Jazakallahu kheyran ust wangu Mbarak Awes Allah akulipe jazza kwa mafundisho mazuri unaotufunza kwa ajili ya Allah twaomba Mungu alete fikra yetu pamoja tupende mtume(s.a.w) na tupendane sisi kwa sisi km mandugu na madada siku izi hitilafu baina yetu imetufanya waislamu tuchukiane ya Rab tuongoze njia yako iliyonyooka ameen suma ameen.
Allah akuhifadh sheikh mawaidha mazuri saana
Jazakallahu kheyran ust wangu Mbarak Awes Allah akulipe jazza kwa mafundisho mazuri unaotufunza kwa ajili ya Allah twaomba Mungu alete fikra yetu pamoja tupende mtume(s.a.w) na tupendane sisi kwa sisi km mandugu na madada siku izi hitilafu baina yetu imetufanya waislamu tuchukiane ya Rab tuongoze njia yako iliyonyooka ameen suma ameen.
Jazzak Allah kheir
jazayako iko kwa mw/mungu amin
Masha Allah Allah SWT ajaalie upite Rehma zake Amin ya Rabbi ajmain
Allah awapatie umri mrefu ya kutuonyesha ukweli na haki
Shukran, jazzaka Allah khair,Allah awalipe nyote mlofanikisha mpaka yakatufikia,biidhni Allah
baarakallah Allah akufanyie wepesi Shekhe
shukran jazeel Sheikh Ahmed Aweys
منور يا دكتور 💎 حياك الله يا بحر 📚🤲🏽
Lahaula Wala Quwwata Ila Billahi laaliyul Adhwim
31:00 khutba ya jumaa watu wanaongea Inna lillah......
SHEIKH KHOTUBA YAKO NZURI MAA SHAA ALLAH.