Комментарии •

  • @chikumaulid6476
    @chikumaulid6476 3 года назад +1

    Napenda majibu yako best Tena wakuache shoga,mungu ambariki mtoto wetu my

  • @irenesoka7102
    @irenesoka7102 3 года назад

    Umejibu vizur San my dr

  • @believeroppah744
    @believeroppah744 3 года назад +7

    Usimjadi mtu kwa muonekano wake Mungu anampenda

  • @mamuhngakoma9754
    @mamuhngakoma9754 3 года назад +1

    Hongera

  • @jorampeter6131
    @jorampeter6131 3 года назад

    Jaman kiukwel tuache unafk,kikatolik hairuhusiw kabsa,kwe2 jimbo la morogor angetolewa nje,,ifke mahal wazaz tutambue kuwa,kuwalea watoto kiiman tuweke umaruf we2 pemben,na uwezo pemben,tusitete vi2 vya ajab ajab kwa kuogopa umaruf wao,umaruf huo mbel za Mungu si chochote,viongoz wa kanisa musiogope umaruf wao kukemea yasiyofaa

  • @انبنداملبن
    @انبنداملبن 3 года назад +1

    Mashaallah mama na mwana mume nice

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 года назад +5

    Jamani irene uwoya umeongeza mdomo?sikuelewi nafahamu una lipa nzuri sana ila naona kama zimeongezekaivi au??

  • @aishaali8902
    @aishaali8902 3 года назад +2

    Hongera irene ila mdomo una nni alafu umri umesongea sana irene ama makeup

  • @magrethbenjamin4969
    @magrethbenjamin4969 3 года назад +2

    Si mngewalika watoto wote walio ungama pamoja jamn wakafuarah wote

    • @nurumanyota416
      @nurumanyota416 3 года назад

      Pointi nzuri kabisa hii sherehe mtoto alitakiwa kusherekea na watoto wenzie na sio na watu wazima wenye laana zao

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 3 года назад +5

    Hawa wasanii wamezeeka

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 3 года назад

    Mtangazaji una domo zuri

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +2

    Irene leo auja pendeza dear sura yko leo mmh apana iyo nguo uku juu aijakukaa poa kabisa yani

  • @superdrugtz
    @superdrugtz 3 года назад +2

    Shikamoo bibii

  • @adimmpole9439
    @adimmpole9439 3 года назад +2

    Mbona akina Paul na goodluck hamuwavai wakati wote wamenyoa denge????

  • @domiepisezini7299
    @domiepisezini7299 3 года назад +1

    MUNGU haangalii muonekano wa mtu anaangalia moyo wa mtu at icho kiduku xio xhida mbn watu tunaenda navyo misa

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 3 года назад +4

    AMEZEEKA KWELI KWELI SIKU ZIMEKWENDA

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 3 года назад +3

    Amembadilisha mtoto dini ni atari

    • @joanmgimba9500
      @joanmgimba9500 3 года назад +2

      Baba na mama yake ndoa walifungia msikitini au kanisani???

  • @abedysteven6910
    @abedysteven6910 3 года назад +2

    Kwa kuw huyo mtt mama ake n maaruf ndo mana wanapotezea

  • @jennifersindano5135
    @jennifersindano5135 3 года назад +1

    Kiduku ndio ukristo?utaenda mbinguni kwa kumwamini bwana Yesu sio kwa hairstyle.hao wanaopinga utakuta wao ni wachawi,wazinzi,wambeya etc hao ndio hawatauona ufalme wa Mungu

  • @gracemamuu5937
    @gracemamuu5937 3 года назад +1

    Sijui ni mekup haijakaa sawa au ndo dadayetu anazeeka kwa kasi namna hii🤔

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 3 года назад +1

      No minahisi slips imeongezka sijui umeongeza

  • @jaquelineclavery5155
    @jaquelineclavery5155 3 года назад +2

    Yaani airini uo mdomo umeuongeza umekuwa mbaya na pia umekuwa unawezasema mzee mwenzangu

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 3 года назад

      Na wewe umeona eh!mimi nimwona kama mdomo umeongezeka tangu jana yupo kanisani umeongea lips

  • @teddylameck21
    @teddylameck21 3 года назад

    Mtu anasema mtoto amebadilishwa dini wakat Iline na marehemu mume wake walifunga ndoa roman katolik tue tunapita tu

  • @amanichazy4047
    @amanichazy4047 3 года назад

    Kikweli kiduku sio ishu kanisani....

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 3 года назад +1

    Kusema tuu ukwel bila kusikia sauti uwez amini ni yeye umezeeka umekaa vibaya sana mdomo umefanyaje umekuwa kizee majanga haya 254

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 3 года назад +4

    Wewe si dogo janja alikubadilisha din leo umerud kundin tena au ilikuwa kiki!?bongo movie mna mambo

  • @mariamibrahim3162
    @mariamibrahim3162 3 года назад

    Irene ni mpole

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +3

    Mmh umezeeka mana sura imekuparama mdogo umekua mkubwa hhahahha

  • @polynjulius869
    @polynjulius869 3 года назад

    muonekano siyo tiga

  • @agnesbagaluha6293
    @agnesbagaluha6293 3 года назад +1

    Wow 😂😂🥵

  • @kenyalatelyupdatestv9770
    @kenyalatelyupdatestv9770 3 года назад +1

    niurimu

  • @iddyabduliy9150
    @iddyabduliy9150 3 года назад

    Han chochote mbn mnapend kuwakuza watoto wamasita vp watangazaji

  • @johnyty498
    @johnyty498 3 года назад +2

    kachoka😠😠kongolo

  • @adimmpole9439
    @adimmpole9439 3 года назад +1

    Mbona akina Paul na goodluck hamuwavai wakati wote wamenyoa denge????

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 3 года назад

      Sasa ile inafanana na huyu mtoto?? Huyu ni mdogo kwan wale ni watoto??