OMMY DIMPOZ AWACHANA WANAOMSEMA DIAMOND KWENDA KWA P DIDDY/HAJAFANYWA KITU/ZUCHU KUPIGWA CHUPA MBEYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Tumepiga Story na OMMY DIMPOZ
    ````````````````````````````````````````````````````
    Facebook Page @chazymedia
    instagram @chazymedia
    Tiktok @chazymedia
    ``````````````````````````````````````````````````````````````
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 130

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 5 дней назад +2

    HATA MSEMAJE DIAMOND PLATNUMZ HAMUWEZI KUMSHUSHA.HE IS THE BEST ARTIST EVER......NA ATAENDELEA KUKUTANA NA MASTAR WAKUBWA DUNIANI.

  • @AminKanefu
    @AminKanefu 7 дней назад +10

    Safiiiiiiiiii Sana my brother Poz Kwa Poz.. nakubaliiiiiiii....by Mr okay 1time

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan 6 дней назад +1

      Huyo dpz shoga anajikosha

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan 6 дней назад

      Acheni tamaa machoko nyie

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan 6 дней назад +1

      Mbona mwenzie hakiwa hanadaiwa mnatangaza huyo katimuliwa wasafi anadaiwa na lingine Mali zenu munatangaza kufilwa munaficha dpzi choko mondi Dem wa p dd

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan 6 дней назад

      Mondi ni p dd

  • @RomiiKendri
    @RomiiKendri 7 дней назад +10

    Umeongea point bro

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 6 дней назад +4

    Wabongo hawana kazi za kufanya ndo maana wameshupalia p Diddy kama ibada wanashindwa kushughulikia na Mungu wanashughulikia na upuuzi

  • @sistadready5368
    @sistadready5368 6 дней назад +1

    Well said

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 7 дней назад +7

    Ommy alishapigwa moshi kwenye fiesta sitasahau iyo siku😂😂😂😂😂

  • @minaeli5989
    @minaeli5989 7 дней назад +4

    Wee Jay Z bashakulana mate na did angalia the shed na kwa taarifa yako marekani wanaliongelea sana angalia tiktok zao

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 3 дня назад

    Mbona unazunguka mbuyu my brother

  • @florenceamedi4105
    @florenceamedi4105 5 дней назад

    Una akili sana forever your fun❤❤❤

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 7 дней назад +18

    Ommy kumbe una akili hivyo pamoja sana . Baadhi ya sisi Watanzania tunapenda kufurahia mtu anapopata matatizo

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад +1

      Yani uka filwe kwa tamaa useme matatizo ata ww kama una tamaa una filwa bila kupepesa macho boyawer

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 7 дней назад +1

      Uyo ndio walewale

    • @SafariJamal
      @SafariJamal 6 дней назад +3

      ​@@RomanMwinyi kajifunze kiswahili kwanza ndo uje kutoa comment 😎

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 7 дней назад +5

    Bg up omy point tupu👍

  • @JumaNna-y5c
    @JumaNna-y5c 6 дней назад +3

    Omy mwenyewe chakula

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 3 дня назад

    Ommy ni mtu sanaa

  • @ShukuruShakara
    @ShukuruShakara 7 дней назад +5

    Wa Tanzania mudomo mudomo tu hayo mambo ya p Diddy ni Tanzania tu Africa yote

    • @SafariJamal
      @SafariJamal 6 дней назад +1

      Ushamba mwingi sana na watanzania ,,,, shobo nyingi sana aisee⁉️

  • @barakanyamadyaki8268
    @barakanyamadyaki8268 4 дня назад

    Broo unefanya interview kwa akili kubwa sana pig up broo mungu akuongoze kwenye safali yako ya maisha yako

  • @HilaryHaule-k6q
    @HilaryHaule-k6q 3 дня назад

    HUYO MNYAMA mwacheni kumpiga majungu,kwani nani anayejua kafanyiwa hivyo .😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @InesdaAgatavirgilioAgatavi-h5e
    @InesdaAgatavirgilioAgatavi-h5e 6 дней назад

    Ukweli

  • @AhmedAhmed-ff6dp
    @AhmedAhmed-ff6dp 4 дня назад

    Huyo mwenyewe pia chakula Cha pdiddy na joho ashapitia

  • @AbdulAzizAli-i6x
    @AbdulAzizAli-i6x 7 дней назад +5

    Wee mwenyewe chele pungu dume zimaa kuvalisha pete kwenye kidole cha shahada kwa mtazamo tu 😂😂😂

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 6 дней назад

      Huyo ni msanii, na huo ndo usanii

  • @ZuberiMponela
    @ZuberiMponela 6 дней назад +2

    saw...
    mbon ckuiz anaongea ivi🙄 kalegez ivi aaah🙌😂
    apa kuna ka namna watto wa kulelew na mm pekeak awa😂😂😂😂

  • @frankkatima607
    @frankkatima607 7 дней назад +3

    Na hizo heleni ndo maana unatetea kuhusu kwenda kwa Did

  • @aman1leonard914
    @aman1leonard914 4 дня назад

    Ommy; anyway mta Edit
    Director; Well 😂😂😂

  • @AmidoKasome
    @AmidoKasome 6 дней назад +1

    Mutakufa tatizo mume penda sifa sana

  • @OstakiaCornely
    @OstakiaCornely 5 дней назад

    Tanzania tunapenda kukuza mambo chefu

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 7 дней назад +1

    One of desire is to come in Tanzania and not my wish😂😂😂

  • @BenMahende
    @BenMahende 5 дней назад

    Mondi Nakukubali Sana mwamba Simba

  • @christophaoscar8295
    @christophaoscar8295 7 дней назад +6

    Nauyo uyo nae niwalewale

  • @AllySalim-w9l
    @AllySalim-w9l 6 дней назад +1

    Wanahabar mjiongeze kwnye mtu anavyojibu swal ulza swal juu ya jbu co mkishaulza swali moja bas mnaenda la2 mlilopanga JIONGEZEN
    Mfano jamaa kasem huwa ad atambulshwe ss mnashndwa kujbu huwa anatambulshwa na nan??

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 2 дня назад

    Hapo ni Jose na Joseph Mwendo wa Ku Diddy ana tu nanilazima Tanzania tushupalie kwakua Nijambo Lakigeni lakini Marekani Nijambo lakaiwada sana Kwakua nilakaiwada

  • @EddytabenMwambegu
    @EddytabenMwambegu 6 дней назад +1

    Lkn mkumbuke huyu naye ..hamsini hamsini

  • @abdallaabdalla998
    @abdallaabdalla998 7 дней назад +2

    Jay - Z is next bruh what are you talking about ?

  • @halimaibrahim9319
    @halimaibrahim9319 2 дня назад

    KESI YA NYANI KAPEWA NGEDERE MNAFIKIRI NGEDERE ATASEMA NINI

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj 7 дней назад +3

    Ommy sichoko kitambo tu

    • @mrishoshabani8390
      @mrishoshabani8390 7 дней назад

      We mwenyewe mtaani kwako unaitwa Aisha, choko ww

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 6 дней назад

      @@mrishoshabani8390unakataa nn ommy shoga toka muda san na ww unalijua ila unajitekenya

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 7 дней назад +2

    Omi mbona unacheka unavotaja pididi😅😅

  • @BosraBenjamin-ig1in
    @BosraBenjamin-ig1in 6 дней назад +2

    heleni za nini wewe mwanaume //

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 6 дней назад

    P ddy team hio yote kwa elimu gani umiliki hvo vitu p ddy anawahusu

  • @claujoseph3632
    @claujoseph3632 6 дней назад

    omy unaakili sana una unafki ila ali kiba mnafki sana anachochea uwongo

  • @bacarFaque-s4n
    @bacarFaque-s4n День назад

    Ndugu acheni unafiki kwani nhie inawahusu nini kuusu mambo ya diamond

  • @JamalidinyahyaMembe
    @JamalidinyahyaMembe 7 дней назад

    ongea kweli

  • @DanielMwakalebela-s1m
    @DanielMwakalebela-s1m 6 дней назад +1

    Lkn mbn huyo mond Kuna kipindi cha bifu la yy na dimpoz alishawah kusema dimpoz anapumuliwa sema ni kitambo kdg kipindi cha bifu lao

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 6 дней назад

      Nashangaa saiv wa tz wanakataa😂😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 дней назад

    Nimejifunza kitu apo omi kwamaneno yako nanimechukua maneno kaka ...kwamba usijichukulie powa hata kidogo yan...safi kwa msimamo wako nakwakujikubali kwako nakujithamin

  • @LitoDossani
    @LitoDossani 7 дней назад +7

    Ommy ww choko tu

  • @AmecChee
    @AmecChee 6 дней назад +1

    Sauti Yako Sasa

  • @RamaKahindi-vw4oz
    @RamaKahindi-vw4oz 6 дней назад +1

    Lazima umtetee maana ni mwenzio

  • @JoanaxavierVicenteVicente
    @JoanaxavierVicenteVicente 6 дней назад

    Ommy ww jibu swali diamond kafanya au ajafanya mbona unazunguka tu.ss tunatakakujua uyu wakwetu kafanya au ajafanya

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 7 дней назад +3

    Uyo mwenyewe ana malinda

  • @MohammedAmour-nf9wq
    @MohammedAmour-nf9wq 6 дней назад +1

    Sio kweli labda wewe na baba yoko ndio ana wapa mafanikio

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 6 дней назад +1

    sipendi mtu anapoongea awe anatafuna bigjii ni moja ya ishara kuwa mtu huyo anajiona na Ana madharau tema bigjii unapoongeaa

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 6 дней назад

    Rusufa yule ukiingia pale kutoka salama majaliwa😂😂😂

  • @badisalim4250
    @badisalim4250 6 дней назад +1

    Huyu pia ni mchicha tu

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 5 дней назад

    Yatapita kwanini yeye mwenyewe alimba mti wenye matunda ndio wenye kutupiwa mawe

  • @MonicaMwoka
    @MonicaMwoka 4 дня назад

    Hao chama lso moja pita huko

  • @salimkibwana4189
    @salimkibwana4189 7 дней назад +4

    Yy mwenyewe senge huyo omy

  • @nyikaboychannel7089
    @nyikaboychannel7089 6 дней назад

    ila p Diddy

  • @alamoody3668
    @alamoody3668 4 дня назад

    Mwanamume kuvaa vipuli dahhh hasara kubwa. na cheni za viuno vaeni mavazi ya wadada mumewaibiya hata kuongeya munakopi style za wadada ndio maana wakiongeya wanapenda kuramba lips. Hizo Sio sifa za mwanamume.

  • @EvansiEvansi-oi8or
    @EvansiEvansi-oi8or 7 дней назад +4

    Tayali huyo hamna mtuhapo

  • @Abby_Shawn_KE
    @Abby_Shawn_KE 6 дней назад +3

    😂😂KaniBlock RUclips huyu Ommy kwa kusema yeye na JAY MELODY ni mashoga wanaotuimbia wanaume rijali nyimbo za mapenzi na hazituingii akilini

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 6 дней назад +1

      Ukweli ndo hio kwan akikublock unakufa?

    • @Abby_Shawn_KE
      @Abby_Shawn_KE 6 дней назад

      @@LatifaCharles 😁😁 ukweli ulimuuma, anamtetea diamond maana wote timu moja sema tu Diamond alisaini UMAARUFU huyu kasaini utajiri pekee kwenye himaya ya giza

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 6 дней назад

      @@Abby_Shawn_KE sasa ana utajiri gan ommy mbn zumbukuku tu la gsm

    • @Abby_Shawn_KE
      @Abby_Shawn_KE 6 дней назад

      @@LatifaCharles 😁ana hela huyo mshez wewe hujui tu, Ligi moja na wakina Jux alaf wote MASHOGA, 🤭shoga jipya kwenye sanaa ni Jay Melody, Lukamba na Kusah pamoja na Takataka zingine zilizo Trending

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 6 дней назад

      @@Abby_Shawn_KE tobaaaaaaa wamsunr p didy huenda akatoka wakatizame muvi

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 6 дней назад

    Mkubwa una hela familia vip? Au mpaka bahari zikauke

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 2 дня назад

    Mondi kaliwa full stop, jicho likachanwa malinda😂😂😂😂, pesa ya jicho, hata rangi zake za wasafi mijichomijicho tu😂😂😂😂

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 6 дней назад

    Skilizeni nyinyi ata mm nikenda nikigongwa unazani nitatoka nitangaze msende dah simba kasharowekwa

  • @annasolomon9855
    @annasolomon9855 6 дней назад +1

    Huyu nae ni bwabwa mda mrefu lazima amtetee bwabwa mwenzie.. bwabwa kitambo omyi mara nje ya nchi mara humuhumu kwa wakubwa wanamfaidi😅😅

  • @luggylugano5538
    @luggylugano5538 5 дней назад

    Brother hata kama ni fashion ila na nyie Kuna vitu mnavaa vinaleta tafsri nyingine mfano kuvaa eleni sikioni,kusuka ñywele,kutoboa pua .nishabiki yenu enu ebu tusiige Kila kitu

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 7 дней назад

    Icho Kigali baada ya samba day,,,kikaenda kubadilishwa seat cover

  • @AmosHashaka
    @AmosHashaka 5 дней назад

    Watu weusi tuna uzuri wakupomawa wenzetu sasa Diamond kuonana na P Diddy inamupata Diomond vipi bana, kesi ya P. Diddy kukamatwa kuhusu kwende kinyume na biashara ya musiki sio maana Diamond naye alienda kinyume ya kazi zake. Lets not fall into the trap of destroying our own, white system is good at find wrongs in our own and we fall into that trap even without making our own research to know the truth? Why?

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 7 дней назад

    Sas Kwa tahalifa yeni hapo mnapo shoboka kafanya kafany nandiy na nyimbo itakavy Toka mtashoboka ivyo ivyo wengi wetu atujitambui Waka na wew ujuw kama ndg Yako na yy analiwa kibog amjuwi famili kwaiyo siyo vyem kushombok mamb ya kishez ujuw na ww kizazi chako kitakuw vip

  • @abdallahothman9878
    @abdallahothman9878 5 дней назад

    Acha porojo ww mwenyewe ni wale wale tu wanaoliwa kiboga

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 6 дней назад

    Yaani hichi ndio chakula kabisa 😅

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 7 дней назад +2

    Ommy busara nyingi

  • @alitobasile1401
    @alitobasile1401 7 дней назад +6

    Ommy si ndio walewale mdaa tu , Diomond mwenyew alisema walifanya na mambo waliofanya sio yakupost , Maana yake ni ya Aibu

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 6 дней назад

    Nimekupa asimia 100 kwa kauli zako

  • @JoerntonAnthony
    @JoerntonAnthony 6 дней назад

    Makin sana broh

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding 7 дней назад +1

    Ukisikiza ngom ya nay unaambiw kesi wanazifany polisi na mashitaka yako polisi polisi anapew kaz yakumtafta polisi asa mambo ya kichoko unamuulizaje shoga uyu jaman mbn watanzania mnapenda kupepesa macho

  • @McT-m1m
    @McT-m1m 6 дней назад

    Omi omeongea kitu kimenigusa na nyie ni binadamu na nikifikiria wanavokomenti kuhusu wewe wallah sijaelewa kwa nini nimehisi machozi zuchu konde diamond na omi huwa wanaamhiwa maneno makali sana kwenye komenti

  • @alitobasile1401
    @alitobasile1401 7 дней назад +12

    Broh Danganya hao sisi tunajua Issue zenu na ww Umo , huwezi muongelea vibaya, kazi gani unayoifanya ili umiliki vitu unavyoonekana navyo? Naivi unamwaliko kwenye show ya Christ brown, Madili gani mnayofanya? Danganyeni hao, Hata ww Ommy ndio kazi yako😂

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven 6 дней назад +1

    Kweli kabisa watu wengi hawapendi mafanikio ya wenzao ndo maana umaskini unazikuwa kuwa janga la Taifa

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 6 дней назад

    Kiukweli wewe amidimpo uko sahihi.kwaawa wanao waza ujinga bila kuwaza njia zakupata pesa nakumuwaza mondi

    • @AlbertoMkwango
      @AlbertoMkwango 6 дней назад

      Huyu mimi ninawawasi nae sio msenge huyu

  • @ZamzamYusuf-x7o
    @ZamzamYusuf-x7o 6 дней назад

    Hahahahahah kweli OMY Tazania ndoo inaongoza na hiyo issue 😂😂😂😂😂

    • @BarakaJohn-l1d
      @BarakaJohn-l1d 6 дней назад

      unajua mafanikio ni vita na wanaotaka uanguke ni watu wako wa karibu hasa wenye chuki binafs ukilijua Hilo huteseki

    • @muhammadsheekh7993
      @muhammadsheekh7993 5 дней назад

      Huyu namshuku alipokua na ukaribu urafiki na governor wa kenya

  • @abuumkuti
    @abuumkuti 7 дней назад

    Pwenti ni pididi

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 7 дней назад +4

    Anatafuta kiki huyo

  • @chakalaboti9709
    @chakalaboti9709 6 дней назад

    Jamaa mi MEGAMIND
    AKILI KUBWA

  • @Jonsony-b3b
    @Jonsony-b3b 7 дней назад

    Diamond hakuna zaid yake ukifanikiwa wat wanasema mengi