MAKONDA AJIBU MAPIGON ya UWT "Siogopi na Wala Sitishiki" UKIZINGUA NAKUFYATUA HATA UKIWA MWANAMKE,.🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 226

  • @SimbaNaali-fw3zz
    @SimbaNaali-fw3zz 4 месяца назад +55

    Team makonda oyeeee piga kazi kamanda

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 4 месяца назад

      Hakuna team hapa, ili tuendelee raia tushangilie magoli.

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 4 месяца назад +27

    Nilichukia sana mwanamke mshezi yule aliyetaka kumupunguza makali kijana wetu makonda piga kazi makonda

  • @rubenmsimbe934
    @rubenmsimbe934 4 месяца назад +6

    Tofauti yako makonda ww hufanyi kwa uchawa,umedhamiria kumsaidia Rais kweli kweli,baadhi ya watu wanadhani kwa kuwa Rais ni mama hvyo wanaweza kupitia jinsia kumpelekea majungu,nampenda Rais Samia kwa utulivu anaouonesha,hashawishiwi na majungu bali anafanya kinachostahili, PIGENI KAZI VIONGOZI WAZALENDO..❤❤❤❤❤

    • @williammakali1759
      @williammakali1759 4 месяца назад +1

      Kwakweli watu wasijifiche kwenye kivuli cha jinsia. Hapa ni kazi tuu, piga kazi Makonda. Elisha akamwambia Gehazi, walioupande wetu ni wengi kuliko waliokinyume nasi. Halafu kale kalugha alikokatumia kakusema, mnaowateua, siyo kazuli Sana, maana anadharau muhimili wa ...? Wateuzi

  • @EmmanuelRazalo-qz5cr
    @EmmanuelRazalo-qz5cr 4 месяца назад +8

    Najikuta mnyonge Sana nabadhi ya maswali magumu Sana najiuliza ivi kweli makonda utaishi mda mlefu ila kazi yangu ni kukuombea mungu wakati wote

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 4 месяца назад +15

    Asanteh sana Makonda! Mungu ni mwema siku zote!

    • @ben.tz9
      @ben.tz9 4 месяца назад

      Koromije ilitoa namba haisomeki

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 4 месяца назад +21

    Wewe ni rais ujae kama vile ulivyo mtabilia mama samia kua makamu wa rais, wakwanza mwamke, hatamie nakutabilia uje uwe rais wetu kijana shupavu,, tunajua ccm imejawa na mafisadi tu

  • @sakibumakoke9197
    @sakibumakoke9197 4 месяца назад +32

    Nimefurahi Sana waambie hakuna Cha jinsia hapa watu wafanye kazi ubarikiwe makonda

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 4 месяца назад +14

    Ccm wakija kuku wekea kiwingu.. wa tz milioni 68 tuko nyumayako tutakuchagua uwe rais wetu tz, tutakuchagua kwacha chochote, ccm wakikuwekea kiwingu..samia oeeee

  • @samuelmwaikambo5691
    @samuelmwaikambo5691 4 месяца назад +11

    Stay strong and your strong! Leadership always God fear not human! Nakuunga mkono 100%.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 месяца назад +9

    All the best kijana mwenzangu ninakwambia Ivi sisi tulio zaliwa kuanzia miaka ya 1980 atuyumbishwagi kizembe kizembe

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip 4 месяца назад +10

    Rais alibaguliwa! Hawakujitokeza kumsemea! Leo kunani!

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 4 месяца назад +24

    Makonda mimi nakukubali sana usiogope hao wasema hovvo wezi wanalindana

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 месяца назад +7

    Asante Baba chapa Kazi nimekuelewa vyema Mkuu piga kazi

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad6842 4 месяца назад +5

    Tunakupenda sana Magufuri wetu....

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад +5

    Kweliiii
    T. M . U
    Mungu azidi kuwatangulia ktk kila mnachokifanya, hata viongozi wa chini kama ktk kata nk wameanza kupambana na wanyonge tunajipanga kupata haki zetu nk.
    Niendelee kumsihi kila anayemuelewa Makonda na kundi lake, tuendelee kuwa ktk maombi,k tuwaombee kuanzia raisi, waziri mkuu na wote wenye mapenzi mema kwetu.
    TEAM MAKONDA UKOMBOZI wananchi tunawaelewa.

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 4 месяца назад +5

    Na coment kwa furaha sana machozi ya furaha yakinitoka wanyooshe hao wazembe

  • @gamap2023
    @gamap2023 4 месяца назад +7

    Kuna nguvu ya ziada ipo ndani yako, nakuombea sana

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 4 месяца назад +10

    Big up Mkuu piga span tuko nawe mbona hawasemi haki ya wananchi

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 месяца назад +5

    Ulikuwa makonda mbona kama umechelewa ARUSHAAAAAA INANYOOOKAAAA

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 4 месяца назад +4

    KIONGOZI MAKONDA YUPO KAMA MIMI KABISA 💪

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 4 месяца назад +6

    Mwambie achague Moja kama anataka kazi afanye kazi inavyotakiwa kama anataka jinsia awafate hao wamama wenzie

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +4

    Makonda unasema kweli Mwanangu ❤❤❤❤ Mtani hoyooooo ❤❤❤

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende 4 месяца назад

    Hongera mheshimiwa Makonda

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 4 месяца назад +8

    Jembe letu piga kazi,, hao wanaosema jinsia hao ni wapigaji na wala rushwa.. hao niwazembe.. rais wetu samia alidhalilishwa. Sana tena sana hakuna mwanamke yeyote . Ali simama kumtetea rais wetu, nyie ni washenzi majizi tu. Maonda chapakazi,, samia oeeeeeee

  • @labshabani3601
    @labshabani3601 4 месяца назад +4

    Uko vizuri MH makonda wote wanaopiga kelele ni wala rush

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana Makonda piga kaziiii

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 4 месяца назад +7

    Huyu ndiye kiongozi jisia ndio nini Wala rushwa wengi Sina TZ

  • @JemaSanga-xf6tj
    @JemaSanga-xf6tj 4 месяца назад +5

    Safi sana Makonda nakuamini kitambo

  • @obadiakimaro6375
    @obadiakimaro6375 4 месяца назад +5

    Upo sawa mkuu, kazi iendelee

  • @SuzieAllen-xg2zb
    @SuzieAllen-xg2zb 4 месяца назад +3

    Kweli baba fanya kazi wazembe wengi nakukubali sana muheshimiwa Mungu amekuleta ututete wanyonge

  • @adrianswai2784
    @adrianswai2784 4 месяца назад +4

    Pigaa kazi mkuu Mwenyezi Mungu akulinde kwa Kila jema

  • @piusngasa4201
    @piusngasa4201 4 месяца назад +14

    Safi Sana makonda ,wanyooshe sawasawa,

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 4 месяца назад +5

    Endelea kutetea wanyonge baba nawe mtetezi wako yu hai maadui wako ni hao hao wanaccm wenzako walala hoi wananchi wa kawaida maelfu kwa milioni tunakuombea kwa mungu akulinde asiyelala Wala kusinzia habari ndo hiyo

  • @piusmaduka
    @piusmaduka 4 месяца назад +7

    haahaaa! Mr. President wa baadae unafurahisha. una majibu konki na sijui wanajisikiaje tu Hadi aibu kwao. wivu umewatawala kama kwamba wao hawana wajibu wa kuwahudumia wananchi kama unavyofanya Mr. President wa 2030

  • @aliali-ji9ym
    @aliali-ji9ym 4 месяца назад

    Mungu ukuzidishie nguvu katika utendaji wako, kiongozi kama huyu inapendeza sana

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 4 месяца назад +1

    Alhamdulillah Piga spana kamanda makonda hakuna kutabasam kaz kaz tuu kutabasam ni kwa mungu huko tena waku vumile wakuvumilieee mollah akupe afya njema sisi kodi zetu ziliwe alafu eti eti eti etinini piga kazi 🤲

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 4 месяца назад +4

    Shida ya ccm waovu tena waovyo sana niwengi sana wamemvaa shetani kama alivyo niwezi watu makonda Yuko tafauti na Wana ccm wengi

    • @Kalunirashidi
      @Kalunirashidi 4 месяца назад

      sasa kwasababu ya maofu ndio yaachiliwe Ayo maovu

  • @abednego3876
    @abednego3876 4 месяца назад +6

    Salam izi ziwafikie Chadema na Waseng* wote.Safi sana Makonda

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 4 месяца назад +1

    Piga kazi,Piga kazi,sindano inauma sana,sanasana, tuweni kitu kimoja,let us all ccm members talks 1⃣ language,we have good arrangements to solve any problems. Amen

  • @vendelinmassawe1795
    @vendelinmassawe1795 4 месяца назад +10

    Nilisubiri sana haya majibu. Miongoni mwa mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo na kuziba watu midomo ni hizi/hivi vitasisi vinavyojita haki za binadamu au mama na watoto,Yaani kwamba mwanamke asikosolewe au Akikosolewa aeleswe kwa kubembelezwa. Ijulikane umechagua kufanya kazi fanya kazi ukiboronga utasemwa Madamu hakumtusi Kazi iendelee

  • @HenryHabeli-iy5dv
    @HenryHabeli-iy5dv 4 месяца назад

    Hongela makonda kwa kupigania haki za wanyonge

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki 4 месяца назад +3

    Makonda. Be blessed.

  • @ShijaMpanya
    @ShijaMpanya 4 месяца назад +9

    Hahahahaha😂😂😂 😂 safi sana mh. Makonda piga kazi songa mbelee Mungu yupo pamoja naww

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 4 месяца назад

      Nyiye machawa wa huyu jamaa mnamfanya apotee😮ee akiharibu hamtamsaidia akiwa kama Sabaya nae alikuwa hivhivi

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 4 месяца назад +5

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....... this is the best one

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 4 месяца назад +4

    Makonda una maono sana Baba

  • @lengojustin4664
    @lengojustin4664 4 месяца назад +3

    Safiii wala rushwa wamezidi arusha komaa nao kamanda tunakuombea mungu

  • @allymasasi909
    @allymasasi909 4 месяца назад +1

    Hongera sana makonda chapa kazi mungu akutangulie

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 месяца назад +3

    Piga kzi kaka.Wasukuma oyeeeee.Utu ukarimu huruma ukweli wako,Kutetea wanyonge ,mungu atakulinda tu kaka.Achana nawasaliti watanzania ytu.

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 4 месяца назад

    safi sana mkuu piga kazi tuko nyuma yako.

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 4 месяца назад +5

    Mtoto yatima hadeki ! Noted .

  • @severianchebile8688
    @severianchebile8688 4 месяца назад

    Mungu akulinde kila uendako

  • @JulitaMakundi
    @JulitaMakundi 4 месяца назад +1

    Makonda mungu wa mbinguni akutunze na damu ya yesu ikukumbatie adui asikupate, chapa kazi kakaa

  • @MazikuSaid
    @MazikuSaid 4 месяца назад +5

    Halafu yule mama hapaswi kuwepo kwenye Ile nafasi ni wale wale

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 месяца назад +3

    Saf sana mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Makonda piga kazi ndio wanazidi kukupa morali
    Wanaokuchukia ni 30% na tunaukukubali ni 70% hvo bado hawakuwezi

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 месяца назад +1

    The Best Regional Commissioner ever seen. Big up Makonda

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 4 месяца назад +7

    Sisi ndo walipa Kodi tunaumia. Wamezoea wizi. Unachokifanya hawataki wanataka kulindana.
    ATI jinsia, ndo ule pesa zetu za Kodi na uonevu! Wapige spans Makonda usiogope maneno.
    Ktk wakuu was mikoa wote we ndo unapiga KAZI.

  • @hamidaawadh9024
    @hamidaawadh9024 4 месяца назад +1

    Piga kazi muheshimiwa Mungu Atakusimamia

  • @lodnessEnterprises779
    @lodnessEnterprises779 4 месяца назад +7

    Hahahaha safi sana Makonda

  • @maimunamisana4293
    @maimunamisana4293 4 месяца назад +1

    Hana jipya huyo Mama London kibanzi kwenye UWT ndo aangalie Boriti kwenye jicho la Makonda.

  • @gladnessmichael2459
    @gladnessmichael2459 4 месяца назад

    Mh Makonda nakupenda Sana Kwa jinsi unavofany kz najua hata hivyo Kuna wigo wa Kaz unataman ufikie lkn ndo Ivo ila nakutabiria ww ni sawa na yusufu una mambo makubw Sana ndani Yako hakika wkt ukfk utakuw mtu fulan amen

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 4 месяца назад +4

    Wewe piga KAZI tu broo,ni sawa na tone LA maji ndani ya bahari

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 4 месяца назад +3

    HALAFU KWELI.. MAMA ALITUKANWA HAPA,,, WALIKAA KIIMYA..MPAKA HAO HAKI ZA BINADMU WALIKAA KIIMYAAA... AISEEE...piga kazi baba

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 4 месяца назад +3

    Safi Sana makonda piga kazi

  • @PapakinyiMelita-f1x
    @PapakinyiMelita-f1x 4 месяца назад

    Wapelekee mto kamanda mungu Iko nawe na sisi tuko nawe kwahiyo wanyanyasa wanchi Wala rushwa👍🙏

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 4 месяца назад

    Hongera mhe piga kazi. Kazi za serikali hazina cha jinsia. Kutetea wazembe ni ulimbukeni wa ubinafsi

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 4 месяца назад +5

    Piga kazi !

  • @mtemilowasa
    @mtemilowasa 4 месяца назад +2

    Powerful speech 👍

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 4 месяца назад +2

    Makonda we ndo kiongozi,viongozi wengi saaaana ni mizigo hawana msaada kwa Rais,lakini mbona mama hawatumbui ndo maana wafanye sawa wasifanye sawa kwasababu hawana hofu yoyote

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 месяца назад +1

    Mary Chatanda hana lolote Mwizi wa wanaume tu..Piga kazi Mdogo wangu MAKONDA..but nadhani la Msingi usiwape Mileage kuwajibu hao Wapuuzi wezi wa wanaume wa watu

  • @TitoSangeti-ft4pi
    @TitoSangeti-ft4pi 4 месяца назад +2

    Pambana tupo nyuma yako na mungu wako anakulinda

  • @SakagodoInnocent
    @SakagodoInnocent 4 месяца назад +1

    Viongozi kama huyu ni wachache saana hongera sana mh makonda umejibu kikomavu

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 4 месяца назад

    Nakubali jemedari

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 4 месяца назад

    Safi sana makonda

  • @PetrolMwakyokola
    @PetrolMwakyokola 4 месяца назад +1

    Kwa ninavyo amini amna kiongozi ambaye hajawai kula rushwa wote wamekula

  • @ramadhanishamtandulo1510
    @ramadhanishamtandulo1510 4 месяца назад +2

    Msemo wa Putin....msamaha wa ni kazi ya Mungu lakini yeye kazi yake ni kukupeleka huko ukaombe msamaha

  • @johnjoel5012
    @johnjoel5012 4 месяца назад +1

    Mhe Makonda hao wanataka wakufanye ufanye kazi kwa hofu . Na hofu ni dhambi.

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 4 месяца назад

    Makonda big up sana wa Tz tunakuelewa 100%

  • @vitusanthony7494
    @vitusanthony7494 4 месяца назад

    Uko sawa kabisa mkuu piga kazi, ww ni jpm no 2

  • @PeterSimyota
    @PeterSimyota 4 месяца назад +2

    Hapo chachacha kaz kaz

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 4 месяца назад +4

    Piga kazi kaka na usiogope

  • @emanuelkija7522
    @emanuelkija7522 4 месяца назад

    big up sana Makonda😁

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 4 месяца назад

    Makonda ongela sana yule dada kazi anyo ijuwa nikwampalange tu🤟

  • @omaryabedi5158
    @omaryabedi5158 4 месяца назад +4

    Jembe langu piga kazi kaka

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 4 месяца назад

    Kukosea,Kupo lakini pia unapofanya vizuri,Unapo fanya vibaya ukosolewe.( Hao wanasheria wafanye kwa haki bila upendekeo)

  • @lukumanisharifu
    @lukumanisharifu 4 месяца назад

    Makonda karibu kwetu mtwara ww unaweza big up

  • @AlphonceJumanne-y1y
    @AlphonceJumanne-y1y 4 месяца назад

    Makonda ni kiongozi makini sana 🎉🎉🎉

  • @BarakaMbise-lk1eb
    @BarakaMbise-lk1eb 4 месяца назад

    Pmbana Kaka Mama alijuwaje kukuleta arush usiogop

  • @lizzyCoyi9307
    @lizzyCoyi9307 4 месяца назад +2

    Endelea kutetea wanyonge Makonda mtetezi wako yu hai maadui wako kila mahara

  • @RobertPangaya
    @RobertPangaya 4 месяца назад

    VIVA ARUSHA 🇹🇿 UZEMBE NO 🇹🇿 KAZI TU

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 4 месяца назад

    Nabaki tu kusoma comment, waliomsema makonda vibaya wako wapi jaman mbn kmy? Makonda piga kazi hamna kubembeleza, hapa kazi iendelee, walarushwa hao wasikutishie

  • @allymalega252
    @allymalega252 4 месяца назад +2

    Safi sana

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356 4 месяца назад +1

    Napenda viongozi wenye akili na udhubutu kama huu

  • @AbihudiJoel
    @AbihudiJoel 4 месяца назад +1

    Makonda pigakazi usiogope kawaida ya nchi hii walarushwa wazembe watapam anasana nawewe Kwani wamezoea haowatumishi wauma kujiona miungu wattu 4:38

  • @RehemaOmar-k8u
    @RehemaOmar-k8u 4 месяца назад

    Safi sana Makonda piga kazi

  • @allyhashim7935
    @allyhashim7935 4 месяца назад +4

    Piga kazi mtumishi wa mungu wewe nakwelewa mno

  • @BrunoBenny-b1l
    @BrunoBenny-b1l 4 месяца назад +1

    Huyu mwamba ni noma aiseee

  • @MaliusMaliuskagumisa
    @MaliusMaliuskagumisa 4 месяца назад +1

    Nakushukulu sana kwakunijibia majibu yalio kuwayakiniumiza sana ivo bigapu sana mzee wamaicrofon endelea kuwapa maicrofoni wajibu kwausahiii wape maicrofon😂😂😂😂😂

  • @glorymungure7740
    @glorymungure7740 4 месяца назад

    Uko vizuri sana mkuu wangu wa mkoa

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 4 месяца назад

    Hao wanaokusema , waachee tuu , cc tupo nawewe

  • @melkizedck
    @melkizedck 4 месяца назад

    Tunajua ulivomtetea Mama yetu na Rais wetu. Makonda we ni mtu wa tofauti, mkarim, busara, hupendi mtu aonewe. Na hiyo ndo tabia na sifa ya mama Yetu na Rais wetu mpendwa.