Wallah waslam mmekua nini lakini maulidi haramu katika dini yetu sasa kila kitu kinakua namauli sherehe ya mtume kuzaliwa mnafanya maulidi mtoto akizalia maulidi na harusi pia maulidi laaaaaaaa izi bida waslimu mntaca lini Tena kwenye hiyi siku ya leo ya arafa laaaa wallah ni hatari waslimu inabidi tukerebeke
Bwana Yesu Asifiwe Kabisa.. HALLELUJAH Amen Amen
Amena amena Sana njomana nampenda Sana dangote baba Lao eti tumsifu Yesu Kristo amena Sana baba tifa
Wow, so pretty!
Chibu wetu izi siku iko na furaha sana 😂😂 kila la kheir Esma
Congratulations 🎉👏 dada Judah
Diamond sio mtu wa kumpa mtu Wasia kuusu ndoa maana yeye mwenyewe haijui ndoa napia yaonesha haiwezi ndio Mana yuwaiogopa..
But pia wewe unaweza sema mambo ya ndoa.Jameni nicheke nilie
Subuhanallah yesu kaa alikuwa arusi ya weeki Yesu he is one of messenger of Allah nabi Issa and i love him so much us savant of Allah
Mansha Allah
Safi sana mond.yan utasema ww ndo unaoa.mashalaah umechngamka babalao.ALAH AKUWEKE.ILA MOND UNA VTUKO UMECHACHUKA🤣🤣🤣🤣🤣umeongea POINT
Sio kwa mbwembwe izo 🤣🤣utazani yy ndie bwana harusi
mashaallah esma
USIA gani ,
Toba jamani
kweli
Harusi lazma uchangamke sio ukae km upo msiban bwna,Safi chibu
Yani diamond 😜🥵🥵🥵🥵🥰🥰🥰
I do like how Tanzania 🇹🇿 country people’s us to respect the others religion 👏🏽🙏🏽 aslamaleku Bwana yenu asifiwe 🙏🏽👏🏽
Hii si dini ya kiisilamu
Ndoa iwe yaher kwenu
Gosh what is happening here..
Subhna Allah bwana yesu asifiwe
Asifiwe na Asifiwe hapo sasa
Ako na ball ama?
Bibi harusi si hufanya haya jamani hizi harusi za siku hizi balaa
♥️♥️♥️♥️
Mmm
Mondi kapendeza utafikiri yeye ndio arusi
We call that protocols 🧏🏾♂️to respect others religion 👂🏾
Mwenzangu kumbe na ww umeon nikajua mm tu kwa hapo kapendeza kweli
Nikazhezhe tu ya Mondi 🙈🙈🙈🙈
Mama G 🔥 🔥 dangote 😂😂😂
Dada yetu kapendeza sana
Duuh sasa atampa wosia gn jmn wakati yy mwenyew ataki ndoa
Umeona eeeh 😂😂ni shida
Piga kelele kwa kuolewa
Lini hii?
Mwaka juzi
Leo leo
Leo wapo live nenda you tube kaone
@@rukiamsomi6869 🤣🤣🤣🤣ss mtu anaona af anauliza ndomn mm nikasema mwaka juz
DIAMOND huwa wanipunga na hizo mbwembwe zako🤣🤣🤣
😂😂😂 had Raha aniii
Mondi mehemehe 🤣 🤣🤣
Mke wa pili ahaaaaaaaaaa,,,ndoa hoyeeeeee,,,mke wa pili oyee
Wa 3
Mke wa 3 sio wa 2.🤣
Watatu chezea ndoa wewe hata wa 4 utakubali tu chezea kukaa nyumban🤣
Wa 4 mbon pili?
kwani esma anaolewa mara ngapi ????
Mh
Kwa uislamu mwanamke haneni kama kuna wanaume.Ama ilibadilika juu mimi mkristo
Am worried abt dat talking to much
Wanao shangaa momdi kumtaja YESU achen ubaguzi apo Kuna watu mchanganyiko arusi aiangarii dini😏😏😏
Kweri
😂😂😂😂😂😂
Yahaya unaishi wapi😁😁😁😁 yajayo yanafurahisha. KWA hiyo hii ni sendoff au harusi maana sijaelewa
Hii ni maulid, ndoa walishafunga mda kidogo kesho ni reception
Simbaaa baba lao
Bwana yesu asifiwe kwenye harus ya kiislamu 🙄🙄🙄
Ndo wasafi hao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅Mbavu zag
🤣🤣🤣🤣
Kwan wakristo awawez kuhudhulia acha fikra potofu
Thy have Christian frnds that's how thy recognize them. We are one in the eyes of God.
Pili mnamtaja mtume kwenye ufuska wenu
Yani kwa kweli mavazi haya Naseeb unavaa kama Muislam kamili ila wakati ukienda sehemu zengine mbne unavaa kijinga mpaka maherini SubhanahAllah
Kwenye maulidi bwana yesu imekuaje hapo
Hapo hawako waislam tu, kuna mchanganyiko wa madhehebu mbalimbali, yuko Sawa.
Wallah waslam mmekua nini lakini maulidi haramu katika dini yetu sasa kila kitu kinakua namauli sherehe ya mtume kuzaliwa mnafanya maulidi mtoto akizalia maulidi na harusi pia maulidi laaaaaaaa izi bida waslimu mntaca lini
Tena kwenye hiyi siku ya leo ya arafa laaaa wallah ni hatari waslimu inabidi tukerebeke
😂😂😂😂😂Bwana yesu asifiw kwenye harus ya kiislmu🤪😜🙄😱😅🤣
Asifiwe sana
Kwani hapo hakuna wakilisto we nae
Mhm mtihan.kwan ASLKM haitoshi? Coz hata hao wakristo wanaijua ASLKM
Acha kua shabiki wa dini ivyo kwani wanapo taamuka ivyo wenyewe wanajua Kuna wakristu pia
@Change Mindset 😀😀😀👌👌👌 mpe huyo tanzania hatuna ubaguzi kama huwo
She looks PG
Kwani hapo ni kanisani au munazalilisha dini yetu tukufu
Bwana Yesu apewe utukufu wote
pimbi kweli ww... dini tukufu unaijua... shubaamiit
Yudaaaaa
Mhu
Mama dangote
Uyo baba kafata hela mmh 🙄
Huyu mume mbona tajiri sana,tena sana.Mungu kamjalia hio🌞🙏.
@@theceefamily7764 we ukajuaje🤣
ashura ussein ashura ussein baba hyo kachafuka hela kila Mahali
@@ashuraussein7582 kafata hela kwani kaoa benk?
Acha kujidhalilisha wewe
@@queenseptember4640 kaowa familia yenye pesa😜
Upuzi mtupu
Kwani umeambiwa lazima u commenti
Asante kwa sapot
Yesu tena
🤣🤣🤣🤣
unaogapa nn sasa wakt Issa (yesu) ni nabii wa ALLAH
ndy Yesu apewe cfa... hutaki pita iv
WHOZU NAE AFUNGUKA KUHUSU KUMFUMANIA TUNDA 💥🔥💥
LINK Hii hapa 👇👇
ruclips.net/video/m915JRu4XCs/видео.html
Bwana yesu asifiwe iyo kwio 😳😳😳🤣uyo n alizan yupo kanisani
Ndio,Bwana Yesu apewe utukufu wote Ameen
Huenda amesilimu bado hajazoea uislam
ndy tn asifiwe sn...
Bwana Yesu tn apewe cfa mno... hutaki kunya tikiti
Hii familia hua haina akili harus yakiislam bwanayesu katoka.wap
We choko kwani watu wote kwahi alusi ni wa Islam ovyooooo Kanye uko
@@princess-uf5ux utawajua mahayawan
Stupid
Bwana Yesu apewe utukufu wote
Sababu walioalikwa wana dini tofauti
Tumsifu yesu nasibu mbona sielewi
Kwan kwenye dini ya kiislam hamtambui YESU? (ISSA) achen kujitoa ufaham na ubaguzi usio na maana
Waisilam wa buza dio hawamjui Yesu ila waharabu wanamfaha sana tuu
Mbona nyie wabaguzii sana kwani hapo wote waislamu
utaelewa tu
@@konsolatatutu423 cjui wanakwama wap