Neema Mudosa - Hawawezi (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 494

  • @tajaelmichael227
    @tajaelmichael227 4 года назад

    Mpango wa Mungu hawawezi kuzuia Dada Neema ubarikiwe

  • @lightnessmollel7098
    @lightnessmollel7098 2 года назад

    Lipo kusudi la Mungu !!!!! Agano la Mungu ni lazima litimie 🙏🏼

  • @nellychitera9065
    @nellychitera9065 4 года назад

    Tutavuka yote salama. Mupango wa Mungu hawawezi kubadilisha

  • @jacklinebarthazary6278
    @jacklinebarthazary6278 Год назад

    Huu wimbo unanipa nguvu sana dada angu nakupenda na ubarikiwe kupitia ww sikati tamaa

  • @ericsamuel2217
    @ericsamuel2217 4 года назад +1

    huyu ndiye anayejua nini anafanya mbele za Mungu, vocalist, humble woman before the Lord. nakupenda mama..✍🏽🥰😋

  • @perpetuambizo1518
    @perpetuambizo1518 2 года назад

    Neema ya Mungu,hawawezi kuibadirisha

  • @glorymaagi7204
    @glorymaagi7204 5 месяцев назад

    Ila mpango wa Mungu hawawezi kubadilisha kaa kweli

  • @levinahachieng65
    @levinahachieng65 2 года назад

    Huu wimbo naungalia SAA hii nikilia,Mungu nikumbuke nami uniondole haya majina

  • @sarahkobero3479
    @sarahkobero3479 4 года назад +2

    Cjawah kuchoka kuangalia nyimbo zako,be blessed I love u.

  • @irenemukami5735
    @irenemukami5735 2 года назад

    Hawawezi kubandilisha angano LA Mungu,,Hongeta

  • @charlineshabani4325
    @charlineshabani4325 3 года назад

    Amen amen Kabisa awa wezi kubadilisha mipango ya Mungu mu maisha yangu 🙏🙏

  • @eliaichimsuya2266
    @eliaichimsuya2266 4 года назад

    Mmmh nashindwa hata kuzungumza kuhusu huu wimbo ni mtamu,una msg nzuri ya kunifariji kwa kweli

  • @rithamsacky4655
    @rithamsacky4655 4 года назад +1

    Kuna mda Mungu anawaziba midomo kabisaa....

  • @favourjumbe3883
    @favourjumbe3883 4 года назад +1

    Hawawezi .wangapi wanaendelea kubarikiwa na nyimbo hii . gonga like hapo

  • @joycejohn325
    @joycejohn325 3 года назад +1

    Amen, amen,
    Ule mpango wa Mungu hawawezi kubadilisha kamwe kamwe, ni kati yangu na Mungu tu, asante da Neema kwa kutukumbusha

  • @eunicebodoye4994
    @eunicebodoye4994 Год назад

    MUNGU azidi kukuinua nabarikiwa Sana na huu wimbo

  • @EmmanuelSanare-bc7si
    @EmmanuelSanare-bc7si Год назад

    Mipango ya MUNGU 🙏 Hongeraaa sana umeimba vizuriii

  • @faridamhairo8295
    @faridamhairo8295 4 года назад +1

    Mungu akubariki dada wimbo huu sichoki kuusikikiza 😘

  • @angelmmary6799
    @angelmmary6799 3 года назад

    Ameni nyimbo zako zimekuwa faraja sana kwangu sichoki kusikiliza

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 4 года назад

    Daaah uyu mdada namuelewa sanaaaa yan mungu akupe nguvu uendeleze kipaji chako

  • @glorymaagi7204
    @glorymaagi7204 5 месяцев назад

    Sichoki kusikiliza nyimbo hii da Neema

  • @stellasylvanus9313
    @stellasylvanus9313 6 лет назад +51

    Sijawah kuchoka kusikiliza wimbo huu,dadaa neema Mungu akuinue zaid niliwah kukuona kwa mama zwala ubarikiwe nakupenda saaaaaanaaaaa

    • @neemagoodluck4401
      @neemagoodluck4401 6 лет назад

      Stella Sylvanus@ unachokaje labda kwa mfano

    • @liclidepili1186
      @liclidepili1186 4 года назад

      ubarikiwe kwa huduma

    • @vivianmariki4794
      @vivianmariki4794 4 года назад

      Me nilimuona twenzetu kwa Yesu mwaka 2017

    • @gurnihal6732
      @gurnihal6732 4 года назад

      minimeemuona dada neem laivu hom ko nampenda sna mungu akupende maisha malef ili ufikembal na kaz yko love u antsanaaa

  • @happynessrafael8130
    @happynessrafael8130 4 года назад

    Neema za mungu hawawezi Kama jina lako

  • @mohamedkisome4374
    @mohamedkisome4374 4 года назад +1

    Big up bi dada nakukubali Sana na enjoy sanaaaa

  • @constantinekitone2076
    @constantinekitone2076 Год назад

    Hakika Mungu akubariki kwa kazi nzuri,sichokagi kuusikiliza, maana unatia moyo.

  • @devybernardlaizer7713
    @devybernardlaizer7713 4 года назад

    Hakika hawawezi kuzuia baraka za Mungu

  • @salumali3064
    @salumali3064 3 года назад

    Ameen Dada neema mungu akubarik San huu wimbo unanibariki sana tena nafarjika sana barikiwa san

  • @aidasamwely8820
    @aidasamwely8820 3 года назад

    Yaan sauti yako ukiongea na ukiimba n vitu viwili tofauti 😍😍😍 I love you My Neema

  • @victoriamagina1885
    @victoriamagina1885 4 года назад

    Wimbo unatia nguvu ukiusikiliza ubarikiwe sana mtumishi

  • @naomiismail9265
    @naomiismail9265 4 года назад +5

    Kwampango wa MUNGU Tunaoangalia na ksoma comment 2020 usipite bila like please

  • @annadavidi331
    @annadavidi331 3 года назад

    Nice song huu wimbo unanibariki sana ruhusuni basi niweze kudownlord

  • @mariamkeneth9033
    @mariamkeneth9033 4 года назад

    watu. wanaweza kubadil sifayako lakini mpangowamung hawawezi kubadilisha saf San dad mudosa

  • @neemaedward2429
    @neemaedward2429 3 года назад

    Nyimbo hii naipenda ckujua nani kaimba barikiwa cna dada

  • @festochristom1005
    @festochristom1005 3 года назад

    Tuko pamojaa Dada shuka mbere za mngu anaweza

  • @chrislemuel375
    @chrislemuel375 3 года назад

    Nimependa kazi yako sana am humble because of hii kazi Yako

  • @evasisso4253
    @evasisso4253 3 года назад

    2021 tuko hapa tena...beautiful everything

  • @lizzynkifu4179
    @lizzynkifu4179 6 лет назад +1

    nabarikiwa na Huu wimbo

  • @irenemassawe4079
    @irenemassawe4079 4 года назад

    Nakupenda unaimba vizuri sna

  • @merinakamanga3485
    @merinakamanga3485 6 лет назад

    .hongera Mtumishi kweli hawawezi

  • @carolinemshindi
    @carolinemshindi Год назад

    Amen dada yangu neema ya mungu ikutoshe

  • @marrymponji3090
    @marrymponji3090 Год назад +1

    Ni wimbo mzuri,Mungu akubariki sana dada Neema

  • @MichaelBariki
    @MichaelBariki 4 месяца назад

    Mungu akubariki sana dada yangu umenibariki sana

  • @christinasteven5995
    @christinasteven5995 3 года назад

    Nice dada nakupenda ,nyimbo nzuriii barikiwa sana

  • @tumainimgaya633
    @tumainimgaya633 6 лет назад +23

    Unaweza itwa kituko mwana mikopo kipato chako ng'ombe wa masikini hazai........Barikiwa Dada Neema

  • @gracehenga1980
    @gracehenga1980 5 лет назад

    Hongera sauti njema sana umeweza

  • @tashahurley4141
    @tashahurley4141 6 лет назад +3

    1million view for this song the real worshipers in truth and spirit

  • @leahhussein3459
    @leahhussein3459 5 лет назад

    Kawimbo katamu sanaaaa barikiwa Dada

  • @teddyleonardy1049
    @teddyleonardy1049 3 года назад

    Barikiwa dada wimbo naupenda sanaaa

  • @danielezekiel1718
    @danielezekiel1718 4 года назад

    Kazi nzuri mtumishi wa Mungu

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 4 года назад

    Daaah me nakuelewa sanaaa bigapu kwako

  • @Naomiandrew938
    @Naomiandrew938 5 лет назад +12

    Wow that's awesome
    Mwaka 2018 kuelekea 2019 HAWAWEZI😃😃😃❤️❤️🙏🙏

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 5 лет назад +3

    Unaweza itwa kituko!! Lakin awawezi kuzuia neema ya MUNGU

    • @fridajamson4481
      @fridajamson4481 3 года назад

      Da.ney mudosa nimebarikiwa sana na wimb wako..HAWAWEZ. hongera kwa kaz ya MUNGU

  • @alfredjuma485
    @alfredjuma485 4 года назад +1

    Sijawahi kuchoka kusikiliza huu ujumbe Mungu akuinue dada wa mie

  • @superfeoexpress423
    @superfeoexpress423 4 года назад +1

    Mbarikiwe sana wapendwa wote mnaosikilia wimbo huu wakutia nguvu..hakika hawawezi

  • @mlaybeatha4003
    @mlaybeatha4003 5 лет назад +1

    Yaani huu wimbo sichoki kuuzikiliza yaan Mungu anajua kutumia watu wake ipasavyo mmmmh

  • @manasemoses6922
    @manasemoses6922 3 года назад

    Neema dada angu daah huu wimbo umenigusa mno barikiwa kwangu mmi naona ni wimbo wa kijitia nguvu hata uwe katika hali gani utainuka tena
    Hakika mpango wa Mungu hautabidika

  • @enockniko7561
    @enockniko7561 5 лет назад

    Ndagha kwa wimbo mzuri

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 5 лет назад

    Naupenda sana huuu wimbo huyu dada wa wapi

  • @KimilaHussein
    @KimilaHussein 5 месяцев назад

    Daaah good melody and best beats with my favorite bass guitar

  • @godliverbilagambalaye6804
    @godliverbilagambalaye6804 3 года назад

    Amen dada Mungu akutie nguvu

  • @auntsamwel3717
    @auntsamwel3717 2 года назад

    Poweful message.. upo mpango wa mungu

  • @geraldndone7438
    @geraldndone7438 Год назад

    Ila Mpango wa MUNGU Hawawezi! Ujumbe unatia Moyo.Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU Neema Mudosa.

  • @souzannahchombeofficiel2809
    @souzannahchombeofficiel2809 3 года назад

    Ma sœur chérie barikiwa sana

  • @Regnard999
    @Regnard999 6 лет назад +3

    Nimebarikiwa sana na wimbo huu!!! Mungu azidi kuinua huduma yako Dada Neema! you're such an amazing gospel singer!!!

  • @charleswilly4827
    @charleswilly4827 2 года назад

    Daah wimbo unanibariki sana

  • @patriciangonyani9108
    @patriciangonyani9108 3 года назад

    Hongera xn mtu wa Mungu

  • @neemasebastian566
    @neemasebastian566 3 года назад

    Ubarikiwe sana dada Neema

  • @chrislemuel375
    @chrislemuel375 3 года назад

    Unanibless sana na hii kazi yako

  • @rapahelkamwela6808
    @rapahelkamwela6808 6 лет назад

    UTUKUFU KWA MUNGU,,,,,,,PUMZI YA WIMBO HUU NI HAI NAYO INAHUBIRI KIKWELI....MUNGU WANGU AITWAYE YESU AKUINUE NA KUKUFUNDISHA KUSHUKA KWANI KADRI MTU ANAVYOPANDA NDIVYO rOHO YA KIBURI NA MAJIVUNO HUINUKA....SHIKA HILI DADA NEEMA MUNGU BADO ANAYOMENGI...ENDELEA KUWA MTII NA KUMSIKILIZA MUNGU.....WAHUDUMIE WATU WAKE NA KUWALISHA CHAKULA...WEWE NI MTEULE WA MUNGU NA UMEKUBALI KUJITOA KWAKE HIVYO NI MUHIMU UKAENDELEA HIVYO HIVYO.....TUPO PAMOJA MTUMISHI WA MUNGU.

  • @_.sheisherself._
    @_.sheisherself._ Год назад

    Huu WIMBO MZURI JAMAN MUNGU WANGU 🙏🙏

  • @gisellebusime6578
    @gisellebusime6578 4 года назад

    Nabarikiwa na nyimbo zako sana na sauti piya ni power full kuna nyimbo yako moja inaitwa Mungu yoko jikoni mbona sijaiyona ku youtube Dada Neema naipenda sana naiyomba please

  • @pastorevmosesmarambo8572
    @pastorevmosesmarambo8572 6 лет назад

    Kweli mtumishi.ila wema na agano la Mungu haliondoki kwetu.barikiwa.

  • @teddyelizabeth9072
    @teddyelizabeth9072 4 года назад

    Kama tunafurahi mungu kwa kutuvusha salama 2019 na kutufikisha salama 2020 japo wapo walio pinga tugonge like za nguvu kwa mungu kutuvusha salama😘

  • @assahmeromungwe7478
    @assahmeromungwe7478 4 года назад

    Good neema struggle yourself you will still strongly woman ilove you

  • @magrethndola6988
    @magrethndola6988 3 года назад

    Nyimbo zako zote zinanibariki sana

  • @bonifaceundjiofficial
    @bonifaceundjiofficial 6 лет назад +8

    Palipo toka haya Mungu azidi kujaza gala ili siku nyingine tuweze kupata nzuri kama hii

  • @lucychilimo5078
    @lucychilimo5078 4 года назад +1

    Mpango wa Mungu hawez kubadilisha

  • @jonathanbyabato2091
    @jonathanbyabato2091 4 года назад

    Jamani kawimbo kazuri!

  • @jacklinibrahim8805
    @jacklinibrahim8805 11 месяцев назад

    Uuuuh mungu akuinue zaidi

  • @UfalmeTV
    @UfalmeTV 4 года назад

    Barikiwa Mtumishi

  • @scayojr4830
    @scayojr4830 6 лет назад

    dada umenibariki mpaka nataman nkuone nkushike mkono tu dahhhh nakutabiria utakua msaniii mkubwa sanaaaa wa njimbo za injil east afrika

  • @lucassingano4073
    @lucassingano4073 4 года назад

    Dada Neema Mungu wa mbinguni akubariki sana Kwan kila siku nisikiapo wimbo huu nahisi kama ndiyo umetoka leo.

  • @johnmtulya528
    @johnmtulya528 3 года назад

    I like the ending of the song and the drama

  • @angelkawala6167
    @angelkawala6167 6 лет назад +1

    Amen barikiwa sana message zuri sana na barikiwa

  • @gracenicholaus6018
    @gracenicholaus6018 2 года назад

    Wanibariki wajina🔥❣️💕

  • @fkilawa
    @fkilawa 6 лет назад +2

    Mimi ni wa kwanza kukulika katika Huduma yetu ya Shiloh international tz nimependa hizi ndio nyimbo

  • @neemamahusho6193
    @neemamahusho6193 4 года назад

    ninabalikiwa na wimbo wko Kila ninap usikiliza

  • @shughulypatson9945
    @shughulypatson9945 6 лет назад

    Mungu akubariki saana zidi kunyenyekea kwa Bwana ili aendeleee kukutumia na huduma yako isijhe ikachuja.

  • @atuganilemwakalile8006
    @atuganilemwakalile8006 4 года назад

    2020 bado nabarikiwa na wewe dada

  • @IreneKaduma-yo6eq
    @IreneKaduma-yo6eq Год назад

    Unatia nguvu kila naposikia huu wimbo Mungu akupe uzima dada

  • @yanickelegaitoumou9130
    @yanickelegaitoumou9130 2 года назад +1

    Je vous ai découvert sur tiktok. Vous êtes belle et avec une belle voix que Dieu te bénisse ma sœur

  • @JpsProduction2019
    @JpsProduction2019 6 лет назад

    Kazi moya Ya bien sana Dada yangu #Hawawezi nahipenda kila ni amkapo au Biko kwenye Gari langu nahukia kbs

  • @Apostledanielsmith2543
    @Apostledanielsmith2543 3 месяца назад

    Mama I love your ministry

  • @alfamaulid3743
    @alfamaulid3743 6 лет назад

    Dada Neema nakubilivu sanaa. Wimbo mzuri mno na hapo kwenye French ndo umemaliza kabisa. Barikiwa sana na huduma yako pia..

  • @KwaleCountystudios
    @KwaleCountystudios 6 лет назад +4

    Hawawezi has been my favourite...

  • @jollytwins4146
    @jollytwins4146 5 лет назад

    Nice song my sister

  • @gracegodfrey9733
    @gracegodfrey9733 6 лет назад +2

    Wow hakika hawawezi nabarikiwa sana na huu wimbo

  • @salmamaketa9162
    @salmamaketa9162 5 лет назад

    asante dada ubarikiwa

  • @titusshikuku5700
    @titusshikuku5700 5 лет назад +16

    I say one of the beautiful song ever. It blessed my life the very first day I heard it

  • @brendaluvanda3289
    @brendaluvanda3289 5 лет назад

    Yesu kristo asante