DAUDI NA KOMBEO - SDA SONGAMBELE CHOIR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 май 2022
  • Daudi official video by Songambele sda choir katika album mpya.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 278

  • @marcomikumo2195
    @marcomikumo2195 8 месяцев назад +6

    mimi kama mikumo kwa udhamini wa omega nimeipenda hii ngoma, mbarikiwe sana. kama umekubali kama mimi konga like hapa
    ❤💘

    • @JohnKisusi-tv1ns
      @JohnKisusi-tv1ns 2 месяца назад

      Ubarikiwe mwlimu nakukaribisha buhemba centeo

  • @dennisotwere5626
    @dennisotwere5626 Год назад +1

    Huo ni ujumbe uliyo hai.Asante sana wanasonga mbele choir.Karibu sana katika Makambi yetu,hapa Angaza SDA Kaptembwa Nakuru, Kenya

  • @mcmulu
    @mcmulu 2 дня назад

    Wimbo umekua mahubiri mazuri mnoo mbarikiwe sana songambele

  • @STEVEGONO-is6lb
    @STEVEGONO-is6lb Месяц назад

    My best Choir in Tz...may God bless you abundantly!

  • @Mwambubamusadauden
    @Mwambubamusadauden 8 дней назад

    Nakwambia huyu mtunzi wa huu wimbo nikiboko aisee, yaani wimbo unasikiliza, unarudia tena. Hakika huu ni wimbo mtunzi endelea kuandika nyimbo kama hizi nzuri za kushambulia. Hakika nabarikiwa sana

  • @MargaretNdege-j5e
    @MargaretNdege-j5e Месяц назад

    Amina.muonekano wenu tu! Ni mahubiri tosha.karibuni kwetu kenya

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Год назад +2

    Mbarkiwe.sana.watumishi.wa.Bwana.yesu.songa.mbele.ili.tukaketi.pamoja.na.mungu.haleluya

  • @baransananiyeadam2703
    @baransananiyeadam2703 Месяц назад

    Love from 🇧🇮,songambele

  • @KapetaSamsoni
    @KapetaSamsoni 9 месяцев назад +2

    Siku ya kwanza kusikiliza huuu wimbo jmn nilisikiliza Zaid ya mara 10 l think the Lord's chair is shaken by the song🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @irenengao1533
    @irenengao1533 8 месяцев назад +3

    I am into this with every fibre of my being. ❤️❤️❤️,your composer is talented.

  • @Gsrecords01
    @Gsrecords01 Год назад +1

    WOW SONG OF THE YEAR

  • @user-zr9mu2je9c
    @user-zr9mu2je9c 10 месяцев назад

    Ushindi wa Bwana inahitaji IMANI

  • @osogojr766
    @osogojr766 Год назад +1

    Kwa Mungu, Jitu kubwa linaporomoshwa kwa vitu/watu wadogo kwa namna ya kushangaza sana, kwa maana udogo au ukubwa wa mtu unajengwa ktk uhusiano wake na Mwenyezi Mungu.
    BARIKIWENI SANA
    🙏

  • @FaithChepchirchir-lg6uw
    @FaithChepchirchir-lg6uw 2 месяца назад

    Am much blessed,welcome to eldoret kenya me time🙏

  • @victorbilly8631
    @victorbilly8631 4 месяца назад

    This song blesses me I love the energy.
    Locked @KE 254

  • @sarahalphonce8484
    @sarahalphonce8484 Год назад +1

    nabarikiwa sana na mahubiri kwa njia ya uimbaji wenu....Mungu awainue hata viwango vya juu sana mkimtumikia vema

  • @wendyjemutai9066
    @wendyjemutai9066 Год назад +4

    I love this, blessings ❤️ from the united Arab Emirates 😍

  • @elphusmasongo1749
    @elphusmasongo1749 2 года назад +2

    Nabarikiwa na huu wimbo kwa hakika.
    Tunawangoja huku Ziwani, Mombasa. God bless you children of God.

  • @barack1729
    @barack1729 2 года назад +1

    Ebana ee huu wimbo mtam sanaaa, ujumbe mzr saut nzr Mungu awabariki sana

  • @monicamwasalemba6819
    @monicamwasalemba6819 2 года назад

    hizi ndo nyimbo za kumtukuza MUNGU, yaani ni bonge la wimbo MUNGU Awabariki watu wa Mungu, msalimie mtunzi MUNGU aendelee kumtumia

  • @user-uw1iu3pk7l
    @user-uw1iu3pk7l Год назад

    Jiwe moja tu, halikuhitajika lingine, usihangaike kutafuta mawe mengi kwa ajili ya adui zako, jiwe moja tu kwa imani adui hatoboi, ni yes aliyempa daudi ushindi, jaribu nawe utaona ushindi. Songambele mmenibariki sana, mungu awabariki sana.

  • @user-jz8gi3xh4u
    @user-jz8gi3xh4u Год назад +1

    I'm an Adventist every Friday I must listen to the song I just love your singing keep it up and be blessed,, ❤️❤️ chorus wuuuweeh ❤🎉

  • @janetmbaheze4450
    @janetmbaheze4450 2 года назад +1

    Ahsanteni. Nawaombea mzidi ku Songambele watu wangu. God bless you from Kenya-

  • @kadodochagama256
    @kadodochagama256 Год назад

    Wimbo huu jamani unaimarisha sana imani yangu..Ushindi wa Bwana hauhitaji dirii,chapeo wala upanga..Imani pekee..Bwana awabariki sana

  • @kadodochagama256
    @kadodochagama256 Год назад

    Bwana aendelee kuwainua..

  • @elijahowino1627
    @elijahowino1627 Год назад +2

    This song is a blessing to my soul. I thank God for you and pray that God continue lifting in the ministry.
    Elijah - US Florida

  • @bruceodhiambo844
    @bruceodhiambo844 2 года назад +1

    This is real and blessing...huku Kenya iletimu ingekua inakanyaga hapo mbele

  • @user-ij4nv6mi9i
    @user-ij4nv6mi9i Год назад

    Huu wimbo umenibariki sanaa

  • @fadhilingumbao15
    @fadhilingumbao15 Год назад +1

    mbarikiwe wapendwa kwa wimbo huu wenye ujumbe mzito mno.

  • @mecryjerusha4720
    @mecryjerusha4720 Год назад

    Amen amen amen amen amen mungu awabariki wapendwa katika kristo yesu Kwa nyimbo nzuri sakusifu bwana yasu kristo mubarikiwe wapendwa

  • @KessaKarukalange-jt3ho
    @KessaKarukalange-jt3ho Год назад

    Jamani huu wimbo unanibariki sana

  • @LimdaMaliva-yl7pv
    @LimdaMaliva-yl7pv Год назад

    Huwa sichoki kuwasikiza mpaka wanangu wanawapenda mnoooo, hongereni Kwa uinjilishaji nabarikiwa mnooooo

  • @geraldogutu
    @geraldogutu Год назад +4

    Been putting it on repeat ever since I listened for the first time.

  • @rebekajackson7255
    @rebekajackson7255 2 года назад +1

    Mbarikiwe Sana mko vizuri Sana haleruyaaa.

  • @HASSANLameck
    @HASSANLameck Год назад +1

    Pongezi kwenu songambele

  • @robatrobat-oe3nd
    @robatrobat-oe3nd Год назад

    Amen kwa wimbo mzuri utiao moyo kwa safari ya imani iliyojaa dhoruba

  • @essahsaimonmwalwega6097
    @essahsaimonmwalwega6097 Год назад

    Mungu umbariki mwalimu wa kwaya hii na wanakwaya wote....mnajituma sana....Yesu awatunze na kuwaongeza miaka mingi..

  • @editherkigabo9541
    @editherkigabo9541 Год назад

    Jamn nimefurahi Mimi nakosa hata Cha kuandika hizi ndo sabato nazosikilizaga Mimi jaman na siku moja nitakuwa msababto naipenda Sana🙏🙏🙏🙏

    • @thomaskateti3549
      @thomaskateti3549 Год назад

      Ubarikiwe sana, mungu akupiganie karibu tusali wote sabato

  • @user-ji5pb8ro4r
    @user-ji5pb8ro4r 8 месяцев назад

    Kazi ya mungu inaenda Amin jamani😂😂😂

  • @mamamaga346
    @mamamaga346 Год назад

    Nyie watu wangu mbarikiwe maana mmenifanya niwe na furaha na kunipa moyo na kusonga mbele Kwa Imani karibu I Tena majengo Moshi mwende mbali nawapenda saaana nyieee

  • @ziwanisdachoirmombasa
    @ziwanisdachoirmombasa 2 года назад

    Aminaa wapendwa

  • @betterlifetv9812
    @betterlifetv9812 2 года назад

    Hii kwaya inanibariki Sana jumbe nzuri sauti zimeshiba Bwana awainue mdumu katika Imani na kuhudumu zaidi na zaidi

  • @rademaadema7595
    @rademaadema7595 Год назад

    Asante kwa ku in ua Imani yangu na uimbaji wenu nzuri sana nawapenda sana kutoka canada

  • @aminaidrisa5723
    @aminaidrisa5723 Год назад +2

    Naupenda sanaaa huu wimbo mungu awabariki sanaaa

  • @user-rt7kx6lk7y
    @user-rt7kx6lk7y 5 месяцев назад

    This is my song ever

  • @joeorwa3359
    @joeorwa3359 2 года назад +1

    Powerful barikiweni Sana ujumbe lenye nguvu sana

  • @user-zk2qh8qn5v
    @user-zk2qh8qn5v Год назад

    Mungu na azidi kuimarisha ndani yenu huduma hii ya Utume wa kuinjisha kwa njia hii ya uimbani injili iaonge mbele

  • @joshuamayakaphilosopher2204
    @joshuamayakaphilosopher2204 Год назад +1

    Wimbo mtamu kweli. Huyu ni mtunzi hodari kabisa

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 2 года назад +1

    Mbarikiwe sana...
    Wimbo mzuri mmeutendea aki

  • @AshaKiduo-yw4jn
    @AshaKiduo-yw4jn Год назад

    Jamn mbarikiwa nimebarikiwa kupitia huu wimbo❤❤❤❤❤❤❤.

  • @NeemaMatiku-ne4zx
    @NeemaMatiku-ne4zx 9 месяцев назад

    Mnaimba vizur jamn

  • @azaelnyamweya3979
    @azaelnyamweya3979 Месяц назад

    What a song may u b blessed tooo

  • @PrincessSally777
    @PrincessSally777 Год назад +1

    A wonderful song….my favorite.I love you Jesus…

  • @janethexavery9405
    @janethexavery9405 Год назад

    Apo mnapoimba # goliat tiiii!! Kuna mbaba anazamia apo mwee ananibarik sanaaa!! Na huyo kaka anae zungusha haaa!!! Mbarikiwe saana!! Nawapenda mno!

  • @opiyobryan2436
    @opiyobryan2436 7 месяцев назад

    wooow thia is great....

  • @robertwilliam9659
    @robertwilliam9659 9 месяцев назад

    wimbo huu umenipa tumain mara nying nimevuka sehem ngum 🙏🙏🙏

  • @jakee2041
    @jakee2041 2 года назад

    Ameeen. God be Glorified. just one STONE who is .JESUS to kill. .an enemy.

  • @godfreykinogo
    @godfreykinogo Год назад

    Nabarikiwa kwa wimbo mtam

  • @jemimaawuor4145
    @jemimaawuor4145 Год назад

    Amina!

  • @jescamirisho4107
    @jescamirisho4107 Год назад

    Mungu aendelee kuwainua. Mwalimu Lilian Kennedy nakuona katika ubora wako

  • @winnieayuma5810
    @winnieayuma5810 2 года назад +6

    Such an awesome song ''mwishow Goliath ti''.The man dodging the imaginary stone (2;08) has made me rewatch that part 1000 times😆.

  • @janetkemunto4543
    @janetkemunto4543 2 года назад

    Amen. Nawapenda sana songambele .Kenya huwa tunabarikiwa na nyimbo zenu .mungu awabariki

  • @lynnmoraa5996
    @lynnmoraa5996 Год назад

    I love this. Jiwe ni moja tu. Halleluja

  • @jacklynejackie4226
    @jacklynejackie4226 10 месяцев назад

    To be honest you since I knew you you keep on blessing me everyday
    ..l

  • @GetrudeAmos-ec4oe
    @GetrudeAmos-ec4oe Год назад

    Jamani mtunzi wa huu ni hatariiii

  • @obadiansato1898
    @obadiansato1898 2 года назад +1

    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri nabarikiwa sana

  • @FathiaShehoza-gs2ys
    @FathiaShehoza-gs2ys Год назад

    Mwenyezi mungu awatangulie katika kazi yanu Amiin

  • @LeonardWambi-vl7zy
    @LeonardWambi-vl7zy Год назад

    Songeni mbele zaidi nyimbo zenu zinanibariki

  • @Jkuni195
    @Jkuni195 2 года назад +1

    Have been eagerly waiting for the two volumes, Good job to songambele, God bless you

  • @nelsononyango9600
    @nelsononyango9600 Год назад +2

    Honestly a wonderful presentation that sometimes I keep repeating. Ur always at par in this God's field.

  • @sarahbochaberi5335
    @sarahbochaberi5335 2 года назад

    Jiwe moja tu mtandike adui kimya. Blessings Galole

  • @rachelwilson5289
    @rachelwilson5289 Год назад

    Mungu atukuzwe. Mnaikosha roho Yangu

  • @richardisack6289
    @richardisack6289 2 года назад +1

    Good song, I like this song.

  • @user-we9er4rz2k
    @user-we9er4rz2k 9 месяцев назад

    Mngu awabaliki san ❤❤❤❤❤

  • @josephmissana2393
    @josephmissana2393 Год назад +1

    Amen huu wimbo unanibariki sana, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @RestutaJulius-mu4kj
    @RestutaJulius-mu4kj 11 месяцев назад

    Mbarikiwe sana watu wa mungu kwawimbo mzuri daudi nakombeo

  • @charlesonyancha4520
    @charlesonyancha4520 Год назад

    Amen amen amen

  • @allykitururu8685
    @allykitururu8685 8 месяцев назад

    Barikiweni Sana kwa kazi nzuri ya kumtumikia MUNGU

  • @janetmanyansa7385
    @janetmanyansa7385 Год назад

    You are so amazing,serious with your singing,mna mvuto mkubwa Zaidi,,

  • @shadrack9596
    @shadrack9596 Год назад +4

    Good song. May God's name be praised for the heavenly voices

  • @RehemaMbwambo-yc5ii
    @RehemaMbwambo-yc5ii 6 месяцев назад

    Watu wa mungu Naomba no ya mwenyekiti wa kwaya

  • @margdalyneowino8711
    @margdalyneowino8711 3 месяца назад

    I really like this song. Inanijenga sana. Nyasaye ogwedhu jokamaa

  • @user-zk2qh8qn5v
    @user-zk2qh8qn5v Год назад

    Mbarikiwe watumishi

  • @kenway273
    @kenway273 Год назад

    Sjui nsemejeee nawapendaaa jmn mnanbarki sanaaaaaaa mbarikiweee

  • @lillacquedavismabeba6490
    @lillacquedavismabeba6490 Год назад +2

    Be blessed, a very nice song full of good message

  • @user-cs3bz5
    @user-cs3bz5 5 месяцев назад

    mungu kweli no mwema,asifiwe milele

  • @ruthombuki2038
    @ruthombuki2038 2 года назад +2

    Ameen ! The only stone to make me awinner in this life and life to come, is to have faith jesus christ

  • @melejisekeyan9492
    @melejisekeyan9492 Год назад

    Barikiwa sana Songambele na msonge mbele zaidi

  • @emanueljoseph3887
    @emanueljoseph3887 2 года назад

    Yahaniiii nahisiiii kupaaa kwa wimbo mtamuuuuuuu sauti tamuuuuu barkiweniiiiii

  • @neemajacob7368
    @neemajacob7368 Год назад

    Mungu awabariki saana azidi kuwainua katika uimbaji wenu

  • @FrednantOmbuya-nb5wc
    @FrednantOmbuya-nb5wc Год назад

    Wonderful song of praising God. Tamu wahu. Nimeupenda

  • @barantebirahi6165
    @barantebirahi6165 Год назад

    Wimbo mzuri sana songa mbele kama lilivyo jina la kwaya yenu, ninawaombea

  • @eliasgati5405
    @eliasgati5405 Год назад +2

    I remember your visit to Mathare North you are such a wonderful group God 🙏🙏 bless Songambere,

  • @marymbwambo6595
    @marymbwambo6595 2 года назад

    Ameeen kwakweli jina la bwana limeinuliwa sana huku Monduli kwenye sabato ya mtaa kupitia uimbaji wenu

  • @susanmbaya
    @susanmbaya 8 дней назад

    God bless u nice songs

  • @user-jl4fy6bc1i
    @user-jl4fy6bc1i 11 месяцев назад

    For really Your are great solders of God your songs have great message

  • @samsonkajori2081
    @samsonkajori2081 Год назад

    Wimbo huu hunisisimua sana,mbarikiwe watumishi

  • @juliusngumu4158
    @juliusngumu4158 2 года назад +1

    congratulation for ua touch songs,ur joyous wen singing courageous nice uniforms

  • @walterayany1915
    @walterayany1915 2 года назад

    👏👏👏👏👏👏jewe moja tu,ambaye ni Yesu pekee🙏🙏🙏

    • @justinmarwa5822
      @justinmarwa5822 2 года назад

      Wimbo mzur Mungu awabaliki mwende mbele zaidi amen

  • @janetongaki6146
    @janetongaki6146 Год назад

    Amen and Amen