RAIS SAMIA AWATENGUA WAKURUGENZI WANNE "MNATABIA YA KUWAFICHIA FICHIA, NASUBIRI RIPOTI"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Magu jijini Mwanza amewatengua wakurugenzi wa 4 kwa ubadhirifu wa fedha Buchosa, Iringa Mbeya na Singida mjini huku Mkurugezi wa Geita uchunguzi unaendelea
Hongereni sana Mh, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hilo tatizo.
Asante mama.Napenda unavyong'ata...😄 taratiiiiiibu huku kazi inaendelea...upige mama yetu baba JPM huko aliko anapiga ...HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Kuna dalili kuwa Waziri huyu ameshindwa kazi! Hata ripoti zake za uchunguzi zimechelewa! Rais kasema " Mna kawaida ya kuwafichiafichia, lakini nina ripoti kabla ya kwenu"!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍🤣
Chapa kazi mheshimiwa Raisi usiwaonee haya mafisadi wote nchini walio wabathirifu. Hongera Sana kwakuwatengua hao
Hapo kweli kazi itaendelea kwavitendo
Sio tu kuwafukuza inatakiwa washtakiwe mahakaman wapigwe Pingu ili wengine waanze kukuogopa Mhe Rais! Uwe Kama JPM
I Love you my President, hivi ndo inatakiwa. Wabongo ukiwalegezea wanacheza nawe.
Muda wote alikuwa wapi? Sisi ndo tunataka hivi. Hatutaki uonee ila anaposhindwa mtu kazi piga chini
Ile kamba ishakuwa refu
Mama yetu Samia Mungu akutie nguvu na afya utufikishe salama tunakotegemea. Tuna imani nawe mama na Rais wetu mpendwa.
Aisee, mama asipokuwa mkali basi wataendeleza zoezi hili hadibasi....
Mama mungu akulinde na kazi iendelee
Anayeiba hela ya umma dawa ni kurudisha hiyo hela na kifungo pia ili liwe fundisho
Nakubali bashnguwa uko busy na job yake
Sio kutengua tu nahatua zakisheria zichukuliwe na waludishe hzo fedha za uma
Tumbua mama , hao wakurugenzi siku wanajikuta miungu wayu
Jitaidi mama ndivyo tunataka hivyo tumbua wasichezee fedha zetu
Jamani hawa watu wata acha lini hii tabia
Yes
Mama yupo kazini
Hela za shule_ Ya sekondari ( Pamba Resort), Kata ya Makangarawe, Hela ilitolewa lakini hakuna kinachoendelea ,ni muda mrefu ,Mkurugenzi , Diwani wana tuhuma za kujibu. Katibu wa RC Makala ana taarifa,pamoja na mbunge wa Temeke, INGILIA kati MAMA , wanahujumu Juhudi zako!!!
Kinaanza kuumama
Tunakusubiri kusini huku rais
Raisi wetu mpendwa bado kuna sehemu baba kafanyakazi ameriter amebakisha watoto NHC, wananyanyasa wapangaji zaidi y nyumba binafsi,tuma timu mikoani wahojiwe wapangaji.Kazi ieendelee
Kwiukwel sisi watanzania hatutaweza kuendelea maana mtu anapewa nafasi ili nnchi ailetee maendeleo Sisi tunaiba nnch unazid kudumaa asa kunafaida gani ya kusoma kwa sisi watanzania km unasoma alafu unakua muizi unauwa nnch kwa kujaza tumbo lako daah watu weusi sio wakuamini kabisa
Endelea hivo ndo tunataka
Ni mfumo mbaya, kila kiongozi anakula , nothing new. Uchunguzi wote ni waste of time.
Ndio data nyayo za baba tumbua mama
Mh uko Mwanza Kwanini taarifa kama hizo zisihisu mkoa was Mwanza?
Natamani kuwa kwenye team ya Mama. Sio lazima niwe kwenye 1st eleven hata sub tu.
Maigizo bhanaaa,bongo movie#KatibaMpya#
Niko Kenya 🇰🇪
Piga kazi mama tunakukubali wenye chuki wajinyonge
Mama fukuza hao wanachukulia poa ukimiya wako
Watumbuwe mama
M....
Wasetiana haoo mbeya inakujaje wakati mpo mwanza
Hiyo sio utendaji kazi sheria mlipitisha wenyewe ubadhilifu wa fedha nikosa kisheria lakini wanaishia kutengua nakesi hakuna hata mimi napiga najuwa hamna kesi zaidi ya kunyan'ganywa kacheo kao msituone wajinga tunatambua unafiki wenu,
Kweli kabisa na sisi tunalslsmika manispaa ya kinpndoni kupora eneonletu na kulipima kimabavu pamoja na kuvunja nyumba zetu na sense huduma ni salehe hija wa idara ya kilimo tagadhari tudaidie keto hii pamoja na mkuu wakoa kusimamia dials la
Mkuu wa mkos katoa maagizo name kea wananchi juu ya kuondoa migogoro ya ardhi lakini hawa watumishi wa imma ndio chanzo cha kututesa na kupora eneo letu kabavu tunaomba msaada wako zaidi hass kea sarehe hija wa idara ya kilimo manispaa ya kinpndoni ndie alivinja nyumba zetu kea sululu na mondo meals 2015 na tumefuatilia sam's sam's ndio huyo hats sasa amefanya njams ya kupora eneo letu kea mgongo wa manispaa ya kinondoni
KAMA WAPENDA SEASON ZENYE NGUMI ZA KUFA MTU KAANZE NAYO HII NI MOTOOO GUSA HAPA ruclips.net/video/8iAF4H9uv-M/видео.html
Acha kuongea wewe
Tengua mama ila na mahakamani wafikishwe pia
KAMA WAPENDA SEASON ZENYE NGUMI ZA KUFA MTU KAANZE NAYO HII NI MOTOOO GUSA HAPA ruclips.net/video/8iAF4H9uv-M/видео.html
Mama safi sana Mimi naomba kazi tu ata ya usafi tu maisha mangumu