Pt6_Nilisikia mikakati ya shetani kuzimu kuhusu kuwaangamiza watu kupitia teknolojia na muziki|SAMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 19

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt 11 месяцев назад +4

    Yesu nisaidie nimalize mwendo salama

  • @HappyChemistryExperiment-hp9mq
    @HappyChemistryExperiment-hp9mq 6 месяцев назад +2

    Shuhuda hizi zinaniimarisha kiroho, Asante ubarikiwe sana uzidishiwe

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 11 месяцев назад +3

    Amena shuhuda zinatufariji sana sana mungu awabariki sana

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197 2 месяца назад +1

    Amina amina

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 11 месяцев назад +2

    Amen thank God bless you good testimony

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 11 месяцев назад +2

    Mungu akubariki sana

    • @OmAn-jw4jt
      @OmAn-jw4jt 11 месяцев назад

      Jamani wapendwa wanawake tuna mambo mengi tubadilike sasa tuvae mavazi ya kujisitiri vitu vya anasa tuviache yesu anarudi

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 8 месяцев назад +2

    Hapo kwenye kuwaandaa mabinti wadogo kwa ajili ya uasherati ni shida jamani. Alfu wanawake wenyewe siku hizi walivyo ni shida 😭😭😭

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 11 месяцев назад +1

    Amaaaan

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 11 месяцев назад +3

    Sasa itakuwaje nina ndugu zangu wapo usilamu na hawaamini kama Yesu ni Bwana ninafanyaje

    • @nellydeborah943
      @nellydeborah943 11 месяцев назад +6

      Kama umewaingelesha na hawaskii,chukua hatua ya pili ya kuwaombea maana hawa waislamu ni Mungu wakuwabadilisha wana mioyo migumu na wamekita sana kwa dini.wakumbuke kwa maombi kila uombapo na maombi yako yatajibiwa siku moja na utawaona wakibadilika

    • @christinaisanguisangu2974
      @christinaisanguisangu2974 11 месяцев назад +1

      Ameen

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 11 месяцев назад +1

    Amen

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 11 месяцев назад +2

    Eeeeeeehhhh MUNGU wambinguni uturehemu

  • @user-qq9pv1ey7y
    @user-qq9pv1ey7y 11 месяцев назад

    Mubarikiwe

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 11 месяцев назад

    Amen ubarikiwe san mtumishi kwa ushuhuda ❤

  • @user-fw9xj8kv1m
    @user-fw9xj8kv1m 11 месяцев назад +1

    Habariyaleowapendwa

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 11 месяцев назад

    Amen Amen