Hadithi nzuri sana,ila ninasikitika,wawili Hawa fauka ya kuwa ni wazawa wa mwambao,ila wanshindwa nyoosha kiswahili.Sasa nabaki kushika tama natamauka.Wakilemewa ,itakuwaje sisi wabara wa maneno ya kuunga unga😎,tupo msibani,KISWAHILI tayari kimevishwa sanda,haya sikilizeni niwasimulie japo kidogo,sasa hapo ni Mombasa,nikivuka mpaka,🇹🇿nawapata wakitia sarufi dosari kimaksudi,maneno kama "wimbo" hayapo tena,kwao ni "nyimbo" "matokeo" "utai... " wakati shuleni tulifundwa "utaya..".Lafudhi ndo mwanzo utakinai...Waloachwa na hazina ya lugha ya kiswahili,ni waZanzibari tu.Nao pia hawachukui muda wao kuwatuza,waandishi waliobebea katika uandishi wa fasihi.Unabisha,nipe tuzo moja tu alopewa SAID A MOHAMMED,chini ya miaka mitano iliyopita, ahh samahani,mitano ni michache ,nitajie kwa miaka kumi.....Hamna sindio?,sasa hapa,Afrika Mashariki Nuru ya lugha inawaka ndio ila ni kwa hali ya uhafifu.Tusipoungana,kuilinda lugha yetu,Wallahi nawaambieni.Kiswahili kitakuwa so KISWAHILI tena,bali lugha iliyokuwepo muda fulani.
I love this show, imenisaidia sana hata rafiki zangu hukaa wakaniambia ni translate to English
but its short ongezeni mda
Hadithi nzuri sana,ila ninasikitika,wawili Hawa fauka ya kuwa ni wazawa wa mwambao,ila wanshindwa nyoosha kiswahili.Sasa nabaki kushika tama natamauka.Wakilemewa ,itakuwaje sisi wabara wa maneno ya kuunga unga😎,tupo msibani,KISWAHILI tayari kimevishwa sanda,haya sikilizeni niwasimulie japo kidogo,sasa hapo ni Mombasa,nikivuka mpaka,🇹🇿nawapata wakitia sarufi dosari kimaksudi,maneno kama "wimbo" hayapo tena,kwao ni "nyimbo" "matokeo" "utai... " wakati shuleni tulifundwa "utaya..".Lafudhi ndo mwanzo utakinai...Waloachwa na hazina ya lugha ya kiswahili,ni waZanzibari tu.Nao pia hawachukui muda wao kuwatuza,waandishi waliobebea katika uandishi wa fasihi.Unabisha,nipe tuzo moja tu alopewa SAID A MOHAMMED,chini ya miaka mitano iliyopita, ahh samahani,mitano ni michache ,nitajie kwa miaka kumi.....Hamna sindio?,sasa hapa,Afrika Mashariki Nuru ya lugha inawaka ndio ila ni kwa hali ya uhafifu.Tusipoungana,kuilinda lugha yetu,Wallahi nawaambieni.Kiswahili kitakuwa so KISWAHILI tena,bali lugha iliyokuwepo muda fulani.
Nyc show, mapacha,tough mom hapendi ujinga, kanze always crack me ulong live
I love you good people
Lovely
hi show ni ya this year ama? plz rply
Show iko poa sana ila muongeze muda Jamani maana mnafunza jamii
jameni Mbona siwaelewi nyinyi
wah! wasomi habari wakaa wamama kabisa.