Tofauti yako makonda ww hufanyi kwa uchawa,umedhamiria kumsaidia Rais kweli kweli,baadhi ya watu wanadhani kwa kuwa Rais ni mama hvyo wanaweza kupitia jinsia kumpelekea majungu,nampenda Rais Samia kwa utulivu anaouonesha,hashawishiwi na majungu bali anafanya kinachostahili, PIGENI KAZI VIONGOZI WAZALENDO..❤❤❤❤❤
Kwakweli watu wasijifiche kwenye kivuli cha jinsia. Hapa ni kazi tuu, piga kazi Makonda. Elisha akamwambia Gehazi, walioupande wetu ni wengi kuliko waliokinyume nasi. Halafu kale kalugha alikokatumia kakusema, mnaowateua, siyo kazuli Sana, maana anadharau muhimili wa ...? Wateuzi
Wewe ni rais ujae kama vile ulivyo mtabilia mama samia kua makamu wa rais, wakwanza mwamke, hatamie nakutabilia uje uwe rais wetu kijana shupavu,, tunajua ccm imejawa na mafisadi tu
Kweliiii T. M . U Mungu azidi kuwatangulia ktk kila mnachokifanya, hata viongozi wa chini kama ktk kata nk wameanza kupambana na wanyonge tunajipanga kupata haki zetu nk. Niendelee kumsihi kila anayemuelewa Makonda na kundi lake, tuendelee kuwa ktk maombi,k tuwaombee kuanzia raisi, waziri mkuu na wote wenye mapenzi mema kwetu. TEAM MAKONDA UKOMBOZI wananchi tunawaelewa.
Jembe letu piga kazi,, hao wanaosema jinsia hao ni wapigaji na wala rushwa.. hao niwazembe.. rais wetu samia alidhalilishwa. Sana tena sana hakuna mwanamke yeyote . Ali simama kumtetea rais wetu, nyie ni washenzi majizi tu. Maonda chapakazi,, samia oeeeeeee
Endelea kutetea wanyonge baba nawe mtetezi wako yu hai maadui wako ni hao hao wanaccm wenzako walala hoi wananchi wa kawaida maelfu kwa milioni tunakuombea kwa mungu akulinde asiyelala Wala kusinzia habari ndo hiyo
haahaaa! Mr. President wa baadae unafurahisha. una majibu konki na sijui wanajisikiaje tu Hadi aibu kwao. wivu umewatawala kama kwamba wao hawana wajibu wa kuwahudumia wananchi kama unavyofanya Mr. President wa 2030
Alhamdulillah Piga spana kamanda makonda hakuna kutabasam kaz kaz tuu kutabasam ni kwa mungu huko tena waku vumile wakuvumilieee mollah akupe afya njema sisi kodi zetu ziliwe alafu eti eti eti etinini piga kazi 🤲
Piga kazi,Piga kazi,sindano inauma sana,sanasana, tuweni kitu kimoja,let us all ccm members talks 1⃣ language,we have good arrangements to solve any problems. Amen
Nilisubiri sana haya majibu. Miongoni mwa mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo na kuziba watu midomo ni hizi/hivi vitasisi vinavyojita haki za binadamu au mama na watoto,Yaani kwamba mwanamke asikosolewe au Akikosolewa aeleswe kwa kubembelezwa. Ijulikane umechagua kufanya kazi fanya kazi ukiboronga utasemwa Madamu hakumtusi Kazi iendelee
Sisi ndo walipa Kodi tunaumia. Wamezoea wizi. Unachokifanya hawataki wanataka kulindana. ATI jinsia, ndo ule pesa zetu za Kodi na uonevu! Wapige spans Makonda usiogope maneno. Ktk wakuu was mikoa wote we ndo unapiga KAZI.
Mh Makonda nakupenda Sana Kwa jinsi unavofany kz najua hata hivyo Kuna wigo wa Kaz unataman ufikie lkn ndo Ivo ila nakutabiria ww ni sawa na yusufu una mambo makubw Sana ndani Yako hakika wkt ukfk utakuw mtu fulan amen
Makonda we ndo kiongozi,viongozi wengi saaaana ni mizigo hawana msaada kwa Rais,lakini mbona mama hawatumbui ndo maana wafanye sawa wasifanye sawa kwasababu hawana hofu yoyote
Mary Chatanda hana lolote Mwizi wa wanaume tu..Piga kazi Mdogo wangu MAKONDA..but nadhani la Msingi usiwape Mileage kuwajibu hao Wapuuzi wezi wa wanaume wa watu
Nakushukulu sana kwakunijibia majibu yalio kuwayakiniumiza sana ivo bigapu sana mzee wamaicrofon endelea kuwapa maicrofoni wajibu kwausahiii wape maicrofon😂😂😂😂😂
Tunajua ulivomtetea Mama yetu na Rais wetu. Makonda we ni mtu wa tofauti, mkarim, busara, hupendi mtu aonewe. Na hiyo ndo tabia na sifa ya mama Yetu na Rais wetu mpendwa.
Team makonda oyeeee piga kazi kamanda
Hakuna team hapa, ili tuendelee raia tushangilie magoli.
Nilichukia sana mwanamke mshezi yule aliyetaka kumupunguza makali kijana wetu makonda piga kazi makonda
Tofauti yako makonda ww hufanyi kwa uchawa,umedhamiria kumsaidia Rais kweli kweli,baadhi ya watu wanadhani kwa kuwa Rais ni mama hvyo wanaweza kupitia jinsia kumpelekea majungu,nampenda Rais Samia kwa utulivu anaouonesha,hashawishiwi na majungu bali anafanya kinachostahili, PIGENI KAZI VIONGOZI WAZALENDO..❤❤❤❤❤
Kwakweli watu wasijifiche kwenye kivuli cha jinsia. Hapa ni kazi tuu, piga kazi Makonda. Elisha akamwambia Gehazi, walioupande wetu ni wengi kuliko waliokinyume nasi. Halafu kale kalugha alikokatumia kakusema, mnaowateua, siyo kazuli Sana, maana anadharau muhimili wa ...? Wateuzi
Najikuta mnyonge Sana nabadhi ya maswali magumu Sana najiuliza ivi kweli makonda utaishi mda mlefu ila kazi yangu ni kukuombea mungu wakati wote
Asanteh sana Makonda! Mungu ni mwema siku zote!
Koromije ilitoa namba haisomeki
Wewe ni rais ujae kama vile ulivyo mtabilia mama samia kua makamu wa rais, wakwanza mwamke, hatamie nakutabilia uje uwe rais wetu kijana shupavu,, tunajua ccm imejawa na mafisadi tu
Nimefurahi Sana waambie hakuna Cha jinsia hapa watu wafanye kazi ubarikiwe makonda
Ccm wakija kuku wekea kiwingu.. wa tz milioni 68 tuko nyumayako tutakuchagua uwe rais wetu tz, tutakuchagua kwacha chochote, ccm wakikuwekea kiwingu..samia oeeee
Stay strong and your strong! Leadership always God fear not human! Nakuunga mkono 100%.
All the best kijana mwenzangu ninakwambia Ivi sisi tulio zaliwa kuanzia miaka ya 1980 atuyumbishwagi kizembe kizembe
Rais alibaguliwa! Hawakujitokeza kumsemea! Leo kunani!
Makonda mimi nakukubali sana usiogope hao wasema hovvo wezi wanalindana
Asante Baba chapa Kazi nimekuelewa vyema Mkuu piga kazi
Tunakupenda sana Magufuri wetu....
Kweliiii
T. M . U
Mungu azidi kuwatangulia ktk kila mnachokifanya, hata viongozi wa chini kama ktk kata nk wameanza kupambana na wanyonge tunajipanga kupata haki zetu nk.
Niendelee kumsihi kila anayemuelewa Makonda na kundi lake, tuendelee kuwa ktk maombi,k tuwaombee kuanzia raisi, waziri mkuu na wote wenye mapenzi mema kwetu.
TEAM MAKONDA UKOMBOZI wananchi tunawaelewa.
Na coment kwa furaha sana machozi ya furaha yakinitoka wanyooshe hao wazembe
Kuna nguvu ya ziada ipo ndani yako, nakuombea sana
Big up Mkuu piga span tuko nawe mbona hawasemi haki ya wananchi
Ulikuwa makonda mbona kama umechelewa ARUSHAAAAAA INANYOOOKAAAA
KIONGOZI MAKONDA YUPO KAMA MIMI KABISA 💪
Mwambie achague Moja kama anataka kazi afanye kazi inavyotakiwa kama anataka jinsia awafate hao wamama wenzie
Makonda unasema kweli Mwanangu ❤❤❤❤ Mtani hoyooooo ❤❤❤
Hongera mheshimiwa Makonda
Jembe letu piga kazi,, hao wanaosema jinsia hao ni wapigaji na wala rushwa.. hao niwazembe.. rais wetu samia alidhalilishwa. Sana tena sana hakuna mwanamke yeyote . Ali simama kumtetea rais wetu, nyie ni washenzi majizi tu. Maonda chapakazi,, samia oeeeeeee
Uko vizuri MH makonda wote wanaopiga kelele ni wala rush
Ubarikiwe sana Makonda piga kaziiii
Huyu ndiye kiongozi jisia ndio nini Wala rushwa wengi Sina TZ
Safi sana Makonda nakuamini kitambo
Upo sawa mkuu, kazi iendelee
Kweli baba fanya kazi wazembe wengi nakukubali sana muheshimiwa Mungu amekuleta ututete wanyonge
Pigaa kazi mkuu Mwenyezi Mungu akulinde kwa Kila jema
Safi Sana makonda ,wanyooshe sawasawa,
Endelea kutetea wanyonge baba nawe mtetezi wako yu hai maadui wako ni hao hao wanaccm wenzako walala hoi wananchi wa kawaida maelfu kwa milioni tunakuombea kwa mungu akulinde asiyelala Wala kusinzia habari ndo hiyo
haahaaa! Mr. President wa baadae unafurahisha. una majibu konki na sijui wanajisikiaje tu Hadi aibu kwao. wivu umewatawala kama kwamba wao hawana wajibu wa kuwahudumia wananchi kama unavyofanya Mr. President wa 2030
Mungu ukuzidishie nguvu katika utendaji wako, kiongozi kama huyu inapendeza sana
Alhamdulillah Piga spana kamanda makonda hakuna kutabasam kaz kaz tuu kutabasam ni kwa mungu huko tena waku vumile wakuvumilieee mollah akupe afya njema sisi kodi zetu ziliwe alafu eti eti eti etinini piga kazi 🤲
Shida ya ccm waovu tena waovyo sana niwengi sana wamemvaa shetani kama alivyo niwezi watu makonda Yuko tafauti na Wana ccm wengi
sasa kwasababu ya maofu ndio yaachiliwe Ayo maovu
Salam izi ziwafikie Chadema na Waseng* wote.Safi sana Makonda
Uchama mm.
Piga kazi,Piga kazi,sindano inauma sana,sanasana, tuweni kitu kimoja,let us all ccm members talks 1⃣ language,we have good arrangements to solve any problems. Amen
Nilisubiri sana haya majibu. Miongoni mwa mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo na kuziba watu midomo ni hizi/hivi vitasisi vinavyojita haki za binadamu au mama na watoto,Yaani kwamba mwanamke asikosolewe au Akikosolewa aeleswe kwa kubembelezwa. Ijulikane umechagua kufanya kazi fanya kazi ukiboronga utasemwa Madamu hakumtusi Kazi iendelee
Hongela makonda kwa kupigania haki za wanyonge
Makonda. Be blessed.
Hahahahaha😂😂😂 😂 safi sana mh. Makonda piga kazi songa mbelee Mungu yupo pamoja naww
Nyiye machawa wa huyu jamaa mnamfanya apotee😮ee akiharibu hamtamsaidia akiwa kama Sabaya nae alikuwa hivhivi
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....... this is the best one
Makonda una maono sana Baba
Safiii wala rushwa wamezidi arusha komaa nao kamanda tunakuombea mungu
Hongera sana makonda chapa kazi mungu akutangulie
Piga kzi kaka.Wasukuma oyeeeee.Utu ukarimu huruma ukweli wako,Kutetea wanyonge ,mungu atakulinda tu kaka.Achana nawasaliti watanzania ytu.
safi sana mkuu piga kazi tuko nyuma yako.
Mtoto yatima hadeki ! Noted .
Mungu akulinde kila uendako
Makonda mungu wa mbinguni akutunze na damu ya yesu ikukumbatie adui asikupate, chapa kazi kakaa
Halafu yule mama hapaswi kuwepo kwenye Ile nafasi ni wale wale
Saf sana mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Makonda piga kazi ndio wanazidi kukupa morali
Wanaokuchukia ni 30% na tunaukukubali ni 70% hvo bado hawakuwezi
The Best Regional Commissioner ever seen. Big up Makonda
haijawahi tokea
Sisi ndo walipa Kodi tunaumia. Wamezoea wizi. Unachokifanya hawataki wanataka kulindana.
ATI jinsia, ndo ule pesa zetu za Kodi na uonevu! Wapige spans Makonda usiogope maneno.
Ktk wakuu was mikoa wote we ndo unapiga KAZI.
Piga kazi muheshimiwa Mungu Atakusimamia
Hahahaha safi sana Makonda
Hana jipya huyo Mama London kibanzi kwenye UWT ndo aangalie Boriti kwenye jicho la Makonda.
Mh Makonda nakupenda Sana Kwa jinsi unavofany kz najua hata hivyo Kuna wigo wa Kaz unataman ufikie lkn ndo Ivo ila nakutabiria ww ni sawa na yusufu una mambo makubw Sana ndani Yako hakika wkt ukfk utakuw mtu fulan amen
Wewe piga KAZI tu broo,ni sawa na tone LA maji ndani ya bahari
HALAFU KWELI.. MAMA ALITUKANWA HAPA,,, WALIKAA KIIMYA..MPAKA HAO HAKI ZA BINADMU WALIKAA KIIMYAAA... AISEEE...piga kazi baba
Safi Sana makonda piga kazi
Wapelekee mto kamanda mungu Iko nawe na sisi tuko nawe kwahiyo wanyanyasa wanchi Wala rushwa👍🙏
Hongera mhe piga kazi. Kazi za serikali hazina cha jinsia. Kutetea wazembe ni ulimbukeni wa ubinafsi
Piga kazi !
Powerful speech 👍
Makonda we ndo kiongozi,viongozi wengi saaaana ni mizigo hawana msaada kwa Rais,lakini mbona mama hawatumbui ndo maana wafanye sawa wasifanye sawa kwasababu hawana hofu yoyote
Mary Chatanda hana lolote Mwizi wa wanaume tu..Piga kazi Mdogo wangu MAKONDA..but nadhani la Msingi usiwape Mileage kuwajibu hao Wapuuzi wezi wa wanaume wa watu
Pambana tupo nyuma yako na mungu wako anakulinda
Viongozi kama huyu ni wachache saana hongera sana mh makonda umejibu kikomavu
Nakubali jemedari
Safi sana makonda
Kwa ninavyo amini amna kiongozi ambaye hajawai kula rushwa wote wamekula
Msemo wa Putin....msamaha wa ni kazi ya Mungu lakini yeye kazi yake ni kukupeleka huko ukaombe msamaha
Mhe Makonda hao wanataka wakufanye ufanye kazi kwa hofu . Na hofu ni dhambi.
Makonda big up sana wa Tz tunakuelewa 100%
Uko sawa kabisa mkuu piga kazi, ww ni jpm no 2
Hapo chachacha kaz kaz
Piga kazi kaka na usiogope
big up sana Makonda😁
Makonda ongela sana yule dada kazi anyo ijuwa nikwampalange tu🤟
Jembe langu piga kazi kaka
Kukosea,Kupo lakini pia unapofanya vizuri,Unapo fanya vibaya ukosolewe.( Hao wanasheria wafanye kwa haki bila upendekeo)
Makonda karibu kwetu mtwara ww unaweza big up
Makonda ni kiongozi makini sana 🎉🎉🎉
Pmbana Kaka Mama alijuwaje kukuleta arush usiogop
Endelea kutetea wanyonge Makonda mtetezi wako yu hai maadui wako kila mahara
VIVA ARUSHA 🇹🇿 UZEMBE NO 🇹🇿 KAZI TU
Nabaki tu kusoma comment, waliomsema makonda vibaya wako wapi jaman mbn kmy? Makonda piga kazi hamna kubembeleza, hapa kazi iendelee, walarushwa hao wasikutishie
Safi sana
Napenda viongozi wenye akili na udhubutu kama huu
Makonda pigakazi usiogope kawaida ya nchi hii walarushwa wazembe watapam anasana nawewe Kwani wamezoea haowatumishi wauma kujiona miungu wattu 4:38
Safi sana Makonda piga kazi
Piga kazi mtumishi wa mungu wewe nakwelewa mno
Huyu mwamba ni noma aiseee
Nakushukulu sana kwakunijibia majibu yalio kuwayakiniumiza sana ivo bigapu sana mzee wamaicrofon endelea kuwapa maicrofoni wajibu kwausahiii wape maicrofon😂😂😂😂😂
Uko vizuri sana mkuu wangu wa mkoa
Hao wanaokusema , waachee tuu , cc tupo nawewe
Tunajua ulivomtetea Mama yetu na Rais wetu. Makonda we ni mtu wa tofauti, mkarim, busara, hupendi mtu aonewe. Na hiyo ndo tabia na sifa ya mama Yetu na Rais wetu mpendwa.