DR SULLE AIBUKA NA MAPYA 40 YA MTOTO WA MARIOO NA PAULA WAMEFANYA KWA SIRI KUEPUKA UCHAWI WA KUANGAL
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Shukran sheikh kwa mafundisho
Watangazaji nao wanafiki kwani huyu shekh wa wasanii
Nikweli
Mna uhakika yawezekana pia shehe hajui hilo labda tungemshauri shehe kuulizia kama wamefunga ndoa namkubali sana shehe sule mti wenye matunda ndio upigwao mawe waislamu tuache unafiki Sule anaeleweka
True
Na uyo amekuwa sheikh wa wasanii😅😅😅
ndio ameogeya kweli ❤❤❤❤❤
Shukran
Mtoto wa zinaa hebu rekebisha hpo kwenye mtoto wa mario
Wanakudanganya dotta sule hawaja owana wanazini na kutaka kuendeleza kuzini😢😢😢
Uyo paula mkiristo na omari muislamu mtihani 😢😢
Mtihani wanakuuliza mashwali na unajibu yapeleleze kwanza😢😢
Watazaniya Acheni husuda kwanini ???? Munapenda kusema watoto wazina uchezi huyo hatawewe niwazina 😮😮😮😮🎉🎉🎉
Ukisikia michakato ni ngumu kutofautisha na matambiko. Chinja. Zika. Mchele. 😢
mchele ht wazungu wanatumia ila sikujua maana
Mtandao niwatu nawatu ndio sisi
Sasa mtotohuo kazaliwa bilandowa kwababa na mama vipi hionayo
Hili libaba ni lahovyo sana mbona uongelei huyo ni mtoto wazinaa nahaifai kifanyiwa alobaini Shekhe ubwabwa mpenda sifa
Umesoma kwani kaulizwa zinaa yeye kaulizwa suala la arobaini kasome madrasa
@@hamzarangi7989 najuwa nawewe ni miongoni mwao sindano imekuingia badilika mda bado unao
Yaani waja ni hatari
Lkn hawajaoa huyo mtoto wa mwanamke mwanamke ndoanafaa afanye arobain
Hayo mambo kwa wabongo mbona yakawaida haramu kuihalalisha ikawa halali kwao
True