Gwajima anaungwa na wengi wamchao Bwana kwa haki na kwakweli Asante Ap.Mtalemwa Bushiri Mungu akutunze akulinde napenda sn Mungu amekupa kipaji cha pekee masomo yako nayafuatilia na ninayazingatia mno.
Ameen ameen barikiwa mtumishi kwa kweli hii ni kweli kabisa inahitaji kuinua imani katika Kristo kwanza ndo tueze kuvuka kipindi hiki asante mtumishi kwa neno hili aki nimebarikiwa
Nikiwa Zanzibar nabarikiwa Sana na mafundisho yako Apostle,nimefukuzwa kazi Naamini nitarudishwa kazini , Imani yangu Nguvu ya Mungu itatenda kupitia mafundisho yako ,Barikiwa Sana Apostle
Amen, Ee Mwenyezi Mungu ninaomba unifanye kua kuhani hodari wa kulitangaza neno lako popote niendapo kwa utukufu wako YESU. #IAMAJESUSNATION. Be blessed chief apostle
Sema Mtumishi wa Mungu sema, na wakati mwingine anayetoa taarifa mbaya anatumika gizani bila yeye kujua ili akushushe kiimani, kweli njia sahihi ni kumblok ili uwe na amani, Barikiwa Sana
Umefundisha kilichonikuta mwanzo ashukuriwe Mungu kwa sauti ya neno kutoka Màthayo 28, Niko pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahari. Barikiwa Sana. Kwa neno la wakati.
Ni kweli usemacho Apostle. Tumejazwa na habari za shetani kuliko hata za Mungu. Tunahubiriwa yale ambayo shetani anaweza kutufanyia kuliko yale ya Mwenyezi Mungu. Lakini sasa mtumishi wetu mzuri, baba yetu, mwalimu wetu, kuna haja gani ya kurudia kile alichokisema mtumishi mwingine (lete ubao, 666...) . Ulivyosema haya maneno nikakumbuka somo lako lililokuwa linahusu vile usengenyaji unavyouwa injili (gospel vs gossiping).
Amen Amen mtumishi wa Mungu nakupa mia kwa mia fire in Jesus name
Mtaji wangu ni Yesu.. Vigelegeleeee! Asante mtumishi wa Bwana.
A giant of the end time of the church of Christ. Napenda sana mahubiri yako kweli roho wa Mungu you juu yako.barikiwa sana mtumishi.
Apostle Mungu aendelee kukupa uzima siku zote Baba
Ubarikiwe mtumishi kwa ujumbe mzuri mungu akupe uzima telee
Gwajima anaungwa na wengi wamchao Bwana kwa haki na kwakweli Asante Ap.Mtalemwa Bushiri Mungu akutunze akulinde napenda sn Mungu amekupa kipaji cha pekee masomo yako nayafuatilia na ninayazingatia mno.
Nakuelewa sana mtumishi wa Bwana wa majeshi Mungu akuongezee Uhai na uzima ubalikiwe sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwa somo zuri
Amen mtumishi ubalikiwe
MUNGU akubariki mtumishi, hakika MUNGU atusaidie tusiwe na hofu na Imani idumu katika kumuamini.
Mtumishi Mungu akubariki sana Unafanya kazi ya Baraka kutufunza kushikilia Imani Zaidi na zaidi kwa Yesu kunao Ushindi
Ameen nabarikiwa sana mtumishi
All of my fear are gone.God is good.after this preaching my faith has built up very well.thanx God.
Ameen ameen barikiwa mtumishi kwa kweli hii ni kweli kabisa inahitaji kuinua imani katika Kristo kwanza ndo tueze kuvuka kipindi hiki asante mtumishi kwa neno hili aki nimebarikiwa
Ubarikiwe mutu wa Mungu
Kwa kweli BWANA ameizidisha Imani yangu kwa kupitia mahubiri haya, MUNGU wetu akulinde Apostle Mtalemwa🇰🇪🇰🇪
Asante Yesu kwa sababu kwa damu yako umetufanya MAKUHANI wa taifa la milki yako.
Congratulations For the Ministry
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Amen Amen Amen
Ubarikiwe na yesu niko DRC CONGO
Thank you pastor for the powerful words of the Lord God bless you
Amina mtumishi.unatponya wengi kwa mafundisho yako.Mungu akuzidishe ktk huduma yako.Amina
Barikiwa mtumishi
Yaani nimekuelewa sana pastor. Barikiwa
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu kwa kutufundisha kweli .
I am blessed with your teachings, each time I watch I'm climbing into another level spiritually. Thanks !
Proud to have you as my mentor 💯 Wala siachi hii video ilale naangalia sasahivi I know there’s Godly wisdom in this teachings 🔥
Mtumishi asante sana sana UBARIKIWE unatuokoa kwa mafundisho haya yaliyojaa ukweli.
Amen,nimekuelewa vizuri Mtumishi Mungu akubariki
God bless you pastor
Eeeee Bwana Yesu naomba uniongeezee lmani, inatosha kukujua Amen
Nimekuelewa sana mtumishi,usipokuwa na silaha za kujilinda huwezi kushinda vita hata kama umejua kuwa vita nimwezi ujao,Barikiwa sana mtumishi,
Nimeshangaa unafunza vyema Sana I can now understand scriptures very well thankyou God bless u
Mtumishi Apostle umenena ujumbe mzuri sanaaa Mungu azidi kukupandisha Katika viwango vikubwa
Amen.I surrender all to Jesus my saviour.
Asante kwa mafundisho ya kweli ya Mungu. Mungu aendelee kukutumia kwa ajili yetu sote tujue nguvu na upendo wa Kristo kwetu
Kweli watu wengi watapotea sana kwa kufuata washungaji wengi....mungu.akubariki sana akulide akutangulie maisha mwako amen Mtumishi wa mungu.
Nikiwa Zanzibar nabarikiwa Sana na mafundisho yako Apostle,nimefukuzwa kazi Naamini nitarudishwa kazini , Imani yangu Nguvu ya Mungu itatenda kupitia mafundisho yako ,Barikiwa Sana Apostle
Na itakuwa mtumishi
Poleni
Thanks apostle
Safi sana mtumishi
Piga injili ya YESU kristo iliyo hai mtumishi wa mungu ili tupone. Mungu akubariki sana, kwa neno la maarifa.
May almighty God continue to bless you with many more word's to preacher for us. Amen Amen and Amen thank you Jesus Christ
Oooh chief apostle!!!!your teaching
Amen, Ee Mwenyezi Mungu ninaomba unifanye kua kuhani hodari wa kulitangaza neno lako popote niendapo kwa utukufu wako YESU. #IAMAJESUSNATION. Be blessed chief apostle
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu uwa nakuelewaga sana tena sana mnooo!!!!!!
Amen
Amen 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Oh God help us to preach Jesus everywhere and to everyone, according to his will because we are JESUS Nation.be blessed apostle.lmelda from kenya
Ooh yes,,,,l pray to God for consuming fire to be added to me.May God keep you apostle,bless u and more grace frm above.🙏🙏
Sema Mtumishi wa Mungu sema, na wakati mwingine anayetoa taarifa mbaya anatumika gizani bila yeye kujua ili akushushe kiimani, kweli njia sahihi ni kumblok ili uwe na amani, Barikiwa Sana
Ubarikiwe Apostle umeongea Ukweli mtupu mtumishi. Mungu anawahitaji watu kama wewe hata kama ukisimama pekeyako
Yesu,ndio jibu.
Asante kwa ajili ya
INJILI HAI, NGUVU YA MUNGU IOKOAYO.
Hallelujah.........
Amen ..nime pata kuelimika ..Mungu akubariki mwalimu.
We need Jesus now now before anything else
Amen Ameen Apostle Mutalemwa🙏🙏🙏
Fire fire i receive fire
Without Jesus,hofu itawavaa sana.Mkimbilie Bwana wa mabwana ili tuwe salama.Ubarikiwe Mtumishi kwa fundisho hili.
Umefundisha kilichonikuta mwanzo ashukuriwe Mungu kwa sauti ya neno kutoka Màthayo 28, Niko pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahari. Barikiwa Sana. Kwa neno la wakati.
Kweli mtumishi
I am blessed so much may God give you strength to be strong in him and his grace favour you as u minister to us his word
Sawa sawa
Unanibariki sana Apostle... Natamani tuonane siku moja.
Ameen apostle
Ni kweli usemacho Apostle. Tumejazwa na habari za shetani kuliko hata za Mungu. Tunahubiriwa yale ambayo shetani anaweza kutufanyia kuliko yale ya Mwenyezi Mungu.
Lakini sasa mtumishi wetu mzuri, baba yetu, mwalimu wetu, kuna haja gani ya kurudia kile alichokisema mtumishi mwingine (lete ubao, 666...) . Ulivyosema haya maneno nikakumbuka somo lako lililokuwa linahusu vile usengenyaji unavyouwa injili (gospel vs gossiping).
Amen mtumishi
Mimi ni Mzao Mteule .Taifa lake Mungu. Thank you Jesus Christ.
nakupata sana apostle asante sana kwa kunifungua macho
Unasema ukweli dunia imefikia ukingoni
Blessed you son of man,God is faithful to manifest the truth and make it reality openly.
Unanipa ujasili Sana wataumbuka bila kumlidia mungu tutapigwa sana
Amen Chief
Amen Apostle 🙏🏿
Good
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏
Jesus nation I'm blessed
Amen !! Jesus Nation!!! We rest secure in Gods word for ours lives 💜🙏
Now I understand better, ubarikiweee sanaa Mtumishi kwa huu ufunuo...
It's 🔥🔥🔥🔥
I HEAR AND UNDERSTAND YOU WELL WELL MY APOSTLE.
I receive in Jesus name 🙏
Asante Yesu kwa kuinua Watumishi km hawa,🙏
Thank you soo much servant of God be blessed as you serve the Lord. Barikiwa saidi 🙏🙏❤
Ni kweli kabisa baba, tumekumbwa na hofu, Yesu tusaidie
Nakuelewaga sana Apostle
MUNGU azidi kukupa maono makubwa na mafunuo
💯 true
Ameen mtumishi wa Mungu
Amen Apostle. Mimebarikiwa Sana Ila
Amen mtalemwa
Man of God
Well said apostle 🙏
Kweri unatisha urimwengu amina
Mtumishi ubarikiwe sana,mimi nikiwa nakutizama nikiwa kenya,na ningehitaji hicho kitambu,sasa sijui nijinsi ipi yakufanya ili nikipata,tafadhali nielekeze nifanikiwe kukipata nitashkuru sana
Asante mungu kwa mtumshi huyu mpemaisha mema
Ahsante Baba.
AMEN
Kile unasema ni kweli kabisa MUNGU aukutumie zaidi na wenye sikio na asikie sitaogopa nimezigirwa na moto wa YESU
Naenda kuwapunguza sahii
Amina
Somo liko deep sana.