HOUSE GIRL EP 49 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 738

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 2 месяца назад +154

    Kama umeamka salama kabisa mwambie Mungu asante alafu like kidogo please 🙏🙏❤️😂

  • @CarolinePaschal
    @CarolinePaschal 2 месяца назад +51

    Leo nimeamua kucomment ❤ wanaompenda kai na zuuuh na baba kai gonga like😊

  • @pastorenockcharles8201
    @pastorenockcharles8201 2 месяца назад +9

    Tokea nianze kuangali movie, hii movie ya house girl nimeipenda sana, ina funzo kubwa, inaburudisha pia. Hongereni kwa kazi nzuri

  • @NchgFtma
    @NchgFtma 2 месяца назад +26

    Nimewahi leo hhhhh kabla ya lisali moja hebu naomba like zenu

  • @SifaelShengovi
    @SifaelShengovi 2 месяца назад +3

    Hongereni kwa move nzuri yaan inashawish sana kuendelea kuiyonaa leteni muendelezo

  • @davidkea5701
    @davidkea5701 2 месяца назад +29

    Mwa ng'ang'nai ma like kweli badala ya kuliza mbona thamthilia zengine zengine kama SIKU MOJA BAADA YA NDOA HAIJAMALIZWA. toeni maoni badala ya kudai ma like

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 2 месяца назад +1

      Nashindwa na hawa watu kabisa

    • @RogersRobert-x9w
      @RogersRobert-x9w 2 месяца назад

      Kwel yan hio sku 1 kabla ya ndoa at haielewek imefia wap

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 2 месяца назад +18

    Kai kua makin ucje kumbikiri mtt wa wa2 bado mdogo 😂😂😂😂

  • @ugenny125
    @ugenny125 2 месяца назад +26

    Heeeee jamanii amlali jaman au mlikuwa mnasbria house girl daah movie Kali kweli hii msnipe like ila kama mnaikubali tia like hapa

    • @JoymarzMakori-e4b
      @JoymarzMakori-e4b 2 месяца назад +1

      Tunaisubiri vinoma

    • @LoyceJastine
      @LoyceJastine 2 месяца назад

      Kuomba like tu kuangalia maudhui haaaa😒

    • @ugenny125
      @ugenny125 2 месяца назад

      @@JoymarzMakori-e4b ni atry

    • @ugenny125
      @ugenny125 2 месяца назад

      @@LoyceJastine mbona sjaomb

  • @UmmyShabir
    @UmmyShabir 2 месяца назад +19

    Jamani Leo mm nimekuwa wa mwisho naòmbeni like pia😂😂😂

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 2 месяца назад +5

    Jamani Kai hanataka hasali,, zuuh mwambia mwambia mumeo mutarajiwa mwanzo hafike nyumbani 🎉🎉🎉🎉nawapenda tu nyote

  • @AsteriaThobias-w2t
    @AsteriaThobias-w2t 2 месяца назад +4

    Jaman team Kai big up Xana aiseee mpo vizur mnaachia Kwa wakat!!!!!!🎊

  • @NaomyMollel-w3r
    @NaomyMollel-w3r 2 месяца назад +118

    Wanaosubiria ndoa ya Kai na zuu kwa ham tujuanee hapanaa kwa like jamn❤❤

  • @JenniferQueen-n2i
    @JenniferQueen-n2i 2 месяца назад +16

    Wakwanza ku watch your video nipeni like zangu

  • @jeskaoscar9423
    @jeskaoscar9423 2 месяца назад +19

    Jamani nimegundua watu awalari. Jana nimeisubiri iiii mpka ety nakuja sahz nakuta watu wengi Atari. Pleas bc naombeni like mae ata5🙏🙏🙏❤️

    • @MariaFelix-le7ph
      @MariaFelix-le7ph 2 месяца назад

      Daa naombeni mtoe ep ya 50 saiv bas kwan aiwezekani inanoga afu dakika chache inaisha aise jitaidini bas nimeipenda hii muvi hatar kai na zuul nawapenda sana mnavyoigiza

  • @mwajumasuleiman9767
    @mwajumasuleiman9767 2 месяца назад +3

    Jamani.msicheleweshe.
    Muv.tam.sana.hongereni.wapendwa

  • @DianaAnatos
    @DianaAnatos 2 месяца назад +19

    Nasubli ndoa ya Kai na zuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 месяца назад +7

    Hapo sasa mimba sio inababa wangapi kazi nzuri kend

    • @ThaBroski
      @ThaBroski 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @TeresaSefu
    @TeresaSefu 2 месяца назад +6

    Chiko kitakulamba kwaza kabsa ile mimba kwa candy syo yako upoo😂 alafuu wew chkoo ndo huna kzazi alaaaaaaAaaaah😂😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🤣🤣🤣

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 2 месяца назад +4

    Ambao wamekesha kama mii tujuane kusubiliaa house gril ❤❤❤

  • @LinahAssey
    @LinahAssey 2 месяца назад +26

    Wa 12 leo nipeni like ata 3 tu

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 2 месяца назад +7

    Sina tofauti na mzee magoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊

  • @rubniyi3551
    @rubniyi3551 2 месяца назад +12

    Kai jiongeze bhana mbona mihemuko huna 😂😂 hivi Kweli zuu unamuongelesha ukiwa mkavu hivo Kweli 😂😂

    • @tizojr7003
      @tizojr7003 2 месяца назад

      Duh hatar 😂😂

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 2 месяца назад

      @@tizojr7003 kaniboa bhana ye zuu ashaambia asali wasiguse sasa kai nae anajifanya kama haelewi 😂😂

  • @Aminaibrahim-d2w
    @Aminaibrahim-d2w 2 месяца назад +15

    Wakumi Leo jamon naombeni like zenu Nami jomoni😂

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 2 месяца назад +8

    Hya pumziken lkn zuu n Kai mjue nahitaji kuitwa shangaz harak iwezekanvyo cha mtume badae 😂😂😂😂

  • @josephinepeter706
    @josephinepeter706 2 месяца назад +24

    Chiko chiko chiko nimekuita mara 3 utaishia pabay chiko huna uwezo wa kuzalisha wew

    • @FaridaFocus
      @FaridaFocus 2 месяца назад +1

      Ila asavali kamubaribia candy

    • @DoriceDominic
      @DoriceDominic 2 месяца назад

      Nmecheka Kwa sauti😂😂😂😂😂

    • @mwanamisimwapula8392
      @mwanamisimwapula8392 2 месяца назад

      Namuonea imani aki

    • @BabaBabalili
      @BabaBabalili 2 месяца назад

      Oya kend atajuta xana 😂 af chiko ameyakanyaga😢😢😢😢😢 hana ngv za kiume hahahaha 😅

    • @BabaBabalili
      @BabaBabalili 2 месяца назад

      Unazani chiko atafany nn endapo atagundua kuwa mimba ci yake😊😊

  • @TonnyNyakile
    @TonnyNyakile 2 месяца назад +3

    Kwl wapo vzr Sana wanajitaid katika Kaz

  • @HafsaMasoud-j2x
    @HafsaMasoud-j2x 2 месяца назад +5

    Yani ukimuangalia kendi hata akiwa aongea inaonyesha kuwà hayupo sirias
    Muangalie machoni kwa umakini akiwa aongea 🤣🤣🤣🤣🤣 yani kama vile ataka kucheka

  • @Hadija-mg8de
    @Hadija-mg8de 2 месяца назад +3

    Candy Badirisha Iyo Nguo Jamani Eeh😅😅😅😅 Ndio Ushavulugwa

    • @ThaBroski
      @ThaBroski 2 месяца назад

      😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 месяца назад +17

    Ila mungekuwa mnaongeza dakk kdg au bas

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 2 месяца назад +103

    Sijawai pata like ata moja naombeni ata 5 tu❤

  • @GabrielMroso
    @GabrielMroso 2 месяца назад +5

    Sjawah. Kuona. Mwanamke. Aliekosa. Haibu Kama Kendy

  • @Fatumahassan-h5m
    @Fatumahassan-h5m 2 месяца назад +3

    Nawapenda sana ndugu zangu zuu nakupenda sana dadaangu hujambo like zangu ❤ from 🇰🇪

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +1

      ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @officialijang
    @officialijang 2 месяца назад +8

    HAHAHA NGOJA KISA AUZE NYUMBA APITE NA HELAA MTAKUJA KUNIAMBIA 😂😂😂😂😂

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 2 месяца назад +1

    Mke wa chiko maua yako🎉🎉🎉🎉

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 2 месяца назад +10

    Endereea kujizma Data Candy! Ondoka na mume wako Chiko

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 2 месяца назад +3

    Hongera sana zuu EP 50 twaomba leo

  • @JaneChaula
    @JaneChaula 2 месяца назад +5

    Zuu kama hana D mbili😅😅😅ety ka kai😅

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 2 месяца назад +9

    Kuna wanaume wanaongombania mimba na Kuna wanaume wanokataa mimba mmmmh

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 месяца назад +1

      Ila asilimua kubwa ya wenye kugombania mimba hua hawazalishi😮

  • @edsonmakweta6347
    @edsonmakweta6347 2 месяца назад +8

    “asilambe asali hiyo” bibi zuuh bana 😁🏃🏃🏃

    • @ThaBroski
      @ThaBroski 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

    • @edsonmakweta6347
      @edsonmakweta6347 2 месяца назад

      @@ThaBroski bibi hataki utani 😂😂😂

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze 2 месяца назад +4

    Zuu atapata ujauzito😂😂 nani anafikiria kama mm. Akijaribu tu ndicho kitu

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 2 месяца назад +93

    Ambao jana tuliokuwa tunachungulia chungulia kila mara episod ya 49 gonga like tujuane........😅😅

  • @HappfaniaJoseph-om8pm
    @HappfaniaJoseph-om8pm 2 месяца назад +2

    Jaman jana niliisubir sana mpak usik napenda sana hii story lov team kai na familia

  • @zaharahamadi3784
    @zaharahamadi3784 2 месяца назад +3

    Candy 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ unanifurahisha sana

  • @FranklineBaya
    @FranklineBaya 2 месяца назад +1

    Ndugu zangu mumecheza kwa hii movie 💯

  • @IddyMohamedi-w7i
    @IddyMohamedi-w7i 2 месяца назад +3

    Chiko ndio hana uwezo wa kuzalisha alaf anamchukia mke wake tayar kashauponza kama nimepatia gonga like

  • @NyamweruAlex
    @NyamweruAlex 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤🎉chko muàche utaj⁷uta😅 ķendy hùmjuwi etiiee

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 2 месяца назад +5

    Kay hupati kitu bnahhh asali yetu hailiwi hpo jitulze😂😂😂 afu unasema candy hana mamlaka wkati ushamkabdh nyumba hya kalalen aje awatimue😊😂

  • @PastoryPaul-yp3up
    @PastoryPaul-yp3up 2 месяца назад +7

    Kashapigwa Candy hati imesepa hyo

  • @TimotheoNdonde
    @TimotheoNdonde 2 месяца назад +9

    Jamani Leo nimecherewa Ata like 1

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba 2 месяца назад

    Asante sna kwa movie yenu nzuri naikubali sna hii movie ila jana mulituboesha kwa kwel

  • @VenidaYohan
    @VenidaYohan 2 месяца назад +3

    Imetishaaaa kaliii

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 2 месяца назад +3

    We chiko ww usimalize maneno utakuja kuumbuka ww ndo huna uwezo wa kuzalisha naona Mimi! Nimejifunza kitu hata mwanaume ni mgumba na mawifi punguzen gubu. Pole dada ila utazaa TU ❤❤❤

  • @SelemaniBaryambona
    @SelemaniBaryambona 2 месяца назад +1

    Jamani kiukweli nampenda sana chiko ni mzuli sana

  • @Reenkingu
    @Reenkingu 2 месяца назад +5

    Jmnii nipo naumwaaa but hiiii moviee najikza kuangalia

  • @Jackline-y6z
    @Jackline-y6z 2 месяца назад +1

    😢 pole mama chiko ndoa hizi jamani

  • @Rahema123
    @Rahema123 2 месяца назад +7

    Oyooooo 🤸‍♀️ penda shana mko vizuri manshaallah mfike mbali kwa uwezo wa allah 🎉🎉

  • @damianymkungu
    @damianymkungu 2 месяца назад

    kusema kweli hii movie imenipa hela niwashukuru na kuwapongeza kwa kazi nzuri nzuri na mungu awabariki🙏🙏🙏

  • @MonicaCyprian
    @MonicaCyprian 2 месяца назад +4

    Kimekulamba kendy hahahaaa😅

  • @SilviaJoseph-l8g
    @SilviaJoseph-l8g 2 месяца назад +6

    Wangap wanasem chiko han uwez wa kuzaa tujuane

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 2 месяца назад

      Muda so mrefu kitamramba we subiri

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ 2 месяца назад +115

    nyie watu mpo faster kama aitel nawakubali sana team Kai kama unawakubali kama mm tujuane kwa comment hapa sasa tuache kuomba like hazisaidii wazee

  • @officialijang
    @officialijang 2 месяца назад +3

    Kisa cha chiko na mkeo naona kinaniingia akili sanaa

  • @rizikikivumbi6499
    @rizikikivumbi6499 2 месяца назад

    Nawakubali sana team kai na nawapenda nyoote 🇰🇪🇰🇪

  • @RaiyahHamis
    @RaiyahHamis 2 месяца назад +6

    Candy unanifurahisha sana 😂😂😂

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 2 месяца назад +5

    37.daaaa Kai maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BahatAli-d6c
    @BahatAli-d6c 2 месяца назад +3

    Mshaanza kuboa sasa ipo kama ya kihindi haimalizi aaah

  • @Hidaya-os1pg
    @Hidaya-os1pg 2 месяца назад +3

    Candyyyyy😂 umeshikwa tai na chiko umekuwa mpole gafla😂

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 месяца назад +3

    Mbona haifunguki mliowahi mmeshaiona

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 месяца назад +2

    Tuaomba mtutorehe kwa wkt km mwanzo tunawapenda sana asateni kwa move mzuri

  • @irenestephen399
    @irenestephen399 2 месяца назад +16

    Wote hapa ifikapo 2099 tutakua tumekufa 😅au 3000😮

  • @abelymzumbwe
    @abelymzumbwe 2 месяца назад +20

    Tulio subilia sana Toka Jana tujuane Kwa like 👉👉

  • @asuminimiti
    @asuminimiti 2 месяца назад +7

    namim nimewah naomben like

  • @CastoChikoko
    @CastoChikoko 2 месяца назад +5

    We chiko ety king'ang'anizi kama magoma

  • @TabuBaya-mr4lx
    @TabuBaya-mr4lx 2 месяца назад +3

    Kai lazima afunge ndoa na zuu ndo hii movie inoge

  • @RazikeRara
    @RazikeRara 2 месяца назад +2

    Jaman nawapenda nmechelewa lakini naomba like moja

  • @ViolahKulwa
    @ViolahKulwa 2 месяца назад +6

    Chiko ameuwa mbavu zangu yeye king'ang'aniz kam mzee magoma

    • @MariamHamadi-z5l
      @MariamHamadi-z5l 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂 hatari sana

    • @ThaBroski
      @ThaBroski 2 месяца назад

      More fire 🔥😂😂😂

  • @TheresiaTitus-m1l
    @TheresiaTitus-m1l 2 месяца назад +2

    Halooh candy ashadhurumiwa hati huyo

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 2 месяца назад +3

    Nani kaona candy kachezwa na dadamachozi na mpenzi wake naona kwa mbali😅😅😅😅😅😅chiku chiku ,nakuita mara tatu aki😢😢😢😢

  • @HeavenlghtJohanson
    @HeavenlghtJohanson 2 месяца назад +1

    Chiko 😁😁😁😁et yeye ni king'ang'anizi 🤣

  • @WitnessMaile
    @WitnessMaile 2 месяца назад +1

    Jaman hii movie Kali sana nipen like zenu nazsubili🎉🎉

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 2 месяца назад +3

    Ndoimekia Tamu SS nilikuwa Makini Na kuagalia nyanya naye Kaya malizia haruc tunayo. Zuu uckubali kupeana asali kai angoje asali akabithiwe Na Bibi Aile vizuri Kwa Makini. Asante Bibi Kwa mwito wako.

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 2 месяца назад +4

    Huyu Bibi Yake Zuu kafanyaje hizo nywele zikawa nyeupe mbona bado kijana😂ila Candy ww umeshindikana kabisa 😅😅

  • @Oman-md4mz
    @Oman-md4mz 2 месяца назад +3

    Wa kwanza leo Masha Allah nipen like jmn

  • @StephansMbuthye
    @StephansMbuthye 2 месяца назад +3

    Wakwaza kutoka 🇰🇪

  • @MasauShida
    @MasauShida 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri Mr. Kai❤

  • @zainabkutwaa3327
    @zainabkutwaa3327 2 месяца назад +4

    Wakwaza nimewai naobeni laik zenu wadau❤❤❤ dazu ba kai

  • @MauwaAsese
    @MauwaAsese 2 месяца назад +5

    alafu man akili sana ya kuendeleza season atar ongeren zen wajumba

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever 2 месяца назад +7

    Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in the house anguka nayo

  • @tossynia
    @tossynia 2 месяца назад +3

    Candi ananifurahishaga pale akitamka baba wangu mkwe 🥰

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂😂😂😂😂etiiii najuwa kuowa sijuwi kuwachaaa

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🤣🤣🤣

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 2 месяца назад +3

    Cend cend una nyumba Wala mimba cend ww dishi la yumba la cend wallah chiko chiko mimba ya papa hyoo utajuta ww chiko zatiti wa Tash kama Tasha ❤❤ pambe tu. Tuna harusi mbili mwaka huu ya zuuu na zatiti

  • @ElizabethShadrack-ig4mz
    @ElizabethShadrack-ig4mz 2 месяца назад +3

    Na dakika tano tu na mm mnipe like zanguu

  • @WhitneyJuma-t5j
    @WhitneyJuma-t5j 2 месяца назад +2

    Upendo wa vuka mito ,, watu wawili katika mapenzi hata banda huwa nyumba 😊

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 месяца назад +1

    Mm nimechelewa lakin Kila anaeupenda huu mchezo tujuane HP please#

  • @WardaKhamis-gz5pk
    @WardaKhamis-gz5pk 2 месяца назад +2

    Hahaha Kisa akiuza nyumba na kukimbia na hizo pesa bila.shaka candy atakuwa chizi 😂😂😂

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂😂 bibi bana eti asirambe asali vile kai anauchu miezi sita candy alkuwa yuwambania

  • @AuntHaji
    @AuntHaji 2 месяца назад

    Nimewakubali mpo Fasta nimewapenda sana

  • @IrenSimon-p7i
    @IrenSimon-p7i 2 месяца назад +4

    Nangoja mwisho wa chiko

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 2 месяца назад +1

    Wow so fast i really like the updates and the way pipo conduct yourselves in amovie

  • @fatumamali2794
    @fatumamali2794 2 месяца назад +3

    Naomba like 5 tuu na mm

  • @BrendaMogambi
    @BrendaMogambi 2 месяца назад +3

    Yaani mtoto wa watu nimengojea toka jana Hadi nimejanganyikiwa kweli nani amekua kaa mm jamani mziwe ivoo.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪