RAIS SAMIA AWATENGUA WAKURUGENZI WANNE "MNATABIA YA KUWAFICHIA FICHIA, NASUBIRI RIPOTI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Magu jijini Mwanza amewatengua wakurugenzi wa 4 kwa ubadhirifu wa fedha Buchosa, Iringa Mbeya na Singida mjini huku Mkurugezi wa Geita uchunguzi unaendelea

Комментарии • 51

  • @andreap.assenga8480
    @andreap.assenga8480 2 года назад

    Hongereni sana Mh, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hilo tatizo.

  • @eddiechacha9273
    @eddiechacha9273 2 года назад +7

    Asante mama.Napenda unavyong'ata...😄 taratiiiiiibu huku kazi inaendelea...upige mama yetu baba JPM huko aliko anapiga ...HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      Kuna dalili kuwa Waziri huyu ameshindwa kazi! Hata ripoti zake za uchunguzi zimechelewa! Rais kasema " Mna kawaida ya kuwafichiafichia, lakini nina ripoti kabla ya kwenu"!

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍🤣

  • @barakachelango1695
    @barakachelango1695 2 года назад

    Chapa kazi mheshimiwa Raisi usiwaonee haya mafisadi wote nchini walio wabathirifu. Hongera Sana kwakuwatengua hao

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda5631 2 года назад +2

    Hapo kweli kazi itaendelea kwavitendo

  • @jumasaid8892
    @jumasaid8892 2 года назад +6

    Sio tu kuwafukuza inatakiwa washtakiwe mahakaman wapigwe Pingu ili wengine waanze kukuogopa Mhe Rais! Uwe Kama JPM

  • @markgeorge2929
    @markgeorge2929 2 года назад

    I Love you my President, hivi ndo inatakiwa. Wabongo ukiwalegezea wanacheza nawe.

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 года назад +9

    Muda wote alikuwa wapi? Sisi ndo tunataka hivi. Hatutaki uonee ila anaposhindwa mtu kazi piga chini

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 2 года назад

    Mama yetu Samia Mungu akutie nguvu na afya utufikishe salama tunakotegemea. Tuna imani nawe mama na Rais wetu mpendwa.

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 2 года назад +2

    Aisee, mama asipokuwa mkali basi wataendeleza zoezi hili hadibasi....

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 2 года назад +1

    Mama mungu akulinde na kazi iendelee

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +3

    Anayeiba hela ya umma dawa ni kurudisha hiyo hela na kifungo pia ili liwe fundisho

  • @mariammohammed2324
    @mariammohammed2324 2 года назад +1

    Nakubali bashnguwa uko busy na job yake

  • @pascmedia1713
    @pascmedia1713 2 года назад +1

    Sio kutengua tu nahatua zakisheria zichukuliwe na waludishe hzo fedha za uma

  • @matalo0551
    @matalo0551 2 года назад +2

    Tumbua mama , hao wakurugenzi siku wanajikuta miungu wayu

  • @bensonkajogoo7327
    @bensonkajogoo7327 2 года назад +2

    Jitaidi mama ndivyo tunataka hivyo tumbua wasichezee fedha zetu

  • @salimsalim8421
    @salimsalim8421 2 года назад

    Jamani hawa watu wata acha lini hii tabia

  • @claratemba44
    @claratemba44 2 года назад

    Yes

  • @kimweritz6364
    @kimweritz6364 2 года назад +2

    Mama yupo kazini

  • @ndyeshoborahabib199
    @ndyeshoborahabib199 2 года назад +1

    Hela za shule_ Ya sekondari ( Pamba Resort), Kata ya Makangarawe, Hela ilitolewa lakini hakuna kinachoendelea ,ni muda mrefu ,Mkurugenzi , Diwani wana tuhuma za kujibu. Katibu wa RC Makala ana taarifa,pamoja na mbunge wa Temeke, INGILIA kati MAMA , wanahujumu Juhudi zako!!!

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 2 года назад +1

    Kinaanza kuumama

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 2 года назад

    Tunakusubiri kusini huku rais

  • @lovely-mq4rg
    @lovely-mq4rg 2 года назад

    Raisi wetu mpendwa bado kuna sehemu baba kafanyakazi ameriter amebakisha watoto NHC, wananyanyasa wapangaji zaidi y nyumba binafsi,tuma timu mikoani wahojiwe wapangaji.Kazi ieendelee

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 2 года назад

    Kwiukwel sisi watanzania hatutaweza kuendelea maana mtu anapewa nafasi ili nnchi ailetee maendeleo Sisi tunaiba nnch unazid kudumaa asa kunafaida gani ya kusoma kwa sisi watanzania km unasoma alafu unakua muizi unauwa nnch kwa kujaza tumbo lako daah watu weusi sio wakuamini kabisa

  • @amasichefwalo3787
    @amasichefwalo3787 2 года назад +1

    Endelea hivo ndo tunataka

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад +1

    Ni mfumo mbaya, kila kiongozi anakula , nothing new. Uchunguzi wote ni waste of time.

  • @siajarimlengela4116
    @siajarimlengela4116 2 года назад +1

    Ndio data nyayo za baba tumbua mama

  • @Mr-fx4dz
    @Mr-fx4dz 2 года назад +1

    Mh uko Mwanza Kwanini taarifa kama hizo zisihisu mkoa was Mwanza?

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад

    Natamani kuwa kwenye team ya Mama. Sio lazima niwe kwenye 1st eleven hata sub tu.

  • @robinilomo2887
    @robinilomo2887 2 года назад +3

    Maigizo bhanaaa,bongo movie#KatibaMpya#

  • @djtwinstar254
    @djtwinstar254 2 года назад

    Niko Kenya 🇰🇪

  • @daudilfrans996
    @daudilfrans996 2 года назад

    Piga kazi mama tunakukubali wenye chuki wajinyonge

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 года назад +2

    Mama fukuza hao wanachukulia poa ukimiya wako

  • @gracecharles7511
    @gracecharles7511 2 года назад

    Watumbuwe mama

  • @saidmatran2395
    @saidmatran2395 2 года назад

    M....

  • @iddmbiha1240
    @iddmbiha1240 2 года назад +1

    Wasetiana haoo mbeya inakujaje wakati mpo mwanza

  • @saidipeace3294
    @saidipeace3294 2 года назад +2

    Hiyo sio utendaji kazi sheria mlipitisha wenyewe ubadhilifu wa fedha nikosa kisheria lakini wanaishia kutengua nakesi hakuna hata mimi napiga najuwa hamna kesi zaidi ya kunyan'ganywa kacheo kao msituone wajinga tunatambua unafiki wenu,

  • @moshinyashebo7981
    @moshinyashebo7981 Год назад

    Kweli kabisa na sisi tunalslsmika manispaa ya kinpndoni kupora eneonletu na kulipima kimabavu pamoja na kuvunja nyumba zetu na sense huduma ni salehe hija wa idara ya kilimo tagadhari tudaidie keto hii pamoja na mkuu wakoa kusimamia dials la

    • @moshinyashebo7981
      @moshinyashebo7981 Год назад

      Mkuu wa mkos katoa maagizo name kea wananchi juu ya kuondoa migogoro ya ardhi lakini hawa watumishi wa imma ndio chanzo cha kututesa na kupora eneo letu kabavu tunaomba msaada wako zaidi hass kea sarehe hija wa idara ya kilimo manispaa ya kinpndoni ndie alivinja nyumba zetu kea sululu na mondo meals 2015 na tumefuatilia sam's sam's ndio huyo hats sasa amefanya njams ya kupora eneo letu kea mgongo wa manispaa ya kinondoni

  • @ShomariMoses
    @ShomariMoses 2 года назад

    KAMA WAPENDA SEASON ZENYE NGUMI ZA KUFA MTU KAANZE NAYO HII NI MOTOOO GUSA HAPA ruclips.net/video/8iAF4H9uv-M/видео.html

  • @benedictkayombo4780
    @benedictkayombo4780 2 года назад

    Acha kuongea wewe

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 2 года назад +1

    Tengua mama ila na mahakamani wafikishwe pia

  • @ShomariMoses
    @ShomariMoses 2 года назад

    KAMA WAPENDA SEASON ZENYE NGUMI ZA KUFA MTU KAANZE NAYO HII NI MOTOOO GUSA HAPA ruclips.net/video/8iAF4H9uv-M/видео.html

  • @anthonywilliam6510
    @anthonywilliam6510 2 года назад

    Mama safi sana Mimi naomba kazi tu ata ya usafi tu maisha mangumu