VIPI HUKUMU YA KABURI LILILO PEMBEZONI MWA MSIKITI JE INAFAA KUSWALI MSIKITI HUO: SHEIKH ABUL FADHIL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 40

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu9421 3 года назад +3

    Allah amuhifadh sheikh Abul Fadhil

  • @amenakenya7993
    @amenakenya7993 3 года назад +3

    JazakAllah khairan sheikh Allah awaifadhi Allahuma.Amiyn

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад +2

    جزاك الله خير الجزاء

  • @hadhirmaulid5302
    @hadhirmaulid5302 3 года назад +1

    Shukran sheikh kassim mafuta allah akuhifadhi wapo wengi bado hawajaelimika juu ya suala ilo

  • @hassan4k7
    @hassan4k7 3 года назад +3

    يا حُبِّي لَهُ ❤🌹⚘

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад +2

    Kumswalia maiti maeneo ya makaburini ni sahihi?

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 3 года назад +3

    Hata mm nataka kujua jmn kaburi la mtume liko ndani ya mskiti jee inakuaje hapo jmn someni ilimu ni uwanja mpana sana ww kma umesoma hoja za flani zikakutosha bc jua na mwngine kasoma hoja za mwngine na zikamtosha kwaio ni kusoma tu na kuelewa ndo kunahitajika

    • @hamzasuleiman9605
      @hamzasuleiman9605 2 года назад

      Kasome kijana , wacha ushindani kwenye dini iliyokamilika

    • @SalehSaleh-re1ud
      @SalehSaleh-re1ud Год назад

      Mtume Sallallahu Alayhi Wasallam kazikwa kwenye Nyumba ya Bi Aisha Radhiallahu anha, Maulamaa walipinga upanuzi wa msikiti upande wa nyumba ya Bi Aisha lakini wafalme wa enzi hizo walilazimisha kwa sababu wazijuazo wenyewe kwa mabavu.

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Год назад

      @@SalehSaleh-re1ud hem nenda kaulize kaburi ya mtume iko wp jisemeshe iko kwa nyumba ya nana aisha hatukatai sote tunajua hivo lkn waeza kuenda utuoneshe hio sehem ni wp tuone kma nimskitini au porini au shambani acheni kupotosha wp bana iko wazi kaburi iko ndani ya mskiti acheni kuzunga maneno nendeni mkavunje maana hifai kuswal kwnye makaburi kwaio nendeni mukabunje huo mskiti polen sana kaka lazma ukwly tuuseme

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Год назад

      @@hamzasuleiman9605 asnt kwa ushaur lkn na ww pia nakusihi sana soma uache kupotoshwa au kupotosha watu kasome elimu hina mwsho

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Год назад

    Jamaa anasema kila akickiliza darsa za huyu anazidi kupambanukiwa kwa Shekh Mafuta hamna kitu. Namjibu kwamba askilize za uyo babayake ili apate faita .

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 3 года назад +2

    Kila nkiskiza darsa za shekh mafuta nazidi kuona hamna kitu

    • @evanceisdory4816
      @evanceisdory4816 3 года назад +1

      Umelazimishwa au

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 2 года назад

      sasa wew huna akili vp utaona kitu

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 2 года назад

      @@evanceisdory4816 ukiingia kwa youtube tu zinakuja so inabidi uskize uwajue wanadanganya vp watu

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 2 года назад

      @@mhrmahir3756 ww mwnye akili nakuuliza jee mskiti wa mtume tukauvunje ama maana kaburi lake liko ndani haswaaaa kwaio mkiambiwa kwnza ulizeni maswali msiburuzwe kma wakristo cc dini yetu ipo wazi waweza kumuuliza shekh lolote ambalo huajelewa kwaio nipeni jibu mskiti wa mtume tukauvunje ama ni vp

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 2 года назад

      @@mhrmahir3756 kisha naomba unitumie na mm video za hao mnaosema kwamba miskiti yao ina makaburi ndani mm cjawah kuiona hebu naomba mnitumie hio video na mm nione

  • @tamimhemed3931
    @tamimhemed3931 2 года назад

    Tatizo watu hawasikilizi mawaiza mnamkosoa shekh bila dalili
    Na mwisho shekh amesema allaah aalam, allah ndo mjuzi hapo inatosha sasa kama wakosoa bila dalili we unamatatzo .

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 3 года назад +1

    Mskiti wa mtume nao tukauvunje bc au

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 2 года назад +1

      Msikiti wa mtume kwani ulijengwa juu ya kaburi?
      Pili je mtume alizikwa msikitini ?fwatilia hayo huwezi kusema hivyo?
      Kingine mtume kashakataza hilo wewe fuata maamrisho ya mtume na acha makatazo na usitumiee makosa ya wengine kuhalalisha makosa yako

  • @maryamhaji5894
    @maryamhaji5894 3 года назад +2

    Sasa pale madina vp shekhe ? Katika msikt wa madina kuna kaburi la mtume naomba ufafanuzi

    • @hassan4k7
      @hassan4k7 3 года назад

      wanazuoni wamejibu hili , ibn Uthaymeen kajibu hili katika kitabu cha
      القول المفيد شرح كتاب التوحيد

    • @elimusahihi
      @elimusahihi  3 года назад +2

      Ufafanuzi wake nitaweka kesho in Shaa Allah

    • @ramadhan_mpinge
      @ramadhan_mpinge 3 года назад

      @@hassan4k7 nadhani akipewa link ya video itakuwa bora zaidi..ama kumtajia kitabu sidhani kama itamsaidia

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      @@elimusahihi ufafanuzi ushatolewa?

  • @ummyukasha5755
    @ummyukasha5755 3 года назад

    Vp makabur yakiwa mbele ya nyumba nako ndio kibla

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 3 года назад

    Nyie hamuweki picha live kwann mwaweka picha ya kabur niwarongo ninyi salad feki hasaa

    • @abuuaiman9575
      @abuuaiman9575 2 года назад

      kama sis salafi feki taja nani kwa sasa salafi ambao sio feki

    • @9119-r4t
      @9119-r4t 2 года назад

      Wewe hata kuandika hujuwi zuzu kasome mwanzo