Agosti 05, 2024 | Jioni | Dunia yetu leo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Yale tuliyoyapa vkipaumbele kwenye matangazo ya jioni ni pamoja na:
    - Jeshi la Bangladesh latangaza kuunda serikali ya mpito baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kujiuzulu.
    - Iran yasema ina haki ya kisheria ya kuiadhibu Israel kutokana na mauaji ya wiki iliyopita ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh.

Комментарии • 3

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf Месяц назад +1

    Nipo urambo naifuatiria dw kwa umakini

  • @JuliusMtunguja
    @JuliusMtunguja Месяц назад +2

    Mbona kuna muingiliano wa habari?

  • @user-jj6sd8me9k
    @user-jj6sd8me9k Месяц назад

    Un sujaielewa,watu wanakufa wao wanasema wapunguze mapigano