Simba SC 3-0 Geita Gold | Highlights | NBC Premier League 17/08/2022
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Simba SC imeanza kwa kishindo msimu huu wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa kuitandika Geita Gold FC mabao 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
magoli ya Simba kwenye mchezo huu yametoka kwa Augustine Okrah dakika ya 37, Moses Phiri dakika ya 61 na Clatous Chama kwa mkwaju wa penati dakika ya 82.
Tazama highlights....
Weka mambo mazuri🦁👍👍👍
Asanten azam tv kwa highlights ya haraka like this
Team inayojtambua siku zote haina mambo ya bahati nasibu 👑👑👑Simba nguvu moja
Ndo kazi tumeanza😉😘😘😘😘👹👹
Mm ni mwananchi Lakini mnavyomsakama mzungu sio sawa namwona atakaa sawa Sanaa mpaka mtaziba midomo yenu.
Mnyama 🦁🇹🇿💪 home of trophies
First view 🥰🥰
Jana mmetufirahisha washabiki chama huyu chama mwamba wa Lusaka bila kumsahau Osman sacko mmeupiga mwingi sana. Ester Julius Mkoa SIMIYU wilaya bariadi
Napapenda sana Simiyu bariadi nikiwa kagera ila ipo siku nitakuja tu
Mlete mzungu simbaaa rahaaaa sana wanathimbaaaa😂😂🦁🦁nguvu moja
Tuna omba dakika zionge zeeke sta mechi nzima Niko ZAMBIA 🇿🇲🇿🇲🙏🙌✌️
Mnyamaa safi sanaaaaa
Safari imeanza vizuri!!!!!
Noma
Mzungu jamani Kagusa mpira Mara Tatu😳🙆🏼♀️
UNATAKA SIMBA ISHINDE AU MZUNGU AFUNGE
Anaingia mwishoni ndio maana akiingia kipindi cha kwanza tutaona kazi💯
Mlete mthunguuu
@@geraldpeter494 😂😂😂
@@BigDreamsWorldwide tunataka Simba ishinde Ila kaletwa Simba ili kufunga
Hii ndiyo timu kamili ya Simba
Hii simba kuifunga ni kubahatisha tu
Naipenda simba jman mimi
MWENDO MDUNDO
SIMBAA NGUVU MOJA
Chama kasababisha first goal,second goal la tatu akamaliza ubishi
Huyo ndo mfalme wa Dimba la mkapa
Mzungu
Okrah anaipa simba speed ya kufanya mashambulizi
Good service, and excuse for my mistake. Thank u
Tatizo wanamtenga san mzung yuko vizur tu mda anaingia ni ndog sanaa wange mwanza kwan kipind cha kwanz kisha tujue vuzur ila wanamfanyia sio ivyo
Kweli kabisa umeongea ukwel tusimjaji mtu kwa dk 15 tu
mnyamaa
Mwamba huwa anafanya kama mzaha watu wanakufa kiulaini kama Goli la Sakho alilowafunga Yanga. Mtateseka vuteni Subira Tunarudi hatujamaliza bado.
Jipe moyo hhhhhh
@@alimbarouk1647 KWANI WEWE MUNGU KWAMBA SIMBA HAIWEZI KUFIKIA MATARAJIO YAKE ETI KISA YANGA YAKO!
@@alimbarouk1647 HATA LIVERPOOL WAMECHUKUA NGAO YA JAMII LAKINI MECHI MBILI WAPO WAPI?
Asante Azam tv
good
goood
Mzungu kafunga
Hii ndio simba bhana
Mpeni mzungu Pasi nanyie SIMBA mnazingua
Hiyo ndio simba wakubar wakatae
Kabisaaaaaa.....wao nawavunje mayai utopoloo
Hii ndiyo Simba tunayoitaka
Mbona Bado sana, hamna kitu hapo
Acha wivu kinyesi fc
@@humphreyhassan8197 ....KOLO BUNYERO BUNYERO...!
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
This is simbaaaaaaa
Penalty mngempa mzungu Ili kumuamsha morali...maana anacheza YOPE tu'..!
tupo pamoja chama langu Simba Sport Club ila Maumivu ya juzi yalikuwa makali. muwe mnatufikiria na sie mashabiki
Kabisa
Thanks doctor chama and our leader
Mkude xhikamooooo
Mnachelewa kutoa highlights
Huyu kocha huyu nafkir hajui mpira wa sima vzur na hawajui wachezaji wa simba vzur kama anachezesha kiungo mkabaji mmoja kwa time ambayo ina wakabaji wazur😔. Anatakiwa abadilike haraka sana
This is Simba
Mzungu apewi pasi wanazingua
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏
Azam mnafel wapi mbona hatuoni udambwidambwi hapa
Unyama mwing🙏
♥️🦁
Naomba marafiki wa
Kwa Nini wachezaji wa Tanzania wanatabia ya Kila mchezaji kusema na refari Hata kugusa ao kumsukuma ?
Mwenyew nashngaa hii
hii penati hapa imetokea wapi ?
kumbe mzungu alifunga mpira ulivyokuwa umesimama🤒
@@malleironworks4586 penalty inaadvantage?
@@hoseasteven6241 Ukumbuke refa ndio mwenye maamuzi ya mwisho.. Nilichomaanisha hata Kama asingeweka penalty still mpira ungekuwa Ni advantage kwa Simba.. Neno advantage hutumika Kama refa anaona timu iliyochezewa faulo inaweza kuendelea na mpira unaoonesha kuwa na madhara kwa timu iliyocheza faulo..
Kwaiyo mzungu wanamuingiza uwanjani kwenda kutalii tu😅😅😅dhambi jamani
mzungu wanamnyima pasi bwana
Japokuwa tumefunga lakini timu aijawa sawa sehemu ya katikati
Good 🙏🙏🙏🙏
Azamu Boresheni kamera ndg zanguni mweeeh picha resolution haina quality nzr Wakuu...
Uyoo mzungu ni cr7 wa simba kudadekiii
Huyu kocha asije kuingia na huu mfumo wa kiungo mkabaji mmoja mbele ya kagera sugar. Atataga mayai.
ukimiliki mpira unaweza
#nguvumoja🦁💪
Good mnyama
Huyu mzungu hawampi mipira ya maana akaonyesha uwezo wake?
Mbona Kama Kuna kamgomo baridi?
Ndotumeanza Ivyo
Wao
Simba dua
Kama kwa mkapa mmecheza ivi mkienda mikoani kazi mnayooooooo
Simba nguvu moja Unstoppable
Hatupoii🤪🤪🤪
Kagera sugar wanafata
Alichofanya Mpole Kwa Outara Wachambuzi Hawajakizungumzia, Ila ni Muhimu Kukizungumza Kwa Maslahi Mapana ya Mchezaji Wetu Kinidham, na Timu ya Taifa, anaweza Ona yupo Sahihi Kwa Upande Wake Kwakuwa hajakosolewa Kinidham then atafanya hayahaya Kwenye Timu ya Taifa Kimazoea, Itatucost
Chama ni chama kubwa
0:54 1:02
Lyanga anajiona staa
Ikalia Pimpaaaaaaaa 😂😂😂😂
Mwanzo mzuriiiii
Tuko apa
Okrah aise ni mtu na nusu.
Tuache masihara okrah Ana mbio sana
Kweli kabisa
Kipimo kizir cha simba ni Geita lkn siyo yanga
Vipers anakupa hai🖐️
Tuliza kengere
Kanoute hataki mazoea kamchapa Lyanga banzi la lips
Kumbe anacheza na jukwaa kama Inonga
Mzungu waswahili wamempiga kipapai
Simba wa Vita jumamos alikua wap
Zimbaaaaaa
Azam camera zenu vip
Penati siyo goli Geita wamefungwa 2-0. Jana Yanga walipata Penati ya Mayele wameshinda 3-1Polisi.
Yanaitwaje
Acha paniki kinyesi FC
Team ya Vipers wanakupa hi🖐️
@@zehrahaji1566 naomba namba yako Inbox
Aliye nacho huongezewa
I want to put something to sako
Mbona mzungu hakugusa mpira?🥴🥴
Kwan anakuhusu nn mzungu?
Hakuna mchezaji humo. Ujinga ujinga tu, ndo maana alilazimika kumuingiza Kibu Denis.
apo saw
@@azizamihungo9659 kwani Komenti yangu inakuhusu nn?
Mbona wanacheza rafu sana simba filimbi nyingi zak
Walikutana na vibonde wenzao
Unateseka mavi wewe
geita utakutana naye sio mda tuliza kipele icho
Kama kibonde kacheze nao ww
Haya umeshinda ngapi kwa geita!?
huy mzung tumepigw
Mlete mzungu
Get
Ila huyu kanoute anacheza na miiili ya watu sana..
Yule ninja umesahau
Ninja WA 🐸
Videment
mzungu kapata goli la visa tumeona
Mnajifariji tu... Kwa mkapa mnacheza mpira wa hovyo hovyo hivo... Mikoan itakuaje sasa ... Simba bado sana.
inshaaalah
Ndo wanaongoza league VP kuna lingne
Mungu sio wa yanga ni wetu sote
Bluetooth connected successful. Acha dawa iwaingingie. Msijitingishe sindano itavunjika.
🤪🤪
Manzuki
Magoli ya penalt.... mmmh.
Tuwachieni mchezaji wetu
Yahga
Yanga.na.azam
Yanga.na.azam
Wameshinda ila hawana furaha vichwa bado vinamkumbuka Mayele
Labda ww ndiyo unamkumbuka huyo Mayele wako
Mayele mwenyewe anakumbuka Team ya Vipers
Kipa kauza goli l pili kasimama tu anausindikiza kwa macho simba km kawaida yenu kununua mechi lkn wapi amchukui ubingwa
PIMBI WEWE
@@chundastv9446 😂😂😂
Mara hii mshaanza kujinyea kinyesi fc 🤣🤣🤣
Vipers anakupa hai🖐️
We mbuzi umetumwa nn ?
Mlete mdhungu