Huyu scot pizza aliuza gari ya babaake japo hao wengine sjui walizipata wapi lkn fahamu wote wametokea rich family japo hata mm mwenywe naweza toboa ikiwa nmetokea poor family ila wao wamewezeshwa zaidi
Unaweza ukaanza na kitu kidogo si kikubwa sana,badae ukapata hiko kikubwa ndugu,pili ni nidhamu na pesa tu na kumuomba Yehova akupe afya njema na akupe nafsi ya uvumilivu,hekima pia.Mengineyo utaongezewa.
Kaka nikwambie kitu,sasa kama hujui form four level huwa wanauwezo mkubwa sana wa kuwa matajiri,maana ukifikilia kwamba yy wa kidato cha nne alianza kufanya mambo yake mapema si tu amemalza cha four ndio ameanza kufanya mambo zake,yy alianza mapema na alipohitmu sasa ndio akawa tayari ameshapevuka kabsa.
may this help alot of young hustlers in Tanzania wanao tafuta njia ya kutusua katika maisha hasa wale waliotoka vyuoni na kukosa ajira ....kabla hujachukua maamuzi ya hii biashara naomba uende GOOGLE kwenye simu yako ya kiganjani then uulize hili swali DO BILLIONAIRES DO FOREX TRADING? .... AU DO MILLIONAIRES DO FOREX TRADING? Utapata majibu mengi in summary kwa kiujumla yan ambayo utaamua wewe sasa kama uifanye au laa .....INFORMATION IS POWER...trust the process ...success is never over night ....mafanikio yako hayako kesho yapo mwez ujao ..meaning its a process n takes time n falling
Kweli kabisa mtu awe milionea inatumika kipimo cha dollar $ na sio shillings.. Kama tukitumia shilingi kama kipimo basi tutakua na mamilionea wengi bongo
Mm ningependa kujua unafanya vp iyo forex tunaomba majibu kutoka kwa franko tungependa elimu iyo itufikie sote maana aya mm msajili lain toka songea by seleman
Yaani wejamaa unatuletea makala yawatu waliotokea familiatajiri nilazima watoboe ndio kwakua nimatajiri misingiipo..poor family million70 utatoa wapi uwekeze
Scott aliuza Altezza aliyopewa Kama zawadi na baba yake,historia yake inafunza tu uthubutu lakini siyo inspirational kulinganisha na hao akina Fransisco na wengineo
@@BONGOFASTA but ametokea kwenye family yenye uwezo,vijana wanataka kuona waliofanikiwa wakitokea katika family za hali ya chini,kwa sababu hao ndiyo true definition of hustlers
Nachoangalia hapa sio aliyoinvest ila hela anayoipata toka kwenye hiyo biashara ambayo ni jasho lake...ni kama mo dewji mali kazikuta ila si kafanya kazi na kawa bilionea
Uyu dogo alkua anamsaidia mamaake kaz anamlipa akawa ana save pia babaake alxhawah kumpa alteza mpya akaiuza aka save pesa mpaka zikafk70mil+ndo akafungua iyo Scott pizzah
Hawa wote ni mafreemason na kuna watu kwenye hivyo vyama vyao huwatumia young members to establish business ,dunia unavyodhani ndio kumbe sivyo ,nguvu za giza hizo
Nakuja kua bilioner wa Dunia Inshaalah
😂😂 sawa zaiiii
Inshallah
Duh hao wot ulio tutajia bc mitaj wamepew n wazee wao 😊
😂😂😂
magnetics amejikita katika online bussiness this is my favorate one
Huna detail vzr wapo vijana wametulia wanakutazama tu
Ha ha ha ujanishawishi mzee wangu nilitegemea labda utasema eti wameanzia chini kwenda juu kumbe eti kuanza tu na milion 70
Sio Chanel ya kuangalia hii ... Umalize shule na mtaji wa 70ml .... Duuuh wewe baba yako 1ml Hana.
Safi kabisa nimeipenda nzuri sana
Huyu scot pizza aliuza gari ya babaake japo hao wengine sjui walizipata wapi lkn fahamu wote wametokea rich family japo hata mm mwenywe naweza toboa ikiwa nmetokea poor family ila wao wamewezeshwa zaidi
Ntakua kwenye hii list ndani ya miaka 2
Sasa hii video inamiaka miwili natumai utakua milionea😁
@@waltertesha3312 hujakosea
Kila la kheri
Bado hujatoboa😂😂
😂😂 Apo ndo uta Mlaumu Baba Ako kwanini wew sio wakishua !!! 😂😂
Daaah broo we acha tu
Unahisi mtu aliyetoka familia masikini anaweza kuzipata wapi hizo million 70!!?? Huyu anamisingi alijengewa
Wanazingua hata hilo wazo la biashara kafanya kupewa hizo M70 kazitoa wapi
Kabisaaa ila sisi ni kati ya watu tulotoka kwny familia maskini na amini tutafanya makubwa sanaaa
Unaweza ukaanza na kitu kidogo si kikubwa sana,badae ukapata hiko kikubwa ndugu,pili ni nidhamu na pesa tu na kumuomba Yehova akupe afya njema na akupe nafsi ya uvumilivu,hekima pia.Mengineyo utaongezewa.
@@yusufumajinge59 ikumbukwe hapo kuna form four leaver... Huo mtaji aliukusanya wakati gani!?? Tunashare mawazo hapo maana ...
Kaka nikwambie kitu,sasa kama hujui form four level huwa wanauwezo mkubwa sana wa kuwa matajiri,maana ukifikilia kwamba yy wa kidato cha nne alianza kufanya mambo yake mapema si tu amemalza cha four ndio ameanza kufanya mambo zake,yy alianza mapema na alipohitmu sasa ndio akawa tayari ameshapevuka kabsa.
Pumbavuu hizo ni zenu za kuwashawishi vijana wajiingize kwenye forex thats bullshit list
Big up brothers ❤️❤️💪
may this help alot of young hustlers in Tanzania wanao tafuta njia ya kutusua katika maisha hasa wale waliotoka vyuoni na kukosa ajira ....kabla hujachukua maamuzi ya hii biashara naomba uende GOOGLE kwenye simu yako ya kiganjani then uulize hili swali DO BILLIONAIRES DO FOREX TRADING? .... AU DO MILLIONAIRES DO FOREX TRADING? Utapata majibu mengi in summary kwa kiujumla yan ambayo utaamua wewe sasa kama uifanye au laa .....INFORMATION IS POWER...trust the process ...success is never over night ....mafanikio yako hayako kesho yapo mwez ujao ..meaning its a process n takes time n falling
Safi nimeipenda na tujifunze kusifia waliopiga hatua.haijarishi kwa support ya nani.kikubwa kapiga hatua.
Vina mudaaa??????😂😂😂😂😂😂wako wapi
Nzuri sana ila mjitaidii kuweka na vijana wa kike ili wanawawake nao wapate inspiration kutoka kwa wanawake wenzao
Kaka nisaidie namba ya sir jefu denis na magnetic samahan
Acha kudangnya watu hao familia zao zmewawezesha sio kwmba wameztafta wao
Unawafahamu??
@@BONGOFASTA uyo SCOTT namfahamu na sio Millionea
@@BONGOFASTA sas mtu anamiliki m 70 ya mkopo unamuita millionaire😂
Milioni 70 na 90hiyonipesa ndogo sana yakunywea chai njoo zanzibar uaone vijana wadogo wanao miliki hiyo pesa walahawaitwi milionea
Hata hujaelewa yani
😁😁😁
When we say a millionaire,we mean someone with at least $ 1M fortune,bear that in mind,not TSh
nazani inabidi ukachambue maaana ya millionaire 😂😂😂
True!!
We una shiling ngapi?
Kweli kabisa mtu awe milionea inatumika kipimo cha dollar $ na sio shillings.. Kama tukitumia shilingi kama kipimo basi tutakua na mamilionea wengi bongo
@@mrope348 elfu 70
Inapendeza kueleza kiasi wanachomiliki kinachopelekea kua millionea.. net worth..
Mm ningependa kujua unafanya vp iyo forex tunaomba majibu kutoka kwa franko tungependa elimu iyo itufikie sote maana aya mm msajili lain toka songea by seleman
SELEMAN MBWALI uende ukamlipe pesa akufundxhee cz anashule yake ashafungua
SELEMAN MBWALI Tembelea channel yetu utajifunze mengi kuhusu biashara hii
Ni vizur kuijua forex lakin ni hatar sana maana ni rahis sana kupata hela ila ni zaid ya rahis kupoteza zaid ya milion kwa sekunde
Huyu magnetics mwenyewe alifulia hadi kakimbia
+255679201196 Kujifunza
Hawa ni ambao unawajua.
Na karne hii, watu huficha utajiri wao sana. Na pia huyo wa 70 M, alitoa wapi kuwekeza
Kuna isaya yunge, given Edward na wengine wengi
Mmmmm mbona mjaniweka mimi jamaniii kuweni serious na laki mbili zangu !!!!!,,,,, /
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Milioni 70 hela dogo mbona
Pumba pumba tuu kila kitu tz
Du were munatixha
Majina yao tu yanaashiria wanatoka familia poa!
😂😂
Jamani anae jua hii game ya money Exchange anipe namba yake nahitaji kujifunza, nitamlipa au anitumie no ya anaye jua au shule
Nitashukuru, 🙏
Mtafute jamaa mmoja anaitwa Carlos Kapinga, anapatikana Instagram kwa jina hilo "Carlos Kapinga" jamaa ni trader mzur na mwalim mzur
@@kassimabdu5677 Asante sana boss
0715560148
@@derrickarnold150 Asante boss.
Mbon bado pesa ndog izo
Yaani wejamaa unatuletea makala yawatu waliotokea familiatajiri nilazima watoboe ndio kwakua nimatajiri misingiipo..poor family million70 utatoa wapi uwekeze
ukiwa na milioni 70 ushakua milionea.we bwege kweli.basi mamilionea wengi
Ila kuna watu mna uelewa mdogo.. duuuuh yani akili inakua nzito kuelewa sjui kwanini
Sijaona walio hurtle hapo
Baada ya miaka 5 na mimi nitakuwa ivo
All the Best
Na Mimi nimi nimo basis nna utajiri was M12
Scott aliuza Altezza aliyopewa Kama zawadi na baba yake,historia yake inafunza tu uthubutu lakini siyo inspirational kulinganisha na hao akina Fransisco na wengineo
Yes na ukitaka kuwa na mafanikio lazima uthubutu
@@BONGOFASTA but ametokea kwenye family yenye uwezo,vijana wanataka kuona waliofanikiwa wakitokea katika family za hali ya chini,kwa sababu hao ndiyo true definition of hustlers
Nailed it
Historia zao za maisha na familia zao zikoje au mnasifiana tu
Naomba namba zao hawa milionea
Mmeanza kuchoka kikazi xaxa yani MTU kapewa mtaji na wazazi ndo utwambie tajiri Mdogo
Francisco ni mwizi jamani. Musimuamini mbwa tu uyu
Hiyo million sabini....alitoa wapi
scott alipewa zawadi kwao kipindi anamaliza four four
duh. sie ukimalza unanunuliwa baskeli 🤣🤣
Izo milioni 70 kazitoa wapi???? Fanya research kabla ujatuletea taarifa...
Nachoangalia hapa sio aliyoinvest ila hela anayoipata toka kwenye hiyo biashara ambayo ni jasho lake...ni kama mo dewji mali kazikuta ila si kafanya kazi na kawa bilionea
Uyu dogo alkua anamsaidia mamaake kaz anamlipa akawa ana save pia babaake alxhawah kumpa alteza mpya akaiuza aka save pesa mpaka zikafk70mil+ndo akafungua iyo Scott pizzah
@@edgardavis9668 ndo ungeleta sababu za kuwafanya mamilionea
@@edgardavis9668 na mimi ni beyonce
Mbona umenisahau
Mzee millionaire ni At least $1m sawa na 2,300,000,000Tsh hao watu wote wanayo?
Kweli kabisa kipimo cha umilionea inatumika dollar $ na sio shillings
Kaka Nina shida na huyo fransisco
Scott hemes ✅✅✅
Mim nigaiwe laki 2 tu kama mtaj mwaka mmoja nakuwa zaid ya wao lkn sio kwa familia zetu za kiswahili
Hahaha unahisi mabo rahis
Niwaulize maswali ili na mimi niwafate ili nitoke
Muwemnategeneza adisi za ukweli mbona ww huna uoumilonea na umetagulia kuliona juaa mustufanye atuna akili mnakula mb zetu bule pitaiv ww uongo umetawala ote wagekuwa matagli otetumesoma bwana
Think before actual. We mtu katoka shul tena 4m 4 au chuo pesa katoa wap? Ebu pit kushoto!
Milioni 70 bilionea duu hata mtaani wapo tele
Pesa za zambi zote walizo nazo
😢😢😢😢😢😢
Me i want how to get money
Tarifa zako ovyo 70 million unasema kawekeza mwenyewe?? Kazipata wapi hao wamejuta njia yakufanya mambo
Mkuu kama unataarifa nzuri zaidi ya hapo uwanja uko wazi tueleze.
Hawa wote ni mafreemason na kuna watu kwenye hivyo vyama vyao huwatumia young members to establish business ,dunia unavyodhani ndio kumbe sivyo ,nguvu za giza hizo
@@rweijunaamana2764 shenzi kalale unausingizi
Wivu mtupu
Forex mwenye alimu yake na anamtaji kuanzia dollar 2000 anapiga kwa wiki zaidi ya dollar 5000
@@rweijunaamana2764 skufichi we Ni mjinga
Tunashukuru kwa taarifa
😂😂😂😂😂
good
Hilo darasa la forex linapatikana wap
Pamoja
Safi
Scott uyo ni mtoto wa tajiri
Ni kweli hata MO dewji ni mtoto wa tajiri.
Kama maisha Mgumu achana nayo Fanya ishu nyingine
😂😂😂😂😂
Hapo Safi
WAmewezeshwa
Hawajaenda shule au
Mi nipo pia
Na cc mbona haututafuti
bora amjanitaja
Uyo magnetics kapita na hela za watu kibao akiwepo maza angu hakuna kitu kwenye iyo documentary yako
You know nothing
Good
Subira Adam ianawezaka mabona saivi uchawi injeinje
saf sana na mm napenda kujikita ktk biashara yangu ili nifike mbali kama hao walivo fikia namuomba mungu anisaidie nitimize mareongo yangu
Subira Adam mh
Mashaallah
Alipewa zawadi ya gari na baba yake akaliuza alipopata pesa akaweka kwenye biashara
OK mm nahaso na end na mm nitakua bilionea tu coz najikubala mm
Hata jikubal hujui namnayakuandika mbwa mmoja ww
Hakuna ukweli apo
Hao wanazo zamani
Kilimo mambo mbaya
Jaman mafanikio ni siri ya yule aliefanikiwa kama alipewa zawad baada ya kutolewa malinda tutajuaje? Jaman kama unaungana nami gonga like
Ziaka Itala mpuuz ww akili ya kimasikini haijawahi kumuacha mtu salama kwendraa 😂
Yup,hapo umeongea
Umeongea pumba
Maisha ypo
Mmh
Hakuna milionea hapo
😂😂😂😂😂
Huyo alipewa mtaji na wazazi mwandishi hufanyi reseach
Ndo millionea sasa huyu vipi
Hata sisi tupo 26
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Naomba niunganishe na huyo Fransisco 0744427756 hi ndo namba yangu
mbn wadada hawapo
wanadanga sana
😂
Kaka imepenya hiyo.
Amepata WAP
Kesho zamu yangu
Hela hizo walitafuta saa ngapi mpaka kupata msingi?
bora amjanitaja
good
Uridhi
Ao cyo ma milionea kama mtu anaanza na mtaji wa mil 70 huon kua kapewa
Survivor are not easy at all
Goog