ALKA MBUMBA - UWEPO WAKO UWE NAMI (NIGHT OF EXODUS LIVE PERFORMANCE)
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- UWEPO WAKO, by Alka Mbumba kutoka DRC Congo.
Ilifanyika kwenye ibada Mkesha wa kumaliza Mwaka 2021 na kuukaribisha 2022, katika kanisa la The Reality of Christ- Sinza Mori Dar es Salaam.#RocWorshipperz#AlkaMbumba#UwepoWapo
The song is calling for deeper dimensions of dwelling in the presence of the Lord🔥🔥🔥
Hata usiponipa nilichokuomba...uwepo wako uwe nami
Baba ni ombi la moyo yangu kwa Hali yoyote Ile yesu uwepo wako uwe pamoja nami❤
May your presence God be with us 🙏
🙌🙌There is no language barrier in the presence of God
Umwepo wako uwe nani🙏🙏
So deeply 🔥🔥🔥🔥🔥May God bless you servant of God 🙏🙏🙏
Powerful💪🙏🙏....full of blessings....i just can't count how many times i have repeated the song..God bless you man of God
No one noticed the couple praying together in the video? So touching 🥹🥹🥹
Ombi langu bwana wangu pekee yangu sitaweza uwepo wako bwana uwe na mi🙏🙏🙏🙏🙏
Song of my whole life ,Uwepo wako Bwana uwe nami
This is the 🎵 🎶 🎵 I've been looking for. Uwepo wako uwe nami
Wow.....thankyou.....
We follow you like u can't imagine
#nakuru kenya
Kenya 🇰🇪 Nairobi tuko locked.Looking forward to hosting you in my CEO's Worship ina cycle ministry
Hujaniacha bwana wangu
Nimebarikiwa
Hallelujah 🎉🙌🙌🙌
My man from Congo be blessed 😢😢😢
Uwepo wako bwana uwe nami🙏🙏🙏🙏
Nice song indeed so touching
Like it God bless🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
More powerful
Woow
O😊
Hata usiponipa nilichokuomba Bwana wangu, uepo wako uwe nami nisikutende dhambi ee Mungu
Huu wimbo hunitia nguvu sana ,i like it coz it makes me to to be closer to God ❣️❣️😭😭
This song is really blessing my soul. It's been on my repeat list since I heard it Last Sunday.
Got me at the right time,,31st 2023 uwepo WA Mungu uwe nami huu mwaka wa 2024
Uwepo wako bwana uwe nami ,huwe na kizazi changu, kazi yangu .hili ndilo ombi langu bwana
Amen 🙏
This song blessed me so much because when sang it or listen it I also see the God's power blessing me and my family
Amen and amen. Very powerful song. I heard this song yesterday in youth conference of MASENO NORTH diocese held in maseno school. I tell u the whole room was fire for 30mins. Uwepo wako bwana
😭😭😭😭😭 uwepo wako Bwana uwe nami siku zote za maisha yangu
Hata hali ikiwa ngumu nisaidie nisiache njia zako,uwepo wako uwe nami bwana amen 🙏 🙏 🙏
Even at this point when I feel am too far from you Lord, Ombi langu ni uwepo wako Bwana uwe nami.
Acha ijulikane nilibaki na Wewe mengine yote yanaweza toweka lakini nikibaki na Wewe ni salama. Uwepo wako uwe nami🙏
A gospel song, ezali byee .... Lingala naipenda sana sana #mbuba
As I cross into the new year 2024..my Lord, Just like Moses, I refuse to go alone, may your presence be before me, around me and within me. Uwepo wako Bwana, uwe nami! Amen🙏
Ombi langu,Uwepo wa Bwana uwe nami
Blessings to you Mbumba, I really can't make it alone
Niliskia wakiimba church ikanibamba tuu ikabidi ni search🎉
Me too. Na ipo kwa playlist yenyewe inajirudia tu for more than 2hrs. God is powerful 🙌 🙌 🙏
Nimebrkiw San uwepo wako uwe nami ✋🤚
Tumesubiri sana huu wimbo Acha utoke tu daa
Kwa kweli
Even my self i was waiting for this
This is my prayer this month and year, Uwepo wako bwana uwe nami
Ushaapokea
nilipokea
@@uswiinathaniel7779
I am a Zimbabwean but when i read the title of this song i knew it had to do with the presence of God. Alka God bless you for this son🇿🇼🇿🇼🇿🇼
It's a Kiswahili song,saying my prayer is that your presence my go with me every time coz alone I won't make it
You're a blessing to many Alka with your band.. God Bless you
Ombi langu bwana wangu,peke yangu sitaweza,uwepo wako uwe nami🙏🙏
What a powerful and uplifting song..So powerful🙏Thank Lord for speaking to us through this Song❤️I love you lord
Let the presence of God be with me when I face storm
Uwepo wako bwana uzidi kuwa nami...nisiangamie Jehova🤦
I'm blessed
Baba uwepo wako uwe nami siku zote za maisha yangu
Praise leader Leo aliimba hiii ikabidi nijw nisearch It's powerful 😭😭
Baada ya kuimba praise kanisani kwetu nimekuja kuisatafuta
Mimi pia niliskia wakiimba Jana kanisani,ndio nimekuja kuitafta Leo,it's a very powerful song
Very powerful 🙏
Same here
Mimi ni leo wapendwa KKKT Mbez Luis
I tap the Announting of true worship🎉🎉may God walk with us this year🎉
This is fire..... Pekeyangu sitaweza,uwepo wako Bwana uwe nami..
powerful! leo imenibarik saan hiii✔
This song is just timeless ❤.
Every day it comes with new power.
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙌🙌🙌🙌🙌
Peke yangu siwezi, usiende mbali nami bwana...🙏
Amen my mentor i like the way you compose this song
Yan nimeamka najiskia kuuimba 2 ,uwepo wako uwe nami bwana
Kwa akika bila uwepo wako...Bwana sitaweza🙌🙏
Barikiwe sana na nimebarikiwa sana
What a powerful song to transform lives of many,,be blessed man of God for the song
Uwepo wako bwana uwee namii. Kubwa sana hii
Uwepo wako bwana uwe nami oooh asante baba kwa uwepo wako
Nimesikia ikiimbiwa at the background wakati prophet rolinga aliwa inanakiliwa tabiri alizokuwa ametoa na kutimia hivi karibuni.Kwa ivyo nika search iyo wimbo nikaipata.Hii hapa sasa.
Nani kama mungu?Hakuna.
Powerful worship
A powerful song! That's my prayer. Uwepo wako bwana uwe nami.
Uwepo wako Bwana uwe nami.Thank you Lord
Uwepo wako Bwana.....usipoenda nami, mimi siendi....uwepo wako, uwe nami....maishani mwangu.... powerful.🙏🙏🙏
Uwepo wako tuh yesu uwe nami ...
May your presence go before me , besides me and all around me my God.
Alka Mbumba ulindwe na mungu zaidi bro.
Uwepo wako bwana uwe nami oooh im blesseb
Your presence Lord, be with me(Uwepo wako Bwana, uwe nami)
Qq😅 4:03
I heard this song when I attended Embu for Jesus kesha it's powerful,,,uwepo wako Bwana uwe nami
Uwepo wako bwana uwe nami
woow powerful
May the presence of My Merciful GOD be forever with me
Emen uwepo wakp uwe nami
😭😭😭😭 woooow I just love the annointing...and the message Amen Amen I possess
Uwepo wakó Bwañà uwe na mii
We appreciate to you servant of God
May almighty God take you the next level , Beatrice your most welcome to TFM church you perform this song ,❤
Khaaaaaaaai 😢
Uwepo wako bwana uwe na sisi sote na na Dunia nzima baba zuiya hizi mvua zenye kuleta maafa baba
Haleluyaaa
So powerful, Glory glory glory!!
Uwepo wako Bwana uwe nami!!🙏🏼🙌🏾🙌🏾
Kila siku, Kila saa, Kila dakika, Kila sekunde uwepo wako Bwana uwe nami 🙏
Ombi langu bwana wangu, peke yangu sitaweza uwepo wako bwana uwe naami
Amen ombi langu bwana wangu pekeyngu staweza uwepo wako bwana uwe NAMI😭😭🙏🙏🙇
😭😭😭😭🙏
Niwe navyo nisiwe navyo peke yangu sitaweza, uwepo wako uwe nami
The song of the year❤
Uwepo wako Bwana uwe na nami
Kenya 🇰🇪 Nairobi tuko locked.Looking forward to hosting you in my CEO's Worship in a cycle ministry
Uwepo wako Bwana Uwe Na Johnpaul mume Wangu namimi pia.
To God be all the glory
Uwepo wako Bwana uwe nam ooh hallelujah 😭😭😭😭😭😭
Uwepo wepo uwepo wako Bwana UWE nami lifetime ❤❤❤
Ombi langu Bwana Wangu peke yangu sitaweza uwepo wako Bwana uwe nami