HAWA NDIO MAMILIONEA WENYE UMRI MDOGO TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 191

  • @zainabhussein9868
    @zainabhussein9868 3 года назад +8

    Nakuja kua bilioner wa Dunia Inshaalah

  • @babaajnaty8629
    @babaajnaty8629 4 года назад +9

    Duh hao wot ulio tutajia bc mitaj wamepew n wazee wao 😊

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 5 лет назад +11

    magnetics amejikita katika online bussiness this is my favorate one

  • @jariffatrjone5703
    @jariffatrjone5703 5 лет назад +5

    Huna detail vzr wapo vijana wametulia wanakutazama tu

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 4 года назад +2

    Ha ha ha ujanishawishi mzee wangu nilitegemea labda utasema eti wameanzia chini kwenda juu kumbe eti kuanza tu na milion 70

    • @nicksonjohnson6760
      @nicksonjohnson6760 4 года назад

      Sio Chanel ya kuangalia hii ... Umalize shule na mtaji wa 70ml .... Duuuh wewe baba yako 1ml Hana.

  • @Respicius
    @Respicius 5 лет назад +5

    Safi kabisa nimeipenda nzuri sana

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 4 года назад +3

    Huyu scot pizza aliuza gari ya babaake japo hao wengine sjui walizipata wapi lkn fahamu wote wametokea rich family japo hata mm mwenywe naweza toboa ikiwa nmetokea poor family ila wao wamewezeshwa zaidi

  • @brianmark7640
    @brianmark7640 4 года назад +22

    Ntakua kwenye hii list ndani ya miaka 2

  • @esamtz2461
    @esamtz2461 4 года назад +6

    😂😂 Apo ndo uta Mlaumu Baba Ako kwanini wew sio wakishua !!! 😂😂

  • @maxmilianmhewa8669
    @maxmilianmhewa8669 4 года назад +32

    Unahisi mtu aliyetoka familia masikini anaweza kuzipata wapi hizo million 70!!?? Huyu anamisingi alijengewa

    • @erastofedrick
      @erastofedrick 4 года назад +2

      Wanazingua hata hilo wazo la biashara kafanya kupewa hizo M70 kazitoa wapi

    • @rashidramadhan4129
      @rashidramadhan4129 4 года назад +3

      Kabisaaa ila sisi ni kati ya watu tulotoka kwny familia maskini na amini tutafanya makubwa sanaaa

    • @yusufumajinge59
      @yusufumajinge59 4 года назад +2

      Unaweza ukaanza na kitu kidogo si kikubwa sana,badae ukapata hiko kikubwa ndugu,pili ni nidhamu na pesa tu na kumuomba Yehova akupe afya njema na akupe nafsi ya uvumilivu,hekima pia.Mengineyo utaongezewa.

    • @maxmilianmhewa8669
      @maxmilianmhewa8669 4 года назад +2

      @@yusufumajinge59 ikumbukwe hapo kuna form four leaver... Huo mtaji aliukusanya wakati gani!?? Tunashare mawazo hapo maana ...

    • @yusufumajinge59
      @yusufumajinge59 4 года назад +1

      Kaka nikwambie kitu,sasa kama hujui form four level huwa wanauwezo mkubwa sana wa kuwa matajiri,maana ukifikilia kwamba yy wa kidato cha nne alianza kufanya mambo yake mapema si tu amemalza cha four ndio ameanza kufanya mambo zake,yy alianza mapema na alipohitmu sasa ndio akawa tayari ameshapevuka kabsa.

  • @magidachimija5599
    @magidachimija5599 2 года назад +1

    Pumbavuu hizo ni zenu za kuwashawishi vijana wajiingize kwenye forex thats bullshit list

  • @saidsleiman3015
    @saidsleiman3015 4 года назад +4

    Big up brothers ❤️❤️💪

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 4 года назад +2

    may this help alot of young hustlers in Tanzania wanao tafuta njia ya kutusua katika maisha hasa wale waliotoka vyuoni na kukosa ajira ....kabla hujachukua maamuzi ya hii biashara naomba uende GOOGLE kwenye simu yako ya kiganjani then uulize hili swali DO BILLIONAIRES DO FOREX TRADING? .... AU DO MILLIONAIRES DO FOREX TRADING? Utapata majibu mengi in summary kwa kiujumla yan ambayo utaamua wewe sasa kama uifanye au laa .....INFORMATION IS POWER...trust the process ...success is never over night ....mafanikio yako hayako kesho yapo mwez ujao ..meaning its a process n takes time n falling

  • @pierinamduda3552
    @pierinamduda3552 4 года назад +1

    Safi nimeipenda na tujifunze kusifia waliopiga hatua.haijarishi kwa support ya nani.kikubwa kapiga hatua.

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Год назад +1

    Vina mudaaa??????😂😂😂😂😂😂wako wapi

  • @Bise270
    @Bise270 2 года назад

    Nzuri sana ila mjitaidii kuweka na vijana wa kike ili wanawawake nao wapate inspiration kutoka kwa wanawake wenzao

  • @EmanuelEsopa
    @EmanuelEsopa 4 месяца назад

    Kaka nisaidie namba ya sir jefu denis na magnetic samahan

  • @adamrajabu2655
    @adamrajabu2655 4 года назад +5

    Acha kudangnya watu hao familia zao zmewawezesha sio kwmba wameztafta wao

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  4 года назад

      Unawafahamu??

    • @Kai_busati
      @Kai_busati 4 года назад

      @@BONGOFASTA uyo SCOTT namfahamu na sio Millionea

    • @adamrajabu2655
      @adamrajabu2655 4 года назад

      @@BONGOFASTA sas mtu anamiliki m 70 ya mkopo unamuita millionaire😂

  • @hafsamohd7931
    @hafsamohd7931 4 года назад +2

    Milioni 70 na 90hiyonipesa ndogo sana yakunywea chai njoo zanzibar uaone vijana wadogo wanao miliki hiyo pesa walahawaitwi milionea

  • @revocutusmayengo714
    @revocutusmayengo714 4 года назад +15

    When we say a millionaire,we mean someone with at least $ 1M fortune,bear that in mind,not TSh

    • @admlablismwambega8575
      @admlablismwambega8575 4 года назад

      nazani inabidi ukachambue maaana ya millionaire 😂😂😂

    • @abduljvo5549
      @abduljvo5549 4 года назад

      True!!

    • @mrope348
      @mrope348 4 года назад +1

      We una shiling ngapi?

    • @hereandnow602
      @hereandnow602 4 года назад +4

      Kweli kabisa mtu awe milionea inatumika kipimo cha dollar $ na sio shillings.. Kama tukitumia shilingi kama kipimo basi tutakua na mamilionea wengi bongo

    • @kingcopper_tz
      @kingcopper_tz 4 года назад

      @@mrope348 elfu 70

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 4 года назад +2

    Inapendeza kueleza kiasi wanachomiliki kinachopelekea kua millionea.. net worth..

  • @selemanmbwali1855
    @selemanmbwali1855 5 лет назад +6

    Mm ningependa kujua unafanya vp iyo forex tunaomba majibu kutoka kwa franko tungependa elimu iyo itufikie sote maana aya mm msajili lain toka songea by seleman

    • @edgardavis9668
      @edgardavis9668 5 лет назад +1

      SELEMAN MBWALI uende ukamlipe pesa akufundxhee cz anashule yake ashafungua

    • @RichFeelingsForex
      @RichFeelingsForex 5 лет назад

      SELEMAN MBWALI Tembelea channel yetu utajifunze mengi kuhusu biashara hii

    • @emmanuelmahenge02
      @emmanuelmahenge02 5 лет назад +1

      Ni vizur kuijua forex lakin ni hatar sana maana ni rahis sana kupata hela ila ni zaid ya rahis kupoteza zaid ya milion kwa sekunde

    • @emmanuelmahenge02
      @emmanuelmahenge02 5 лет назад +1

      Huyu magnetics mwenyewe alifulia hadi kakimbia

    • @bulasaleheramadan3737
      @bulasaleheramadan3737 4 года назад

      +255679201196 Kujifunza

  • @samuelseverua
    @samuelseverua Год назад

    Hawa ni ambao unawajua.
    Na karne hii, watu huficha utajiri wao sana. Na pia huyo wa 70 M, alitoa wapi kuwekeza

  • @dicksonluca2493
    @dicksonluca2493 4 года назад +3

    Kuna isaya yunge, given Edward na wengine wengi

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 года назад +9

    Mmmmm mbona mjaniweka mimi jamaniii kuweni serious na laki mbili zangu !!!!!,,,,, /

  • @iddymussa4585
    @iddymussa4585 4 года назад +2

    Milioni 70 hela dogo mbona

  • @elibarikkiakyoo
    @elibarikkiakyoo 5 лет назад +2

    Pumba pumba tuu kila kitu tz

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 4 года назад +3

    Majina yao tu yanaashiria wanatoka familia poa!

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 4 года назад +1

    Jamani anae jua hii game ya money Exchange anipe namba yake nahitaji kujifunza, nitamlipa au anitumie no ya anaye jua au shule
    Nitashukuru, 🙏

    • @kassimabdu5677
      @kassimabdu5677 4 года назад

      Mtafute jamaa mmoja anaitwa Carlos Kapinga, anapatikana Instagram kwa jina hilo "Carlos Kapinga" jamaa ni trader mzur na mwalim mzur

    • @pilatoonlinetv9660
      @pilatoonlinetv9660 4 года назад

      @@kassimabdu5677 Asante sana boss

    • @derrickarnold150
      @derrickarnold150 4 года назад

      0715560148

    • @pilatoonlinetv9660
      @pilatoonlinetv9660 4 года назад

      @@derrickarnold150 Asante boss.

  • @JideeboeMboma
    @JideeboeMboma Месяц назад

    Mbon bado pesa ndog izo

  • @wizzgane9396
    @wizzgane9396 4 года назад +1

    Yaani wejamaa unatuletea makala yawatu waliotokea familiatajiri nilazima watoboe ndio kwakua nimatajiri misingiipo..poor family million70 utatoa wapi uwekeze

  • @princekhalifa7116
    @princekhalifa7116 5 лет назад +1

    ukiwa na milioni 70 ushakua milionea.we bwege kweli.basi mamilionea wengi

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. 4 года назад

      Ila kuna watu mna uelewa mdogo.. duuuuh yani akili inakua nzito kuelewa sjui kwanini

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад +1

    Sijaona walio hurtle hapo

  • @renatussperatus7857
    @renatussperatus7857 3 года назад +2

    Baada ya miaka 5 na mimi nitakuwa ivo

  • @internetviralvideos9064
    @internetviralvideos9064 4 года назад +2

    Na Mimi nimi nimo basis nna utajiri was M12

  • @briankiwelu2979
    @briankiwelu2979 5 лет назад +6

    Scott aliuza Altezza aliyopewa Kama zawadi na baba yake,historia yake inafunza tu uthubutu lakini siyo inspirational kulinganisha na hao akina Fransisco na wengineo

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  5 лет назад +1

      Yes na ukitaka kuwa na mafanikio lazima uthubutu

    • @briankiwelu2979
      @briankiwelu2979 5 лет назад +2

      @@BONGOFASTA but ametokea kwenye family yenye uwezo,vijana wanataka kuona waliofanikiwa wakitokea katika family za hali ya chini,kwa sababu hao ndiyo true definition of hustlers

    • @movielecture6366
      @movielecture6366 4 года назад

      Nailed it

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад

    Historia zao za maisha na familia zao zikoje au mnasifiana tu

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 2 года назад

    Naomba namba zao hawa milionea

  • @masatumgeta196
    @masatumgeta196 4 года назад

    Mmeanza kuchoka kikazi xaxa yani MTU kapewa mtaji na wazazi ndo utwambie tajiri Mdogo

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 Год назад

    Francisco ni mwizi jamani. Musimuamini mbwa tu uyu

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад

    Hiyo million sabini....alitoa wapi

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 5 лет назад +2

    scott alipewa zawadi kwao kipindi anamaliza four four

    • @eyeonnature4022
      @eyeonnature4022 4 года назад

      duh. sie ukimalza unanunuliwa baskeli 🤣🤣

  • @michaeldorgan6241
    @michaeldorgan6241 5 лет назад +5

    Izo milioni 70 kazitoa wapi???? Fanya research kabla ujatuletea taarifa...

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  5 лет назад +1

      Nachoangalia hapa sio aliyoinvest ila hela anayoipata toka kwenye hiyo biashara ambayo ni jasho lake...ni kama mo dewji mali kazikuta ila si kafanya kazi na kawa bilionea

    • @edgardavis9668
      @edgardavis9668 5 лет назад +1

      Uyu dogo alkua anamsaidia mamaake kaz anamlipa akawa ana save pia babaake alxhawah kumpa alteza mpya akaiuza aka save pesa mpaka zikafk70mil+ndo akafungua iyo Scott pizzah

    • @cuteme4870
      @cuteme4870 4 года назад

      @@edgardavis9668 ndo ungeleta sababu za kuwafanya mamilionea

    • @NoName-mm6gh
      @NoName-mm6gh 3 года назад

      @@edgardavis9668 na mimi ni beyonce

  • @ahmedsalum3741
    @ahmedsalum3741 4 года назад +1

    Mbona umenisahau

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 4 года назад +1

    Mzee millionaire ni At least $1m sawa na 2,300,000,000Tsh hao watu wote wanayo?

    • @hereandnow602
      @hereandnow602 4 года назад +1

      Kweli kabisa kipimo cha umilionea inatumika dollar $ na sio shillings

  • @leonardphilipo4426
    @leonardphilipo4426 3 года назад

    Kaka Nina shida na huyo fransisco

  • @rahabufredy1980
    @rahabufredy1980 5 лет назад +2

    Scott hemes ✅✅✅

  • @hussenomary9648
    @hussenomary9648 4 года назад

    Mim nigaiwe laki 2 tu kama mtaj mwaka mmoja nakuwa zaid ya wao lkn sio kwa familia zetu za kiswahili

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 2 года назад

    Niwaulize maswali ili na mimi niwafate ili nitoke

  • @shuwanyotaclassc1849
    @shuwanyotaclassc1849 4 года назад +1

    Muwemnategeneza adisi za ukweli mbona ww huna uoumilonea na umetagulia kuliona juaa mustufanye atuna akili mnakula mb zetu bule pitaiv ww uongo umetawala ote wagekuwa matagli otetumesoma bwana

  • @shivamaneno9489
    @shivamaneno9489 3 года назад

    Think before actual. We mtu katoka shul tena 4m 4 au chuo pesa katoa wap? Ebu pit kushoto!

  • @machanohiihaliitakomeshwal9545
    @machanohiihaliitakomeshwal9545 4 года назад +1

    Milioni 70 bilionea duu hata mtaani wapo tele

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 года назад

    Pesa za zambi zote walizo nazo

  • @AllyAllyHassan
    @AllyAllyHassan 4 месяца назад

    😢😢😢😢😢😢

  • @georgenjoroge5255
    @georgenjoroge5255 3 года назад

    Me i want how to get money

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 5 лет назад +3

    Tarifa zako ovyo 70 million unasema kawekeza mwenyewe?? Kazipata wapi hao wamejuta njia yakufanya mambo

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  5 лет назад

      Mkuu kama unataarifa nzuri zaidi ya hapo uwanja uko wazi tueleze.

    • @rweijunaamana2764
      @rweijunaamana2764 5 лет назад

      Hawa wote ni mafreemason na kuna watu kwenye hivyo vyama vyao huwatumia young members to establish business ,dunia unavyodhani ndio kumbe sivyo ,nguvu za giza hizo

    • @jessicabrown5885
      @jessicabrown5885 4 года назад +2

      @@rweijunaamana2764 shenzi kalale unausingizi
      Wivu mtupu

    • @christiangodfrey8884
      @christiangodfrey8884 4 года назад +1

      Forex mwenye alimu yake na anamtaji kuanzia dollar 2000 anapiga kwa wiki zaidi ya dollar 5000

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. 4 года назад

      @@rweijunaamana2764 skufichi we Ni mjinga

  • @RichFeelingsForex
    @RichFeelingsForex 5 лет назад

    Tunashukuru kwa taarifa

  • @alfredminjale4011
    @alfredminjale4011 5 лет назад +1

    good

  • @barakaelectronicsbpt1549
    @barakaelectronicsbpt1549 2 года назад

    Pamoja

  • @yussufmohammed6997
    @yussufmohammed6997 4 года назад

    Safi

  • @kabangaonline4523
    @kabangaonline4523 5 лет назад +4

    Scott uyo ni mtoto wa tajiri

    • @BONGOFASTA
      @BONGOFASTA  5 лет назад +1

      Ni kweli hata MO dewji ni mtoto wa tajiri.

  • @dasonsdachi3087
    @dasonsdachi3087 5 лет назад +1

    Kama maisha Mgumu achana nayo Fanya ishu nyingine

  • @Swagaboysentertainment
    @Swagaboysentertainment 5 лет назад +1

    Hapo Safi

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    WAmewezeshwa

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад

    Hawajaenda shule au

  • @bilioneamwegole5138
    @bilioneamwegole5138 4 года назад

    Mi nipo pia

  • @dalalimollelarusha7151
    @dalalimollelarusha7151 4 года назад

    Na cc mbona haututafuti

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 года назад

    bora amjanitaja

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 4 года назад

    Uyo magnetics kapita na hela za watu kibao akiwepo maza angu hakuna kitu kwenye iyo documentary yako

  • @suraiyasaidy2849
    @suraiyasaidy2849 5 лет назад +1

    Good

    • @saviormgaya7912
      @saviormgaya7912 5 лет назад

      Subira Adam ianawezaka mabona saivi uchawi injeinje

    • @chillertoga1494
      @chillertoga1494 5 лет назад

      saf sana na mm napenda kujikita ktk biashara yangu ili nifike mbali kama hao walivo fikia namuomba mungu anisaidie nitimize mareongo yangu

    • @feyxhhd1129
      @feyxhhd1129 5 лет назад

      Subira Adam mh

  • @munfatchichi2874
    @munfatchichi2874 5 лет назад

    Mashaallah

    • @nasryjafary7542
      @nasryjafary7542 5 лет назад

      Alipewa zawadi ya gari na baba yake akaliuza alipopata pesa akaweka kwenye biashara

  • @amirikoshuma7846
    @amirikoshuma7846 5 лет назад +2

    OK mm nahaso na end na mm nitakua bilionea tu coz najikubala mm

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 5 лет назад

    Hao wanazo zamani

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 4 года назад

    Kilimo mambo mbaya

  • @ziakaitala6465
    @ziakaitala6465 5 лет назад +12

    Jaman mafanikio ni siri ya yule aliefanikiwa kama alipewa zawad baada ya kutolewa malinda tutajuaje? Jaman kama unaungana nami gonga like

  • @peterdomician1073
    @peterdomician1073 4 года назад

    Maisha ypo

  • @benjaminsaimon6781
    @benjaminsaimon6781 3 года назад

    Mmh

  • @khatibabdallah6185
    @khatibabdallah6185 4 года назад

    Hakuna milionea hapo

  • @kelvinluoga5140
    @kelvinluoga5140 5 лет назад

    Huyo alipewa mtaji na wazazi mwandishi hufanyi reseach

  • @avitusandrew1393
    @avitusandrew1393 4 года назад

    Hata sisi tupo 26

  • @richardedwinn1291
    @richardedwinn1291 4 года назад

    😂 😂 😂 😂 😂 😂

  • @leonardphilipo4426
    @leonardphilipo4426 3 года назад

    Naomba niunganishe na huyo Fransisco 0744427756 hi ndo namba yangu

  • @francischiko3752
    @francischiko3752 5 лет назад

    mbn wadada hawapo

  • @ali_ford
    @ali_ford 4 года назад

    😂

  • @yusufumajinge59
    @yusufumajinge59 4 года назад

    Kaka imepenya hiyo.

  • @abuuchaulla7089
    @abuuchaulla7089 5 лет назад

    Amepata WAP

  • @mashakaally8813
    @mashakaally8813 4 года назад +3

    Hela hizo walitafuta saa ngapi mpaka kupata msingi?

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 года назад

    bora amjanitaja

  • @ksinzagebu155
    @ksinzagebu155 5 лет назад

    good

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 4 года назад +1

    Uridhi

  • @chitojoonlinetv4727
    @chitojoonlinetv4727 4 года назад

    Ao cyo ma milionea kama mtu anaanza na mtaji wa mil 70 huon kua kapewa

  • @joakpaul9123
    @joakpaul9123 4 года назад

    Survivor are not easy at all

  • @suraiyasaidy2849
    @suraiyasaidy2849 5 лет назад

    Goog