PENZI LA MUME WA BOSS EP 14 | SO1 || Love Story 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • #busatitv #lovestory #bongomovie
  • КиноКино

Комментарии • 77

  • @HappyJumwa-h9e
    @HappyJumwa-h9e Месяц назад +15

    Wa 11 leo kla atakaye tazama ep hii mungu amuepushe na kila hila zote za mwovu shetani mpka tuvuke mwaka huu tukiwa salam salimin🙏🙏🙏

  • @DesiratteMuhizi
    @DesiratteMuhizi Месяц назад +2

    dada yake na warda nakukubali sana kbx mauwa ya haya apa🎉🎉❤❤

  • @mesamesa3698
    @mesamesa3698 Месяц назад +1

    Nimerauka😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @MalkaNinik
    @MalkaNinik Месяц назад +3

    Mke waraymod nimpole sana wallah nawewe Raymond mke mpole akichoka yuwashida shetani mwenyewe nautakuja Jutia yote

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz Месяц назад +5

    Waooooo kazi nizuri sana inafundisha sana mungu awabariki sana

  • @deamber775
    @deamber775 Месяц назад +2

    Warda umeanza kuniudhi yani mwanzo nilkua nakupenda sana

  • @ChitsakaMkindo
    @ChitsakaMkindo Месяц назад +2

    Nawapenda sana

  • @LevinaMacha
    @LevinaMacha Месяц назад +1

    Tress danganya toto afu mbona fupi😅

  • @EmmanuelChikombo
    @EmmanuelChikombo Месяц назад +2

    Kali sana

  • @123rehema-q9h
    @123rehema-q9h Месяц назад +1

    Kazi safi sana ❤❤❤

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y Месяц назад +1

    Tressy ywapata shida kwel mumewe Hana msimamo mara grace, mara warda

  • @angelNinaofficial-z2d
    @angelNinaofficial-z2d Месяц назад +1

    Rahma uvae sidiria bana 😂😂😂

  • @Deer-g4t
    @Deer-g4t Месяц назад +2

    Reymond wewe umeniboo Kwa kweli 😢

  • @MadinaAhmed-u9z
    @MadinaAhmed-u9z Месяц назад +2

    🎉🎉

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Месяц назад +3

    Reymond wewe unatabia mbaya kumbe mbona mkeo ni mpole sana kwanini kumfanyia hivo Dah!😢😢😢

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 Месяц назад +3

    Mapemaaaa leo❤ Kazi nzr sana❤❤❤

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana nawapenda bure😂😂😂😂😂 da warlda wasema grace alikuja kusindikiza dunia 😂😂😂 warda wewe

  • @fatumasalim3915
    @fatumasalim3915 Месяц назад +1

    Makubwa 😂😂

  • @SamouOman
    @SamouOman Месяц назад +1

    Kazi nzur kaka

  • @hadijashaban5880
    @hadijashaban5880 Месяц назад +1

    Mwanamke ana moyo hutu kupokea mke mwenza ningeshamtoa sikio mda sana

  • @MiriamuMuro
    @MiriamuMuro Месяц назад +7

    Ila mwanamke anae moyo huyu Ni mfano wa kuigwa . Mungu tupe mioyo ya hivi.

  • @NeemaMagoma-d9q
    @NeemaMagoma-d9q Месяц назад +3

    Sijachelewa nipeni maua yng ❤❤❤

  • @Tikrit66Tik
    @Tikrit66Tik Месяц назад +3

    😅😅😅nawapenda bure

  • @SarahHappy-k1o
    @SarahHappy-k1o Месяц назад +2

    Pole sana madam ila ww mpole

  • @SaumuNzadze-f2t
    @SaumuNzadze-f2t Месяц назад +1

    Hii move iko Na mafunzo Sana mm nimejifunza mume wa mtu ukimzalia bila kukuoa utapata tabu hivi Warda alivokua yuwapendwa Na huyo mume hivi kamgeuka karudhi Kwa mke wake kisa Warda Yuko Na mimba mmmmh pole warda

  • @MunaBintbadru
    @MunaBintbadru Месяц назад +1

    😂😂😂rahma sikwaingiliz iyo

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa Месяц назад +3

    Hama kweli wanaume bwana hata sijui ataacha kweli huyu mkaka maana amezidi umalaya

  • @MahadhiMusa
    @MahadhiMusa Месяц назад +2

    Tresy nawe ebu wacha ujinga simama wima ulinde nyumba yako wacha upole na kujichekea mama changamka kiasi alaaaaaaa

  • @DaudJulias-c7q
    @DaudJulias-c7q Месяц назад +2

    Wanawake jaman tuwe wavumilivu na ndoa zetu

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna Месяц назад +3

    Raymond punguza umalaya n umliwaze mkeo mpka na hisi kuumwa n tumbo kaa kwel mwenyew mple anaipenda ndoa yke lkn b.mkubwa changamka n ww keee

  • @RebecaAseri
    @RebecaAseri Месяц назад +2

    𝐄𝐛𝐮 𝐧𝐢𝐩𝐞𝐚 𝐥𝐢𝐤𝐞𝐬 𝐳𝐚 Rahma 𝐊𝐚𝐦𝐚 mnamkumbali🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @thabitharange-vz2ru
    @thabitharange-vz2ru Месяц назад +4

    Nami nimewayi leo😂 ila hii movie ninzuri yani

  • @McT-m1m
    @McT-m1m Месяц назад +2

    Warda ana sauti ya ukali

  • @MwanamisiMwajinga
    @MwanamisiMwajinga Месяц назад +4

    Mbona kimya leo

  • @FaudhiaWadongo
    @FaudhiaWadongo Месяц назад +2

    Uyu Tresy linaniboa Ukidanganywa kidogo Unacheka

  • @AminaKinyomwa
    @AminaKinyomwa Месяц назад +5

    Mbona haidanlodiki

  • @Bintabubakar-id2so
    @Bintabubakar-id2so Месяц назад +1

    Raymond Malay jamn khaaa😅😅😅

  • @McT-m1m
    @McT-m1m Месяц назад +2

    Pole madamu unapitia maagumu

  • @HawaaRajab-jf2pt
    @HawaaRajab-jf2pt Месяц назад +4

    Sa 8.00 tayari achieni tuone vitu

  • @AnsaB-j2m
    @AnsaB-j2m Месяц назад +6

    Watatu leo naomba like ata kumi

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv Месяц назад +1

    Raymond unateza bibi yako kwa nn lkn ni afadhali umwambie ukweli mko na warda uachane na grace

  • @HellenAshery
    @HellenAshery Месяц назад +1

    Madam trace mpole

  • @jhategekimana4801
    @jhategekimana4801 Месяц назад +2

    Kuki mukora ka episodi k'iminota Mike?

  • @Emanuellupoja44
    @Emanuellupoja44 Месяц назад +5

    Wa kwanza

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Месяц назад

    Huyu mwanaume nae kazidi nyumbani ana mke ana mchepuko bado tena kwa grece umalaya tuu

  • @McT-m1m
    @McT-m1m Месяц назад +3

    Rahma una mdomo wewe

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba Месяц назад +2

    Hiv huy rahma kw uhalisia kaolewa? Maan huo mdomo hauwez stili ndoa

  • @QapelAlhasani
    @QapelAlhasani Месяц назад +6

    Wapili...aciyeni

    • @NasmahPaul-f5d
      @NasmahPaul-f5d Месяц назад

      Mbona haziongei.sas jmn ee

    • @Mariahkahind
      @Mariahkahind Месяц назад

      Ilikuwa live ila pia mm kwangu haisem​@@NasmahPaul-f5d

    • @KiwangoMediaFilms255
      @KiwangoMediaFilms255  Месяц назад

      ​@@NasmahPaul-f5d Asante kwa kuwasiliana na KIWANGO MEDIA FILMS jaribu kutazama vizuri kifaa chako unachotazamia kama ni simu au laptop, tv🙏🤝