Jamani tufike mahali ambapo tutabainisha ukweli, na hili nalo ni la Rais? Watoto wetu kwa Sasa Wana huluka na tamaa ya pesa na pia wanatumika sana kwa watu ili watimize malengo Yao! Binti ni ametumika kuwa kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa huyo? Kila kitu Rais na hili?...hapana?
V
Tarifa ya habari leo saa 2
nawakubali kwa habari nzuri na za ukweli na uhakika
ITV inasisimua
Kwani alibakwa? C alitafutwa kutokana na mahusiano Yao?
Jamani tufike mahali ambapo tutabainisha ukweli, na hili nalo ni la Rais? Watoto wetu kwa Sasa Wana huluka na tamaa ya pesa na pia wanatumika sana kwa watu ili watimize malengo Yao! Binti ni ametumika kuwa kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa huyo? Kila kitu Rais na hili?...hapana?
Mbona hukutowa tarifa mapema hadi kesi ikaenda kamati ya bunge. Na msamaha wakodi fafanua acha kutuongopea sisi tumesoma kama wewe.
G