safi sana diamond, uno vision, union abele ila soon watanzania wataelewa unachomaanisha, kusainiwa na records levels kubwa kuna fair make na pia hair make, but hasara zinaoverrate fail ikiwa utashindwa kuderiver mlichokubaliana,alafu hizo records label was ni wafanya bashera wanaangaliaonly faida ya walichoinvest kwako.. kuna wasanii wakubwa hata marekans wanalia na record label, mean the late prince alight sane na one of the biggest record label ib USA, for many years peak akapata authority ya umbilici nimbi take mwenyewe purple rain..... ni jambo tema kwh liba kusign record deal na sony, goodluck with that, but pia hiyo mikataba huwa inakwenda na mambo mengi sana, i hope alipata ushauri mzuri kabla na hajakurupuka kiuamuzi... all the best.
we ukifanya sio kosa wenzio wakifanya makosa,life alina get way moja,mwenzio nae hatatoboa kinamna nyingine harafu mwisho wa siku utaishia kuzomewa kama fiesta ya dar.
jameni Mimi cna team yeyote lakini mbona huyu diamond nimemwelewa anachomaanisha.....ameongea sence but mtampindisha bure.....pia Kiba hakufanya vibaya kusighniwa na Sonny
Kwa watu wasiojua ama kuelewa nini anachomaanisha diamond na nini malengo yake,watamdhihaki na kumlaumu sana.Ila mi nimemuelewa kuwa kwanini ukazane kutengeneza cha walioendelea badala ya kutengeneza chako ili siku moja nacho kije kuwa kama chao. Ukikazana kutukuza vya nje cha ndani kwako hakiji kukua.Diamond ana kitu kinaitwa ENTREPRENEURSHIP MIND sijajua kama nimeandika kwa usahihi ila napenda vijana wenye hiyo kitu. Kweli wana lengo la kuipeleka tz mbele. HONGERA DIAMOND KWA KUDADAVUA VIZURI SABABU ZAKO. sijaongea kishabiki ila nimebase kwenye ukweli
OK platinum but hayo meno bandia sio uongo usema kwel mpenz wa mungu yamekualibu saaan na sjui yal original umetowa lbda ungerdsha maan hat kutmka nako kam una kithemb,,,,,
huna lolote kwa mziki gani ulionao hao mastaa wa dunia walisaini na sony, unataka kusema nini pumbavu kila siku ujui hata chakuongea na hiyo mimeni na hilo domo kituko sio ww elimu ndio shida,
sada mosses mi hua nashangaa na hawa wanawake wanaompigania uyu mtu mi anitishia kamwe hpo wakati washuli ikiwa amaliza sijui iyo sura ikoje ebu mie nende nkaoshe choo
Bro u got the talent n hardworking bt those pettypetty things are disvalueing you..just be simple and let your music speak,,Yes u gat the heart of empowering young talents bt spoiling their behavior ,,anyway gud job broooo...
Tabia ya binadamu kama sio watanzania, ni kubadilisha point ya mtu wanayemchukia kutoka positive kwenda negative..I don't give a f about those teams ila huyu jamaa sioni kibaya anachokifanya na hakuna kibaya alichokiongea kwenye hii clip...Chuki zinaua fellas hebu tupunguzeni kidogo...
diamond mbona kama meno yana casium pia mdomo wa juu mdogo kwa wachina sasa inaonekana ipo sawa au sindano ya kunenepeaha mdomo iwe sawa na meno vumeyapara kasium
Hajamuongelee Mtu fulani,bali anataka kusema kuhusu kutokuwa na upendo kati ya Wasanii wa music wa sasa. c binadamu na uhelewa tuko nao na icwe ku2danganya na mambo yenu! leo kwake kesho itakuwa kwako au kwangu pia.
huo upuuzi...wewe na beyonce,chris brown na wengine waliopo chini ya sony music nani ana hela ya kujisimamia? maneno ya mkosaji...ndugu hujapata fupa lazma uongee pumba
jamani kila mtu anakasoro yake mung alivyo muumba yey yake dom na hay meno mnayo yasema napi ange kuw akibogoy piy mngesema yan ata ww unaye mtoa kasoro mwezio je ww umejiona au ww umekamilika jamn tusitowan kasoro aliy muumba ajamkosey wala ww uwezi muumbua jiangeliy ww kwanz ndiyo utowe kasoro chefuùuuuu
waelewa na watafutaji wa maisha lazima mumuelewe anacho zungumza ila wapuuzo musio jielewa na musio kua na hata mia akilizenu zimelala lazima mupayuke nakutukana coz nyie wenyewe uelewa wenu mdogo
labda km kwa uelewa mwimgine lkn kusaini mikataba km y sony wamefanya wasanii wakubwa n wenye lebo kubwa sana, km davido, kwa tafsiri ni kwamba mikataba hii bado inahitajika kwa wasanii, huo ndio ukwel
nampenda bure kijana wetu busara unayo tia bidii big fun of u from kenya
Mi diamond atishe domo zege sijui bla.. Blaa nampenda bureee.... 💕
Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi na zaidi king wa bongo mr Diamond.una roho safi sana
safi mondi u talk point dude
One love brother nimekuelewa sana
Ok safiii sanakka
Nakubari sana broo songa mbere
Love u dmond mungu akusaidie
He is a hero...anapenda watu kama vile anajipenda mwenyewe salute
nice sana brooo
Mdomo mkubwa mnafiki Wewe💪💪💪🙄🙄, toa icho kinwani ww
pole Ila acha wivu
ahsante sana mond kw kuwasaidia vijana wenzetu
good kamanda
👏👏👏👏👍👍💪💪💪 xalute 👑👑 Chibu Evara xaidiA wa2 ila baba yako uximxahau wew
kama wew cm mbinafisi msaidie baba ako basi nakuomba,au mmemfanya awe kiki yenu hyo maan hainingii akilini
msangi msangi 😁😁
Ishi utakavyo my brath huwezi kumzizisha kila mtu kikubwa namba moja awe Mungu bac
safi sana diamond, uno vision, union abele ila soon watanzania wataelewa unachomaanisha, kusainiwa na records levels kubwa kuna fair make na pia hair make, but hasara zinaoverrate fail ikiwa utashindwa kuderiver mlichokubaliana,alafu hizo records label was ni wafanya bashera wanaangaliaonly faida ya walichoinvest kwako.. kuna wasanii wakubwa hata marekans wanalia na record label, mean the late prince alight sane na one of the biggest record label ib USA, for many years peak akapata authority ya umbilici nimbi take mwenyewe purple rain.....
ni jambo tema kwh liba kusign record deal na sony, goodluck with that, but pia hiyo mikataba huwa inakwenda na mambo mengi sana, i hope alipata ushauri mzuri kabla na hajakurupuka kiuamuzi... all the best.
kujua kutafuta pesa hai maanishi you are so pensive hukacritisize wenzako kua makini,nyakati ni mashaka kesho hukishuka wapi utagarambuka
umekula ugolo kaka
we ukifanya sio kosa wenzio wakifanya makosa,life alina get way moja,mwenzio nae hatatoboa kinamna nyingine harafu mwisho wa siku utaishia kuzomewa kama fiesta ya dar.
Leohiiii richard .hamonyoko wamesepa wanazani watakuangusha ujinga wao tu
kwasasa kaisha zamuya watu wanaoujua mziki kaweke domo pendng
jameni Mimi cna team yeyote lakini mbona huyu diamond nimemwelewa anachomaanisha.....ameongea sence but mtampindisha bure.....pia Kiba hakufanya vibaya kusighniwa na Sonny
asingilie mambo ya watu ndio mana amekuwa kama mama pekupeku
mama wa nyumba10 ila kwa sasa amesainiwa universal
Big up
Uyooo mwongo acha wivu mbona na ww umeenda kusainiwa na universal,boya ww ulisikia alikiba amesainiwa na Sony ukaona wivu bwege ww
CEO wetuuuu.. tunakukubali sana chibu. hands up for you
umezidi sasa kujipaisha mwenyewe subiri upaishwe siulisema wanasafiria nyota Ok yako mbona nawewe unasafiria zawenzio maana pasipo hao wakikataa pesa yako siunadunda acha upuuzi
Srey qeen
jibu kuntu Chibu👏👏👏
This dude is rich !!!
Unabeba anae bebeka aliking hana muziki tena yani kama ni bizaa bora ni nunue Best naso. D princ.Dogo kanja nk akauze mawese au majani ya chai kenya
Huyu ni mondi au nani jamani kama hata nyie mnaona hizo meno gonga like hapa jamaa kakonda sana simujui
Ama kweli ugoro Ni noma angalia hilo domo Na meno Dah shida wada tusije tukatumia ugoro JAMANI madhara ndo haya mmemuona uyo shaga domo lake
Mambo mengine usiige bwana iyo mijino veep
😂😁😀
Kwa watu wasiojua ama kuelewa nini anachomaanisha diamond na nini malengo yake,watamdhihaki na kumlaumu sana.Ila mi nimemuelewa kuwa kwanini ukazane kutengeneza cha walioendelea badala ya kutengeneza chako ili siku moja nacho kije kuwa kama chao. Ukikazana kutukuza vya nje cha ndani kwako hakiji kukua.Diamond ana kitu kinaitwa ENTREPRENEURSHIP MIND sijajua kama nimeandika kwa usahihi ila napenda vijana wenye hiyo kitu. Kweli wana lengo la kuipeleka tz mbele. HONGERA DIAMOND KWA KUDADAVUA VIZURI SABABU ZAKO. sijaongea kishabiki ila nimebase kwenye ukweli
unamtetea
Aslay
Kama unaamin alikiba hana ruhusiwa kuingia msikitin gonga like hapa
Msenge tu uyo
Mmm
OK platinum but hayo meno bandia sio uongo usema kwel mpenz wa mungu yamekualibu saaan na sjui yal original umetowa lbda ungerdsha maan hat kutmka nako kam una kithemb,,,,,
Safi
Ukweli kabisaa
that true
Simbaaaaa balao
WCB. alikiba hawampend kwasabab anawazid
Ukweli
Hayo meno vip mzee baba
mmh hayo meno yatowe tu mna domo limezidi alafu mate yana kutoka utazani huna meno
mumbo na mapesa Daa, pesa yamekosa lazi
he he he he noma sana babu mane kama bird man vile
ɷ I Haveee Watcheddd Thiss Movieeee Leakedd Version Heree : - t.co/EQMyZQlo5e
umeona eee doge la nn domo amuache kig kiba anyoshe mambo yake
Mwanamke Usafi meno kamaa kalaa ugoroo villee
wivu
Awez fata upepo wa king huyo bwege saiv atuli kalanga tunaburudika na @mofire enegy
Hujitambui kaka
Duuh kweli bana pexa n baba lao, yan mond kumbe ulikuw mbaya hvyo duuh Leo nmekubali!!
kilamtu ana maamuz yake na target zake so hakunamwenyekosa hapo
Di,, punguza kiki cyompango kwa upande wako pili meno uloweka baba mmmmh yanatisha jaribu kubaki na meno halisi baba umetisha hatari
huna lolote kwa mziki gani ulionao hao mastaa wa dunia walisaini na sony, unataka kusema nini pumbavu kila siku ujui hata chakuongea na hiyo mimeni na hilo domo kituko sio ww elimu ndio shida,
sada mosses mi hua nashangaa na hawa wanawake wanaompigania uyu mtu mi anitishia kamwe hpo wakati washuli ikiwa amaliza sijui iyo sura ikoje ebu mie nende nkaoshe choo
C useme umenyanyuliwa na zari,
Bro u got the talent n hardworking bt those pettypetty things are disvalueing you..just be simple and let your music speak,,Yes u gat the heart of empowering young talents bt spoiling their behavior ,,anyway gud job broooo...
Ulikuwa mbaya
Tabia ya binadamu kama sio watanzania, ni kubadilisha point ya mtu wanayemchukia kutoka positive kwenda negative..I don't give a f about those teams ila huyu jamaa sioni kibaya anachokifanya na hakuna kibaya alichokiongea kwenye hii clip...Chuki zinaua fellas hebu tupunguzeni kidogo...
kwa ww ulipofikia sawa yule hajafikia muache ila kumbuka haya maisha upo juu leo kesho....
Daaa hiyo mimeno kam unakula ugoroo
diamond mbona kama meno yana casium pia mdomo wa juu mdogo kwa wachina sasa inaonekana ipo sawa au sindano ya kunenepeaha mdomo iwe sawa na meno vumeyapara kasium
Duh
Roho mbaya tu, wivu uliopitiliza. kashindwa kujificha kareveal wazi wazi
We fala
😢😢
Huyu jamaa kweli Ngada Sana ilitaka kumuharibu bora sasa hiv kapendeza 🤓🤓🤓
Hajamuongelee Mtu fulani,bali anataka kusema kuhusu kutokuwa na upendo kati ya Wasanii wa music wa sasa. c binadamu na uhelewa tuko nao na icwe ku2danganya na mambo yenu! leo kwake kesho itakuwa kwako au kwangu pia.
Hayo menooo mmmh
Pamoja sana simba
Ama kweli iga kunya kwa tembo uchane takoo toa Ayo meno umekua Kama mvuta ugolo
kwani ayo meno mondi yanaleta uzuri wann au ujanjawann daa towa sije ukajipa mapengo
Duuuh ww shoga kweli menoooo hayo sio.
MINJINOO SAAASAAA BONGE LA KITUKO
big up Diamond mimi binafsi nakukubali saaana usiwaze mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe piga kazi baba wasikutishe kwa lolote uko vizuri saaaana
u
wewe ulipojishikiza kwa bilionea zari iliakupe pesa za kurekodia hakusema mtu but nao unadiss za mwenzako kweli nyani haoni kundule
we kwl hujielewi , uwe unaskiliza kwanza ndy comment usikurupuke tu
Wewe ulikuwepo alipodai izo pesa fala wewe
Wakat zari anakuja bongo! Mond alkuwa anajishkiza kwa nan? Au unatak uchambwe
Ukweli ndo huo anapend majisifu
mwanangu wepiga kazi usiwackilize wenye chuki za kimaskin washafeli kukushusha wanabaki kutoa majungu
Mh! Au huwa anapaka mekap 🙄🙄🙄
Hayo meno kama kala mavi yangu jaman ujana huo MUNGU asinijaalie
Nimeitafuta tena hii video Bada ya Mimi kununua meno yangu💎👑🇲🇿🇲🇿😍😍👑
😂😂😂😂
Kenge tu
shida yote ya nn bhana hayo meno mpaka unakosa pozi lakuongea unaupashida pia ulimi jmn mbona tynajuwa hela unaxo tu mpaka uweke mijino
Hey!! na jamaa hapa lilikuwa na mdomo mrefuu, hahahah😂🤣🤣🤣👉
huo upuuzi...wewe na beyonce,chris brown na wengine waliopo chini ya sony music nani ana hela ya kujisimamia? maneno ya mkosaji...ndugu hujapata fupa lazma uongee pumba
Jaman mond vip uwomdomo vipee
we nasib umepitiw na wakat
wee mnafiki hupendi maendeleo ya mwenzako
sasa huchoki hiyo shingo kuiweka hivyo ama waonesha tartu yako
jamani kila mtu anakasoro yake mung alivyo muumba yey yake dom na hay meno mnayo yasema napi ange kuw akibogoy piy mngesema yan ata ww unaye mtoa kasoro mwezio je ww umejiona au ww umekamilika jamn tusitowan kasoro aliy muumba ajamkosey wala ww uwezi muumbua jiangeliy ww kwanz ndiyo utowe kasoro chefuùuuuu
mond is up
I need to join wcb
akothee
Uko lite mond
Unaharibu meno makusudi au umeyavalisha gloves
waelewa na watafutaji wa maisha lazima mumuelewe anacho zungumza ila wapuuzo musio jielewa na musio kua na hata mia akilizenu zimelala lazima mupayuke nakutukana coz nyie wenyewe uelewa wenu mdogo
dah wivu ya wazi
Mimshabiki wamusic ya diamond lakini mvuto hana kabisa, sura nayenyewe inachangia kuwa namvuto, ila diamond hakujaliwa hiyo baati
sa amemthihaki wapi mbna ata sjaskia kitu kbaya apo
kweli wenye vipesa Wanamaovu sana meno kabadilisha ,kujichubua,navipuli mpaka vyapuani rudi kwa Mola wako nasibu umepita mipaka mtoto WA kiislam
Kweli maisha bila unafk hayaend sasa hapo dhihaka iko wap
wachache wenye akikili wengi hewafikirii bay the whey!
labda km kwa uelewa mwimgine lkn kusaini mikataba km y sony wamefanya wasanii wakubwa n wenye lebo kubwa sana, km davido, kwa tafsiri ni kwamba mikataba hii bado inahitajika kwa wasanii, huo ndio ukwel
watanzania hampendi mafanikio ...mnataka tuu kupindishaa kauli yake....mabwege kweli nyie