HIKI NI KISA CHA MOCHWARI/ MAITI ILIKATAA/ USHIRIKINA MZITO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #Simulizizamaisha #Mbanga #Dar24Media
    MBANGA, nikipindi kinachokupa nafasi ya kujifunza mengi kuhusiana na maisha kwa kupitia simulizi za kweli za maisha ya watu,kipindi hiki kinaruka kila siku za jumamosi katika kila wiki..USIKOSE KUTAZAMA.

Комментарии • 68

  • @kaisamjunior3692
    @kaisamjunior3692 2 года назад +3

    Yaah ALLAH cjui kesho yangu cjui nan atanisha cjui nan atanizika yaah ALAH nipe mwisho ulomwema

  • @sulaymanshabani5342
    @sulaymanshabani5342 3 года назад +15

    Namkubali Sana huyu mtangazaji ANAIJUA KAZI YAKE

  • @salmasalma-pv2ue
    @salmasalma-pv2ue Год назад +2

    Allah akbar. Kifo ni mawaidha .Allah atup mwisho mwema

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 3 года назад +6

    mwandishi jicho lako👀😍😍

  • @ghatynyantebu592
    @ghatynyantebu592 3 года назад +4

    Mtangazaji nimekupenda sana, unaongea vizuri sana

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +11

    Nimepanda babu anavyojieleza halafu na mtangazaji YUPO makini kusahihisha zaidi pale babu anapokuwa hajafananua zaidi Sana sana Global tv.

  • @robertmungai4055
    @robertmungai4055 3 года назад +5

    Great interview.
    Napenda kiswahili cha mzee Yusuf.
    Sending you love from Nairobi Kenya 🇰🇪

  • @maqboulal-barwani2506
    @maqboulal-barwani2506 3 года назад +4

    Maa shaa Allah brother Allah swt akuengeze kipaji .una talent and skills ya kuzaliwa.

  • @mussanachingulu823
    @mussanachingulu823 3 года назад +6

    DUH....
    Huyu mzee ni wajina wangu kwa kila kitu kuanzia jina lake hadi la baba yake tofauti kabila tu.

  • @mayusay1225
    @mayusay1225 3 года назад +3

    Nilijuwa mwalimu kashasha

  • @saidichilyenga2847
    @saidichilyenga2847 3 года назад +8

    Mzee Musa muda wa swala huu

  • @magwinahimself7316
    @magwinahimself7316 3 года назад +2

    Kazi nzuri

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 года назад +2

    Subhanaallah Allah polen sna ndio changamoto za Kaz

  • @angeljobu7449
    @angeljobu7449 3 года назад +1

    Mtangazaji na mzee wote wanajitambua

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 3 года назад +1

    Anae muhoji ako vizuri

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 3 года назад +10

    Mola atujalie mwisho mwema

  • @kweka14l35
    @kweka14l35 3 года назад +7

    Muwe mnavaa Gloves jamani huko Mortuary sio sehemu salama Sana 😔😔😔😔

  • @r.kassimtoutautre3432
    @r.kassimtoutautre3432 3 года назад +5

    Nice kbx 🇧🇮Who lives 🇹🇷. Niko na mm namkasa ila niko Ankara now

  • @bhokem4102
    @bhokem4102 3 года назад +13

    Mzeee anaonekana Ana siri nyingi sana lakini n ngum kuzitoa...

    • @bilhaagutu9788
      @bilhaagutu9788 3 года назад +1

      Kumbe Ata nyinyi mume ona kama mimi? Mzae anasiri mingi sana

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 3 года назад +1

      @@bilhaagutu9788 Alipaswa kuwa msiri ili Naye akifa aje kustiriwa.

  • @bahatihappy5693
    @bahatihappy5693 3 года назад +1

    Mungu nipe musho mwema

  • @subiramohd1895
    @subiramohd1895 3 года назад +7

    Huyo babu ni mtu wa dini hawezi kutoa siri ya maiti kaba unavokaba lakini hasemi na hivo ndivo inavotakiwa maiti hakashifiwi

  • @hadijambwana9068
    @hadijambwana9068 3 года назад +1

    Dah

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi7869 3 года назад +1

    Pore sana babu

  • @mtupeacetz2589
    @mtupeacetz2589 3 года назад +6

    Mzee mussa njoo!
    Umesikia hiyoo kama umesikia gonga like hapooo😁😂

  • @user-ro3ke1vt5f
    @user-ro3ke1vt5f Год назад

    Mtangazaji uko vzr Ila hiyo v hapo usoni unaonekana ukiwa na hasira hua sio v Tena hapo usoni naona hua ni w

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 3 года назад +6

    Mtangazaj unajikaza na uoga unao🤣

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 3 года назад +2

    Mbanga isipotee sana

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 года назад +3

    Mashaallaah baba mungu akujariee🙏🙏🙏🙏😭😭😭❤️❤️

  • @hawarama5533
    @hawarama5533 3 года назад +2

    Mzee hataki kufunguka kuhusu chenga Moto

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa5159 3 года назад +2

    MTANGAZAJI UKO VIZURI.KOMAA UTAFIKA MBALI SANA

  • @derickclever6844
    @derickclever6844 3 года назад +3

    Duuh 😳

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад +1

    (VIDEO) MWANAUME aliyekimbiwa na mke wake baada ya kupata ajali mbaya/Bodaboda walitembea na mkewangu 👇👇👇👇.
    ruclips.net/video/_wlxc0hH9pU/видео.html

  • @mrh2812
    @mrh2812 3 года назад +6

    kafanana na mwalim kashasha

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 года назад +2

    Kweli sinza kulikuwa mashamba nakumbuka

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 3 года назад +2

    Hi

  • @garertanderson5776
    @garertanderson5776 Год назад

    Mtangazaji andaa maswali mpe.mda mtu afunguke sasa unauliza swali reeeefu umenikera hii interview but take as a challenge

  • @kayiremetv648
    @kayiremetv648 Год назад

    ruclips.net/video/Ajc4dxxRLF0/видео.html
    Kayireme Bohoka

  • @Alphanblondi
    @Alphanblondi 3 года назад

    Room in

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +2

    Ila usitaje aibu za mait

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 3 года назад

    Mwisho kweli ni Magomeni lakini mpaka miaka ya 1960 70 sio 50

  • @luciahmwai567
    @luciahmwai567 3 года назад +1

    Kwa ivo Maiti husikia

    • @raniy0262
      @raniy0262 3 года назад

      Sanaaaa isipokua hana uwezo wa kujibu,, na ndio maana tunaambiwa maiti hasemwi vibaya

    • @luciahmwai567
      @luciahmwai567 3 года назад

      @@raniy0262 gai it's so dangerous then coz he or she feels so bad if

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 3 года назад

      @@raniy0262 hiyo ni kweli kabisa kwa dini yetu tunaamini hivyo na pia wanasayansi wanaamini hivyo maiti husikia.

  • @swalehenyange9217
    @swalehenyange9217 3 года назад +4

    UYO MZEE NILIJUA KASHASHA KOPI LAITI

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад +2

    Hyo n demons tu Wala sio chochote kile

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 года назад +1

    Sasa kunyooka si ananyoka palepale anapokufaa!

    • @francisnzowa1385
      @francisnzowa1385 3 года назад +1

      Hapana,mtu akifa anakakamaaa miguu inajikunja pia mikono kwahyo lazima kuvinyoosha

  • @neemaedmund8224
    @neemaedmund8224 3 года назад +1

    Mjinga mbona hafunguki

  • @garertanderson5776
    @garertanderson5776 Год назад

    Muache mzee aongee acha ufala wewe mtangazaji.issue ni mortuary sasa story za magomeni za nn.embu muwe na ethics za kazi gademmit

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад +1

    (VIDEO) MWANAUME aliyekimbiwa na mke wake baada ya kupata ajali mbaya/Bodaboda walitembea na mkewangu 👇👇👇👇.
    ruclips.net/video/_wlxc0hH9pU/видео.html

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад

    (VIDEO) MWANAUME aliyekimbiwa na mke wake baada ya kupata ajali mbaya/Bodaboda walitembea na mkewangu 👇👇👇👇.
    ruclips.net/video/_wlxc0hH9pU/видео.html