mwenyekiti
Mungu yupo wakimzulu mtumishi wa Mungu watajibiwa kwa Damu ya Yesu
Amina na Mungu yupo kazini 24hrs
Kbc
Amina MUNGU MKUU ATAMUTETEYA TU MTUMISHI WA MUNGU.
Hongera Sana mwenyekit upo vzr mno
Mwenyekit uko vizuri utadumu
Turudishieni Mchungaji wetu acheni mambo ya figisu. Hongera mnyakyusa mwenzangu umeupiga mwingi sana
Hatari Sana
Naomba mungo amrejeshe mtumishi wa mungu mzee wa mungu akiwa mzima , soo sad story
Mwenyekiti ameeleza vizuri sana
Huyu mwenye kiti anafaa kua DC/RC ni mtetezi mzuri wa raia wake
Kabisa yupo vizuri
Yaani anajuwa umuhimu wa kazi yake nawala ana hofu yoyote na kazi yake
Uyu mwenyekiti apewe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimependa mwenyekiti ana vibe la kutosha,,🙏
Hizi ni nyakati za mwisho watumishi wa Mungu watateswa sana
Lengo Lao kufutilia mbali imani na injili ya Yesu kristo
Ila watashindana nasi lakini watashindwa
Wataingia kwa njia moja watatoka kwa njia saba
Hatuogopi wale wauao mwili, Tunamwogopa Bwana wa Majeshi auaye mwili na roho
Injili lazima isonge mbele no matter what
For to me to live is christ, To die is gain
MUNGU MKUU akusaidie sote. AMEN.
Naomba kwa unyenyekevu mkubwa serikali imalize hili tatizo kwani linelekea kwenye kuvunja amani pia linafanya serikali isieleweke pia kwani mtumishi wa Mungu afanyiwe hivi yeye Ana haki sawa na we gone wahalifu wenyewe hawafanyiwi hivyo sembuse mtumishi wa Mungu kama mtanzania natamani jambo hili litatuliwe Baraka Mungu ibariki Tanzania yetu
Aisee huyu mwenyekiti ana hulka zote za uongozi yuko straight forward. Inatakiwa apande cheo.
Mmmmmmh......inawezekana Kuna something else sio kawaida,
Lazima Kuna jambo hapo.
Msimguse masihi wangu, msimpangie mabaya yoyote nabii wangu (Zaburi 105:15)
Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab
Huyu mwenyekiti hatakiwi kuwa tu mwenyekiti,,,,huyu anatakiwa kuwa kiongozi wa juu zaidi at least mkoani au wa kitaifa. Tuna viongozi wa ajabu sana,tungekuwa na vichwa kama cha huyu mwenyekiti Kuna kelele zisingesikiwa kabisa....
Tatizo mfumo sio kwamba hakuna viongozi wazuri😊
Yani huyu zaidi ya mwenyekiti ni mtu na nusu au watu 1000000000000000000000
Kweli aiseee huyu ni zaidi ya mwenyekiti🔥🔥
Apewe ulinzi tu huyo mwenyekiti maana dah naogopa asije kupotea
Mungu amjale awe hai atoke
Yaaan maaskari mnakuja kumkamata Askofu usiku na mabunduki yenu kama jambazi na huku mnatishia kumvunia mlango panya road wenyewee Wana njia zao hawavamii kama nyie mlivyomvamia Askofu wetu kanisani kwake.Tunamtaka Askofu wetu Mama Samia Rais wetu wa Tanzania tunaomba utusaidie Kwa hili.
Aisee
Mwenyekiti safi uwazi ni mzuri sana
Ee Mungu tusaidie .ila mwenyekiti Mungu akubariki
mwenyekiti uko vizuri
Mungu atabaki kuwa Mungu shetani anambinu nyingi anaweza kumtumia hata binidamu tumkaribie sana Mungu
Mama anahangaika kutuletea ma investor wengine mko busy mnawaficha...Mungu teta nao wanao teta na Askofu.
Mwenyekiti yuko vizuri sana
Jamani eee mm nasema mkizaa watoto wakiume msiwaite Peter huyu Peter katuharibia mama samia
Poleni washirika
Hii nchi kuna watu wanadhani mioyoni mwao kanakwamba ni mungu ILA mungu yupo upo wakati unakuja asieujua mtu awaye yote
Kuna vikundi vya watu wenye roho mbayaaa! Ni zileee roho tatu za uchafu zinazofanana na vyura zinatoka katika kinywa cha lile joka, mnyama na nabii wa uongo.Hizi ni roho za mashetani! Ufunuo 16:13-14
Ndiyo zinazopinga tusipate huduma ya Mzee wa Yesu.Tupone,tufunguliwe tuwe hai, kutoka kwenye nguvu za giza kwa jina la Yesu Kristo ni ndiye Yehova hapa dunia!
Mama Samia usilifumbie macho.Hawa ni watu wenye wivu wa huduma za kiroho kwa wenzao! Wameishiwa!
SAMIA mwenyewe ni shetani
Huu upuuzi uliisha kabisa sasahivi umeanza tena.tuwe na utu pesa na madaraka vyeo vinamuda.ila utu unadumu hii siyo nzuri 🥺🥺🥺
Huyo sii Mungu jamani. Uhamiaji sii wajinga,
@@zablonnyanda6095 mama ni msikivu sana amempatia iliyo haki yake huyo so called askofu, saivi yuko kwao huko
mama yetu Samia ushatakata nakutakasika wasikutie doa wasiojulikana washindwe wafe na walegee Tz iko mikonon mwa mama mweupe wa ngozi na nafsi wasilete madoa nchini, kemea sana mama
Tz mna shida sana nawahamiaji hiv mnajua kuwa Rwanda Burundi Congo Uganda hawanaga shida na wahamiaji kutoka inchi jirani!🤔
Maelezo ya mwenyekiti safi sana tunaomba Raisi wetu ingilia kati kukomesha unyanyasaji kama huu Kuna watu wana viupatu vyao binafsi vya kutaka kuchafua serikali yako. Mama Samia usinyamaze shughulikia watu kama Hawa wasio na weredi na kunyanyasa watu.
Jamani huyo raisi ashindwe kuwa bize na matajiri angaike na mchungaji wa hali ya chini wakati sio mama mwajuma ninae mfahamu mm
HUYU MWENYEKITI ALINDWE MAANA ASIJE AKAPOTE BURE
anawatuma ye;e wakamate nakuua
Hawa watu sijui wanakoelekea,unakamata Mtu wa Mungu? Mimi sijui anajua Mungu.
Yaani huyu mwenyekiti anajua kuelezea kitu kwa ufasaha mpaka basi,Mungu aendelee kukupa hekima uitumie hata kwa wengine
Mpaka mje mchomwe moto na hao wachungaji feki kama walivyofanyiwa Uganda na kibwetere ndipo mtaamini kuwa kuna shetani wamejificha nyuma ya makanisa au nyumba za ibada ,,,,,msiwe watu rahisi sana kuwapokea au mahusiano na watu wasioeleweka wanatoka wapi ,,,maisha yao ,,,nk ,,,dunia hii ni mbaya mno kwa sasa
Kiongozi aliyewekwa na Mungu uishi maisha marefu
Tunawaomba viongozi husika na taifa kwa ujumla sisi ni taifa moja na utulivu kwa wote wapendao amani Sana tunawasihi kwa unyenyekevu wenu muangalie hili ijulikane hao Yuko wapi Mzee wa Yesu naomba tena tena Sana tunaomba ajulikane Mzee wa Yesu yupo gereza la wapi au Yuko wapi hatuelewi jamani watu wanalia kanisa linalia tunahitaji uponyaji kwa Nabii yesu anayemtumia angalieni hili.
mwenyekiti najiamini na ana akili hongera sanaaaa
Panya lodi wamewashinda mnakamata wa sio na hatia
Wewe unashida ya kufikir ivi askr wa panya rodi ni wauwamiaji ivi nyie askr wote mnajua ni police tu kilakitengo kina majukum yake ndio maana mnawaoneaga police matusi yote yao walimkamata ni askr wa uwamiaji
Bwana Yesu kristo ni ndiye Yehova simama mwenyewe ili haki itendeke. Wewe peke yako Yesu ndiye mtetezi.
Mmmmh hii selikali yetu mbona nihatar Sana siisemetu Yuko wapi
HUYU mwenye kiti Yuko vzr sana,
Uhamiaji wa Tz wanaitaji elimu maana lack of education inawasumbua sana pia wawe wahungwana maana dunia yetu Mungu kawapa wanadamu na wakumbuke mipaka imekuja kuwekwa 1884-1885 na wazungu kwaiyo wawe na hekima katika kutimiza majukumu Yao! Binafsi nawajua sana,Rushwa kwa wingi,wizi,kubambikiana kesi in short nawajua sana.
Mama Samia Raisi wetu kipenzi haya mambo usiyakubali hata kidogo huyu kibiriti na Gerald wahojiwe wawe mfano Kwa wengine wanaotaka kuchafua serikali yetu Makini.
Kweli Samia hajui hili?
Mw/kiti upo vizuri tunawaombea.
ZABURI 105:15
Usipange mabaya juu ya mtumishi wangu
mwenyekiti yupo vzr!
nyie pelekeni ITV na vyombo vingine vya habari,mpk bungeni pelekeni taarifa
Hivi hawa wapuuzi wa uhamiaji wanajiona wao nani!? Hii ni kawaida yao, kwanini watu wanajiona wapo juu ya sheria!? 😡 MAMAE
Mungu tunakuomba ufanye kazi yako kwani mambo ni magumu sana
Wamezoea hao mungu atawaumbua
Jamani kumbe bd watekaji wapo serikalin kililio Cha Tundu lisu kupigwa na wasiojulikana mambo hazarani je ngoja tusikilz kuwa tutasikia sauti mama Samia? Big up mwenyekt
Hawa ndo walochaguliwa na wananchi. Unamchagua mtu anaeelewa wajibu wake ,sheria na taratibu za nchini. Ameeleza vizuri kiasi ambacho hata hao wasomi wanaonekana Kituko. Heko heko Mwenyekiti
Huyu mzee wa yesu siyo mtanzania na srori zake ni nzito sana kwenye nchi yake alikotojea subirieni mtayajua mengi simsemei mtajua tuu soon nchi yake wanamtafuta ck nyingi sasa ndo wamempata watamrudisha nchini kwake kujibu tuhuma zake huko hivyo watanzania kuweni makini sana na hizi dini jiongezeni jamani duh mungu awateteee mimi sihami dini yangu ngo?
Mwenyekiti uishi maisha marefu
Daah 😭😭😭😭😭
Kweli yesu afanye njia pasipo na njia mama yetu Rais samia tunajua mungu anakutumia tunaomba usikie kilio chetu utusaidie tumpate Baba yetu
Yajayo yanafurahisha.
Watumishi wa mungu wanakufa alokufa kwenye tenk la maji mwingine alochinjwa tunaingiwa wasiwasi na hili serikali mnajua
Lazaro. 😂😂😂😂 Mdogo wangu unaupiga mwingi
Tansania Tansania tunaelekea wapi
kama mzee wa Yesu anamtumikia YESU aliye hai basi malango yakutimu kamwe hayata muweza funguo za mamlaka yote anazo YESU..''Bwana MUNGU ametamalaki nchi inatikisika maana yeye ndiye mkuu wa mataifa yote''mtikisiko wake uwafikie huko walipo watesi Amen
''malango ya kuzimu'
🤣🤣🤣
Sa itakuwaje kama hamtumikii Yesu aliye hai?
Si kweli yesu kapoteza wachugaji wenngi waogo maslahi
Mheshimiwa raisi mama Samia tunakuonba mzee wa yesu amekuwa msaada wawengi wengi turikuwa wagonjwa kwamikono yake mungu ametuponya wengine warikuwa vichaa kwamikono yake wamepona vijana wengi walio kuwa wanatumia madawa yakureviy wameponjwa nareo niwatumishi wa Mungu mama tunakuomba utusaidie mzee wa yesu ajurikane wapi aripo naaki itendeke
Mh! Wampeleke mahakamani hi tanz inakuwa kama inaendeshwa na wapumbavu
Mwenyekiti MUNGU akutunze baba
Wengi wamechukuliwa ivyoivyo na saut zimepazwa ad sasa ni kimyaaaaa.hawaonekani vituo vya police wala nguo zao.wwngine ad gar lao alijaonekana teena limemezwa😷
Hatari sana
@@leokamil6284 Mungu anaona yote.ali ni mbaya kwakweli..
Nimemuona uyo mchungaji kwenye mitandao kapelekwa kwao 🇨🇩
Thanks for the update,may God keep him safe alway
Ni kweli?,Kwa Nini SERIKALI haweki wazi basi?,Kuna ugumu gani?
Hii ndiyo kwetu jamani
Tunaomba selikali ituambie aliko Mzee wa Yesu. Hii sio Mara ya kwanza kwa Askofu kutendewa unyama huu.
wameanza mambo ya ajabu kha! kweli Magu tutamkumbuka sana
Katibha mpya ni sasa ikipatkana aya yote yatatoka mbona issue ndong2
Serikali **mikono salama** pole mwenyekiti, umefanya ubinadam mkubwa ila hilo jibu walilokupa ni jibu ambalo siku zote hutolewa kukata maswali ili wafanye yao! Inauma sana
Mwenyekiti uliyoyaeleza yote ni sahihi kabisa ndivyo ilivyokua usiku huo wa tarehe 15/5
Waebrania 1:9 Umependa haki, umechukia maasi; Kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.*TUPENDE HAKI, TUCHUKIE MAASI NA TUPOKEE NEEMA YA MAFUTA YA SHANGWE IDUMUYO!*
Loooh Tanzania ishakua chafu 🙌🏻 mm simtetei mtu lkn ukamataj gan huu mtu asionekane ameenda wap??? Loh
Mungu wangu! Hawo napolisi siku hizi nimeza meza watu wanapotea hata uki uliza hakuna majibu. Kama wale wavijana wali wameza hadi leo hakuna jibu
Tanzania yetu😭😭😭
Mchungaji ameisha kuwa congo 🇨🇩
WATEKAJI WAMEANZA , MAMA SAMIA PLZZZ TAKEOVER THIS SITUATION