Ushuhuda mzuri sana hila umenitia uoga nikaisha nguvu,matumaini yakashuka nikijuliza tutapataje kupona namna hio kama shetani anatuangalia kwa screen za kuzimu sote duniani,.....mbali nikapata nguvu mwishowe bwana wetu YESU KRISTO ametuma malaika wake kwenye arthi ili kutupigania.basi na tuwashe moto wa maombi pasipo kuchoka mungu yu pande yetu.....AMINA🙏
Ushuhuda mzuri sana hila umenitia uoga nikaisha nguvu,matumaini yakashuka nikijuliza tutapataje kupona namna hio kama shetani anatuangalia kwa screen za kuzimu sote duniani,.....mbali nikapata nguvu mwishowe bwana wetu YESU KRISTO ametuma malaika wake kwenye arthi ili kutupigania.basi na tuwashe moto wa maombi pasipo kuchoka mungu yu pande yetu.....AMINA🙏
Yesu alisema ombeni lolote kwa jina langu mtatendewa namn unaeza omba network ikate kwa Jina la Yesu usionekane na iii kawa ivo ukiomba kwa Imani.
Ahsante kwa shuhuda za kutusaidia ktk safari yetu.
Amen blessed kwa testimony za kuiponya roho yangu.jina lake YESU litukuzwee.
AMINA
Barikiwa sana mama mchungaji
Amen yesu kristo aliye hai
Bwana Yesu Kristo wanazareth tuokowe na utawala washetani
Bwana yeu asifiwe...
Yesu atusaidie
nisaidie nimalize mwedo salama YESU KRISTO
Wow God is GREAT!!ametufunulia haya yote Ili tusipotee na pia tusiangamie🙏
Asante Yesu Kristo utukufu ni wako baba, akuna kama wewe apa duniani ata pia mbinguni baba wa ruutuma tusaidie tushinde hii dunia ya mahovu😢😢
Asantee ubarikiwe
Asante 🙏 🙏
MUNGU atusaidie sana
Amen Amen
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
AMEN
Thenks for sharing 🇰🇪🙏