Ww si mtumwa , Kama waafrika ifike wakati tujikubali, hao Ni wanyarwanda kwa utaifa na mwandishi anayewahoji Ni mnyarwanda lengo ni kuwafikishia habari wanyarwanda kwa sababu kinyarwanda ndio lugha ya taifa la rwanda then inafuata kifaransa kwa wasomi, kiingreza na kiswahili.Sasa tatizo Nini? Ww Kama lugha yk ya kwanza kiswahili Pole, Mimi Ni mluguru na najivunia mtu yeyote anayezungumza kilugha kwa sababu ss Ni waafrika
Simba Nguvu moja Hewe Niyubhavuga ulashaje oyaa bhivana ninguvu ufita kagereeee Navyunse
Fundi mpira Haruna Kizimana Niyonzima 👊👊👊 + Meddie Kagere
nawaelewa Sana masela wangu wa simba
😂😂😂😂sielewi ila nimejikuta na tabasam tu peke yangu penda sana vijana Simba oyeeeeee
ila kinya Rwanda na kikaguru havipishani Safi sana
MC Yuda SICQO goloko kwamdasi gwe
Good
kagere anakwambia miaka tofauti na kiwango mpira hata kama una miaka 100 ,Bado unafunga wewe utaendelea kusaini mikataba ya pesa mingi
Poa kila mtu agonge cha kwao
Nine mmenye ukutikaikyitu ikya kulisu ipimba kuno isubha likusokela kwa mpuna kumalongoti amatali
Amakur
Msalimieni sana Masoud Irambona Djuma.
Joshua Mchiwa ntamkumbuka mzee wa mizuka
@@ankaldally2734 jamaa namkubali sana kwa mzuka alionao, kama Guardiola.
Oyaaa ntacho murabha, the abha TZ nitwe tuzi vyo mutukorela.
Dah !!!hawa jamaa wamerudisha nyumbani wamenifanya nikumbuke mengi sana
Majembe ya simba hayo
Simushaje Koko mulachina neza chane kibantu Raha sanaaa watu wakigoma nadhan wamemuelewa kagere
Komudushyiriyeho
Inkuru ngufi!!!!
kagere alashaje? umuri amagala yenu yafishe inguvu nu bwenke bulineza, jewe ndi mushabiki wi yanga mmmh meddy nagatana@mdaki juma from Tanzania
bro you did it.do you know kinyarwanda?
Haluna Anakumbia usikumbali kusema ukwel miaka yako katika mupir ukiulizwa useme una miaka kumi hata kam ukiwa mzee
Haruna wa gisenyi
ahaa mbujangambiji dhubratikalimu nkolimbu tae kagere
Oya sivyo si mshaje mlabhakinyi
Mperuka kumva ubuhamya baba tanzaniya murusengero ngo Haruna ngo ararembye akaguru benda kugaca mutwereke niba yarakize
Uwimbabazi Anitha ngoro kante
Muvanzile uwudesi
wimutamwe nave kono ukolela kiki😂😂uvanzilu uwupuva
Nani kaelewa wanachokisema
Eka ntula saza mugho kola ighikogwa mwa simba
lugha gani hio!!!? mnazingua bn
Kinyalwandw
Ndio nini sasa mnatuacha njia panda
Ww si mtumwa , Kama waafrika ifike wakati tujikubali, hao Ni wanyarwanda kwa utaifa na mwandishi anayewahoji Ni mnyarwanda lengo ni kuwafikishia habari wanyarwanda kwa sababu kinyarwanda ndio lugha ya taifa la rwanda then inafuata kifaransa kwa wasomi, kiingreza na kiswahili.Sasa tatizo Nini? Ww Kama lugha yk ya kwanza kiswahili Pole, Mimi Ni mluguru na najivunia mtu yeyote anayezungumza kilugha kwa sababu ss Ni waafrika
Amakulu yanyu muze muchinyile yanga muileke simba
@@emmanuelthomas7345 hhh do you know kinyarwanda?
Ungea kiswahili wewe babu