Neema dada angu daah huu wimbo umenigusa mno barikiwa kwangu mmi naona ni wimbo wa kijitia nguvu hata uwe katika hali gani utainuka tena Hakika mpango wa Mungu hautabidika
UTUKUFU KWA MUNGU,,,,,,,PUMZI YA WIMBO HUU NI HAI NAYO INAHUBIRI KIKWELI....MUNGU WANGU AITWAYE YESU AKUINUE NA KUKUFUNDISHA KUSHUKA KWANI KADRI MTU ANAVYOPANDA NDIVYO rOHO YA KIBURI NA MAJIVUNO HUINUKA....SHIKA HILI DADA NEEMA MUNGU BADO ANAYOMENGI...ENDELEA KUWA MTII NA KUMSIKILIZA MUNGU.....WAHUDUMIE WATU WAKE NA KUWALISHA CHAKULA...WEWE NI MTEULE WA MUNGU NA UMEKUBALI KUJITOA KWAKE HIVYO NI MUHIMU UKAENDELEA HIVYO HIVYO.....TUPO PAMOJA MTUMISHI WA MUNGU.
Nabarikiwa na nyimbo zako sana na sauti piya ni power full kuna nyimbo yako moja inaitwa Mungu yoko jikoni mbona sijaiyona ku youtube Dada Neema naipenda sana naiyomba please
Mpango wa Mungu hawawezi kuzuia Dada Neema ubarikiwe
Lipo kusudi la Mungu !!!!! Agano la Mungu ni lazima litimie 🙏🏼
Tutavuka yote salama. Mupango wa Mungu hawawezi kubadilisha
Huu wimbo unanipa nguvu sana dada angu nakupenda na ubarikiwe kupitia ww sikati tamaa
huyu ndiye anayejua nini anafanya mbele za Mungu, vocalist, humble woman before the Lord. nakupenda mama..✍🏽🥰😋
𝗕𝗮𝗿𝗶𝗸𝗶𝘄𝗮
Neema ya Mungu,hawawezi kuibadirisha
Ila mpango wa Mungu hawawezi kubadilisha kaa kweli
Huu wimbo naungalia SAA hii nikilia,Mungu nikumbuke nami uniondole haya majina
Cjawah kuchoka kuangalia nyimbo zako,be blessed I love u.
Hawawezi kubandilisha angano LA Mungu,,Hongeta
Amen amen Kabisa awa wezi kubadilisha mipango ya Mungu mu maisha yangu 🙏🙏
Mmmh nashindwa hata kuzungumza kuhusu huu wimbo ni mtamu,una msg nzuri ya kunifariji kwa kweli
Kuna mda Mungu anawaziba midomo kabisaa....
Hawawezi .wangapi wanaendelea kubarikiwa na nyimbo hii . gonga like hapo
Jamani nabarikiwa Hadi raaaaa
Amen, amen,
Ule mpango wa Mungu hawawezi kubadilisha kamwe kamwe, ni kati yangu na Mungu tu, asante da Neema kwa kutukumbusha
MUNGU azidi kukuinua nabarikiwa Sana na huu wimbo
Mipango ya MUNGU 🙏 Hongeraaa sana umeimba vizuriii
Mungu akubariki dada wimbo huu sichoki kuusikikiza 😘
Ameni nyimbo zako zimekuwa faraja sana kwangu sichoki kusikiliza
Daaah uyu mdada namuelewa sanaaaa yan mungu akupe nguvu uendeleze kipaji chako
Sichoki kusikiliza nyimbo hii da Neema
Sijawah kuchoka kusikiliza wimbo huu,dadaa neema Mungu akuinue zaid niliwah kukuona kwa mama zwala ubarikiwe nakupenda saaaaaanaaaaa
Stella Sylvanus@ unachokaje labda kwa mfano
ubarikiwe kwa huduma
Me nilimuona twenzetu kwa Yesu mwaka 2017
minimeemuona dada neem laivu hom ko nampenda sna mungu akupende maisha malef ili ufikembal na kaz yko love u antsanaaa
Neema za mungu hawawezi Kama jina lako
Big up bi dada nakukubali Sana na enjoy sanaaaa
Hakika Mungu akubariki kwa kazi nzuri,sichokagi kuusikiliza, maana unatia moyo.
Hakika hawawezi kuzuia baraka za Mungu
Ameen Dada neema mungu akubarik San huu wimbo unanibariki sana tena nafarjika sana barikiwa san
Yaan sauti yako ukiongea na ukiimba n vitu viwili tofauti 😍😍😍 I love you My Neema
Ulitaka aongee kwa kuimba😜
Wimbo unatia nguvu ukiusikiliza ubarikiwe sana mtumishi
Kwampango wa MUNGU Tunaoangalia na ksoma comment 2020 usipite bila like please
Nice song huu wimbo unanibariki sana ruhusuni basi niweze kudownlord
watu. wanaweza kubadil sifayako lakini mpangowamung hawawezi kubadilisha saf San dad mudosa
Nyimbo hii naipenda ckujua nani kaimba barikiwa cna dada
Tuko pamojaa Dada shuka mbere za mngu anaweza
Nimependa kazi yako sana am humble because of hii kazi Yako
2021 tuko hapa tena...beautiful everything
nabarikiwa na Huu wimbo
Nakupenda unaimba vizuri sna
.hongera Mtumishi kweli hawawezi
Amen dada yangu neema ya mungu ikutoshe
Ni wimbo mzuri,Mungu akubariki sana dada Neema
Mungu akubariki sana dada yangu umenibariki sana
Nice dada nakupenda ,nyimbo nzuriii barikiwa sana
Unaweza itwa kituko mwana mikopo kipato chako ng'ombe wa masikini hazai........Barikiwa Dada Neema
amen amen
Tumaini Mgaya
Hakika Hawawezi
Hongera sauti njema sana umeweza
1million view for this song the real worshipers in truth and spirit
Kawimbo katamu sanaaaa barikiwa Dada
Barikiwa dada wimbo naupenda sanaaa
Kazi nzuri mtumishi wa Mungu
Daaah me nakuelewa sanaaa bigapu kwako
Wow that's awesome
Mwaka 2018 kuelekea 2019 HAWAWEZI😃😃😃❤️❤️🙏🙏
Unaweza itwa kituko!! Lakin awawezi kuzuia neema ya MUNGU
Da.ney mudosa nimebarikiwa sana na wimb wako..HAWAWEZ. hongera kwa kaz ya MUNGU
Sijawahi kuchoka kusikiliza huu ujumbe Mungu akuinue dada wa mie
Mbarikiwe sana wapendwa wote mnaosikilia wimbo huu wakutia nguvu..hakika hawawezi
Yaani huu wimbo sichoki kuuzikiliza yaan Mungu anajua kutumia watu wake ipasavyo mmmmh
Neema dada angu daah huu wimbo umenigusa mno barikiwa kwangu mmi naona ni wimbo wa kijitia nguvu hata uwe katika hali gani utainuka tena
Hakika mpango wa Mungu hautabidika
Ndagha kwa wimbo mzuri
Naupenda sana huuu wimbo huyu dada wa wapi
Daaah good melody and best beats with my favorite bass guitar
Amen dada Mungu akutie nguvu
Poweful message.. upo mpango wa mungu
Ila Mpango wa MUNGU Hawawezi! Ujumbe unatia Moyo.Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU Neema Mudosa.
Ma sœur chérie barikiwa sana
Nimebarikiwa sana na wimbo huu!!! Mungu azidi kuinua huduma yako Dada Neema! you're such an amazing gospel singer!!!
Daah wimbo unanibariki sana
Hongera xn mtu wa Mungu
Ubarikiwe sana dada Neema
Unanibless sana na hii kazi yako
UTUKUFU KWA MUNGU,,,,,,,PUMZI YA WIMBO HUU NI HAI NAYO INAHUBIRI KIKWELI....MUNGU WANGU AITWAYE YESU AKUINUE NA KUKUFUNDISHA KUSHUKA KWANI KADRI MTU ANAVYOPANDA NDIVYO rOHO YA KIBURI NA MAJIVUNO HUINUKA....SHIKA HILI DADA NEEMA MUNGU BADO ANAYOMENGI...ENDELEA KUWA MTII NA KUMSIKILIZA MUNGU.....WAHUDUMIE WATU WAKE NA KUWALISHA CHAKULA...WEWE NI MTEULE WA MUNGU NA UMEKUBALI KUJITOA KWAKE HIVYO NI MUHIMU UKAENDELEA HIVYO HIVYO.....TUPO PAMOJA MTUMISHI WA MUNGU.
amen amen
Huu WIMBO MZURI JAMAN MUNGU WANGU 🙏🙏
Nabarikiwa na nyimbo zako sana na sauti piya ni power full kuna nyimbo yako moja inaitwa Mungu yoko jikoni mbona sijaiyona ku youtube Dada Neema naipenda sana naiyomba please
Kweli mtumishi.ila wema na agano la Mungu haliondoki kwetu.barikiwa.
Kama tunafurahi mungu kwa kutuvusha salama 2019 na kutufikisha salama 2020 japo wapo walio pinga tugonge like za nguvu kwa mungu kutuvusha salama😘
Good neema struggle yourself you will still strongly woman ilove you
Nyimbo zako zote zinanibariki sana
Palipo toka haya Mungu azidi kujaza gala ili siku nyingine tuweze kupata nzuri kama hii
Nice
Mpango wa Mungu hawez kubadilisha
Jamani kawimbo kazuri!
Uuuuh mungu akuinue zaidi
Barikiwa Mtumishi
dada umenibariki mpaka nataman nkuone nkushike mkono tu dahhhh nakutabiria utakua msaniii mkubwa sanaaaa wa njimbo za injil east afrika
Dada Neema Mungu wa mbinguni akubariki sana Kwan kila siku nisikiapo wimbo huu nahisi kama ndiyo umetoka leo.
I like the ending of the song and the drama
Amen barikiwa sana message zuri sana na barikiwa
Wanibariki wajina🔥❣️💕
Mimi ni wa kwanza kukulika katika Huduma yetu ya Shiloh international tz nimependa hizi ndio nyimbo
amen amen Man of God nashukuru
ninabalikiwa na wimbo wko Kila ninap usikiliza
Mungu akubariki saana zidi kunyenyekea kwa Bwana ili aendeleee kukutumia na huduma yako isijhe ikachuja.
2020 bado nabarikiwa na wewe dada
Unatia nguvu kila naposikia huu wimbo Mungu akupe uzima dada
Je vous ai découvert sur tiktok. Vous êtes belle et avec une belle voix que Dieu te bénisse ma sœur
Kazi moya Ya bien sana Dada yangu #Hawawezi nahipenda kila ni amkapo au Biko kwenye Gari langu nahukia kbs
Mama I love your ministry
Dada Neema nakubilivu sanaa. Wimbo mzuri mno na hapo kwenye French ndo umemaliza kabisa. Barikiwa sana na huduma yako pia..
asante
Hawawezi has been my favourite...
Nice song my sister
Wow hakika hawawezi nabarikiwa sana na huu wimbo
asante dada ubarikiwa
I say one of the beautiful song ever. It blessed my life the very first day I heard it
Gyo
Yesu kristo asante