Ufunguo - Natasha Lisimo Ft Bahati Bukuku I Official Video
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- A Gospel Song by Tanzanian Gospel Singer Natasha Lisimo
Under Rehoboth Pictures Label
Video by Rehoboth Pictures
CONTACT
+255 717 400972
facebook Rehoboth pictures
Insta @rehoboth Pictures
bahat bukuku hajawah muangusha mtu kama na ww umeona ufunguo like kama zote
yani bukuku hapo kwenye hio voice yako asee barikiwa sana mamy
Huu wimbo ulivyo mkubwa huwa nawaza Kama bahati bukuku angeonekana na hiyo sauti yake haaaa!!!ingekuwa ni neema juu ya neema na utukufu juu ya utukufu zaidi.Jina la bwana wetu Kristo libalikiwe milele na milele
Mungu akubaririki kwa wimbo huu unaotuelezea kuwa jibu letu liko kwa Yesu
Woww nimerudia mara kibao huu Wimbo Leo... Jamani dada unaimba Yesu azidi kuku inua.
Amen Hakika huu wimbo unanibariki saan.
ufunguo ni yesu tu barikiwa dada
Mungu awabariki sana nyote mnaoniombea na kunifuatiliya asante sana, Makubwa yanakuja naombeni saport yenu
Natasha Lisimo keep it up
Amen
Natasha Lisimo am your no.1 fan..much respect from Kenya..keep doing gud gal..we are behind you..may our good Lord bless you
Natasha Lisimo usijali
Natasha Lisimo tunakunda mungu yupamoja nasi
Bahati kautendea haki wimbo...kazi nzuri a
Adija /Natasha 😘😘😘
Ubarikiwe Natasha mungu yu pamoja nasi
Barikiwa sana mtumishi nimefrah sana kwa wimbo wako,pia kumuona mwalimu wangu apo Mr Chuwa
Mungu azidi kuwaneemesheni
Jamani nafarijika Sana na huu wimbo nanyingine nyingi sana za huyu dada mungu akubariki sana my mommy ufikie ndoto yako mommy wangu ameen
Nice this song let me find key of god
Barikiwa sana dada Mungu aendelee kukutetea na kukupigania .Japo video shooter hajautendea haki wimbo huu picha haionekani vzr but the song is very nice be blessed @natasha
Jesus is my everything,
Nyaso Jasmin
Nyimbo nzuri sana
Amen and amen more grace
Funguo very song
Kazi nzuri..Jina la Bwana litukuzwe👏
I've got the KEY 🗝 JESUS IS KEY
hakika funguo ya kweli ni Yesu.
ubarikiwe
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu aendeleee kukubarikiii🙏🙏
I'm really looking for the lyrics of this song, someone please help me with the lyrics of this song,especially the first stanza
Barikiwa dada nakupenda bure
dad Natasha Nakupenda sana
Duh hongera my dear NYC song!!! bt mbona da Bahat haonekani??
Alikuwa kutafuta ufunguo
nice and be blessed ccter
Lucy Ibrahimu nice song cixter
Lucy Ibrahimu god bless u
Nice song
Asanteni sana wooote mnao comment hapa na kunitia moyo Mungu awabariki sana sana nawapenda wote
Natasha Lisimo unapatikana wap dada
0767204423
naomba tuwasiliane my dear nilikuwa naomba information ya hii studio uliyorikodia huu wimbo
Nipo Dar es Salaam
Hii studio inaitwa Rehoboth Pictures , Mbezi beach ...Namba yao ya simu ni 0759 771701
Natasha Lisimo ubarikiwe dia
Habari, wapendwa wangu kutoka Kenya nawaomba sana mnipigie kura kwenye Xtreem Awards kwa kutuma 49M kwenda 22176. na Mungu awabariki sana kwa ukarimu wenu.nami nawapenda sana.. Pia wengine kutoka nchi nyingine nitawaambia utaratibu namna ya kunipigia kura asanteni sana
1
😍😍 Big up Natasha
Naupaje huu wimbo
Mi ni muislim lkn npenda kazi yako
kweli Shida rahana baramikosi viatoka wapi neemaya Mungu ikisimama kwenye maishayangu
Wimbo mzuri Sana ni miongoni mwa nyimbo kali mwaka huu nilizo zisikia za Gospel but umeni dissapont kutokuwepo uliyemshirikisha. Non sense kabisaaa hii kitu. audio ya muda mrefu but umeshindwa kumpata uliomshirikisha sasa ndio nini. Utafika mbali Kama utaongeza u Serious kwenye kazi nyingine. Ukimshirikisha mtu hakikisha anaonekana ktk Video Kama hataonekana tafadhali usimuweke kwenye audio
asante sana kwa ushauri...nitalifanyia kazi.
mung akubaliki sana dada ang
Ubarikiwe sana.., Yesu kristo ni ufunguo wa kweli
I know your songs ni halisi, based on true story.
Much love😍😘😘😘
Thank you Lord Jesus for this humble Lady.
Nyaso Jasmin shalom, naweza wasiliana na wewe kwa email tafadhali??
Benedict Aman hi, unaweza anzia Instagram @nyaso_jasmine.
Karibu dear.
Barikiwa sana dada natasha yaan hii nyimbo naiskiliza kila muda sikinai bwana wa majeshi akutie nguvu zaidi uzidi kuitangaza injili mbele zaidi
Nimerudi tena Natasha, I make your song like my breakfast today
Safi sana
Asante Mungu atukuzwe
@@rvgcompany3798 vous
Shida balaaa na mikosi vinatoka wapi neeema ya mungu ikisimama maishani mwako
Shikilia imani uliyonayo...na Mungu azidi kukuinua!! Nakupenda sana
Vipi umeupata ufunguo?
ASANTE KWA HII VIDEO NILISUBIRI KWA MUDA MREFU MPAKA NIKATAMANI NIKUPIGIE CM NIKUULIZE KWANINI HAKUNA VIDEO LKN MUNGU KABARIKI IMETOKA SASA NAENDEREA KUBARIKIWA ASANTE MUNGU AKUPE NGUVU UFIKIE MARENGO YAKO .
Amina
Kazi nzuri lakini bahati bukuku mbona kwenye video hayupo
I love Natasha soo much ....from the time she did cover of shukurani
Natamani kufundishwa na wewe ,
jamani hongera ila Bahati vipi sasa sauti ipo ila yeye hayupo,sijaelewa,angekuwepo ingependeza zaidi
Hongera Sana Umeupata kweli Ufunguo Toka Khadijanito Hadi Natasha .....Nyimbo nzuri sana Mdada Mungu Aendelee Kukubariki sana Katika Uimbaji Wako .
Amina
ubalikiwe sana
Ooooh kumbe ndo khadjanito
Hongera dada
ufunguo wng ni yesu...nabarkiwa sawa nkiusikiliza huu wimbo mengi ynanitoa machoz ila nkiusikiliza huu wimbo nakuwa na furaha ua Ajabu..kwel YESU anatenda..MUNGU azidi kukubariki na ss tuzid kubarikiwa kupitia nyimbo zko@Natasha
Vipi umeupata ufunguo?
Amen.
Ivi huyu c ndio hadija nito,, aliyeimba maumivu niache au??
Ni yy but nowadays siyo yule wa zamani Yesu mtatua matatizo kwakweli
Unaweza pia ku subscribe Channel yetu ya Rehoboth Pictures ili kuona Kazi nyingi za Natasha pia kazi zetu nyingine karibuni sana
WIMBO MZURI HONGERA
be blessed my shemela
BWANA akuwezeshe
Vipi umeupata ufunguo
Hivi ni kweli wewe ndio ulieimba maumivu @#, nashukuru.
Na sasa umeupata ufunguo, Mungu akubariki natasha.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
bukuku mbna hajaonekana ...sometimes ndo mana nymbo za gospel hua tunafel coz hatuko serious compared na wale bongofleva ..tunadharau vtu vdogo af vinatucost kaz nzma...inashndwa kuleta uhalisia
2023 kama umeupata ufunguo naomba like yako🙏
Congrats dia...... Nakumbuka tangu unarekod hili jiwe... Hakika umepata ufunguo
Asante sana
Uko vizuri my dear nakupendaga natamani siku moja namm Mungu anipe kibari kama wewe ikiwezekana tufanye collabo hapo mm bado underground sana ila one day yes
Mapenzi ya Mungu yatimizwe
Endelea kubarkiwa sana
Yesu wetu huwa hakai mbali nasi funguo ni nyimbo ambayo inanitia moyo kila niisikilizapo
Hivi mtu unabonyeza vipi unlike, hata humuohgopi tu Mungu mbali ya kua kazi ni nzuri??
God bless you dear kazi nzuri
Amen
Wanadhani ni download button
Hahaha
dada kuna wengine wamezaliwa na roho mbaya kwake kila kitu kwake ni unlike tu cha ajabu watu kama hao mambo ya hovyo ndo hupenda kulike lkn mambo yenye maana ktk jamii hawapend hivo ndivo binadam walivo lkn ktk yote ujumbe mzur dada yetu mungu aendelee kumpa maono zaid ili aendelee kutubariki ktk huduma yake
Erasto Mwakalinga amina
Mungu akubiriki sana 💕💕 akuna laana kwa Yesu niamina na Wala ujapotea, na mimi nilitengwa lakini leo baba yangu kwarundi na ananiita mama na wewe mama yako atakutafuta
Ameni tumombe
irene mbise kwa Yesu mambo yote ni amina
hongera BAHATI wa kukaja Kyala ikutule😍
Hongera sana dada natashe shida lana na mikosi vitatoka wapi huruma ya mungu ikisimama vitatoka wapi umenigusa huu wimbo
jamani Mimi mwislam lakini huu wimbo nimeukubali sana sio dhambi kuusikiliza nitumieni tu +968 79235056 ?mwenye nao anitumie
Kweli unajua kuimba sana dada Natasha ila umejitengeneza sana kuliko ulivyo kwa asili yako pale uliimba Shukrani.
Kma n saut 2 umebarkiwa Dada.am hppy kuona umekuja kw YESU ,kwel YESU ndio ufunguo w mambo yteee.stay blessed
Mungu azd kukuimarisha kiroho na kimwili huu wimbo unaponya, unatia nguvu mana jina LA Yesu n dawa na ufunguo WA magumu na huleta mafanikio makuu
Nice song my dear, much love from Germany 😍😍😍😍😘😘
Nyaso Jasmin shöne
Halleluya 🙌 Yesu ni ufunguo unaofungua malango yaliyoshindikana kufunguka
Mungu akubariki sana mtumishi Natasha Bwana Yesu akuinue kwa viwango vya juu huyu Yesu aendelee kuwa funguo kila SK na kila saa
Sasa naelewa kuwa kumbe ulimaanisha,
Mungu akiwa upande wako hakuna anayekuwa juu yako.
Ahsante m mungu kwa pumzi maishani mwangu na fam yangu na kwa mwaka mwingine tena hakika tumeupata ufunguo happy new year fam 2022
Wewe bahati bukuku mungu wambinguni kakuandalia sehemu salama mungu akubariki sana ♥️♥️♥️♥️
Ubarikiwe sana dada Natasha hakika neema ya mungu ikiwa upande wangu hakuna litakalosimam kinyume na mapenz yake be blessed
I love this song,it's such a blessing,may God continue using you to bless others 🙏
Mungu azidi kuwainua zaidi kuwa vyombo vyake vya sifa na kuendelea kupata kibali mbele zake na wanadamu
Ave just known you and am completely inlove with your songs Natasha... Nyimbo zako zaongea nami kwa njia kuu... Ushuhuda wangu wote uko katika nyimbo zako... Kwa kweli ufunguo ni yesu
Ee mungu nipe na mimi huo ufunguo nimechoshwa na dunia 😓
Pokea kwa jina YESU
Naiwe kama unenavyo🙏
Amina sana, Nakuombea ufanye collable na Mwansongwe, kama Mungu ataeapeni kibali
huu wimbo umenifanya nikumbke kanisani dah ubarikiwe dada angu na mungu akufikishe bali tena juuu zaidi
Asantee sana dada yangu natasha mungu akupe neem ya ushind utafka unapopatak napenda san nyembo zako zina nivutia sana
Neema ya mungu ikisimama maishani mwangu mambo mabaya itatoka wapi , biashara kuanguka itoke wapi?
Hallelujah Mungu azidi kukuinua
Yesu atukuzwe kupitia wewe
Ubalikiwe sana dada Natasha kwa nyimbo zako mzuri hujawahi niangusha asante sana
Hallelujah nimeupata ufunguo ambao ni yesu
jamani nilikuanausubiri kwa ham
Asante sana
barikiwa
hakika huu wimbo ni bonge ya ujumbe na unatia moyo sanaaaaaa
nimeusikiliza apa kila mtu anauliza nyimbo iyo nzuri ivyo ni ya nani?
SURE JESUS IS MY KEY TO UNLOCK ANY LOCKED INTO MY LIFE.
may GOD lift you up da NATASHA THE GREAT💛💚💙💜🤎✡✡✡✡✡✡✅✅✅✅✅✅✅🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢 ANYONE listening with me here this 2019 before 2020
Me nakuoenda kiukweli kbsa... MUNGU aendelee kukutumia
Hakika na mimi nimeupata ufunguo shida madalaa vimeondoka asante Natasha
Kazi nzuri nabarikiwa but ningemuona na Dada Bahati hapo ndio safi zaidi
Nikweli ufunguo wetu ni yesu balikiwa sana my
Ubarikiwe Kwa uimbaji wako utafika mbali mungu na azidi kukutetea
Naipenda sanaa hii nyimbo kwakweli kwa siku naweza kuangalia ata mala mne
kweli kila jaribu linaufunguo wakufunguliaa
mungu akubariki akulinde azidi kukupa nyota ya kuwaokoa kondoo wapya
Dada upowap we mis u mumy nyimbo zako zatubariki mpenzi
Nimetoka tiktok
Ubarikiwe mtumishi wimbo wako ujumbe mzuri unitia nguvu
Hongera sana dada nimeupenda natamani kusikiliza muda wote
audio ya wimbo hii ni nzuri dada tena huwa inanibariki sana, ila hii video sijaielewa bado endelea kumuomba MUNGU akuongoze namna utakapofanya videos nyingine, MUNGU AKUBARIKI