Mama Derick mm ningekushauri ata usiondoke kwa nyumba yako ata kidogo wewe pambana na hivyo vita na mwisho utashinda,wewe tuuh usikubali huyo mwanamke asiingie kwa nyumba yako ata kidogo usiwai mpea ruhusa ata kidogo huyo mwanamke aje kwako
Lakini wamama mkae mkijua,bwana akiwa na pesa,mkae mkijipanga polepole kujenga nyumba nzuri na kufanya investment bila Mzee kujua Incase maneno ikiharibika kama ya hao,nikujitoa tu
Jay mbona wafwatana na hio familia huoni Mzee akikuona anatamani akuondoe duniani ju mambo yake imetokea inje juu ya channel yako, please be careful Wacha kucheza na mwenye pesa,hujihurumi cc twakuonea huruma,
Mom please. Divorce this devil. Crying at your age is unacceptable dear. Get wat you will get through the court and be happy with your children. Derrick needs to complete sch and continue with life.
Very true. But may be the evil lady and the husband is blocking mama DERICK with their evil things not to divorce or fly outside just to make her miserable but God will see you through
Mama Derrick, stay On your knees. Vita hivi ni vya kiroho, sio vya mwili na damu. You need a strong alter/live church. If you happen to see this message at kama ni Jay, visit Prophet Tito Lemo akuambie what to do na asambaratishe hio alter iko kwako. Giza na nuru cannot stay together.....but nuru lazima ingare. God tawala hii situation in Jesus Name.
Mama Derrick be strong, do not show your husband and his side hen your tears any more. Stand up for your life and your children. Do not leave that house, its your matrimonial home. If Baba Derrick want to remarry she should take her anywhere else.
Jay I have realize uko na Akili Ndogo kama ya kuku wewe mtu akidnap watu wako wawili afute DCI kazi na dci ni mtu wa karibu sana na yy apee Malaya pesa mbele ya bibi yake madharau.akakuonya uache family yake cz he is so called master of masters.na unaenda uko kwake na hiyo kuyoni yako kama mtu hulala njaa.utajipata kwenye kitoo aliwekwa utashangaaaaaa.
Please J leave that family please wewe Sio karanu ati una hoji Sasa unaweza singisiwa kabisa wewe mpesi wake,ama umeleta wakora. Huyu mama Ni stress ako nayo aende a share Na wamama wengine huko nje,wamama tumepitia mengi namengine kama hayo.so let's her pray mamaobi hutake time
@@CathrineNgugi Wewe bado wangoja kujibiwa maombi, lakini una advice Jay. Aje sasa? Endelea kungoja yako. Acha Jay afanye kazi yake ajuavyo na awezavyo. Akitaka msaada, ataitisha.
Jay we know you want nothing from this family except to see them them together which seems it's impossible 4 you to bring them together.. And cause you have seen what have been happening tunakuomba run for your life tunakupeda na hatuwezi taka kuona uki loose life yako just 4 nothing.
Jay aache kazi yake utamlisha na family yake? Siuende ukaambie Police, Firemen, Army etc wawache kazi zao hatari. Furthermore, ana watu wake na family, ya kumpa opinions etc. akihitaji.
this family needs prayers and deliveranace please mum nothing is impossible in God keep trusting in God dont give up. kakande -uganda eve joshua - nigeria johnchi-nigeria and so on
Waandame peke yako mpaka uje kujua hao ni manabii wa urongo. Na usidanganyike ukiona hata viongozi wengine wakienda huko. Wanaenda kutafuta kura frm wafuasi wanao amini watu hawa. Nothing much.
Mum yy don't you call your other children cz if you together with your kids mzee ataogopa..yy fighting alone cz derrick nkama mzee amempa pesa hayuko na WEWE
Mama kuita jay kuna makosha gani mungu ata protect jay juu mtu akiwa na stress mnafaa kuelewa anaitaji mtu wa kuongea na yeye so jay ana makosha yeyote
Mama kuita jay kuna makosha gani mungu ata protect jay juu mtu akiwa na stress mnafaa kuelewa anaitaji mtu wa kuongea na yeye so jay ana makosha yeyote
Mama Derrick tafadhali sana mwambie huyo Director Jay amuombe Alfoga Clasic akwitie Pastor wake amuombee huyo baba Derrick amelishwa madawa ndio hasikii tafadhali sana.
hug you mum for this difficult time 😢😢❤ dont get tired with prayer cults za Governor zimeamka ata yeye hanjielewi kwa hivyo usichoke kombat pigana nazo kwa maombi
Mama Derik wewe ni shujaa.Job shetani alimnyanganya kila kitu.Lakini Mungu atakurudishia kila kitu yako. Hii ni majaribu Kali Sana.Nguvu za Mungu ina pigana na za shetani.Mama Derick wewe uko upande wa Mungu na Mzee ako Pande Ile ya giza.Ni wewe ndio itakuwa mzindi.
Kelly mwalimu is using charm. Daktari Makari ni aitwe mwalimu ukuriswe nyasi. Intouch with Brightons place. Hata huyo bwana ako awacha hiyo illuminate within the brinks of an eye.
Nashangaa mkisema mama Derick asitoke kwa nyumba yake,nyumba ata ikiwa smart aje,huyo mzae alijenga na pesa za human blood,yes she's not aware but anafaa kutoka hapo, next ni yeye, I will advice her to leave the house and divorce him
Sai hio boma ishaharibika Na hio boma haitakua na amani Tena. Mama Derick just divorce huyo Mzee na ujitoe. Watoto wako niwatu wazima They can support you hata na mawazo. Wewe jitoe
Mama derick tafadhali,kwa hisani yako,usitoke kwako,hivi ni vita na hakuna kuondokea,na lazima utashinda mama,pliz,acha tuombe ukiwa hapo kwako,u will win believe me,that is ur matrimoniol home,that is ur home,watoke wakuache hapo
No don't give up mum,yangu ilikuwa worse,na maombi yalinipigania,ivi leo nimesimama na aliyevurunga doa yangu ,wayapitia aliyonitakia,in God be patient an you shall see the fruits of prayers
Mama Derrick make sure you block everything. Usikubari mwanamke akuja kutawala nyumba yako you’ve but for all those years. Huyu mwalimu atakikana afaamiwa na wamama. Kama anataka mwalimu aenda amujengee kwake somewhere else.
Ukikubali kutumikia shetani mwishoni huwa hivi.huyu mzee hajielewi ni kama amefika mwisho shetani anataka akafanye kazi kuzimu.ukitumikia shetani lazima mwisho upate aibu na fedheha.soo sory for mama derick
I hope mama Derick ulikua umejipanga waachie izi vitu za illuminati ziwamalize wenyewe Hawa ni mapepo zinawaandama 😢😢mtu anezaje kuharbu ndoa ya mwanamke mwenzake unaenda adi kwake kumfuriga shame on you mwalimu hamtaenda mbali na huyu governor nguvu za mungu wataziona😢
Jay tafutia mama Derrick msaferee ampee number ya dactari ,,akomeshe mwalimu one touch afungwe mdomo,na miguu ziharibiwe atawai tukana bibi y mtu tene dawa y moto n moto
Jay si utafute ule dactari wa Brighton akupe namba ya dactari akuje asaidie ma Derick juu hii ni uchawi ya mwalimu na maybe atasaidia hio mbo na cult amalize mzee hizo nguvu jameni
Director j ongea na alfoga TV ako na pastor mwingine mkali sana anaweza saidia mama derrick. Hapa ni spiritual war sio vita za mkono pia mwaalimu Kuna vile amefanyia baba derrick mpaka hataki kuona bb yake
Mamayangu nakushauri mimi mwanawo usitoke kwenye iyo nyumba ukaruhusu mwanamke mwingine aje kuishi kwenye iyo nyumba hakuchokeya zidisha kuomba Mungu atakupiganiya ile nyangarika isikupeye stress wewe ndo mama mwenye nyumba nakingine unawatoto watamnyoosha uyo nyangarika anayafanya kwasababu watoto wengine wakombali. ilawakaye wakijuwa watoto hawawezi kuona mamayawo anateseka juyaiyo nyangarika.
Mama derick huyo mwanamke akule nyasi cox anakudharau sana, nipeeni namba ya huyu mama aki nimuonyeshe njia ya kupitia cox huyu mwalimu amemwaribia familia
My opinion separated na mzee kwa muda before too late then utapata jibu kama utarudi au la ! Please mama Derek isije ikatokea mambo pengine please please
Jay tafutia mama derrick pastor aende uko kwao waangushe maombi hizo pepo zitoke naikiwezekana mzee atayeye akuwe apo adi mnaweza mfunga na kamba ii ni too much
This so called mwanamke ya mtu hana aibu kwa boma ya yenyewe na same maroon open at every episode or it's for confusing ati gavana of which ati uko na pesa shame on you,may you never have peace hadi kwa labor ward, first wife's 😢😢 tear'say never have PEACE AND MAY THUNDER STRIKE YOU 😢😢😢😢 23:57
Mama derrick achana na hao watu we muondokee kwanza maybe ni kamuti huyo mama amemshikia lakini ukitoka usiache mtoto maybe uyo mwanamke anataka ajue accounts za uyo Mzee akishapata Doo atoroke
Mama Derick mm ningekushauri ata usiondoke kwa nyumba yako ata kidogo wewe pambana na hivyo vita na mwisho utashinda,wewe tuuh usikubali huyo mwanamke asiingie kwa nyumba yako ata kidogo usiwai mpea ruhusa ata kidogo huyo mwanamke aje kwako
I support you.. once akitoka Dio atakua amempea Chance😢😢😢kaa huko mama God will make things work in his own way
Heritage aondoke aombe akiwa mbali coz akizidi kukazania hapo teacher na mumewe watamtoa kafara wao wabaki wawili.
Lakini wamama mkae mkijua,bwana akiwa na pesa,mkae mkijipanga polepole kujenga nyumba nzuri na kufanya investment bila Mzee kujua Incase maneno ikiharibika kama ya hao,nikujitoa tu
Mama Derrick put all your worries to God for he is our strength
Witchcraft is real but Jesus is more real,. Mom Derrick Ngai ndoi kuhotwo nitaki... Keep on praying
Mama Derrick wacha Watoto Sasa waingilie aki!😭😭😭
Jay advise her from your offices not at their home otherwise the governor will kill you coz he warned you
Jay leave this family alone, you're not lawyer true you don't love yourself and your family be careful with this family
True😢😢😢
Mama Derick needs jay the most.haki stress 😢
Aliitwa hakujipeleka,wacha tupate udaku
Unasikia vibaya juu ako ruda na cartel
Ulitaka uitwe ama?
Jay mbona wafwatana na hio familia huoni Mzee akikuona anatamani akuondoe duniani ju mambo yake imetokea inje juu ya channel yako, please be careful Wacha kucheza na mwenye pesa,hujihurumi cc twakuonea huruma,
Muambie Tena😢
Jay is a fool he never listens
Hata kama hapa ndio pahali yy hitoa unga , stay away from this family
Tupewe direction ya kwenye governor Ako Kwa huyo mwalimu sisi kama Gen Z tumkute💪💪💪💪
Wanafaa wasalimiwe kidogo ndio master na Teacher wajue Gen-Z- ndio kusema
Hapo sawa
Jameni kama tuna manage state house tunaeza shindwa na kitu kidogo kama mwalimu????
Eee watupe direction na ni saa hii si kesho
Mom please. Divorce this devil. Crying at your age is unacceptable dear. Get wat you will get through the court and be happy with your children. Derrick needs to complete sch and continue with life.
Very true you deserve to be happy mum❤❤
Very true. But may be the evil lady and the husband is blocking mama DERICK with their evil things not to divorce or fly outside just to make her miserable but God will see you through
Mama Derrick, stay On your knees. Vita hivi ni vya kiroho, sio vya mwili na damu.
You need a strong alter/live church.
If you happen to see this message at kama ni Jay, visit Prophet Tito Lemo akuambie what to do na asambaratishe hio alter iko kwako.
Giza na nuru cannot stay together.....but nuru lazima ingare.
God tawala hii situation in Jesus Name.
Hapo kweli kabisa prophet Tito atamsaidia
Mum Derick needs our hugs❤❤❤🎉
Mama Derick usichoke na maombi cz. Mwalimu anatumia uchawi😢 naimeshindwo in the name's of Jesus Christ damu ya yesu ikuokolee
Sure anatumia uchawi
Mum divorce that mzae uishi kwa amani 😢
I know. It's obvious hampendi huyu mom.
@@grayceegracie5050 eee ndio mana anamtesa hivi haki imagine mtu akua nae miaka yote inauma sana
Mama Derrick be strong, do not show your husband and his side hen your tears any more. Stand up for your life and your children. Do not leave that house, its your matrimonial home. If Baba Derrick want to remarry she should take her anywhere else.
Plz jay nipatie number yako
Aky Jay ukipatikana hapo na governor atakuua akisema ww ni benten wa huyu mama
Mum don't give this people way.,.. especially that evil woman 😢
Aki mnajua kuact 😅😅😅
@@nancynashipae1505
Wewe ndie umpire wa kupatia wajuao ku-act vikombe vya ushindi?
Jay I have realize uko na Akili Ndogo kama ya kuku wewe mtu akidnap watu wako wawili afute DCI kazi na dci ni mtu wa karibu sana na yy apee Malaya pesa mbele ya bibi yake madharau.akakuonya uache family yake cz he is so called master of masters.na unaenda uko kwake na hiyo kuyoni yako kama mtu hulala njaa.utajipata kwenye kitoo aliwekwa utashangaaaaaa.
😂😂😂😂really
Please J leave that family please wewe Sio karanu ati una hoji Sasa unaweza singisiwa kabisa wewe mpesi wake,ama umeleta wakora. Huyu mama Ni stress ako nayo aende a share Na wamama wengine huko nje,wamama tumepitia mengi namengine kama hayo.so let's her pray mamaobi hutake time
😂😂😂😂
@@CathrineNgugi
Wewe bado wangoja kujibiwa maombi, lakini una advice Jay. Aje sasa? Endelea kungoja yako. Acha Jay afanye kazi yake ajuavyo na awezavyo.
Akitaka msaada, ataitisha.
I can get mama Derick a good lawyer, she should leave that abusive marriage and that woman so called mwalimu will receive her reward fully
Jay we know you want nothing from this family except to see them them together which seems it's impossible 4 you to bring them together.. And cause you have seen what have been happening tunakuomba run for your life tunakupeda na hatuwezi taka kuona uki loose life yako just 4 nothing.
True lndeed
Ukubuke huyo govanor alisema uko kitu na bibi yake halafu unakaa hapo eti unamungoja wewe run run run.
Jay aache kazi yake utamlisha na family yake?
Siuende ukaambie Police, Firemen, Army etc wawache kazi zao hatari.
Furthermore, ana watu wake na family, ya kumpa opinions etc. akihitaji.
@@VeronicaDunbar ww sikia na usikie vizuri hakuna mahali nilimwambia aache kazi yake usiniletee ubwafakini wako
Mama pole lakini usitoke kwa nyumba yako hata kama Kuna nini
Mwalimu is very evil. She had planned way back to destroy this family.
Mum usikae hapo kwa cultist please tuliza roho ..piga moyo konde ..hujui kwanini MUNGU anakutoa hapo ..
this family needs prayers and deliveranace please mum nothing is impossible in God keep trusting in God dont give up.
kakande -uganda
eve joshua - nigeria
johnchi-nigeria
and so on
Waandame peke yako mpaka uje kujua hao ni manabii wa urongo.
Na usidanganyike ukiona hata viongozi wengine wakienda huko. Wanaenda kutafuta kura frm wafuasi wanao amini watu hawa. Nothing much.
Kwani watoto wako HAWAWEZI toka ulaya wa save mama yao.Hii ni Dunia gani.
Mama mwizo wako that is the beginning of God
Mama Derrick Enda qwa Pastor EZekiel akuombee na aombee Familia itakuwa sawa.Huyo shetani mnamuita mwalimu atafukuZwa kaa umbwa😢😢😢😢😢😢
Jay wachana na hako kamzee ni kailuminati
JEY LIVE THIS FAMILY ALONE OR CAMERA 📸 OFF....KENYA NI PESA YAKO UTAJIKUTA PABAYA,ULIONA DCI KAZI ALISIMAMISHWA... DON'T TRY PLEASE PLEASE
Jay nitumie number yako tuongee nitashaindia huyo mom Mungu wa Ezekiel anaweza plz.🙏🙏🙏
Mum yy don't you call your other children cz if you together with your kids mzee ataogopa..yy fighting alone cz derrick nkama mzee amempa pesa hayuko na WEWE
Jay wachana na hiyo Familia hujui ni nini huyo governor amekupangia
He is protected by the blood of Jesus Christ
Jay usikule kitu huko
Jay you're not lawyer you try to look dveli for himself
Mama kuita jay kuna makosha gani mungu ata protect jay juu mtu akiwa na stress mnafaa kuelewa anaitaji mtu wa kuongea na yeye so jay ana makosha yeyote
Mama kuita jay kuna makosha gani mungu ata protect jay juu mtu akiwa na stress mnafaa kuelewa anaitaji mtu wa kuongea na yeye so jay ana makosha yeyote
Mama Derrick tafadhali sana mwambie huyo Director Jay amuombe Alfoga Clasic akwitie Pastor wake amuombee huyo baba Derrick amelishwa madawa ndio hasikii tafadhali sana.
hug you mum for this difficult time 😢😢❤ dont get tired with prayer cults za Governor zimeamka ata yeye hanjielewi kwa hivyo usichoke kombat pigana nazo kwa maombi
Jay uliamua kuharibu hii familia😢.. We told you not to sanitize phone ya governor😢. Nyinyi ni watu bure sana.
Mama Derik wewe ni shujaa.Job shetani alimnyanganya kila kitu.Lakini Mungu atakurudishia kila kitu yako. Hii ni majaribu Kali Sana.Nguvu za Mungu ina pigana na za shetani.Mama Derick wewe uko upande wa Mungu na Mzee ako Pande Ile ya giza.Ni wewe ndio itakuwa mzindi.
Kelly mwalimu is using charm. Daktari Makari ni aitwe mwalimu ukuriswe nyasi. Intouch with Brightons place. Hata huyo bwana ako awacha hiyo illuminate within the brinks of an eye.
Ma Derrick fight for your marriage, mwisho wako ndo mwanzo Mungu anaingilia ila tu kuwa na hope and trust Almighty God
Nashangaa mkisema mama Derick asitoke kwa nyumba yake,nyumba ata ikiwa smart aje,huyo mzae alijenga na pesa za human blood,yes she's not aware but anafaa kutoka hapo, next ni yeye, I will advice her to leave the house and divorce him
Sai hio boma ishaharibika
Na hio boma haitakua na amani Tena.
Mama Derick just divorce huyo Mzee na ujitoe.
Watoto wako niwatu wazima
They can support you hata na mawazo.
Wewe jitoe
Usitoke kwako usipee huyo mwanamke nafasi amekorogewa Ile BAYA hapa mama derrick ni maombi tu Bora usitoke mungu atakuoigania
j ambia huyu mama aende maombi kwa pastor Ezekiel amutolee sucrifice hako kama kalipuke trust me ataona changes,mm nilitolea kamoja kakakua jizi😂😂😂😂😂
DON'T stop to pray tafuta pastor prayerful teacher asha muweka kwa spell siunaonaa akiwa
na teacher mzee huwa Ni yes yes
The governor is in pain because mama Derick amejua Mzee niwa illuminati
Mama derick tafadhali,kwa hisani yako,usitoke kwako,hivi ni vita na hakuna kuondokea,na lazima utashinda mama,pliz,acha tuombe ukiwa hapo kwako,u will win believe me,that is ur matrimoniol home,that is ur home,watoke wakuache hapo
Si ufurahi Mungu ameexpose yote labda angekuua. Mali ya cult ni ya nini?
Mambo ikifika mahali pengine unachukuwa direction ingine sio kusema eti utaomba
No don't give up mum,yangu ilikuwa worse,na maombi yalinipigania,ivi leo nimesimama na aliyevurunga doa yangu ,wayapitia aliyonitakia,in God be patient an you shall see the fruits of prayers
Mama Derrick make sure you block everything. Usikubari mwanamke akuja kutawala nyumba yako you’ve but for all those years. Huyu mwalimu atakikana afaamiwa na wamama. Kama anataka mwalimu aenda amujengee kwake somewhere else.
Mama derick jay will never help you... achana na huyu kijana haezi kusaidia look for a mature person
Mungu atalete Moto ya kuchoma hiyo madhahabu ya illuminati na nguvu za kiza zitashindwa kwa jina la Yesu kristo
Si uondoke 2 mama derick pls,ata ss tuliondoka tukaachwa na mungu amefungua njia zingine
Jay contact watoto walioko nje ya nchi . Mama anahitaji mtu awe naye km duo hivyo watamkosa , Depression. is really .
Ukikubali kutumikia shetani mwishoni huwa hivi.huyu mzee hajielewi ni kama amefika mwisho shetani anataka akafanye kazi kuzimu.ukitumikia shetani lazima mwisho upate aibu na fedheha.soo sory for mama derick
I hope mama Derick ulikua umejipanga waachie izi vitu za illuminati ziwamalize wenyewe Hawa ni mapepo zinawaandama 😢😢mtu anezaje kuharbu ndoa ya mwanamke mwenzake unaenda adi kwake kumfuriga shame on you mwalimu hamtaenda mbali na huyu governor nguvu za mungu wataziona😢
Watoto wako wafanye kazi mali zenu zisiede.tafuta Dollo
Mama derrick mungu yupo ata kubanguza machozi na mwalimu asifuraie maisha yako
Jay tafutia mama Derrick msaferee ampee number ya dactari ,,akomeshe mwalimu one touch afungwe mdomo,na miguu ziharibiwe atawai tukana bibi y mtu tene dawa y moto n moto
Huyu mama akule nyasi lete dakitari wa brighton the Pluto
Siku moja huyu mzee atakutafta akilia asipouliwa na teacher ..atacollect pesa zire kisha amuue
Jay jitoe kwa hii familia, ur trading on dangerous grounds
Pole sana mama Derick maisha aikosi mtiani bora amini mungu hatakupigania
Jay tafhadhali Bella na watoto wako badho wanakuitaji wachana na hiyo familia please my brother jay
Mama derick ntakutumia number ya dollo huyo mwanamke atakula nyasi
Waah Mimi ningekuwa nimemumalizia kezi baadaye hii trasspas wee shetani ameamulia mama derrick but God is great
Jay si utafute ule dactari wa Brighton akupe namba ya dactari akuje asaidie ma Derick juu hii ni uchawi ya mwalimu na maybe atasaidia hio mbo na cult amalize mzee hizo nguvu jameni
Director j ongea na alfoga TV ako na pastor mwingine mkali sana anaweza saidia mama derrick. Hapa ni spiritual war sio vita za mkono pia mwaalimu Kuna vile amefanyia baba derrick mpaka hataki kuona bb yake
Nyumba imewaka moto aende tuy ajikalishe huko
Kunitoa kwa nyumba niliyochangia kujenga is the last thing you can do
Mamayangu nakushauri mimi mwanawo usitoke kwenye iyo nyumba ukaruhusu mwanamke mwingine aje kuishi kwenye iyo nyumba hakuchokeya zidisha kuomba Mungu atakupiganiya ile nyangarika isikupeye stress wewe ndo mama mwenye nyumba nakingine unawatoto watamnyoosha uyo nyangarika anayafanya kwasababu watoto wengine wakombali. ilawakaye wakijuwa watoto hawawezi kuona mamayawo anateseka juyaiyo nyangarika.
Heri akiwa nje afanye kesi akiwa nje,nawakimuua or wampangie mengine mabay.
Lakini ata huyo Kelly seems kuna charm anatumia haiwezi kuwa Bure
16:49 Lazima sheran ashindwe hana nguvu kuliko Mungu mwenyewe kuna ushindi wa Mungu wataona ya Mungu ako hai
Mam jipe nguv wanaume ndo wako hiv hawachagui mda kubadilika
Huyo mwanamke sio mlima wa Mt kenya eti hawezi vunjwa vunjwa
USICHOKE NA MAOMBI ATASHINDWA ITA WATOTO WAKO TAFADHALI MUUNGANE
Mama Derick toka Kwa hii nyuba, maybe mungu anakutoa kwa sida
Mama derick huyo mwanamke akule nyasi cox anakudharau sana, nipeeni namba ya huyu mama aki nimuonyeshe njia ya kupitia cox huyu mwalimu amemwaribia familia
Usitoke nyumba yako hata afanya aje ,that's what she wants to press you utoke kilete hiyo mdomo kubwa kwako,achana nao
Waaaaaaah hii aky n mbaya sana nafeel ile pain mama derick anapitia haki
Mama derick pz tafuta pastor aobee nyumba yako
Mama Derrick enda maombi Uganda kwa kakande iyo mambo itafika mwisho
Teachers days are.numberd. haezi chezea nyuba ya mama derrick n awe sawa. Mungu ako hai n anaona.
Utafikiri comedy kumbe kweli
Pesa ya mapepo ni mbaya. Bado unataka kuendelea kukaa kwa pesa imefanya watu wauawe?? Mungu anawa expose na pesa zitaisha zote.
Eti utoke juu ya mwalimu! but how? Dnt move put coz of that evil woman
My opinion separated na mzee kwa muda before too late then utapata jibu kama utarudi au la ! Please mama Derek isije ikatokea mambo pengine please please
Jay saidia uyu mama ita uyu muganga wakebyeji amusadie mama Derick
Jay toka hapo haraka! Wacha kukaa happ ukisifu utajiri wa shetani 😢😢 pengine hiyo unakunyua si soda, ni damu ya watu😊
Mam jipange tuy huyo mzee achana nae anatafuta ukimwi tafuta nyumba ukae mzee hayuko saw
Hyu kinyangarika anakuja kwa wenyewe kwa force mm maiti 2 six fity ifanye kazi
mama Derrick usiskize mambo ya huyo mwanamke alafuu si mama uende ma juu kwa watoto wako
Jay tafutia mama derrick pastor aende uko kwao waangushe maombi hizo pepo zitoke naikiwezekana mzee atayeye akuwe apo adi mnaweza mfunga na kamba ii ni too much
Mama Derick continue prayer God atafanya njia pasipo na njia apa n maombi 2
This so called mwanamke ya mtu hana aibu kwa boma ya yenyewe na same maroon open at every episode or it's for confusing ati gavana of which ati uko na pesa shame on you,may you never have peace hadi kwa labor ward, first wife's 😢😢 tear'say never have PEACE AND MAY THUNDER STRIKE YOU 😢😢😢😢 23:57
Mama derrick achana na hao watu we muondokee kwanza maybe ni kamuti huyo mama amemshikia lakini ukitoka usiache mtoto maybe uyo mwanamke anataka ajue accounts za uyo Mzee akishapata Doo atoroke
Mum ni wa Nyeri kweli ama watu huwa wanaonea wa nyeri tu? Hauku jipsnga mapema?
Mama nakusihi usikate tamaa kama anavyosema Director J vumilia mama
Ni uchawi mum....Na itaisha.....in Jesus name.
..
Mama Derrick mungu amekufungulia mambo hukua unajua , simama na umshukuru mungu useme hutalia tena kwa sababu yeye ndio mshindi