KAJALA AFUNGUKA YA HARMONIZE “PASSWORD ZA ATM, SIO KWELI, NIMETREND HAJAJA MJINI, SIJAUZA GARI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 212

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s Год назад +7

    Duh kama alimsaidia baba yako mzazi ndugu pungunza kmsema🙌🙌

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Год назад +9

    Ila Kajala mzuri Mashaallah ❤

    • @TZ123_king
      @TZ123_king Год назад

      kajala sio mwanamke mzuri unajua anaweza kuficha mambo aliyoyafanya

  • @boniphace6405
    @boniphace6405 Год назад +71

    Haya maisha huwa sio Sawa ukishakuwa na mwanamke au mwanaume ukiachana nae sio vizr kutangza mabaya ya MTU ambae mmetumiana wote kwahy sio pouwa nimtazamo wangu tu lakini🤸🤸🏃

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Год назад

      Ushamba tu wawasumbua hawa

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Год назад +3

      Sio vizuri kusema mtu vibaya na ukiangalia umesaidiwa nae vitu vingi ndo ushamba huo

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 Год назад

      Hawana maadili hao ni wahuni watupu wazinifu wakubwa hao

    • @redemptervictor5006
      @redemptervictor5006 Год назад +3

      Kweli kajala age goo!😂 Check shingo lilivomsimama alitukomazia konde wetu😢

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 Год назад +2

      @@redemptervictor5006 mlevi mkubwa huyo badala atafute wa kumuoa akaacha uhuni amrudie mola wake. Mpka mwanae anazini tu bila ndoa

  • @zahrayusuf5985
    @zahrayusuf5985 Год назад +22

    People have some respect kuwa mzee is not a crime any human being atazeeka tu labda ufe so leave her alone she's beautiful and healthy keep it up Kajala ❤you

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi Год назад +1

      I think she's been disrespected because of her lifestyle and behavior does not go with her age , whow can a mother and daughter be prostituting together it's very embarrassing .

    • @vanessastafford6426
      @vanessastafford6426 Год назад +4

      Hajazeeka hata kidogo, Mimi najuwa wazee wanafananaje. Wazeee Wana miaka 70 na sio 40. Yani kajala ana miaka mingine 40 ya kuishi. Tatizo la watu wanapenda watu wawe na tabia zao wao. Mungu anampenda hivyo hivyo ulivyo hiyo inatosha.

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 Год назад +1

      sasa miaka 40 ni mzeee🙄🙄🙄?

    • @zahrayusuf5985
      @zahrayusuf5985 Год назад

      @@vanessastafford6426 thank you

    • @Kayumba-ie1vu
      @Kayumba-ie1vu Год назад

      Ni kwel kbx 🥰

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 Год назад +11

    Kumbe hamo anamfatilia kajala alijuaje kama hatumii range

  • @jaysun8600
    @jaysun8600 Год назад +10

    Uko sawa mama... Imejibu kiutu uzima sana,, nakupenda

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Год назад +16

    nilichopenda dada hajaharibu sana hali ya hewa, anawaza na kesho pia. amekua

  • @QueenLyimo-hu4dj
    @QueenLyimo-hu4dj Год назад +14

    Ifike mahali tuwaheshimu wanaume waliowahi kutuvua chupi. Ipo faida ya kukaa kimya jmn...kwann ushindane na mwanaume aliyefanikiwa mpk kukuvua chupi....❤

    • @noelyrajabu105
      @noelyrajabu105 Год назад +3

      @QueenLyimo chukua maua yako🙌🙌🙌🙌🤣🤣

    • @sankawila2689
      @sankawila2689 Год назад +1

      totoo unaakili sana

    • @SudyKamonongo
      @SudyKamonongo Год назад +3

      Ukwel Toka moyon nitumie namba yako nikutumie Hela ya soda

    • @SudyKamonongo
      @SudyKamonongo Год назад +1

      Queenlyimo nitumie namba yako nikutumie vocha

    • @QueenLyimo-hu4dj
      @QueenLyimo-hu4dj Год назад

      Asanteniiiii kwa mauaaa...na chodaaaa

  • @lilamaganga2690
    @lilamaganga2690 Год назад +15

    Watu badala kuuliza Mambo ya Luna Sanitary wanauliza maswali tofauti na walichoitiwa Hii Nchi Ñgumu Sana

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim Год назад

      Ww ndo hujaelewa kabla ya press alisema nitazungumza yooote Kwahy shida Iko wapi

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu Год назад

      Ni kwaajili ya kubust hiyo habari ya Luna

  • @QueenLyimo-hu4dj
    @QueenLyimo-hu4dj Год назад +12

    Kajitahid lakin hajajibu vibaya hivyo harmonize anaweza asilewe, ila akilewa leo jmn...tutaenjoy😅😅

  • @MagrethThobias-fm8bm
    @MagrethThobias-fm8bm 22 дня назад

    🎉yes of course aliwahi ❤❤❤nimeipenda hiyo😂😂

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Год назад +12

    Shingo inaonesha ni mkubwa na sura pia mnatudanganya anaonekana mdogo ila kumbe zile filter 😂😂 ...

    • @estherkimario7940
      @estherkimario7940 Год назад +1

      Na kwel hapa kawa mzeee

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      Mlitaka abaki 20 kila siku, na kila siku masherehekea new years, bila mama ako kuzeeka wewe usingekuwepo,

  • @constancekarisa1605
    @constancekarisa1605 Год назад +4

    Kwaiyo kila kitu hamo alisema ni kweli basi sioni haja ya kumzungumzia vibaya kuweni na shukrani😅

  • @rorostratton8163
    @rorostratton8163 Год назад +2

    Smart move Luna…using trendy gossip to promote the product 👌

  • @emerencianalazaro3339
    @emerencianalazaro3339 Год назад +1

    Mimi naamini kajala ua a good mamy still, hata ufanyeje mamy is mamy to her daughter na naamini Paula she will be better than u now why wameface challenge, after solving hiyo challenge watakuwa better than other women, belive this Paula is good women .

  • @malosnsenga1764
    @malosnsenga1764 Год назад +30

    Kajala kweli kashazeka picha nyingi zinaboreshwa lakini Leo ndo nimeona kashazeka

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад +1

      sasa kwani ukijaliwa kuishi miaka mingi unataka umri ushuke omba Mungu na wewe uishi miaka mingi tuone kama utazeeka au utarud utotoni

    • @malosnsenga1764
      @malosnsenga1764 Год назад

      @@ikouwasi7644 nikushauri unyamaza kuliko kuongea sawa?

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 Год назад

      Kipi cha ajabu sasa

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      Hivi mna nini wewe hapo ulipo una miaka mingapi na mwakan utakuwa na miaka mingapi???

    • @malosnsenga1764
      @malosnsenga1764 Год назад

      @@mwitaagness455 mwaka huu niko na moja mwaka ujao nitabaki na kipande

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +6

    Waandishi Apoo mpoo kwa Ajir ya Luna pads ayoo masuala ya Kondee ilibidi baadae nje na hapoo Aaaah mada nzima imehamia kwa konde na sio Tangazo husika

  • @BLANDINATOGOLAI-j5u
    @BLANDINATOGOLAI-j5u Год назад +2

    Dada anatesek vibaya mno 😂😂😂😂😂😂 Dunia hii inazunguka

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Год назад +2

    Kiboko ya Harmonize ❤️❤️❤️❤️

  • @user-mp3vu3gg3e
    @user-mp3vu3gg3e Год назад +2

    Umejib vzur sana dada

  • @bakarirajabu2521
    @bakarirajabu2521 Год назад +14

    Sema kakonda kichizi😂😂😂😂😂

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Год назад +15

    Serious huyu Ni mzee nimependa vile kijana alikula kifaranga...

  • @judiththobias5132
    @judiththobias5132 Год назад +3

    Namuonea hurumaaaa huyu Dada anajikazaa tuuu

  • @ErastaJonasy
    @ErastaJonasy 11 месяцев назад

    Mwanamke nikiongoz ❤nimependa majibu yako

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Год назад +1

    Ila kajara mzuri tumbo flat shep kiuno yuko vizuri kuliko sie wenye umri mdogo tuache wivu mzuri hapo ajavaa wigi kanyoa tu

  • @dakihamaluta4159
    @dakihamaluta4159 Год назад +4

    Ila harmonize kamu trendisha Kajala tofauti na mwanzo na ndo ilivo Paula Kwa Rayvany Paula alikuw hajulikan kabsa ila wakijulikana wanawasahau walio wakuza majina

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад

      Acha uongo nyie ndo mmezaliwa mwaka 2000 kajala kaanza kujulikana kitambo kabla hata huyo hamo wenu hajazaliwa

  • @datty.wozaah865
    @datty.wozaah865 Год назад +1

    Kajala mbona analikunja lisula sanaaaa khaaaa 😂😂😂😂

    • @MagrethThobias-fm8bm
      @MagrethThobias-fm8bm 22 дня назад

      Anampenda Harmonize anjikaza tu masikini wewe sikia jibu la mwisho yes of course aliwahi 😂😂😂

    • @datty.wozaah865
      @datty.wozaah865 21 день назад

      @MagrethThobias-fm8bm hahahhaha yes ofcoz aliwqh hahaq

  • @mongai001
    @mongai001 Год назад +5

    To be honest tanzanian journalist please go to the point and ask a revelant question don't jump the bushes you should not attack and asking personal

    • @rasmissionary7518
      @rasmissionary7518 Год назад

      mi nashangaa mtu amekuja presser ya pads inageuzwa kuwa story za kuachwa...these guys need to revisit media ethics

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Год назад +5

    Huyu ni suoer woman, haitaji ndoa kuishi maisha yake. Kupanga ni kuchagua, uzuri yeye ana mind maisha yake. Mzeee mzeee Ana uzee gani wazee wana miaka 70 na sio 40

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад +1

      Wamkome mwanamke wawenyewe miaka 40 ati Mzee sasa sijui wazazi wao watawaitaje

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Год назад +13

    Wazinifu wakubwa nyote nyie hata hamuogopi mungu mmeyafanya mauchafu mengi tu kwakweli mrejeeni mungu wenu kwa kuyatupia mmeyafanya

    • @MagdalenaMathias-lw5bh
      @MagdalenaMathias-lw5bh Год назад

      Hongera yako wew msafi

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 Год назад

      @@MagdalenaMathias-lw5bh al hamdulillah nashukuru mola njoo Zanzibar wakusilimishe na upate mafunzo upate yajua mazuri na mabaya

  • @user-cy4qu5qk9h
    @user-cy4qu5qk9h Год назад

    My dear najua kwenye maisha kila moja anapambana kivyake lkn acha na maneno ya walimwengu angalia heshima yako na life yako

  • @faridamohammad004
    @faridamohammad004 Год назад +1

    Tbh with her facial expression she didn't like the question and she got a serious rage about his ex and yada yada..Anywho 😅

  • @kitejamayunga7645
    @kitejamayunga7645 Год назад +3

    Sasa hapa waandishi mnaharibu. Mmeitwa kutangaza biashara ya pedi Kwa ajili ya mabinti zetu, lakini mmehama Kwa kutaka kujua maisha ya kajala, hakuna journalism hapa

  • @ReynaMrema-qy3fw
    @ReynaMrema-qy3fw Год назад +1

    Proud of you mama P❤❤❤

  • @epamgaya4024
    @epamgaya4024 Год назад +7

    Ilaa tuseme tyuu ukwel kajala anajutia kuachana na konde coz alikuwa anauwezo wakupata pesa yamatumiz Bila kuhangaikia na alikuwa na MTU mwenye nguvu anayeweza kumfikisha hata kilelen😂 hata kama Hakuwa na mapenz nae ili kama alikuwa ana mjali it's the best things ss wanawake mwanaume akiwa ana kipato na anakujali it's all about Swala la sex na vingine Ni extra

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад

      Kweli ukikosa akili unabaki utatumia matako kuwaza wewe umetumia matako kuwaza ujinga

  • @happymerry8675
    @happymerry8675 Год назад +1

    Maswali yamekuwa too personal sio lengo la press kabisa😂😂😂

  • @MagrethThobias-fm8bm
    @MagrethThobias-fm8bm 22 дня назад

    😂😂😂yes of course aliwahi 😂😂❤ nimeipenda hiyo

  • @Vel42
    @Vel42 Год назад +6

    Wacha YESU arudi haraka social media imeharibu wengi juu naona kila mtu anaringa na kujipendekeza kwa watu na kujiona wa maana kuliko wengine,Mungu okoa watu wako😢😢

  • @richardkunambi
    @richardkunambi Год назад +3

    Kajala kwel umekua mm nimeipenda speech yako sio vizur kuongelea mambo ya chumban uko vizur

  • @user-nt3cl5ng3q
    @user-nt3cl5ng3q Год назад +1

    KAJALA❤

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Год назад +3

    Angekaa kimya angepungukiwa nini

  • @millenium-tz7151
    @millenium-tz7151 Год назад +1

    Sema frida kaanza kuzeeka

  • @user-og4wh1xr2c
    @user-og4wh1xr2c Месяц назад

    Hapa daa k...ulikpnda kiasi...mapenzi yanauma

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Год назад +3

    Hivi kwanini waandishi wetu mnapenda umbeya sana,hongereeni ubalozi wake

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Год назад +3

    Mim napambana na BABA YANGU ANIPE URITH NIJARIBU GAME KWA KAJALA TUONE

  • @iddykarimbi-we8qe
    @iddykarimbi-we8qe Год назад +1

    Kabla ya hamo alikua anafaamika so kwel kwanza mm ni memfaam kwasabab ya konde

  • @user-og4wh1xr2c
    @user-og4wh1xr2c Месяц назад +1

    Kajala kapunguwa

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz Год назад +1

    Vido vidox nakukubali sana

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Год назад +1

    Kuusu iloo nikwel sisi wazee wa cuba. Tukishampenda demu atuangalii tuna poteza nn bali tunaangalia tunaingiza nn ivo password nikwel😊😊

  • @maymur19scales
    @maymur19scales Год назад

    Hizo Luna ped ni nzuri sana

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Год назад +1

    Napenda anavomjibu yule Kenge maneno alioyaongea tu no adding up some cooked stories

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 Год назад +2

      Ukumbuke kajala na mwanae ndio walianza acha kuropoka tu km huna meno ya mbele mbuzi ww

  • @Vel42
    @Vel42 Год назад +25

    Huyu mwanamke ako over 45years ni makeup imekupunguza miaka but ukiwa minus makeup wewe ni shosho.

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Год назад

      we ni mkenya kama mwanaume umeendika hivi lzm wewe choko 😂

    • @Vel42
      @Vel42 Год назад

      @@ikouwasi7644 maanisha nn

    • @Vel42
      @Vel42 Год назад

      @@ikouwasi7644 ukweli usemwe

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      Acheni ungese kwan akiwa over 45, wewe hutafika huko, ebu jaribuni kujua siku hazigandi

    • @leahzuu6468
      @leahzuu6468 Год назад

      Wewe ni dada😂😂😂

  • @iddykarimbi-we8qe
    @iddykarimbi-we8qe Год назад +1

    Alaf kumilik range sii ushamba bali nimafaanikio naaa kingine aache unafki mwenye sifaa yake mpe

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 Год назад

    Nakupenda

  • @Eventjekonia-kt4rn
    @Eventjekonia-kt4rn Год назад +1

    kazeeka

  • @Baruti-ofice
    @Baruti-ofice Год назад +1

    Wabongo amuwezi kutobowa tatizo mko wasenge

  • @xboxgamer-easleygaming-ke
    @xboxgamer-easleygaming-ke Год назад +4

    Huyu shosh anasumbuana na kijana ya 28 😢😢 wallai asikiange aibu na hatoke qwa social media

  • @lukebazil5531
    @lukebazil5531 Год назад +1

    Mmmh me sikuamin nasubiri jeshi alewe atuambie ukweli😅

  • @alexHussein-sy3br
    @alexHussein-sy3br Год назад

    Yuho ni mjinga sana kajala

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад +2

    Wanawake wazee muache mahisiano ya kimapwnzi Na watoto rika ya watoto wenu. MUNGU alimuumba mwanaume kwenza hivyo Ni vyema mwanaume awe mkubwa Kwa mke.

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Год назад

    Sijajua alitaka athaminiwe vipi kumbe, kama ni kuchepuka, zile kaz za wasanii lazma ukubali yote. As long as alkua anakuthamini

  • @gabrielmnozya8881
    @gabrielmnozya8881 Год назад +1

    We ni kunguru hufugiki Kajala

  • @kelvinemelia5189
    @kelvinemelia5189 Год назад +2

    Kumekucha Kumekucha 😅😅😅😅

  • @2pacFreeStyle96
    @2pacFreeStyle96 Год назад +1

    Wakwanza like

  • @mirabelle174
    @mirabelle174 Год назад +1

    SIPENDI WATU WANAVOONGELEA UZEE AS IF NI KITU CHA AJABU SANA. HIVI NYIE HAMNA WAZAZI? AU NYIE HAMTOKUJA KUZEEKA? YAANI WABONGO KWA WIVU BHANA.

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад +1

      Yaan, utasikia flan mzee, utafikir yy alitoka shambani, wkt ana wazaz, ana dada, ana kaka, ana watoto wanakua, mapuuz

  • @michaelnehemia4932
    @michaelnehemia4932 Год назад +1

    Umezeeka Ila unalazimisha

  • @theChiral
    @theChiral Год назад +1

    Kwa Nini anajibu hayo maswali? Mdhamini naye hayuko serious. Interview haihusiani na Luna pads

  • @princemercury5824
    @princemercury5824 Год назад

    Fanya ulewe harmo utoboe

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Год назад

    Ila Makonde kadi ya bank ni yako mwenyewe au mke wako sasa unamtuma kila mtu unategemea nin lazima wakulize😅

  • @emmanuelkabetile3022
    @emmanuelkabetile3022 Год назад

    Tatizo nililo liona hapo ni kuto jitambua ama kutotambua ni wakati gani uongee nn am kuongelea nn kwa wakati upi, yupo kwenye tangazo ama mahojiano ya pedi howcome hizo vitu zingine,,, hakupaswa kuvijibia alikuwa sahihi.

  • @hassanal6283
    @hassanal6283 Год назад

    Mmakonde kazinguwa sana

  • @JemaFideli-rl7we
    @JemaFideli-rl7we Год назад

    Jaman kajala uzeee uwooo

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Год назад

    Hayo ya kutrend hajaja mjini ya Nini sasa,kwani umri wako na Harmonize mnalingana,we sikibibi long time ago

  • @afisamipango005
    @afisamipango005 Год назад

    Ukimuangalia vizuri Kajala utagundua kweli anafanana na age yake japo anapambana kuji-sichanisha😁😁

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 Год назад

    Ok lakini Hamo ndie Alie mrudisha kajala mjini nabila Hamo Paula Leo hii asingejulikana shukurani muhimu nduguzangu

  • @reubenshaban6488
    @reubenshaban6488 Год назад

    Badala ya kuongelea pedi mmekomaa na maisha ya watu

  • @akidamohamed7759
    @akidamohamed7759 Год назад +3

    Wanawake wamekosa haya kabisa siku hizi.
    pesa hizi Mtihani.

  • @lameckshija5676
    @lameckshija5676 Год назад +1

    Ila c alipotea kabla ya konde kumfufua

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад

    Aise,ameita waandishi wa habari ehh

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад

    SURA ISHAGOMA,,,NYIE WA MAKAMERA NYIE 😀😀

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Год назад +1

    Vile mishipa ya shingo inatoka huyu Yuko over 47 yrs....

  • @user-zb9lj1hh9w
    @user-zb9lj1hh9w Год назад

    Hawa nap tumewachoka Kila sehem wao TU

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Год назад

    Munatuchosha kajala n harmo

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Год назад

    Umezeeka mama sura na shingo kwisha habar huna lolote

  • @beatricechillewa2806
    @beatricechillewa2806 Год назад +1

    Dah umaarufu ni mzigo

  • @FredyMachota-xq2gv
    @FredyMachota-xq2gv Год назад

    Dah filter shikamoo 😂

  • @Zeelao
    @Zeelao Год назад

    Wanawake hawahitaji kuringa, mmesikia kuhusu pedi hapo?

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Год назад

    Nyie hao wanatufanya wamama then wanawafata watoto wetu WASHA TAA hili ni funzo dogo tu ulimwengu ujifunze,,,magari na pesa unalia je utu wetu wamama wa kitanzania kutudharirisha kwa kulala na mama na mwana unafaaa???Igeni kupitia ma superstar wenu then mkome uasherati

  • @schuwa66
    @schuwa66 Год назад +1

    Again contect creater bongo bado ni ishu😂😂😂 hivi hii si ilikua press Conference ya hiyo kampuni kunadi bidhaa yake lakini the how press Conference imeishia kujadili wimbo wa hamonize na presented anakazana kutuma vijembe vya nyimbo huna maswali ya msingi mfn Kajala hii padi kupitia wewe itawafikia vip mabinti wa hali ya chini ...je kupitia jina lako kuna sehemu utatoa au mkataba wako una kipengele gan cha kusaidia jamii 😮 interesting presented anakaza kwann hutembelei range rover

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Год назад

    Dah leo ndo unaonekan age imeenda mgoz inashuka

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Год назад

    Heeeee kawa mzeee hivyo lo asee hujaacha kubleed mbona umezeeka hivyo umejaliwa nini uturuki hio na mnuko tu maana hio barabara wamepita wengi sana ,poo puuu pweee

  • @TZ123_king
    @TZ123_king Год назад

    unaona watu wanampiga teke tu huyo Harmonize nasema pia anadanganya sana unapiga story zake kwa kweli😂😂😂

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Год назад

    Wewe au

  • @Eventjekonia-kt4rn
    @Eventjekonia-kt4rn Год назад

    Mzee huyo

  • @zillawakitaa7140
    @zillawakitaa7140 Год назад

    Mwamba akilewa tu kaisha😂

  • @mwitamasisi2509
    @mwitamasisi2509 Год назад +3

    Kajala ni mkweli

  • @vangilly4294
    @vangilly4294 Год назад

    Umalaya ndio maisha alochagua pia kashamwaribu Paula naye kawa Malaya mdangaji Na Shule hawezi kusoma tena coz ashafundisha umalaya akili inawaza kudanga tuuu Eeeeh Mungu Tunusuru waja wako..Amen

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 Год назад

      Mungu atakunusuru muda gani wakati unakesha kuwaanglia malaya na watoto zao adi unajua stori nzima, nusura ya Mungu unadhani itakuja kwa kuandika comment

  • @omsfjb1035
    @omsfjb1035 Год назад

    Kajala jaman kibibi nyie kwakwel tubu tuuuuu lakin anavyojifanya bado bint wa miaka 19😮😮😮

  • @cuthbertbruce2098
    @cuthbertbruce2098 Год назад

    Hawa waandishi hata hawajui kuuzwa kwa bandari aseee