Hata mm nataka kujua jmn kaburi la mtume liko ndani ya mskiti jee inakuaje hapo jmn someni ilimu ni uwanja mpana sana ww kma umesoma hoja za flani zikakutosha bc jua na mwngine kasoma hoja za mwngine na zikamtosha kwaio ni kusoma tu na kuelewa ndo kunahitajika
Mtume Sallallahu Alayhi Wasallam kazikwa kwenye Nyumba ya Bi Aisha Radhiallahu anha, Maulamaa walipinga upanuzi wa msikiti upande wa nyumba ya Bi Aisha lakini wafalme wa enzi hizo walilazimisha kwa sababu wazijuazo wenyewe kwa mabavu.
@@SalehSaleh-re1ud hem nenda kaulize kaburi ya mtume iko wp jisemeshe iko kwa nyumba ya nana aisha hatukatai sote tunajua hivo lkn waeza kuenda utuoneshe hio sehem ni wp tuone kma nimskitini au porini au shambani acheni kupotosha wp bana iko wazi kaburi iko ndani ya mskiti acheni kuzunga maneno nendeni mkavunje maana hifai kuswal kwnye makaburi kwaio nendeni mukabunje huo mskiti polen sana kaka lazma ukwly tuuseme
Jamaa anasema kila akickiliza darsa za huyu anazidi kupambanukiwa kwa Shekh Mafuta hamna kitu. Namjibu kwamba askilize za uyo babayake ili apate faita .
@@mhrmahir3756 ww mwnye akili nakuuliza jee mskiti wa mtume tukauvunje ama maana kaburi lake liko ndani haswaaaa kwaio mkiambiwa kwnza ulizeni maswali msiburuzwe kma wakristo cc dini yetu ipo wazi waweza kumuuliza shekh lolote ambalo huajelewa kwaio nipeni jibu mskiti wa mtume tukauvunje ama ni vp
@@mhrmahir3756 kisha naomba unitumie na mm video za hao mnaosema kwamba miskiti yao ina makaburi ndani mm cjawah kuiona hebu naomba mnitumie hio video na mm nione
Tatizo watu hawasikilizi mawaiza mnamkosoa shekh bila dalili Na mwisho shekh amesema allaah aalam, allah ndo mjuzi hapo inatosha sasa kama wakosoa bila dalili we unamatatzo .
Msikiti wa mtume kwani ulijengwa juu ya kaburi? Pili je mtume alizikwa msikitini ?fwatilia hayo huwezi kusema hivyo? Kingine mtume kashakataza hilo wewe fuata maamrisho ya mtume na acha makatazo na usitumiee makosa ya wengine kuhalalisha makosa yako
Allah amuhifadh sheikh Abul Fadhil
JazakAllah khairan sheikh Allah awaifadhi Allahuma.Amiyn
جزاك الله خير الجزاء
Shukran sheikh kassim mafuta allah akuhifadhi wapo wengi bado hawajaelimika juu ya suala ilo
يا حُبِّي لَهُ ❤🌹⚘
Kumswalia maiti maeneo ya makaburini ni sahihi?
Hata mm nataka kujua jmn kaburi la mtume liko ndani ya mskiti jee inakuaje hapo jmn someni ilimu ni uwanja mpana sana ww kma umesoma hoja za flani zikakutosha bc jua na mwngine kasoma hoja za mwngine na zikamtosha kwaio ni kusoma tu na kuelewa ndo kunahitajika
Kasome kijana , wacha ushindani kwenye dini iliyokamilika
Mtume Sallallahu Alayhi Wasallam kazikwa kwenye Nyumba ya Bi Aisha Radhiallahu anha, Maulamaa walipinga upanuzi wa msikiti upande wa nyumba ya Bi Aisha lakini wafalme wa enzi hizo walilazimisha kwa sababu wazijuazo wenyewe kwa mabavu.
@@SalehSaleh-re1ud hem nenda kaulize kaburi ya mtume iko wp jisemeshe iko kwa nyumba ya nana aisha hatukatai sote tunajua hivo lkn waeza kuenda utuoneshe hio sehem ni wp tuone kma nimskitini au porini au shambani acheni kupotosha wp bana iko wazi kaburi iko ndani ya mskiti acheni kuzunga maneno nendeni mkavunje maana hifai kuswal kwnye makaburi kwaio nendeni mukabunje huo mskiti polen sana kaka lazma ukwly tuuseme
@@hamzasuleiman9605 asnt kwa ushaur lkn na ww pia nakusihi sana soma uache kupotoshwa au kupotosha watu kasome elimu hina mwsho
Jamaa anasema kila akickiliza darsa za huyu anazidi kupambanukiwa kwa Shekh Mafuta hamna kitu. Namjibu kwamba askilize za uyo babayake ili apate faita .
Kila nkiskiza darsa za shekh mafuta nazidi kuona hamna kitu
Umelazimishwa au
sasa wew huna akili vp utaona kitu
@@evanceisdory4816 ukiingia kwa youtube tu zinakuja so inabidi uskize uwajue wanadanganya vp watu
@@mhrmahir3756 ww mwnye akili nakuuliza jee mskiti wa mtume tukauvunje ama maana kaburi lake liko ndani haswaaaa kwaio mkiambiwa kwnza ulizeni maswali msiburuzwe kma wakristo cc dini yetu ipo wazi waweza kumuuliza shekh lolote ambalo huajelewa kwaio nipeni jibu mskiti wa mtume tukauvunje ama ni vp
@@mhrmahir3756 kisha naomba unitumie na mm video za hao mnaosema kwamba miskiti yao ina makaburi ndani mm cjawah kuiona hebu naomba mnitumie hio video na mm nione
Tatizo watu hawasikilizi mawaiza mnamkosoa shekh bila dalili
Na mwisho shekh amesema allaah aalam, allah ndo mjuzi hapo inatosha sasa kama wakosoa bila dalili we unamatatzo .
Mskiti wa mtume nao tukauvunje bc au
Msikiti wa mtume kwani ulijengwa juu ya kaburi?
Pili je mtume alizikwa msikitini ?fwatilia hayo huwezi kusema hivyo?
Kingine mtume kashakataza hilo wewe fuata maamrisho ya mtume na acha makatazo na usitumiee makosa ya wengine kuhalalisha makosa yako
Sasa pale madina vp shekhe ? Katika msikt wa madina kuna kaburi la mtume naomba ufafanuzi
wanazuoni wamejibu hili , ibn Uthaymeen kajibu hili katika kitabu cha
القول المفيد شرح كتاب التوحيد
Ufafanuzi wake nitaweka kesho in Shaa Allah
@@hassan4k7 nadhani akipewa link ya video itakuwa bora zaidi..ama kumtajia kitabu sidhani kama itamsaidia
@@elimusahihi ufafanuzi ushatolewa?
Vp makabur yakiwa mbele ya nyumba nako ndio kibla
Hiyo ni nyumba yako sio msikiti
Nyie hamuweki picha live kwann mwaweka picha ya kabur niwarongo ninyi salad feki hasaa
kama sis salafi feki taja nani kwa sasa salafi ambao sio feki
Wewe hata kuandika hujuwi zuzu kasome mwanzo