#TAZAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango hii leo Julai 17, 2021 amewatembelea na kuwasalimu wakazi wa Kijiji cha Kasumo kilichopo wilaya ya Buhigwe - Kigoma Mahali alipozaliwa.
    Akiwa kijijini hapo Makamu wa Rais amewahakikishia wananchi wa eneo hilo kwamba serikali ya Awamu ya Sita itatekeleza mambo yote yaliopo katika ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020 ilioahidi katika Wilaya ya Buhigwe na Mkoa wa Kiigoma kwa Ujumla.
    Makamu wa Rais amewashukuru wananchi wa Kijiji hicho kwa hapo awali kumchagua kuwa mbunge wa Jimbo la Buhigwe na baadae kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

Комментарии • 5