Agosti 05, 2024 | Jioni | Dunia yetu leo
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Yale tuliyoyapa vkipaumbele kwenye matangazo ya jioni ni pamoja na:
- Jeshi la Bangladesh latangaza kuunda serikali ya mpito baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kujiuzulu.
- Iran yasema ina haki ya kisheria ya kuiadhibu Israel kutokana na mauaji ya wiki iliyopita ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh.
Nipo urambo naifuatiria dw kwa umakini
Mbona kuna muingiliano wa habari?
Un sujaielewa,watu wanakufa wao wanasema wapunguze mapigano