, *Tafadhali kwa heshima na taadhima nakuomba tembelea channel yangu na uweze kuangalia video zangu kwa kugusa picha yangu hapo pembeni lakini pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel yangu*
Duuh yani hadi nimemkumbuka marehem babu yangu mzee said kambi pale ipinda kyela alinipa sh: 50 nikaingia video kumuona van dame babu alikua fundi cherehani
Kuna siku mama alisafiri tukatoroka kwenda kuangalia hiyo ya Jenny kurudi tukakuta wameiba kila kitu pale nyumbani. Mama tunamwambia waliiba tukiwa ndani tumelala akasema walipulizia dawa wanangu 🤣😅
Stay here ,hero, lisaa ,and welcome to Venezuela ,hivi ni viojo vilivyokuwa vinapatikana katika picha langu bora kabisa la muda wote la America Ninja 5 Complete 😔
first viwer guys wap like zangu hata kumi tu🙏
Wale tuliokua tukitoloka shule miaka ya 1990 hadi 2000 kwaajili ya izo muv tujuane
Mh wengine bado kuzaliwa
daa miaka hiyo ya 98 tumetoka kumcheki America ninja , daaah aise kweli miaka imeenda 😔
@@dasilvajunior3016😂😂😂😂 Michael Didicoff
Nimekumbuka mbali daah kuna siku mshua alinitoa nduki banda umiza kisa hizi movie
Nimejisikia raha sana maaana mi napenda sana move
Umenikosha sana Kaka yaani basi tu
Umenikumbusha mbali xna kaka
Km umemtafuta alisa milano aka jeni wa anold km mimi uko Instagram na tweeter! Like hapo twende sawa
Mi namtafuta mkali wao hero ,dogo wa American ninja
Shukrani
Asante sana
ww n fundi kaka collection kali hyo!
Good
Michael dudikoff
Daah namkubal xn enz za ninjaaa
Naomba umzungumzie Wesley Snipes ( Airplane ) Eddie Murphy ( Comming to America ) Sylvester Stallone( Tango & Cash )
Mimi naomba uhadithie wengi tu wengine nitazidi farijika
Upo vizuri sana
Nitakwenda kumtembelea Bolo young siku moja duh
Umenikumbusha mbali sana
Kabisa enzi hizo😔
Mpo vzr sana
Leleth kumalo Sarafina hiii ilituliza wengi
zamani ilikua mzuka sana
, *Tafadhali kwa heshima na taadhima nakuomba tembelea channel yangu na uweze kuangalia video zangu kwa kugusa picha yangu hapo pembeni lakini pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel yangu*
Appreciate
Justin Shed una sauti nzuri ya simulizi za mambo ya kale lakini pia ningependa uniletee habari za wajina wangu Arnold Schwarzenegger
Natamani Billy Anifundishe Taibo❤️Jamaa Alikuwa Na Double Kicks Ikamfanya Nimpende Sana
Duuh yani hadi nimemkumbuka marehem babu yangu mzee said kambi pale ipinda kyela alinipa sh: 50 nikaingia video kumuona van dame babu alikua fundi cherehani
so dope aisee
hebu fanya tupatie video za waigizaji wengine wengine
Nc
God br
Tusimulie maisha ya sasa na Historia ya Michael Dudikoff maarufu kama American Ninja
America ninja 5 complete and hero ,ndio picha langu bora la muda wote
Nzuri
Umenikumbusha mbali jamani kha mambo ya kuchungulia madirishani kama huna mia ya kuingilia 🤣🤣🤣
Kabisa
Nataka mchekeshaji bambaga mumcheki
michael kapes nae hatumuon
Cool
Nakuomb tuletee na wengine ndugu angu
🤣tumetoka mbali asante umenikubusa
Safi sana
leleti kumalo💗💗💗💗
No retret no surrender
Stor zake tafadhal
Vandamme
Napenda film ya leleti khumalo
Nahisi wamekuwa wazee sana
7
Bil blance tulipata habar kwamba amefarik hapo vp ebu tufafanulie vinzur sana
mbna umegusia wachache
Kuna siku mama alisafiri tukatoroka kwenda kuangalia hiyo ya Jenny kurudi tukakuta wameiba kila kitu pale nyumbani. Mama tunamwambia waliiba tukiwa ndani tumelala akasema walipulizia dawa wanangu 🤣😅
Niliomba video za kiafrika ata kama moja tu
It’s the voice for me 😂😂😂😅
Sijuwi adika kigereza
@@gabrielibyaese827 hata kiswahili chenyewe hujui
Video zakutisha nimemiss sana
Bro igeonesha na picture za used waoo
Rambo
Stay here ,hero, lisaa ,and welcome to Venezuela ,hivi ni viojo vilivyokuwa vinapatikana katika picha langu bora kabisa la muda wote la America Ninja 5 Complete 😔
Dah kweli kabisa mm napenda sana film yake ya soldier boys ni kali balaa
@@natafutapesa9678 ❤
Mimi nilijua mnyama billbulankx amefaliki 🏃kumbe yupo
Wabongo walivumishaga miaka mingi sana km alishaga kufa😅
Mzima
@@smartmp9681 sawa
Hahahhaha
Don't miss kuingia kweny account yang kuchek vitu mbalimbali unazozipendaa
😂😂😂
Kuna jamaa kacheza movie za mafia ninja na ninja hunter kaka nimesahau jina lake
Alexander lou
@@kibasamohamedi8029 jamaa sijui yuko wapi movie zake mzuri sanaa
Umzungumzi jack shen na ongibak
@@gastomwalyaje9998 no ni Alexander lou kuna mafia ninja na ninja hunter balaa
Ni Michael dudukofu yuleeee broooo ni noma
Hii video imesababisha ni subscribe
Hata mimi aisee
Rambo
Rambo
Rambo