Ufunguo - Natasha Lisimo Ft Bahati Bukuku I Official Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • A Gospel Song by Tanzanian Gospel Singer Natasha Lisimo
    Under Rehoboth Pictures Label
    Video by Rehoboth Pictures
    CONTACT
    +255 717 400972
    facebook Rehoboth pictures
    Insta @rehoboth Pictures

Комментарии • 544

  • @asnathnicholaus9739
    @asnathnicholaus9739 5 лет назад +14

    bahat bukuku hajawah muangusha mtu kama na ww umeona ufunguo like kama zote

  • @anethkaramatasozyshiyengo7414
    @anethkaramatasozyshiyengo7414 6 лет назад +24

    yani bukuku hapo kwenye hio voice yako asee barikiwa sana mamy

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад

    Huu wimbo ulivyo mkubwa huwa nawaza Kama bahati bukuku angeonekana na hiyo sauti yake haaaa!!!ingekuwa ni neema juu ya neema na utukufu juu ya utukufu zaidi.Jina la bwana wetu Kristo libalikiwe milele na milele

  • @florencemumuofficial7355
    @florencemumuofficial7355 Год назад

    Mungu akubaririki kwa wimbo huu unaotuelezea kuwa jibu letu liko kwa Yesu

  • @nessa4899
    @nessa4899 6 лет назад +1

    Woww nimerudia mara kibao huu Wimbo Leo... Jamani dada unaimba Yesu azidi kuku inua.

  • @emmyemiliana4775
    @emmyemiliana4775 Год назад

    Amen Hakika huu wimbo unanibariki saan.

  • @litaemily5730
    @litaemily5730 6 лет назад

    ufunguo ni yesu tu barikiwa dada

  • @natashalisimo2075
    @natashalisimo2075  6 лет назад +417

    Mungu awabariki sana nyote mnaoniombea na kunifuatiliya asante sana, Makubwa yanakuja naombeni saport yenu

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 6 лет назад +1

    Bahati kautendea haki wimbo...kazi nzuri a
    Adija /Natasha 😘😘😘

  • @naseershiner6738
    @naseershiner6738 5 лет назад

    Ubarikiwe Natasha mungu yu pamoja nasi

  • @maggiengog2185
    @maggiengog2185 5 лет назад

    Barikiwa sana mtumishi nimefrah sana kwa wimbo wako,pia kumuona mwalimu wangu apo Mr Chuwa

  • @nicholaskhainza3329
    @nicholaskhainza3329 6 лет назад

    Mungu azidi kuwaneemesheni

  • @emeldaripkingmajutolalasal1029
    @emeldaripkingmajutolalasal1029 6 лет назад

    Jamani nafarijika Sana na huu wimbo nanyingine nyingi sana za huyu dada mungu akubariki sana my mommy ufikie ndoto yako mommy wangu ameen

  • @daltonmsophe3199
    @daltonmsophe3199 4 года назад

    Nice this song let me find key of god

  • @festonkandonga85
    @festonkandonga85 6 лет назад

    Barikiwa sana dada Mungu aendelee kukutetea na kukupigania .Japo video shooter hajautendea haki wimbo huu picha haionekani vzr but the song is very nice be blessed @natasha

  • @Myright888
    @Myright888 6 лет назад +13

    Jesus is my everything,

  • @mrg5614
    @mrg5614 5 лет назад

    Nyimbo nzuri sana

  • @Oyolachristine
    @Oyolachristine 9 месяцев назад

    Amen and amen more grace

  • @nuhrobalt4303
    @nuhrobalt4303 2 года назад

    Funguo very song

  • @joycematteru6961
    @joycematteru6961 6 лет назад

    Kazi nzuri..Jina la Bwana litukuzwe👏

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 5 лет назад +1

    I've got the KEY 🗝 JESUS IS KEY

  • @happymakule8312
    @happymakule8312 5 лет назад

    hakika funguo ya kweli ni Yesu.

  • @faridasaid8724
    @faridasaid8724 6 лет назад

    ubarikiwe

  • @LawrenceYobuNdosi
    @LawrenceYobuNdosi 6 лет назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @queentynabby5938
    @queentynabby5938 6 лет назад

    Mungu aendeleee kukubarikiii🙏🙏

  • @junioraloice.1092
    @junioraloice.1092 Год назад

    I'm really looking for the lyrics of this song, someone please help me with the lyrics of this song,especially the first stanza

  • @ElizabethAkim
    @ElizabethAkim 6 лет назад

    Barikiwa dada nakupenda bure

  • @priskapaulo2625
    @priskapaulo2625 6 лет назад

    dad Natasha Nakupenda sana

  • @lukrensiamlelwa3318
    @lukrensiamlelwa3318 6 лет назад +8

    Duh hongera my dear NYC song!!! bt mbona da Bahat haonekani??

  • @lucyibrahimu7774
    @lucyibrahimu7774 6 лет назад +2

    nice and be blessed ccter

  • @angelpallangyo1245
    @angelpallangyo1245 6 лет назад

    Nice song

  • @natashalisimo2075
    @natashalisimo2075  6 лет назад +167

    Asanteni sana wooote mnao comment hapa na kunitia moyo Mungu awabariki sana sana nawapenda wote

    • @neemapeter1277
      @neemapeter1277 6 лет назад

      Natasha Lisimo unapatikana wap dada

    • @RAFIKI_TANZANIA
      @RAFIKI_TANZANIA 6 лет назад

      0767204423
      naomba tuwasiliane my dear nilikuwa naomba information ya hii studio uliyorikodia huu wimbo

    • @natashalisimo2075
      @natashalisimo2075  6 лет назад

      Nipo Dar es Salaam

    • @natashalisimo2075
      @natashalisimo2075  6 лет назад +1

      Hii studio inaitwa Rehoboth Pictures , Mbezi beach ...Namba yao ya simu ni 0759 771701

    • @selambuba4481
      @selambuba4481 6 лет назад

      Natasha Lisimo ubarikiwe dia

  • @natashalisimo2075
    @natashalisimo2075  5 лет назад +61

    Habari, wapendwa wangu kutoka Kenya nawaomba sana mnipigie kura kwenye Xtreem Awards kwa kutuma 49M kwenda 22176. na Mungu awabariki sana kwa ukarimu wenu.nami nawapenda sana.. Pia wengine kutoka nchi nyingine nitawaambia utaratibu namna ya kunipigia kura asanteni sana
    1

  • @allymahenge5289
    @allymahenge5289 6 лет назад +39

    Mi ni muislim lkn npenda kazi yako

  • @roseleeds8298
    @roseleeds8298 6 лет назад +17

    kweli Shida rahana baramikosi viatoka wapi neemaya Mungu ikisimama kwenye maishayangu

  • @robertnkondokaya2996
    @robertnkondokaya2996 6 лет назад +15

    Wimbo mzuri Sana ni miongoni mwa nyimbo kali mwaka huu nilizo zisikia za Gospel but umeni dissapont kutokuwepo uliyemshirikisha. Non sense kabisaaa hii kitu. audio ya muda mrefu but umeshindwa kumpata uliomshirikisha sasa ndio nini. Utafika mbali Kama utaongeza u Serious kwenye kazi nyingine. Ukimshirikisha mtu hakikisha anaonekana ktk Video Kama hataonekana tafadhali usimuweke kwenye audio

  • @officialmadamnica
    @officialmadamnica 6 лет назад +28

    Ubarikiwe sana.., Yesu kristo ni ufunguo wa kweli

  • @Myright888
    @Myright888 6 лет назад +33

    I know your songs ni halisi, based on true story.
    Much love😍😘😘😘
    Thank you Lord Jesus for this humble Lady.

    • @benedictaman936
      @benedictaman936 6 лет назад

      Nyaso Jasmin shalom, naweza wasiliana na wewe kwa email tafadhali??

    • @Myright888
      @Myright888 6 лет назад

      Benedict Aman hi, unaweza anzia Instagram @nyaso_jasmine.
      Karibu dear.

  • @princesschatila3448
    @princesschatila3448 6 лет назад +5

    Barikiwa sana dada natasha yaan hii nyimbo naiskiliza kila muda sikinai bwana wa majeshi akutie nguvu zaidi uzidi kuitangaza injili mbele zaidi

  • @Myright888
    @Myright888 6 лет назад +28

    Nimerudi tena Natasha, I make your song like my breakfast today

  • @noelpaul934
    @noelpaul934 6 лет назад +10

    Shida balaaa na mikosi vinatoka wapi neeema ya mungu ikisimama maishani mwako

  • @azizaiddy125
    @azizaiddy125 6 лет назад +13

    Shikilia imani uliyonayo...na Mungu azidi kukuinua!! Nakupenda sana

  • @mohabtvonline8115
    @mohabtvonline8115 6 лет назад +10

    ASANTE KWA HII VIDEO NILISUBIRI KWA MUDA MREFU MPAKA NIKATAMANI NIKUPIGIE CM NIKUULIZE KWANINI HAKUNA VIDEO LKN MUNGU KABARIKI IMETOKA SASA NAENDEREA KUBARIKIWA ASANTE MUNGU AKUPE NGUVU UFIKIE MARENGO YAKO .

  • @hortensiamassawe1063
    @hortensiamassawe1063 6 лет назад +6

    Kazi nzuri lakini bahati bukuku mbona kwenye video hayupo

  • @keziahngugi2921
    @keziahngugi2921 2 года назад +3

    I love Natasha soo much ....from the time she did cover of shukurani

  • @maryraphael7810
    @maryraphael7810 6 лет назад +2

    jamani hongera ila Bahati vipi sasa sauti ipo ila yeye hayupo,sijaelewa,angekuwepo ingependeza zaidi

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 6 лет назад +19

    Hongera Sana Umeupata kweli Ufunguo Toka Khadijanito Hadi Natasha .....Nyimbo nzuri sana Mdada Mungu Aendelee Kukubariki sana Katika Uimbaji Wako .

  • @lizykeswick4122
    @lizykeswick4122 6 лет назад +3

    ufunguo wng ni yesu...nabarkiwa sawa nkiusikiliza huu wimbo mengi ynanitoa machoz ila nkiusikiliza huu wimbo nakuwa na furaha ua Ajabu..kwel YESU anatenda..MUNGU azidi kukubariki na ss tuzid kubarikiwa kupitia nyimbo zko@Natasha

  • @agnesskomba3222
    @agnesskomba3222 6 лет назад +5

    Ivi huyu c ndio hadija nito,, aliyeimba maumivu niache au??

    • @fortunathakawiani7442
      @fortunathakawiani7442 4 года назад

      Ni yy but nowadays siyo yule wa zamani Yesu mtatua matatizo kwakweli

  • @rvgcompany3798
    @rvgcompany3798 5 лет назад

    Unaweza pia ku subscribe Channel yetu ya Rehoboth Pictures ili kuona Kazi nyingi za Natasha pia kazi zetu nyingine karibuni sana

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 4 года назад +2

    WIMBO MZURI HONGERA

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 6 лет назад +14

    be blessed my shemela
    BWANA akuwezeshe

  • @alphaxardjubeckwa-ndahibha8725
    @alphaxardjubeckwa-ndahibha8725 3 года назад

    Hivi ni kweli wewe ndio ulieimba maumivu @#, nashukuru.
    Na sasa umeupata ufunguo, Mungu akubariki natasha.

  • @LawrenceYobuNdosi
    @LawrenceYobuNdosi 6 лет назад +9

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @barakasimon2613
    @barakasimon2613 6 лет назад

    bukuku mbna hajaonekana ...sometimes ndo mana nymbo za gospel hua tunafel coz hatuko serious compared na wale bongofleva ..tunadharau vtu vdogo af vinatucost kaz nzma...inashndwa kuleta uhalisia

  • @stellakimario4607
    @stellakimario4607 Год назад +1

    2023 kama umeupata ufunguo naomba like yako🙏

  • @mariamkilyenyi277
    @mariamkilyenyi277 6 лет назад +5

    Congrats dia...... Nakumbuka tangu unarekod hili jiwe... Hakika umepata ufunguo

  • @suzankasile484
    @suzankasile484 4 года назад

    Uko vizuri my dear nakupendaga natamani siku moja namm Mungu anipe kibari kama wewe ikiwezekana tufanye collabo hapo mm bado underground sana ila one day yes
    Mapenzi ya Mungu yatimizwe
    Endelea kubarkiwa sana

  • @davidmbago8404
    @davidmbago8404 6 лет назад +2

    Yesu wetu huwa hakai mbali nasi funguo ni nyimbo ambayo inanitia moyo kila niisikilizapo

  • @Myright888
    @Myright888 6 лет назад +39

    Hivi mtu unabonyeza vipi unlike, hata humuohgopi tu Mungu mbali ya kua kazi ni nzuri??
    God bless you dear kazi nzuri

    • @natashalisimo2075
      @natashalisimo2075  6 лет назад

      Amen

    • @kenyomarion5605
      @kenyomarion5605 6 лет назад +2

      Wanadhani ni download button

    • @Myright888
      @Myright888 6 лет назад +1

      Hahaha

    • @erastomwakalinga7079
      @erastomwakalinga7079 6 лет назад +1

      dada kuna wengine wamezaliwa na roho mbaya kwake kila kitu kwake ni unlike tu cha ajabu watu kama hao mambo ya hovyo ndo hupenda kulike lkn mambo yenye maana ktk jamii hawapend hivo ndivo binadam walivo lkn ktk yote ujumbe mzur dada yetu mungu aendelee kumpa maono zaid ili aendelee kutubariki ktk huduma yake

    • @Myright888
      @Myright888 6 лет назад

      Erasto Mwakalinga amina

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 лет назад +2

    Mungu akubiriki sana 💕💕 akuna laana kwa Yesu niamina na Wala ujapotea, na mimi nilitengwa lakini leo baba yangu kwarundi na ananiita mama na wewe mama yako atakutafuta

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 лет назад +1

    hongera BAHATI wa kukaja Kyala ikutule😍

    • @violettemiburo3151
      @violettemiburo3151 5 лет назад

      Hongera sana dada natashe shida lana na mikosi vitatoka wapi huruma ya mungu ikisimama vitatoka wapi umenigusa huu wimbo

  • @siwemaking8321
    @siwemaking8321 5 лет назад

    jamani Mimi mwislam lakini huu wimbo nimeukubali sana sio dhambi kuusikiliza nitumieni tu +968 79235056 ?mwenye nao anitumie

  • @georgemasanja3750
    @georgemasanja3750 Год назад

    Kweli unajua kuimba sana dada Natasha ila umejitengeneza sana kuliko ulivyo kwa asili yako pale uliimba Shukrani.

  • @ninirogers6997
    @ninirogers6997 6 лет назад +1

    Kma n saut 2 umebarkiwa Dada.am hppy kuona umekuja kw YESU ,kwel YESU ndio ufunguo w mambo yteee.stay blessed

  • @mwaisenyemwandela9392
    @mwaisenyemwandela9392 5 лет назад

    Mungu azd kukuimarisha kiroho na kimwili huu wimbo unaponya, unatia nguvu mana jina LA Yesu n dawa na ufunguo WA magumu na huleta mafanikio makuu

  • @Myright888
    @Myright888 6 лет назад +7

    Nice song my dear, much love from Germany 😍😍😍😍😘😘

  • @officialmadamnica
    @officialmadamnica 2 года назад

    Halleluya 🙌 Yesu ni ufunguo unaofungua malango yaliyoshindikana kufunguka

  • @evakiwia6768
    @evakiwia6768 5 лет назад

    Mungu akubariki sana mtumishi Natasha Bwana Yesu akuinue kwa viwango vya juu huyu Yesu aendelee kuwa funguo kila SK na kila saa

  • @neylightdeblessedone1584
    @neylightdeblessedone1584 6 лет назад +2

    Sasa naelewa kuwa kumbe ulimaanisha,
    Mungu akiwa upande wako hakuna anayekuwa juu yako.

  • @queenjohackim3811
    @queenjohackim3811 2 года назад

    Ahsante m mungu kwa pumzi maishani mwangu na fam yangu na kwa mwaka mwingine tena hakika tumeupata ufunguo happy new year fam 2022

  • @vailethnehemia5292
    @vailethnehemia5292 Год назад

    Wewe bahati bukuku mungu wambinguni kakuandalia sehemu salama mungu akubariki sana ♥️♥️♥️♥️

  • @estersolomoni4232
    @estersolomoni4232 6 лет назад +1

    Ubarikiwe sana dada Natasha hakika neema ya mungu ikiwa upande wangu hakuna litakalosimam kinyume na mapenz yake be blessed

  • @carolnyaga3363
    @carolnyaga3363 2 года назад +2

    I love this song,it's such a blessing,may God continue using you to bless others 🙏

  • @farajamsigwa1304
    @farajamsigwa1304 Год назад

    Mungu azidi kuwainua zaidi kuwa vyombo vyake vya sifa na kuendelea kupata kibali mbele zake na wanadamu

  • @slynjeri_wanjuguna6311
    @slynjeri_wanjuguna6311 5 лет назад +1

    Ave just known you and am completely inlove with your songs Natasha... Nyimbo zako zaongea nami kwa njia kuu... Ushuhuda wangu wote uko katika nyimbo zako... Kwa kweli ufunguo ni yesu

  • @sophiaoman6121
    @sophiaoman6121 6 лет назад +1

    Ee mungu nipe na mimi huo ufunguo nimechoshwa na dunia 😓

  • @shukurudavid4369
    @shukurudavid4369 6 лет назад +1

    Amina sana, Nakuombea ufanye collable na Mwansongwe, kama Mungu ataeapeni kibali

  • @justinmolla8276
    @justinmolla8276 2 года назад

    huu wimbo umenifanya nikumbke kanisani dah ubarikiwe dada angu na mungu akufikishe bali tena juuu zaidi

  • @dorisfadhil7158
    @dorisfadhil7158 5 лет назад

    Asantee sana dada yangu natasha mungu akupe neem ya ushind utafka unapopatak napenda san nyembo zako zina nivutia sana

  • @SILO2020
    @SILO2020 2 года назад

    Neema ya mungu ikisimama maishani mwangu mambo mabaya itatoka wapi , biashara kuanguka itoke wapi?

  • @philomenamwangwale2204
    @philomenamwangwale2204 6 лет назад +2

    Hallelujah Mungu azidi kukuinua
    Yesu atukuzwe kupitia wewe

  • @sangemeshack6104
    @sangemeshack6104 5 лет назад

    Ubalikiwe sana dada Natasha kwa nyimbo zako mzuri hujawahi niangusha asante sana

  • @bentaachieng4286
    @bentaachieng4286 6 лет назад +3

    Hallelujah nimeupata ufunguo ambao ni yesu

  • @roseleeds8298
    @roseleeds8298 6 лет назад +11

    jamani nilikuanausubiri kwa ham

  • @annamwamashitete7402
    @annamwamashitete7402 6 лет назад +4

    barikiwa

  • @emmanuelnaiman4228
    @emmanuelnaiman4228 4 года назад

    hakika huu wimbo ni bonge ya ujumbe na unatia moyo sanaaaaaa
    nimeusikiliza apa kila mtu anauliza nyimbo iyo nzuri ivyo ni ya nani?
    SURE JESUS IS MY KEY TO UNLOCK ANY LOCKED INTO MY LIFE.
    may GOD lift you up da NATASHA THE GREAT💛💚💙💜🤎✡✡✡✡✡✡✅✅✅✅✅✅✅🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢🟢 ANYONE listening with me here this 2019 before 2020

  • @catherinekigutu3606
    @catherinekigutu3606 6 лет назад +1

    Me nakuoenda kiukweli kbsa... MUNGU aendelee kukutumia

  • @mhinajohn1548
    @mhinajohn1548 5 лет назад

    Hakika na mimi nimeupata ufunguo shida madalaa vimeondoka asante Natasha

  • @devothamichael5595
    @devothamichael5595 5 лет назад

    Kazi nzuri nabarikiwa but ningemuona na Dada Bahati hapo ndio safi zaidi

  • @benigneirakoze9906
    @benigneirakoze9906 6 лет назад +2

    Nikweli ufunguo wetu ni yesu balikiwa sana my

  • @juliuslobulu2723
    @juliuslobulu2723 2 года назад

    Ubarikiwe Kwa uimbaji wako utafika mbali mungu na azidi kukutetea

  • @mimayasri7818
    @mimayasri7818 5 лет назад

    Naipenda sanaa hii nyimbo kwakweli kwa siku naweza kuangalia ata mala mne

  • @alicengimba5187
    @alicengimba5187 6 лет назад +2

    kweli kila jaribu linaufunguo wakufunguliaa

  • @joyamsy8925
    @joyamsy8925 5 лет назад

    mungu akubariki akulinde azidi kukupa nyota ya kuwaokoa kondoo wapya

  • @lilianobed
    @lilianobed 9 месяцев назад

    Dada upowap we mis u mumy nyimbo zako zatubariki mpenzi

  • @khanniebaraka6047
    @khanniebaraka6047 2 года назад +1

    Nimetoka tiktok

  • @eglamakuyaoman4148
    @eglamakuyaoman4148 3 года назад

    Ubarikiwe mtumishi wimbo wako ujumbe mzuri unitia nguvu

  • @marynkandi1058
    @marynkandi1058 2 года назад

    Hongera sana dada nimeupenda natamani kusikiliza muda wote

  • @eunace3019
    @eunace3019 6 лет назад

    audio ya wimbo hii ni nzuri dada tena huwa inanibariki sana, ila hii video sijaielewa bado endelea kumuomba MUNGU akuongoze namna utakapofanya videos nyingine, MUNGU AKUBARIKI