DIAMOND PLUTNUMZ AMDHIHAKI ALI KIBA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июн 2016
  • Baada ya ALI KIBA kuchukuliwa na SONY ,DIAMOND asema haya

Комментарии • 386

  • @nellynjeri4798
    @nellynjeri4798 8 лет назад +20

    nampenda bure kijana wetu busara unayo tia bidii big fun of u from kenya

  • @marywilson2357
    @marywilson2357 5 лет назад +3

    Mi diamond atishe domo zege sijui bla.. Blaa nampenda bureee.... 💕

  • @arapabaya6614
    @arapabaya6614 5 лет назад

    Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi na zaidi king wa bongo mr Diamond.una roho safi sana

  • @sifazakaria9305
    @sifazakaria9305 6 лет назад

    safi mondi u talk point dude

  • @eddybayzor5072
    @eddybayzor5072 6 лет назад +1

    One love brother nimekuelewa sana

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 8 лет назад +1

    Ok safiii sanakka

  • @fabriceirandinze2167
    @fabriceirandinze2167 3 года назад

    Nakubari sana broo songa mbere

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 лет назад +2

    Love u dmond mungu akusaidie

  • @mohamedkhadar7029
    @mohamedkhadar7029 5 лет назад +2

    He is a hero...anapenda watu kama vile anajipenda mwenyewe salute

  • @rosewilliam1094
    @rosewilliam1094 7 лет назад

    nice sana brooo

  • @patypatrice9154
    @patypatrice9154 2 года назад

    Mdomo mkubwa mnafiki Wewe💪💪💪🙄🙄, toa icho kinwani ww

  • @hilalyrajab7618
    @hilalyrajab7618 8 лет назад +1

    pole Ila acha wivu

  • @bachanmajiko4656
    @bachanmajiko4656 6 лет назад

    ahsante sana mond kw kuwasaidia vijana wenzetu

  • @mazikujr6286
    @mazikujr6286 6 лет назад

    good kamanda

  • @hamdanal-habsy745
    @hamdanal-habsy745 5 лет назад

    👏👏👏👏👍👍💪💪💪 xalute 👑👑 Chibu Evara xaidiA wa2 ila baba yako uximxahau wew

  • @africa7479
    @africa7479 5 лет назад +2

    kama wew cm mbinafisi msaidie baba ako basi nakuomba,au mmemfanya awe kiki yenu hyo maan hainingii akilini

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 5 лет назад

    Ishi utakavyo my brath huwezi kumzizisha kila mtu kikubwa namba moja awe Mungu bac

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 8 лет назад +5

    safi sana diamond, uno vision, union abele ila soon watanzania wataelewa unachomaanisha, kusainiwa na records levels kubwa kuna fair make na pia hair make, but hasara zinaoverrate fail ikiwa utashindwa kuderiver mlichokubaliana,alafu hizo records label was ni wafanya bashera wanaangaliaonly faida ya walichoinvest kwako.. kuna wasanii wakubwa hata marekans wanalia na record label, mean the late prince alight sane na one of the biggest record label ib USA, for many years peak akapata authority ya umbilici nimbi take mwenyewe purple rain.....
    ni jambo tema kwh liba kusign record deal na sony, goodluck with that, but pia hiyo mikataba huwa inakwenda na mambo mengi sana, i hope alipata ushauri mzuri kabla na hajakurupuka kiuamuzi... all the best.

    • @ambialofredinando1840
      @ambialofredinando1840 8 лет назад

      kujua kutafuta pesa hai maanishi you are so pensive hukacritisize wenzako kua makini,nyakati ni mashaka kesho hukishuka wapi utagarambuka

  • @jjuma3736
    @jjuma3736 4 года назад +1

    umekula ugolo kaka

  • @ambialofredinando1840
    @ambialofredinando1840 8 лет назад +2

    we ukifanya sio kosa wenzio wakifanya makosa,life alina get way moja,mwenzio nae hatatoboa kinamna nyingine harafu mwisho wa siku utaishia kuzomewa kama fiesta ya dar.

  • @johnemanuel2856
    @johnemanuel2856 3 года назад +1

    Leohiiii richard .hamonyoko wamesepa wanazani watakuangusha ujinga wao tu

  • @samsonitomas8932
    @samsonitomas8932 8 лет назад +1

    kwasasa kaisha zamuya watu wanaoujua mziki kaweke domo pendng

  • @mamawanyumba103
    @mamawanyumba103 8 лет назад +17

    jameni Mimi cna team yeyote lakini mbona huyu diamond nimemwelewa anachomaanisha.....ameongea sence but mtampindisha bure.....pia Kiba hakufanya vibaya kusighniwa na Sonny

    • @salehemkala7775
      @salehemkala7775 7 лет назад

      asingilie mambo ya watu ndio mana amekuwa kama mama pekupeku

    • @richtv9450
      @richtv9450 5 лет назад

      mama wa nyumba10 ila kwa sasa amesainiwa universal

  • @ramadhanirashid7798
    @ramadhanirashid7798 5 лет назад

    Big up

  • @rashidisalum3163
    @rashidisalum3163 3 года назад +1

    Uyooo mwongo acha wivu mbona na ww umeenda kusainiwa na universal,boya ww ulisikia alikiba amesainiwa na Sony ukaona wivu bwege ww

  • @legrandmsangi9789
    @legrandmsangi9789 5 лет назад +1

    CEO wetuuuu.. tunakukubali sana chibu. hands up for you

  • @azizaijumaa9267
    @azizaijumaa9267 6 лет назад +1

    umezidi sasa kujipaisha mwenyewe subiri upaishwe siulisema wanasafiria nyota Ok yako mbona nawewe unasafiria zawenzio maana pasipo hao wakikataa pesa yako siunadunda acha upuuzi

  • @erickjohn5086
    @erickjohn5086 2 года назад

    Srey qeen

  • @ashaherzog4488
    @ashaherzog4488 8 лет назад +1

    jibu kuntu Chibu👏👏👏

  • @sakiman8825
    @sakiman8825 2 года назад +3

    This dude is rich !!!

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 5 лет назад

    Unabeba anae bebeka aliking hana muziki tena yani kama ni bizaa bora ni nunue Best naso. D princ.Dogo kanja nk akauze mawese au majani ya chai kenya

  • @bonifacemollel4401
    @bonifacemollel4401 5 лет назад +2

    Huyu ni mondi au nani jamani kama hata nyie mnaona hizo meno gonga like hapa jamaa kakonda sana simujui

  • @fahadhassan7390
    @fahadhassan7390 2 года назад

    Ama kweli ugoro Ni noma angalia hilo domo Na meno Dah shida wada tusije tukatumia ugoro JAMANI madhara ndo haya mmemuona uyo shaga domo lake

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 5 лет назад +1

    Mambo mengine usiige bwana iyo mijino veep

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 8 лет назад +12

    Kwa watu wasiojua ama kuelewa nini anachomaanisha diamond na nini malengo yake,watamdhihaki na kumlaumu sana.Ila mi nimemuelewa kuwa kwanini ukazane kutengeneza cha walioendelea badala ya kutengeneza chako ili siku moja nacho kije kuwa kama chao. Ukikazana kutukuza vya nje cha ndani kwako hakiji kukua.Diamond ana kitu kinaitwa ENTREPRENEURSHIP MIND sijajua kama nimeandika kwa usahihi ila napenda vijana wenye hiyo kitu. Kweli wana lengo la kuipeleka tz mbele. HONGERA DIAMOND KWA KUDADAVUA VIZURI SABABU ZAKO. sijaongea kishabiki ila nimebase kwenye ukweli

  • @jakobopetro2881
    @jakobopetro2881 6 лет назад

    Aslay

  • @estherstephano3833
    @estherstephano3833 5 лет назад +1

    Kama unaamin alikiba hana ruhusiwa kuingia msikitin gonga like hapa

  • @geofreyndibalema6882
    @geofreyndibalema6882 5 лет назад +1

    Msenge tu uyo

  • @salamasefu9434
    @salamasefu9434 5 лет назад

    Mmm

  • @RoseMary-hp5bz
    @RoseMary-hp5bz 8 лет назад

    OK platinum but hayo meno bandia sio uongo usema kwel mpenz wa mungu yamekualibu saaan na sjui yal original umetowa lbda ungerdsha maan hat kutmka nako kam una kithemb,,,,,

  • @HalimaBalo
    @HalimaBalo 3 года назад

    Safi

  • @alvishype-fathe
    @alvishype-fathe 2 года назад

    Ukweli kabisaa

  • @amandusandrew543
    @amandusandrew543 8 лет назад

    that true

  • @nzabonimanadonacien3630
    @nzabonimanadonacien3630 2 года назад

    Simbaaaaa balao

  • @yohanajuma6109
    @yohanajuma6109 6 лет назад +2

    WCB. alikiba hawampend kwasabab anawazid

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 5 лет назад

    Hayo meno vip mzee baba

  • @familylove5417
    @familylove5417 8 лет назад +27

    mmh hayo meno yatowe tu mna domo limezidi alafu mate yana kutoka utazani huna meno

    • @izabellisa198
      @izabellisa198 8 лет назад

      mumbo na mapesa Daa, pesa yamekosa lazi

    • @haddysophiasson7530
      @haddysophiasson7530 8 лет назад

      he he he he noma sana babu mane kama bird man vile

    • @a24621560
      @a24621560 7 лет назад

      ɷ I Haveee Watcheddd Thiss Movieeee Leakedd Version Heree : - t.co/EQMyZQlo5e

    • @salehemkala7775
      @salehemkala7775 7 лет назад +2

      umeona eee doge la nn domo amuache kig kiba anyoshe mambo yake

    • @yamikankaleso9456
      @yamikankaleso9456 7 лет назад +1

      Mwanamke Usafi meno kamaa kalaa ugoroo villee

  • @johnsky1891
    @johnsky1891 8 лет назад +1

    wivu

  • @danteswaggztz3794
    @danteswaggztz3794 6 лет назад +2

    Awez fata upepo wa king huyo bwege saiv atuli kalanga tunaburudika na @mofire enegy

  • @abedysteven5397
    @abedysteven5397 2 года назад

    Duuh kweli bana pexa n baba lao, yan mond kumbe ulikuw mbaya hvyo duuh Leo nmekubali!!

  • @juliusmbaga5063
    @juliusmbaga5063 6 лет назад +1

    kilamtu ana maamuz yake na target zake so hakunamwenyekosa hapo

  • @roseignace9310
    @roseignace9310 6 лет назад

    Di,, punguza kiki cyompango kwa upande wako pili meno uloweka baba mmmmh yanatisha jaribu kubaki na meno halisi baba umetisha hatari

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 8 лет назад +1

    huna lolote kwa mziki gani ulionao hao mastaa wa dunia walisaini na sony, unataka kusema nini pumbavu kila siku ujui hata chakuongea na hiyo mimeni na hilo domo kituko sio ww elimu ndio shida,

    • @mesaidiabdallah2851
      @mesaidiabdallah2851 6 лет назад

      sada mosses mi hua nashangaa na hawa wanawake wanaompigania uyu mtu mi anitishia kamwe hpo wakati washuli ikiwa amaliza sijui iyo sura ikoje ebu mie nende nkaoshe choo

  • @sadahashim5296
    @sadahashim5296 6 лет назад

    C useme umenyanyuliwa na zari,

  • @Raj-xd6vk
    @Raj-xd6vk 3 года назад

    Bro u got the talent n hardworking bt those pettypetty things are disvalueing you..just be simple and let your music speak,,Yes u gat the heart of empowering young talents bt spoiling their behavior ,,anyway gud job broooo...

  • @hatibukasimu146
    @hatibukasimu146 2 года назад

    Ulikuwa mbaya

  • @AllyRashidyTunzay1
    @AllyRashidyTunzay1 8 лет назад +6

    Tabia ya binadamu kama sio watanzania, ni kubadilisha point ya mtu wanayemchukia kutoka positive kwenda negative..I don't give a f about those teams ila huyu jamaa sioni kibaya anachokifanya na hakuna kibaya alichokiongea kwenye hii clip...Chuki zinaua fellas hebu tupunguzeni kidogo...

  • @alexkadodsouza539
    @alexkadodsouza539 5 лет назад

    kwa ww ulipofikia sawa yule hajafikia muache ila kumbuka haya maisha upo juu leo kesho....

  • @DIweni
    @DIweni 5 лет назад

    Daaa hiyo mimeno kam unakula ugoroo

  • @vodacomhalotel8096
    @vodacomhalotel8096 2 года назад

    diamond mbona kama meno yana casium pia mdomo wa juu mdogo kwa wachina sasa inaonekana ipo sawa au sindano ya kunenepeaha mdomo iwe sawa na meno vumeyapara kasium

  • @jumasalum2722
    @jumasalum2722 3 года назад

    Duh

  • @johnliode7432
    @johnliode7432 8 лет назад +2

    Roho mbaya tu, wivu uliopitiliza. kashindwa kujificha kareveal wazi wazi

  • @pablohpaul560
    @pablohpaul560 10 месяцев назад

    😢😢

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 года назад

    Huyu jamaa kweli Ngada Sana ilitaka kumuharibu bora sasa hiv kapendeza 🤓🤓🤓

  • @jildow4533
    @jildow4533 8 лет назад

    Hajamuongelee Mtu fulani,bali anataka kusema kuhusu kutokuwa na upendo kati ya Wasanii wa music wa sasa. c binadamu na uhelewa tuko nao na icwe ku2danganya na mambo yenu! leo kwake kesho itakuwa kwako au kwangu pia.

  • @rayasmartcollection6630
    @rayasmartcollection6630 6 лет назад

    Hayo menooo mmmh

  • @eddybayzor4106
    @eddybayzor4106 5 лет назад

    Pamoja sana simba

  • @dicksongodfrey9009
    @dicksongodfrey9009 3 года назад

    Ama kweli iga kunya kwa tembo uchane takoo toa Ayo meno umekua Kama mvuta ugolo

  • @allyhussein9608
    @allyhussein9608 8 лет назад

    kwani ayo meno mondi yanaleta uzuri wann au ujanjawann daa towa sije ukajipa mapengo

  • @isihakamtaalam2099
    @isihakamtaalam2099 5 лет назад

    Duuuh ww shoga kweli menoooo hayo sio.

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 лет назад +1

    MINJINOO SAAASAAA BONGE LA KITUKO

  • @fptouchz7955
    @fptouchz7955 5 лет назад

    big up Diamond mimi binafsi nakukubali saaana usiwaze mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe piga kazi baba wasikutishe kwa lolote uko vizuri saaaana

  • @ambialofredinando1840
    @ambialofredinando1840 8 лет назад +11

    wewe ulipojishikiza kwa bilionea zari iliakupe pesa za kurekodia hakusema mtu but nao unadiss za mwenzako kweli nyani haoni kundule

  • @hamzajuma6568
    @hamzajuma6568 6 лет назад +1

    mwanangu wepiga kazi usiwackilize wenye chuki za kimaskin washafeli kukushusha wanabaki kutoa majungu

  • @felistanelson5373
    @felistanelson5373 3 года назад +1

    Mh! Au huwa anapaka mekap 🙄🙄🙄

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 3 года назад

    Hayo meno kama kala mavi yangu jaman ujana huo MUNGU asinijaalie

  • @kcgallery5502
    @kcgallery5502 3 года назад

    Nimeitafuta tena hii video Bada ya Mimi kununua meno yangu💎👑🇲🇿🇲🇿😍😍👑

  • @mrutamruta2896
    @mrutamruta2896 3 года назад

    Kenge tu

  • @fatihiyaawadhi1447
    @fatihiyaawadhi1447 6 лет назад

    shida yote ya nn bhana hayo meno mpaka unakosa pozi lakuongea unaupashida pia ulimi jmn mbona tynajuwa hela unaxo tu mpaka uweke mijino

  • @napsopinnzy7841
    @napsopinnzy7841 2 года назад

    Hey!! na jamaa hapa lilikuwa na mdomo mrefuu, hahahah😂🤣🤣🤣👉

  • @fahadbabuy
    @fahadbabuy 8 лет назад +1

    huo upuuzi...wewe na beyonce,chris brown na wengine waliopo chini ya sony music nani ana hela ya kujisimamia? maneno ya mkosaji...ndugu hujapata fupa lazma uongee pumba

  • @fatoomafatma6673
    @fatoomafatma6673 6 лет назад

    Jaman mond vip uwomdomo vipee

  • @salumhamad6846
    @salumhamad6846 3 года назад

    we nasib umepitiw na wakat

  • @user-eb1xi2qk8e
    @user-eb1xi2qk8e 3 месяца назад

    wee mnafiki hupendi maendeleo ya mwenzako

  • @user-mt4ff5fi8s
    @user-mt4ff5fi8s 8 лет назад +1

    sasa huchoki hiyo shingo kuiweka hivyo ama waonesha tartu yako

  • @seifsuleiman3866
    @seifsuleiman3866 4 года назад

    jamani kila mtu anakasoro yake mung alivyo muumba yey yake dom na hay meno mnayo yasema napi ange kuw akibogoy piy mngesema yan ata ww unaye mtoa kasoro mwezio je ww umejiona au ww umekamilika jamn tusitowan kasoro aliy muumba ajamkosey wala ww uwezi muumbua jiangeliy ww kwanz ndiyo utowe kasoro chefuùuuuu

  • @bachanmajiko4656
    @bachanmajiko4656 6 лет назад

    mond is up

  • @buddyjames8686
    @buddyjames8686 5 лет назад

    I need to join wcb

  • @albertmumbo3702
    @albertmumbo3702 7 лет назад +1

    akothee

  • @yvetteniyibigira3833
    @yvetteniyibigira3833 6 лет назад

    Uko lite mond

  • @fredgonga
    @fredgonga 4 месяца назад

    Unaharibu meno makusudi au umeyavalisha gloves

  • @rosemsuya7514
    @rosemsuya7514 8 лет назад +1

    waelewa na watafutaji wa maisha lazima mumuelewe anacho zungumza ila wapuuzo musio jielewa na musio kua na hata mia akilizenu zimelala lazima mupayuke nakutukana coz nyie wenyewe uelewa wenu mdogo

  • @disclosureER
    @disclosureER 8 лет назад +1

    dah wivu ya wazi

  • @selemanihussein5073
    @selemanihussein5073 6 лет назад

    Mimshabiki wamusic ya diamond lakini mvuto hana kabisa, sura nayenyewe inachangia kuwa namvuto, ila diamond hakujaliwa hiyo baati

  • @nellynjeri4798
    @nellynjeri4798 8 лет назад +2

    sa amemthihaki wapi mbna ata sjaskia kitu kbaya apo

  • @adammasero
    @adammasero 8 лет назад

    kweli wenye vipesa Wanamaovu sana meno kabadilisha ,kujichubua,navipuli mpaka vyapuani rudi kwa Mola wako nasibu umepita mipaka mtoto WA kiislam

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange1370 5 лет назад

    Kweli maisha bila unafk hayaend sasa hapo dhihaka iko wap

  • @sedrickpeter6134
    @sedrickpeter6134 8 лет назад +1

    wachache wenye akikili wengi hewafikirii bay the whey!

  • @gabrielsixtus1718
    @gabrielsixtus1718 8 лет назад

    labda km kwa uelewa mwimgine lkn kusaini mikataba km y sony wamefanya wasanii wakubwa n wenye lebo kubwa sana, km davido, kwa tafsiri ni kwamba mikataba hii bado inahitajika kwa wasanii, huo ndio ukwel

  • @medinovjr9639
    @medinovjr9639 8 лет назад +1

    watanzania hampendi mafanikio ...mnataka tuu kupindishaa kauli yake....mabwege kweli nyie