Simba SC 3-0 Geita Gold | Highlights | NBC Premier League 17/08/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Simba SC imeanza kwa kishindo msimu huu wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa kuitandika Geita Gold FC mabao 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    magoli ya Simba kwenye mchezo huu yametoka kwa Augustine Okrah dakika ya 37, Moses Phiri dakika ya 61 na Clatous Chama kwa mkwaju wa penati dakika ya 82.
    Tazama highlights....

Комментарии • 188

  • @Bboymnyam25
    @Bboymnyam25 2 года назад +3

    Weka mambo mazuri🦁👍👍👍

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 2 года назад +3

    Asanten azam tv kwa highlights ya haraka like this

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 года назад +1

    Team inayojtambua siku zote haina mambo ya bahati nasibu 👑👑👑Simba nguvu moja

  • @xhadymxofe9480
    @xhadymxofe9480 2 года назад +4

    Ndo kazi tumeanza😉😘😘😘😘👹👹

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 2 года назад +3

    Mm ni mwananchi Lakini mnavyomsakama mzungu sio sawa namwona atakaa sawa Sanaa mpaka mtaziba midomo yenu.

  • @untouchboymsafi1788
    @untouchboymsafi1788 2 года назад +1

    Mnyama 🦁🇹🇿💪 home of trophies

  • @billetz3621
    @billetz3621 2 года назад +3

    First view 🥰🥰

  • @esterjulius6505
    @esterjulius6505 2 года назад +5

    Jana mmetufirahisha washabiki chama huyu chama mwamba wa Lusaka bila kumsahau Osman sacko mmeupiga mwingi sana. Ester Julius Mkoa SIMIYU wilaya bariadi

    • @erasmusleonidas6105
      @erasmusleonidas6105 2 года назад

      Napapenda sana Simiyu bariadi nikiwa kagera ila ipo siku nitakuja tu

  • @injili90
    @injili90 2 года назад +1

    Mlete mzungu simbaaa rahaaaa sana wanathimbaaaa😂😂🦁🦁nguvu moja

  • @esbdemmanuelnikola9127
    @esbdemmanuelnikola9127 2 года назад +2

    Tuna omba dakika zionge zeeke sta mechi nzima Niko ZAMBIA 🇿🇲🇿🇲🙏🙌✌️

  • @gervasdamiano5213
    @gervasdamiano5213 2 года назад +1

    Mnyamaa safi sanaaaaa

  • @getaromatiko229
    @getaromatiko229 2 года назад +1

    Safari imeanza vizuri!!!!!

  • @NyanzaMusaa
    @NyanzaMusaa 3 месяца назад

    Noma

  • @lama6310
    @lama6310 2 года назад +4

    Mzungu jamani Kagusa mpira Mara Tatu😳🙆🏼‍♀️

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide 2 года назад

      UNATAKA SIMBA ISHINDE AU MZUNGU AFUNGE

    • @ggmaquatics4498
      @ggmaquatics4498 2 года назад +1

      Anaingia mwishoni ndio maana akiingia kipindi cha kwanza tutaona kazi💯

    • @geraldpeter494
      @geraldpeter494 2 года назад

      Mlete mthunguuu

    • @lama6310
      @lama6310 2 года назад

      @@geraldpeter494 😂😂😂

    • @lama6310
      @lama6310 2 года назад

      @@BigDreamsWorldwide tunataka Simba ishinde Ila kaletwa Simba ili kufunga

  • @justinloodolaitayo2781
    @justinloodolaitayo2781 2 года назад +1

    Hii ndiyo timu kamili ya Simba

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +2

    Hii simba kuifunga ni kubahatisha tu

  • @paulinafabiano4363
    @paulinafabiano4363 2 года назад +1

    Naipenda simba jman mimi

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 года назад +2

    MWENDO MDUNDO
    SIMBAA NGUVU MOJA

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 2 года назад +2

    Chama kasababisha first goal,second goal la tatu akamaliza ubishi

  • @MudathiriMahr-df2wg
    @MudathiriMahr-df2wg Год назад +1

    Mzungu

  • @bravin5971
    @bravin5971 2 года назад +2

    Okrah anaipa simba speed ya kufanya mashambulizi

  • @sheheyusufusesiwa3668
    @sheheyusufusesiwa3668 2 года назад

    Good service, and excuse for my mistake. Thank u

  • @NoorNoor-lm2bh
    @NoorNoor-lm2bh 2 года назад +2

    Tatizo wanamtenga san mzung yuko vizur tu mda anaingia ni ndog sanaa wange mwanza kwan kipind cha kwanz kisha tujue vuzur ila wanamfanyia sio ivyo

  • @allywaziri1997
    @allywaziri1997 2 года назад +2

    mnyamaa

  • @gaudencehyera1475
    @gaudencehyera1475 2 года назад +3

    Mwamba huwa anafanya kama mzaha watu wanakufa kiulaini kama Goli la Sakho alilowafunga Yanga. Mtateseka vuteni Subira Tunarudi hatujamaliza bado.

    • @alimbarouk1647
      @alimbarouk1647 2 года назад

      Jipe moyo hhhhhh

    • @gaudencehyera1475
      @gaudencehyera1475 2 года назад

      @@alimbarouk1647 KWANI WEWE MUNGU KWAMBA SIMBA HAIWEZI KUFIKIA MATARAJIO YAKE ETI KISA YANGA YAKO!

    • @gaudencehyera1475
      @gaudencehyera1475 2 года назад

      @@alimbarouk1647 HATA LIVERPOOL WAMECHUKUA NGAO YA JAMII LAKINI MECHI MBILI WAPO WAPI?

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 2 года назад +1

    Asante Azam tv

  • @deboramsafiri1939
    @deboramsafiri1939 2 года назад +2

    Mzungu kafunga

  • @yusrathyriwa557
    @yusrathyriwa557 2 года назад +1

    Hii ndio simba bhana

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад +2

    Mpeni mzungu Pasi nanyie SIMBA mnazingua

  • @shamsabuku5544
    @shamsabuku5544 2 года назад +3

    Hiyo ndio simba wakubar wakatae

  • @alkardomakoloka849
    @alkardomakoloka849 2 года назад +2

    Hii ndiyo Simba tunayoitaka

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +2

    Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli

  • @nashrysimba4725
    @nashrysimba4725 2 года назад

    This is simbaaaaaaa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 года назад +1

    Penalty mngempa mzungu Ili kumuamsha morali...maana anacheza YOPE tu'..!

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 2 года назад +1

    tupo pamoja chama langu Simba Sport Club ila Maumivu ya juzi yalikuwa makali. muwe mnatufikiria na sie mashabiki

  • @ezekiellelyatz3231
    @ezekiellelyatz3231 2 года назад

    Thanks doctor chama and our leader

  • @CharlesPaschal-i6y
    @CharlesPaschal-i6y 2 месяца назад

    Mkude xhikamooooo

  • @victorpaul3266
    @victorpaul3266 2 года назад +1

    Mnachelewa kutoa highlights

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 2 года назад

    Huyu kocha huyu nafkir hajui mpira wa sima vzur na hawajui wachezaji wa simba vzur kama anachezesha kiungo mkabaji mmoja kwa time ambayo ina wakabaji wazur😔. Anatakiwa abadilike haraka sana

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 2 года назад

    This is Simba

  • @hasanihamisi4597
    @hasanihamisi4597 2 года назад +1

    Mzungu apewi pasi wanazingua

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏

  • @silmanofficial0133
    @silmanofficial0133 2 года назад +1

    Azam mnafel wapi mbona hatuoni udambwidambwi hapa

  • @rammyabasi2921
    @rammyabasi2921 2 года назад

    Unyama mwing🙏

  • @theodorahmchami4197
    @theodorahmchami4197 2 года назад +1

    ♥️🦁

  • @hamiselias5725
    @hamiselias5725 2 года назад +2

    Naomba marafiki wa

  • @kandoyamitoyababeliministr9745
    @kandoyamitoyababeliministr9745 2 года назад +1

    Kwa Nini wachezaji wa Tanzania wanatabia ya Kila mchezaji kusema na refari Hata kugusa ao kumsukuma ?

  • @Anuarmustafa4128
    @Anuarmustafa4128 2 года назад

    hii penati hapa imetokea wapi ?

  • @agun_machine
    @agun_machine 2 года назад +3

    kumbe mzungu alifunga mpira ulivyokuwa umesimama🤒

    • @hoseasteven6241
      @hoseasteven6241 2 года назад

      @@malleironworks4586 penalty inaadvantage?

    • @malleironworks4586
      @malleironworks4586 2 года назад

      @@hoseasteven6241 Ukumbuke refa ndio mwenye maamuzi ya mwisho.. Nilichomaanisha hata Kama asingeweka penalty still mpira ungekuwa Ni advantage kwa Simba.. Neno advantage hutumika Kama refa anaona timu iliyochezewa faulo inaweza kuendelea na mpira unaoonesha kuwa na madhara kwa timu iliyocheza faulo..

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 2 года назад +1

    Kwaiyo mzungu wanamuingiza uwanjani kwenda kutalii tu😅😅😅dhambi jamani

  • @jumaaally114
    @jumaaally114 2 года назад +2

    mzungu wanamnyima pasi bwana

  • @chakubutakamangila2274
    @chakubutakamangila2274 2 года назад +1

    Japokuwa tumefunga lakini timu aijawa sawa sehemu ya katikati

  • @maccospisikaliindustry1986
    @maccospisikaliindustry1986 2 года назад +2

    Good 🙏🙏🙏🙏

  • @barakajuma6915
    @barakajuma6915 2 года назад +1

    Azamu Boresheni kamera ndg zanguni mweeeh picha resolution haina quality nzr Wakuu...

  • @georgeburtontv6151
    @georgeburtontv6151 2 года назад +1

    Uyoo mzungu ni cr7 wa simba kudadekiii

  • @jumamangombe6493
    @jumamangombe6493 2 года назад +1

    Huyu kocha asije kuingia na huu mfumo wa kiungo mkabaji mmoja mbele ya kagera sugar. Atataga mayai.

    • @fj8317
      @fj8317 2 года назад

      ukimiliki mpira unaweza

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 2 года назад

    #nguvumoja🦁💪

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 2 года назад +1

    Huyu mzungu hawampi mipira ya maana akaonyesha uwezo wake?
    Mbona Kama Kuna kamgomo baridi?

  • @bakaryadam625
    @bakaryadam625 2 года назад +1

    Ndotumeanza Ivyo

  • @rebeccahemmed9013
    @rebeccahemmed9013 2 года назад

    Wao

  • @joelbusungu9194
    @joelbusungu9194 Год назад

    Simba dua

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni8635 2 года назад

    Kama kwa mkapa mmecheza ivi mkienda mikoani kazi mnayooooooo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 года назад +1

    Simba nguvu moja Unstoppable

  • @erickclassic8017
    @erickclassic8017 2 года назад +1

    Hatupoii🤪🤪🤪

  • @kombozakaria8350
    @kombozakaria8350 2 года назад +2

    Kagera sugar wanafata

  • @swedikiluvia9386
    @swedikiluvia9386 2 года назад

    Alichofanya Mpole Kwa Outara Wachambuzi Hawajakizungumzia, Ila ni Muhimu Kukizungumza Kwa Maslahi Mapana ya Mchezaji Wetu Kinidham, na Timu ya Taifa, anaweza Ona yupo Sahihi Kwa Upande Wake Kwakuwa hajakosolewa Kinidham then atafanya hayahaya Kwenye Timu ya Taifa Kimazoea, Itatucost

  • @estangailo6307
    @estangailo6307 2 года назад

    Chama ni chama kubwa

  • @salumkasongo7507
    @salumkasongo7507 2 года назад

    Lyanga anajiona staa

  • @josephfalaghamoja7800
    @josephfalaghamoja7800 2 года назад +1

    Ikalia Pimpaaaaaaaa 😂😂😂😂

  • @deobecksoni7275
    @deobecksoni7275 2 года назад

    Mwanzo mzuriiiii

  • @humphrelemaa7630
    @humphrelemaa7630 2 года назад +1

    Tuko apa

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 года назад +2

    Okrah aise ni mtu na nusu.

  • @bonifacekomba7060
    @bonifacekomba7060 2 года назад

    Tuache masihara okrah Ana mbio sana

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 2 года назад +2

    Kipimo kizir cha simba ni Geita lkn siyo yanga

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 года назад

    Kanoute hataki mazoea kamchapa Lyanga banzi la lips

  • @maghanighanichali9519
    @maghanighanichali9519 2 года назад

    Kumbe anacheza na jukwaa kama Inonga

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад

    Mzungu waswahili wamempiga kipapai

  • @nuhumohammed5307
    @nuhumohammed5307 2 года назад

    Simba wa Vita jumamos alikua wap

  • @jeremiajackson5282
    @jeremiajackson5282 2 года назад

    Zimbaaaaaa

  • @jidashabani6322
    @jidashabani6322 2 года назад +2

    Azam camera zenu vip

  • @gaudencehyera1475
    @gaudencehyera1475 2 года назад

    Penati siyo goli Geita wamefungwa 2-0. Jana Yanga walipata Penati ya Mayele wameshinda 3-1Polisi.

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 2 года назад

    Aliye nacho huongezewa

  • @justinloodolaitayo2781
    @justinloodolaitayo2781 2 года назад

    I want to put something to sako

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 года назад +1

    Mbona mzungu hakugusa mpira?🥴🥴

    • @azizamihungo9659
      @azizamihungo9659 2 года назад

      Kwan anakuhusu nn mzungu?

    • @jumamangombe6493
      @jumamangombe6493 2 года назад

      Hakuna mchezaji humo. Ujinga ujinga tu, ndo maana alilazimika kumuingiza Kibu Denis.

    • @barakastive2447
      @barakastive2447 2 года назад

      apo saw

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 2 года назад

      @@azizamihungo9659 kwani Komenti yangu inakuhusu nn?

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 2 года назад

    Mbona wanacheza rafu sana simba filimbi nyingi zak

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 2 года назад +3

    Walikutana na vibonde wenzao

  • @ericklinus167
    @ericklinus167 2 года назад +1

    huy mzung tumepigw

  • @rashidissa2540
    @rashidissa2540 2 года назад +1

    Mlete mzungu

  • @nyamwagaonlinetv6445
    @nyamwagaonlinetv6445 2 года назад +1

    Get

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад +1

    Ila huyu kanoute anacheza na miiili ya watu sana..

  • @YohanaDotto
    @YohanaDotto Год назад

    Videment

  • @suheilabdallah3135
    @suheilabdallah3135 2 года назад

    mzungu kapata goli la visa tumeona

  • @alhaminyangusi8035
    @alhaminyangusi8035 2 года назад +1

    Mnajifariji tu... Kwa mkapa mnacheza mpira wa hovyo hovyo hivo... Mikoan itakuaje sasa ... Simba bado sana.

  • @nyanungureti8102
    @nyanungureti8102 2 года назад +2

    Manzuki

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 2 года назад

    Magoli ya penalt.... mmmh.

  • @hemedymsafiri6220
    @hemedymsafiri6220 2 года назад

    Tuwachieni mchezaji wetu

  • @charlesseshaga3521
    @charlesseshaga3521 2 года назад

    Yahga

  • @guccij6236
    @guccij6236 2 года назад +3

    Wameshinda ila hawana furaha vichwa bado vinamkumbuka Mayele

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 года назад

      Labda ww ndiyo unamkumbuka huyo Mayele wako

    • @zehrahaji1566
      @zehrahaji1566 2 года назад

      Mayele mwenyewe anakumbuka Team ya Vipers

  • @muniribrahim168
    @muniribrahim168 2 года назад +2

    Kipa kauza goli l pili kasimama tu anausindikiza kwa macho simba km kawaida yenu kununua mechi lkn wapi amchukui ubingwa

  • @JasmineRamadhani-fp3yi
    @JasmineRamadhani-fp3yi 5 месяцев назад

    Mlete mdhungu