#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии •

  • @RamadhaniNabli
    @RamadhaniNabli 6 часов назад +1

    najiunganisha na mazabau yk bb mungu ulie mbinguni nakuwomba utukomboe na matatizo tuliyo nayo naomba umkomboe mwanangu na changamoto azokuwa nazo.ziteketee kwajina la yesuu humpe afya jemaa kilasiku hiitwayo Leo kuwa nasi baba wambingun najuwa kwako Akuna.linalo shindikana.ameena

  • @NaiWaziri
    @NaiWaziri 19 часов назад +2

    Najiungamanisha namadhabau opareshen yakomboa familia mungu naomba unifungue mm pamoja nafamilia yangu pia naomba uniponye magonjwa

  • @WinfridaJonas
    @WinfridaJonas 32 минуты назад +1

    Najiungamanisha na oparesheni komboa familia yangu Bab mam Zang vile vile eee mngunibalik niweze kuza na Mimi watoo fungu milango yang fungua kizazi changu fungus tumbo rang nami nikaponyw nikaponywe Kwa mkon wako mref katika huu mwak NAMI nikaze niwe Kam wengine naomb hayo Kwa Iman naamin baba sikio rak si zito nikatik Jin ra yes Amina 🥲😭🤲🤲

  • @DavenMpota
    @DavenMpota 19 часов назад +1

    Najiungamanisha na Oparesheni komboa familia,Mungu wa mbinguni aikomboe familia yangu na ndoa yangu,Mungu aingilie kati na kunionesha majibu ya maswali mengi na ashughulike na mimi amen

    • @rukiabrown-o8w
      @rukiabrown-o8w 14 часов назад

      Nimejiunganisha na mazabahu ya hiii

    • @rukiabrown-o8w
      @rukiabrown-o8w 14 часов назад

      Mungu Leo nataka iwe siku yangu Leo komboa familia yangu

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia upako huu kabwa mwezi huishe nipokee kumiliki na kutawala kiroho ki huchumi na wanangu shuleni wafahulu vizuri sana kwa jina la yesu aliye hai

  • @EmmanuelMsigwa
    @EmmanuelMsigwa 13 часов назад +1

    Aminaaaaa

  • @QueenNdity
    @QueenNdity 18 часов назад

    Mungu naomba uniondolee roho ya mateso niweze kupata pesa na kulipa madeni yangu katika jina la yesu na damu ya yesu🙏

  • @MariamuandarsonKipeta
    @MariamuandarsonKipeta 18 часов назад +1

    Mungu kumbuka uchumi wangu

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipate kuzidiwa na watedja kwenye biashara yangu na mume wangu apokee kazi musuri sana kwa jina la yesu aliye hai

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Amina nipokee watedja wengi kwenye biashara yangu kwa jina la yesu aliye hai

  • @FatumaShabanally
    @FatumaShabanally 13 часов назад

    Nakuomba mungu kupitia komboa familia ya leo watoto wangu wapone mapeo na maradhi ya kutupiwa mume wangu apone uchumi wa familia yangu ufunguke / nyota yangu ifunguke nikienda kazini nizidiwe na wateja/chuma ulete iondoke kwa jina la yesu/ pesa zangu zitulie/watoto wangu wafunguke akiri zao/watto wangu wasome nakufauru masomo yao/

  • @FatumaShabanally
    @FatumaShabanally 13 часов назад

    Naomba nikienda kazininizidiwe na wateja katika jina la yesu ameen

  • @FatumaShabanally
    @FatumaShabanally 13 часов назад

    Namshukru mungu kwa kunitendea mambo makuu siku hizi napata pesa katika jina la yesu

  • @JoyceJohn199
    @JoyceJohn199 9 часов назад

    Najiungamanisha namadhabau opaesheni ya komboa family yangu mungu naomba unifungue mimi na watoto wangu na mchumba wangu Kevin na wazazi wangu tukuwe kiroho na kimwili tuwe na Afinya njema mm na family yangu

  • @QueenNdity
    @QueenNdity 18 часов назад

    Mungu wangu ninaomba umkomboe mwanangu nargis umuondoshee roho ya mateso,roho ya magonjwa anayopitia umponye viungo vyake aweze kupona umfunike na damu ya yesu amen 🙏

  • @UdahGama
    @UdahGama 11 часов назад

    Mungu naomba kila madhabahu zinazonilidisha nyuma ziniachie kwajina la yesu

  • @JoyceJohn199
    @JoyceJohn199 9 часов назад

    Napokea kibali cha ndoa yangu kwa jina la yesu amen nikiwa Omani 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿 nikilundi Tanzania 🇹🇿 niolewe kilaisi 😢💍👰‍♂️👨‍⚖️

  • @SophiaMganga
    @SophiaMganga 19 часов назад

    Mungu naomba unitendee juu ya kua na ndoa yangu iweya ngu pekee yangu na si mwingine

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipokee watedja wengi kwenye biashara yangu kwa jina la yesu aliye hai

  • @lucyiaangetile1697
    @lucyiaangetile1697 19 часов назад

    Naomba Mungu unikumbuke katika hizi ajira, na mtihani wa jumamosi naomba Mungu nisaidie nifanikiwe🙏🙏

  • @CosmasJames-h8v
    @CosmasJames-h8v 15 часов назад

    Najiunganisha na opareshen komboa familia mungu niniondolee watu wasio sahii kwangu nakila kisichosahii kiondoke kwangu amina

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Nitapata kijana wa Mkataba wa pikipiki kuanzia Sasa Amin amin

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipokee kumiliki na kutawala kiroho ki huchumi kwa jina la yesu aliye hai

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Naomba Leo hii nikapokee na dame ikaongezeke amin

  • @Sangwanyembocladisse
    @Sangwanyembocladisse 18 часов назад +1

    Mungu wamtume mwanposa nisaidie nipate mimba yabamapasa banaumetu napenda kwamaombi yaleo nami nifanyikiwe napenda imbécile nibebe mimba

  • @HamisahJophu
    @HamisahJophu 18 часов назад

    Najiungamanisha opareshen komboa familia,naomba mungu aikomboe familia yangu

  • @CosmasJames-h8v
    @CosmasJames-h8v 14 часов назад

    Mungu wambinguni kokote waliko zika jina langu nalitoke chini junalangu liwe juu sana kwajina la yesu Amina

  • @MariamuandarsonKipeta
    @MariamuandarsonKipeta 19 часов назад +1

    Najiunganamish nakomboa familia yangu

  • @ApsaMwakapesa
    @ApsaMwakapesa 8 часов назад

    Naomba Mungu Wa madhabahu hii anipe mteja sahihi WA kununua kiwanja changu

  • @WinnieDanie
    @WinnieDanie 18 часов назад

    Mungu najiungamanisha na operation kukomboa familiar yangu kwajina layesu

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Naamini nitaamka nikiwa nimeona uvimbe upungufu wa damu hakuna teeeerna amin

  • @ZulfaShabani-n7p
    @ZulfaShabani-n7p 19 часов назад

    Naomba umkomboo mwanaumee wanguu ananizarauu sana na kunitukana baba👏

  • @anithamgina3365
    @anithamgina3365 16 часов назад

    Mungu naomba kupitia maombi haya nipone maradhi na nakataa hizi sauti zinzzpzisikia na pia roho ya wasisi initoke nakataa roho yamauti

  • @UdahGama
    @UdahGama 6 часов назад

    Eee mungu naomba leila apate pasport kilahisi kabisa amen🙏

  • @nduwimanawarda
    @nduwimanawarda 19 часов назад

    Najiunganisha namazabawo ya yesu Cristo anifunguwe anivike nguvu zake anigeuze moto anivike holly Superty yake nimutumikiye anipe maco yapili naufahamu waroho aniangaze duniyani nabinguni 😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @UdahGama
    @UdahGama 11 часов назад

    Kupitia komboa familia ya leo naomba mungu mtendee leila afanikiwa kupata passport

  • @noellapaul-eo5rp
    @noellapaul-eo5rp 10 часов назад

    Mungu wa Mwamposa Fungua tumbo langu nipokee watoto wazuri makike na wakiumme kabla mwezi haujaisha

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Naomba mungu nyangasa anijali na kunipenda anipe Kila nitakcho

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Nakushukuru mungu kwa kunisaidia nimejifunguwa salama

  • @nashmollel587
    @nashmollel587 18 часов назад

    Josefu apokee kazi nzuri yenye mshahara mkubwa

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Julia's nyangasa naomba mungu unisaidie arudi na anisikilizeee na kunijali wewe ndio mwaminifu

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Eeee yesu naomba unitendee niweze kucheza mchezo na nipe wepesi wa kupata pesa na kuaminika kukubalika

  • @bettygichana3207
    @bettygichana3207 7 часов назад

    Naomba mungu anifungue kutoka madeni

  • @nashmollel587
    @nashmollel587 19 часов назад

    Nakomboa uchumi wangu!!pesa zinikimbilie mimi na familia yangu

  • @noellapaul-eo5rp
    @noellapaul-eo5rp 10 часов назад

    Nataka Mungu umkomboe Baba yangu aache kunywa pombe na ajali familia yake na ampende mama yangu😢

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 16 часов назад

    Namuunganisha mzazi mwenzangu popote alipo asitulie muda huu akumbuke watoto wake na mimi pia

  • @NaiWaziri
    @NaiWaziri 19 часов назад

    Najiungamanisha namadhabau opareshen komboa familia napokea kufungiliwa napokea uponyaji napokea kufungiliwa vifungo vyote nilivyofungwa kwajina LA yesu

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Nakuomba mungu unijibu Leo na uniokowe

  • @AsmaSaimon
    @AsmaSaimon 14 часов назад

    Mungu kupitia madhabahu hii nikakobolewe kutoka hapa nilipo nakutimiza ndoto zangu

  • @EmmyMkenza
    @EmmyMkenza 17 часов назад

    Mungu nitendee nipate shuhuda kabla ya mwezi kisha

  • @bettygichana3207
    @bettygichana3207 7 часов назад

    Mguu wangu wa kulia umefura kwenye got wauma sana

  • @DaunglasMwaniki
    @DaunglasMwaniki 16 часов назад

    Amen

  • @HamisiSanga-n9c
    @HamisiSanga-n9c 18 часов назад

    Naomba mungu kupitia mazabahu yako mwanangu amateur uponyaji

  • @bettygichana3207
    @bettygichana3207 7 часов назад

    Na wale wote ninawadai wanilipe

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 16 часов назад

    Najiunganisha na madhabahu ya inuka uangaze mwezi wa 3 ifikapo nihamie kwenye nyumba yangu

  • @marthaphiri5995
    @marthaphiri5995 2 часа назад

    Najiunganisha na madhabahu

  • @KilotildaJustineKilotildaJusti
    @KilotildaJustineKilotildaJusti 16 часов назад

    Mungu ni mwem

  • @LeticiaShoka-me2wq
    @LeticiaShoka-me2wq 15 часов назад

    Najiunganisha na operation komboa familia

  • @JohnCrisantossambili
    @JohnCrisantossambili 17 часов назад

    ❤❤Eu perdi a live,hoje como meu primeiro dia.🎉🎉🎉

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Sadaka hii ikaniponye na ikafunguwe Kila vifungo kwangu na kwa mume wangu na ukamguse Julia's nyangasa popote alipo anikumbuke na kunijali kwani nilikutana naye kwako na wewe ndiye uliyenipa nakuomba ukamguse

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Niponye uvimbe wa miguu na niweze kupokea uzazi salama

  • @LeticiaShoka-me2wq
    @LeticiaShoka-me2wq 15 часов назад

    Najiunganisha na maombi ya usiku huu wa leo

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Funguwa kipatto cha mume wangu funguwa kipatto cha biashara nipe kupedwa na kukubalika kuaminika

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Naomba utupe afya Mimi na mwanangu niliyejifunguwa na uwape akili kupedwa na walimu wao wote

  • @JohnCrisantossambili
    @JohnCrisantossambili 17 часов назад

    Eu Queria pedir que amanhã temos jogo e pra nós ganharmos Namicopo🎉 4-0 miúdos

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 16 часов назад

    Najiunganisha sasa ivi nataka kinachotembea mwilini mwangu kitoke

  • @nashmollel587
    @nashmollel587 18 часов назад

    Napokea visa

  • @Rehema-r4j
    @Rehema-r4j 14 часов назад

    Najiungamanisha na oparesheni komboa familia naomba mungu anifungulie na kunikomboa Mimi pamoja na familia yangu katika kila Jambo na mipango mibaya iliyopangwa na maadui nawakemea Kwa jina la yesu washindwe na walegee

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipokee upako waku miliki kiroho ki huchumi ki afia kwa jina la yesu aliye hai

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipokee watedja wengi kwenye biashara yangu kwa jina la yesu aliye hai

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Nakushukuru mungu kwa kunisaidia nimejifunguwa salama

  • @samiraraphael1802
    @samiraraphael1802 18 часов назад

    Eeee yesu naomba unitendee niweze kucheza mchezo na nipe wepesi wa kupata pesa na kuaminika kukubalika

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipokee upako waku miliki kiroho ki huchumi ki afia kwa jina la yesu aliye hai

  • @GraceKavuo
    @GraceKavuo 18 часов назад

    Mungu wangu kupitia mazabahu hiii nipokee watedja wengi kwenye biashara yangu kwa jina la yesu aliye hai