Hongera mdogo wangu neema mungu akujalie bt mi nalalamika richa ya kua mwenyekiti wako wa assa tawi na kakaako tena rafiki yako mkubwa haukunipa taarifa kua unafunga ndoa ila yote mema kikubwa nakuombea kwa mungu akulinde na kkutia nguvu ili usimame vema kwenye maisha yandoaaaaa amina sana na hongera xana
AHSANTE ahsant ahsante🙏🙏 hakika nimebarikiwa sana na huu wimbo jamani nimeelewa mm mwezenu nimepata kitu kupitia hii nyimbo barikiwa sana kwa huu wimbo moyowangu unaamani leo jaman tar 28/6/2020
Huyu binti nampenda hasa katika wimbo wa "Yohana aliona mji ..." Hongera kwa kuanza nyumba. Maulana aibariki ndoa yenu, maana mmeaianza katika msingi imara, Yesu akiwa Jiwe lenu la pembeni.
Wenda ningependa nijue wangapi wenu,,muimbapo hizo nyimbo zenu,,Mnajua wangapi maelfu wa watu, munawaong'oa?Basi itoshe tu kusema hongera sana tena sana Iwe juu! MBINGUNI,,Amina
Nataman na ww ungeimba daaah....Nyarugusu nawaombea msiolewe mbali na kwaya yenu
Nice one listening and following from Kenya 🇰🇪. Meanwhile hongera Sana ay nyarugusu
Hongera sana mrembo.Napenda huyu binti sana.Mungu na aibariki ndoa yenu.Kutoka Umoja Sda Kenya
Hongereni Sana Maharusi,. Bwana Mungu awabariki.
Nyumba yenu idumu ktk maombi daima.
Ujumbe Yoshua 24:15
Barikiwa sana AY NYARUGUSU,MUNGU hakika anaiona kazi yenu atazd kuwaongoza
Hongera mdogo wangu neema mungu akujalie bt mi nalalamika richa ya kua mwenyekiti wako wa assa tawi na kakaako tena rafiki yako mkubwa haukunipa taarifa kua unafunga ndoa ila yote mema kikubwa nakuombea kwa mungu akulinde na kkutia nguvu ili usimame vema kwenye maisha yandoaaaaa amina sana na hongera xana
AHSANTE ahsant ahsante🙏🙏 hakika nimebarikiwa sana na huu wimbo jamani nimeelewa mm mwezenu nimepata kitu kupitia hii nyimbo barikiwa sana kwa huu wimbo moyowangu unaamani leo jaman tar 28/6/2020
Hakika 🙏🙏
Always i feel peace in my heart when listening songs from my church choir ,AY be blessed ALOT
MUNGU AWABARIKI SANA WANANGU, ENDELEENI KUMHESHIMU MUNGU NA SISI WAZAZI! MRS URIO
Hata mimi nakuja kuoa kwenye kwaya yenu ili mniimbie, maana mnanikosha sana Hongereni nyinge kwenu❤️❤️❤️❤️🎁🎁🎁
Excellent composition to God's glory.
Heee, hongera sana Mwalimu wangu kumbe umeshafunga ndoa. Mungu awe nanyi ktk ndoa yenu
Yaani ad raha💕💕💕♥️♥️♥️
Hongera kwenu na Mungu awajalie katika familia yenu changa.
Amina
Hakika huwa nikitazama hii kwaya natamani uimbaji wangu ufanyike nanyi
@@nyarugusuaychoir1665 God bless you all
Woooow mmeimba vzr sanaaaaa ay nyarugusu hongeraaaaaa sanaaaaaa Neema mungu aibarik ndoa yenu
Congratulations to the new couple
Amen
Hongera @Neema Andrew mwenyezi MUNGU, akutangulie mpz ndoa njema,
Hongera hongera
God bless the couple,though I don't understand the language but I enjoy listening to the song,God bless you, watching from south africa
God bless you because of your ministry proceed to keep the taste of god music
Hongera saana Maharusi
Congratulations to the new family, Awesome pice. +254
Rahabu unaimba yaani 💕💕💕 hadi natamani kuimba nanyi
Haipiti siku sijasikiliza nyimbo zenu MUNGU awainue kiwango zaidi ya kiwango
Nice song God bless you
Please don't miss translation to English in your next videos. We like yours songs but would love to the full massage
Nyie watu ni balaaaaa
MUNGU awe nanyi
Mbarikiwe wana ndoa na waimbaji pia mungu awabariki🇰🇪
Nzuri saanaaaaaaaaaaa. Hongereni
Best wedding song ! baraka tele
Sauti ya pili wameimba ktk umaridadi mkubwa sana
Nampenda sana huyu dada ,,, Neema Uwe na maisha mema
My choir
Mimi pia nasema Hongera hongera sana
Congratulations
Amen and Amen
Hongera neema
Hongera sana
Hongera neema
An empowerment
Nyarugusu hoyeeeeee
Hongereni na kwenu pia waimbaji woteeee wa AY Nyarugusu, mmeimba vizuri.
BWANA AIBARIKI FAMILIA HII MPYA, WAIMBAJI WA AY NYARUGUSU MNATUBARIKI SHAMBANI MWA BWANA WA MAJESHI
Lutema Hindia Kaje ,,,mnaendeleaje na Beata wetu huko??
Hongera sana kwa ushindi wenu.Bwana awabariki na awapiganie hadi mwisho wa Safari.
Lutema,vipi Beatha wetu jamani tumemmisi
Amen
@@veronicaenock7292 MUNGU NI MWEMA
Hongera Neema
Itoshe tu kusema
"Hongera hongera sanaaaa"
wimbo tamu sana
Nawapenda Sana
Mungu awe nanyi
amen
wow😘😘🙏🙏🙏
Amen
Hakika ushindi uko kwa Mungu hongera sana
Hongera sanaa nimeipend
Instagram account hatuwaoni jmn .....mnaimba vizuri sana
Hongera sana Neema,
Good job congratulations Ay nyarugusu
congratulations
Huyu binti nampenda hasa katika wimbo wa "Yohana aliona mji ..." Hongera kwa kuanza nyumba. Maulana aibariki ndoa yenu, maana mmeaianza katika msingi imara, Yesu akiwa Jiwe lenu la pembeni.
Umejuaje mimi pia hyvyo hvyo ule wimbo aliutendea haki
Hongera sana.
Hongera sana Mungu awaimarishe mdumu katika furaha
Hongeraa sanaa
Hongera sana..Utukufu kwa Mungu
Ameen, Huyu ni mwlm wng htaa siamn.
Congratulations
Hongera hongera saaana!
Neema jaman nmeimiss hii but hongera sanaaaaaaa wizoooo
hongera sanaa daa neema. Mungu aibariki ndoa yako
Hongereni Sana nyarugusu huwa mnanibariki Sana.
Helloo!!nyarugusu hamjamboooo!! Naomba number za mtunzi wa nyimbo zenu,,,Ahsanteni sana waimbaji wote wa kwaya ya nyarugusu,,,Karibuni Bunda,,
Hongera sana nakupendaga sana kwenye ile nyimbo ya mji mtakatifu
Congratulations. May God continue to bless your marriage
Mbarikiwe Kwa wimbaji uliotukuka nawapenda Sana
Hongereni sana ,sasa nami nakuja hapo nyarugusu AY kutafuta figa
Hahahaaa karibu sana
Asanteni kwa ukaribisho (tuombe kheri) soon ntakuwa hapo
Hongera sana
May God bless Nyarugusu AY choir, I am being blessed as I stay at home because of Corona Virus
Pianist ,mtunzi na sauti zenu hunijaza nguvu sana
Hongera nanyi nyarugusu
Hongera hongera sanaaaa😍😘😍♡♡
hongera sana Utukufu kwa Mungu.💞
Waaaaaw God bless these familly❤❤❤
Yaaan hili goma n kali saaanaa🤣🤣🤣🤣
Huu familia wanaendeleaje
Hongera Sanaa binti neema
GOD with u ❤❤❤❤❤❤❤ y0u do well
Mubarikiwe sana,
Good I love this choir
Nice mbarikiwe
Wow!!!!Hongera...hongera
amina kubwa
Am blessed
Wenda ningependa nijue wangapi wenu,,muimbapo hizo nyimbo zenu,,Mnajua wangapi maelfu wa watu, munawaong'oa?Basi itoshe tu kusema hongera sana tena sana Iwe juu! MBINGUNI,,Amina
Barikiweni sanaaaa.I like it.
Hii nyimbo katika nyimbo za ndoa mlizo wahi kuimba hii inakonga moyo mtunzi naomba popote alipo heshima kwake
Amena
Nice song
Beans awalinde ktk ndoa yenu.
Dumuni katika maombj ba nyumba yenu iwe ya Sala siku zote.... Hongereni Maharusi
Mubarikiwe sana
Very congrats!
Hongereni Nyote, Bwana azidi kuwapigania na kuwabariki hata ktk kazi za Mikono yenu.
Mbarikiwe ay Kwa nyimbo nzuri nabarkiwa xna
May Our Lord God Enlighten you, Ay Nyarugusu...a nice & Gracious song on Marriage Counsels.
Congratulations mungu awe upande wenu👪
Iko furaha katika familia hii mpya AMinaaa
Hongera sana, Mungu awe kiongozi wao