BADDEST AONESHA MJENGO WAKE WA KIFAHARI "WASAFI INAZAGAMUA SANA,HUWEZI KUONGEA KANISANI AU MSIKITINI
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Baddest 47 kyela boy 🔥🔥👏👏💯💯💥💥👊
Home boi. Dogo WEWE UMEFANANA NA CHEGE au CHEGE KAFANANA NA WEWE😃😃😃
Unyama sanaaaa ety
dahhh sema jamaa yuko high kinoma😂😂
Baddest km chege wanafanana sn
Mtangazaji kihere here
Sir God anaendelea ku bless
Oya wasafi mwambie @Baddest 47 aweke zangamua kwa audiomack 😂
Umemuita awajagi bila taarifa ao aiseee
Hongera Msanii Mkali hapo itakuwa ni kwake amejenga au amenunua na kukarabati Nyumba. Makabila ya Nyanda za Juu Kusini wana Maendeleo sema hawajioneshi. Wakinga, Wabena na Wanyakyusa wana Mali nyingi sana
aaaaaah aaaaaaaaaah miaka 200 hana pesa ya kununua nyumba hii mzeee. amepanga amejitahidi kwa hilo kupanga sehem kubwa
Zagamua ni genge tone
Mtangazaji kwenye madirisha 😒 mara anataka kuingia vyumbani! Rubbish
Baddest....
🔥🔥🔥🔥badest 47
Zagamua inatusumbua jamani mmweeh 😀😀🤪
Jamaa ashapiga mabomu kinoma,miwani sebuleni
Wasanii kujenga nikazi sana Yan Wana kimbilia kununua magali tu lakn sio kujenga
Mkazana nyumba yake au kapanga,hivi mnafikir kujenga mchezo hasa kwa wasanii hakuna msanii ambaye huwa anawaza kujenga nyumba ya kawaida ndoto za wasanii ni kujenga nyumba kubwa yaan apartment so ndo maana utakuta wanachukua muda mrefu Sana kujenga nyumba ndo maana utakuta wengine mpaka wanapotea kimziki bado hawajatimiza ndoto zao zakujenga mjumba mkubwa.
Kweli Afazali Wangekua Wajenga Kwanza Japo Kidogo Alafu Wanasikilizia
Ila ubaya hawazeheki navo tunawasubiri bada yamyaka 30 nyuma tuwaon uzeheni
Nice
Et fungua basi nikuone hahahhahahahhahahhaha Ila uyu mtangzj
baddest mtu mubadiii
Zagamua Nini Ra kiha ni sawa na kurupusha Ama fumua fumua baba levo Huwa anapenda kulitumia
Bangi motoo somo jeusi kama kundi la nyani
wenye vigodoro mtafute 🤣🤣🤣
Kama ndo I vo huwez kuongea maneno mabaya Sasa wewe mbona umesema oya sar god,,lyo n dsrspect kwa mungu
Awapi sio kwake hawezi kuwa na mjengo Kama huo
hawakawii kukodi sehemu ya kufanyia inta
Moshi mwingi kichwani
Mtu kwake halipi kodi km alilipa bc ujue c nyumba yake bwana hebu tuacheni
Ulipo umejihifadh kwa mkataba au bila mkataba nikwako
Zagamua maana yake ni pindua pindua
Nakubal mwamba hyo nyumba yako umepanga? Umejenga? Au umenunua hvyo hvyo yaan yako unaimiliki kivip
Kuna vijana wadogo tu wanamiliki pesa ndefu Mzee,huenda ni yake au ni apartment
Apo hatujui kapanga au yake ila hao ukitaka kujua wakifikwa na matatzo (hatuombei sote wanadam na c kwamba hakuna asopata tatz) utapata ukwl wooote hao hao wanawahoji wanaenda tena kutupa ukwl km kwake au kapanga
neno
Kanunua kapanga
Unaweza Kuta kapanga
Nyumba yake au kapanga
KapAnga wanapangaga kujibrand mijengo ya watu