PAUL MAKONDA AELEZA SABABU ZA KURUDI SHULE / KUPOTEZA MARAFIKI NA NIA YA KUREJEA KWENYE SIASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 152

  • @EdwardSindayigaya
    @EdwardSindayigaya 3 года назад +10

    I am From Rwanda, and I follow yr Politics day to day coz I love you so much guys, but in particular I love Mr Paul Makonde

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 11 месяцев назад

      True he's a good guy and a good hearted man very polite protect all poor people and disabled human being may God continue blessing and protect him Aimen

  • @Mwarobaini
    @Mwarobaini 3 года назад +17

    Huyo ndo Mtu pekee ninaemkubali na Kumheshimu, Makonda yuko juu sana.

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 3 года назад +5

    Best interview of 2021 🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥 Pan-Africanist. Makonda nime tokea kukupenda sana. Endelea kumfuta pastor Chris Oyakelome, PhD. Kweli uko fresh kaka.

  • @tatukapilimba4535
    @tatukapilimba4535 3 года назад +12

    Huyu jamaa ni very potential kwa taifa, na ni mbunifu sana kushinda hata viongozi wengine waliopewa nafasi kubwa za uongozi..i miss you alot big bother.. Kama kuna makosa ulishawahi fanya Tunakusamehe bure, Naamin Jamii ya watu wa chini kabisa Dar wanakukumbuka

  • @harrieth56
    @harrieth56 11 месяцев назад +1

    Am.proud of you so

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 3 года назад +6

    Mheshimiwa Makonda Hongera sana Mkuu💜💜

  • @kamikazineema1957
    @kamikazineema1957 Месяц назад

    Panafrican Makonda paul🎉🎉🎉🎉❤❤🇷🇼🇷🇼

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya Месяц назад

    saf sana. poul mungu yuko pamoja nawe

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 3 года назад +6

    Dah nimepaenda msemo uliosema kukosea sio dhambi..Asante paul

  • @danieljohn3836
    @danieljohn3836 2 года назад +1

    Mungu akulinde na Kila lililobaya,

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 года назад +5

    Hamna kitu hapo we bwege!

  • @AmosmasanjaChendegele
    @AmosmasanjaChendegele 11 месяцев назад

    Mweshiniwa hongera sana mkuu ninakukubali

  • @samsonmaurice10
    @samsonmaurice10 3 года назад +9

    Nimependa sana huu msemo wako mkuu, "Usiogope kuonekana wa ajabu kama una jambo unaloliamini"

  • @najma3268
    @najma3268 3 года назад +4

    Interview nimeirudia zaidi ya marambili, kaongea vzr sana , kagongelea Na nyundo, nimefanya kumsikiliza kwa makini kwakweli

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 3 года назад +1

    Well said Mr Makonda Former Regionsl commissioner-Dar essalasm . It is inspiring !

  • @eyumededu2948
    @eyumededu2948 3 года назад +7

    Nampenda huyu kaka ni viwango vya wazalendo
    Nakuombeq kheri baba

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 3 года назад +1

    Alikuwa kama Mungu Mtu

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 3 года назад +3

    ushauri wangu Ukitaka kuwa kiongozi mzuri kwanza heshimu watu wa aina zote wa chini na walio juu yako pia na usiwe mtu wa kibri ukiwa na madaraka halafu ndio u apply hayo mambo mengine ya utawala uliyojifunza hata ujifunze vipi kama mtu unakuwa na kibri huwezi kuwa kiongozi mzuri kw sababu kibri ni dalili ya incompetence take my word

  • @sylivanussyliacus5064
    @sylivanussyliacus5064 3 года назад +4

    One love my up coming Rule Model

  • @africa7479
    @africa7479 3 года назад +2

    Nimepnda mtangazaji et mimi ni mtazamaji wako, akaibadilisha juu kwa juu safi sana

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 Год назад +1

    Na kupenda makonda

  • @alfayowangwe6651
    @alfayowangwe6651 Год назад +1

    Kiunongozi namkubali

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 3 года назад +2

    Woow nice interview mr muheshimiwa makonda #lv frm kenya 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @johnmcharo-w3t
    @johnmcharo-w3t 11 месяцев назад

    Nice interview brother

  • @haroldtere7515
    @haroldtere7515 3 года назад +1

    Ongera Makonda. Kiongozi ni wito!. Siyo elimu ya chuo!

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +3

    Congrats Paul Makomda👏👏👏

  • @rizikimgimba8443
    @rizikimgimba8443 3 года назад +2

    Makonda amesema mambo makubwa juu ya kufunguka ufahamu WA vijana WA African hasa WA Tanzania kushangaza mataifa Kwa kijiongeza kimawazo nakiubunifu natamani nipate Namba yake tuzungumzie Ayala hiili

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 года назад +4

    Nakukubali sana Bro!

  • @zaym7769
    @zaym7769 Год назад +1

    Ndio maana nilikukubali sana na kukutetea sana japo nilitukanwa sana.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 года назад +2

    Hongera sana Makonda tu akusubiri 2035 Inshalaah

    • @edsonguja5471
      @edsonguja5471 Год назад

      Kweli w kolo unamsubiri na mama yako

  • @johnntabagi8861
    @johnntabagi8861 3 года назад +1

    Makonda makonda makondaaaa nakukubali mkuu huwanaamini ipocku utakaajuu zaidi ya pale ulipokuwa awali

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 11 месяцев назад

    ,,,💪💪💪 unatisha sana

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 7 месяцев назад +1

    Upo sahihi makonda❤ much love🙏

  • @deomugu1616
    @deomugu1616 3 года назад +4

    Have my respect all the way. Barikiwa sana kaka

  • @chalodavid4537
    @chalodavid4537 3 года назад

    The real son of Our Legendary Lt JPM

  • @namukwayamweshihange8866
    @namukwayamweshihange8866 3 года назад +2

    Nikweli kabisa very intelligent. Well done

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 3 года назад +2

    Nakukubali sana we mzalendo moka akusimamie

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 11 месяцев назад

    Mngu akubari kaka kiongoz mwenye KIU ya haki hakika naamin IPO sku mngu atakukumbuka

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 3 года назад

    Mh.Makonda Hongera kwa hatua hiyo ya KUONGEZA UJUZI KIELIMU.ELIMU HAINA MWISHO.HAKIKA UNA FOCUS NZURI.MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 года назад

    Mara kafunguliwa kesi dah

  • @innocentwilliam1214
    @innocentwilliam1214 3 года назад +2

    Alisema wakufunzi wanafundisha angali hawawezi kuongoza hata panya!!!! Duuu

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 3 года назад +3

    Mama atakurudisha muda si mrefuu 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @awesasaladi5948
    @awesasaladi5948 3 года назад +2

    Mh paul makonda alikua kiongozi anayejiamini sana jitahidi kaka urudi kwenye uongozi sipati furaha ninapokuona huna cheo mkuu

  • @erastonicholas5589
    @erastonicholas5589 3 года назад +1

    Wewe umeenda kulima kujificha mihela ulio piga . Eti kilimo kabla ya uongozi mbona kulikua hulimi?hunaga rafiki mbona riziwani ulitenda ukasema muuza unga wewe damu za watu Zina kusubiri mumeua Sana

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 11 месяцев назад

    10/10/2023.yaani Mkoa huu wa Dar ni mgumu saaana.lakini uliweza kakangu.wanao kuchukia wakajitundike.

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 3 года назад

    Makonda big up.kwa kweli Dar kumepoa kabisa .Tumetambua umuhimu wako

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 года назад +1

    Makonda is best to me

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 года назад +1

    Ongera sana kakaangu makonda

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 11 месяцев назад

    Umenitia nguvu😢😢😢

  • @salomembasha7100
    @salomembasha7100 3 года назад

    wise interview

  • @hamisinyanga4579
    @hamisinyanga4579 Год назад

    Paulo makonda ni puntin wa afrika lakini hawakumuelewa lakini sasa .putin wa urusi kaiga.kwa paulo makonda.

  • @daviddouglas8943
    @daviddouglas8943 11 месяцев назад

    Bashite kama Bashite 😂, Hebu rusidha vyeti vya Makonda mwenyewe kwanza, Daud Bashite wa Kolomije.

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 2 года назад

    Ujasusi wa uchumi ktk inchi hii ndiyo shida

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 3 года назад +1

    I love you my brother

  • @BETConlineTVTZ
    @BETConlineTVTZ 3 года назад +3

    huyu jamaa ana akili sana amini nawaambieni tutamuona mbali

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Год назад

    Mwambie arudi tn kugombea kigamboni tunamuitaji sn huyu aliopewa dhama hana jipya

  • @alisele5299
    @alisele5299 3 года назад +1

    Makonda kiongozi; mambo madogo tu & Nidhamu ndio vilivyo mkwamisha, Viva makonda

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 2 года назад

    Ukosawa

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 3 года назад +4

    Umeivaa kaka akili imekuwa zaidi na zaidi

  • @benny4345
    @benny4345 Год назад

    Stop glorifying criminals! That guy is a criminal!

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 3 года назад

    Basi haaaya

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +1

    Ulikosea sana kuwashutumu watu na kuwataja majina hadharani kua wanuza madawa ya kulevya au wanatumia na ukatoa amri waekwe ndani nakushauri uombe radhi

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 3 года назад +2

      Chizi wewe , awaombe radhi wauza unga? Au baba yako nae muuza sembe?

    • @jentlikuse5719
      @jentlikuse5719 3 года назад

      Alikua sahh 2 wewe unafulahia kutuletea kutuulia ndugu zetu afya zao hata mungu hajatuagiza

    • @jentlikuse5719
      @jentlikuse5719 3 года назад +1

      Una ufinho w akiri wewe binafsi ulifaidika n nini kwa uza unga na ndio mufrisi nhie

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 3 года назад

      Mjinga ww! Awaombe radhi wauaji au ulikuwa ni mmojawapo?

    • @chescomnyangali8601
      @chescomnyangali8601 3 года назад

      Huna akili wewe huwezi kutetea wauza madawa wanaharibu familia zetu

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 3 года назад

    Wewe tayari ushakula maisha waachie wenzio shida utakayopata Una kiburi sana mzee

  • @nenadurra8477
    @nenadurra8477 3 года назад +2

    We support you Makonda, you are better than anybody, believe me!

  • @magdalena7223
    @magdalena7223 3 года назад +3

    Kila sk kilio changu hy mtu awepo ktk uongozi tena maana hk kichwa simchezo tumemis uwepo wako baba

  • @emmanuelsamba2571
    @emmanuelsamba2571 3 года назад

    shida ya wabongo fikra zao zinakariri siasa ni unafki nasio taaluma

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 3 года назад +1

    Huna lolote kujikosha tu

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja

    So umesomea jina Gani Daudi Bashite au jina la kununua?Paulo Makonda wa wahaya?

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 3 года назад +1

    Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔

    • @alisaid4380
      @alisaid4380 3 года назад

      Wata

    • @anethmgedi3844
      @anethmgedi3844 2 года назад

      @@alisaid4380 Bwana yesu asimame we MWANGU usiogope songs mbele

  • @hoseabigaye5787
    @hoseabigaye5787 3 года назад

    Ukipta fursa yakwenda nenda 💪

  • @godfreymlay6069
    @godfreymlay6069 2 года назад

    Utakoma kujuwa hiyo PHD yako omba sana mungu vinginevyo utaipatia jela itoshe mm kusema kila ufalme una mwisho wake

    • @Tony999-gu8qg
      @Tony999-gu8qg Год назад

      Ach a ushamba

    • @shijamasunga204
      @shijamasunga204 11 месяцев назад

      Leo ni tarehe 20 /10/2023 sema tena ulichokisema Enzi hizo 😂😂😂😂

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias4307 3 года назад +1

    Hamna msomi apo ni nguvu tu

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 3 года назад

    Mh umeongea point sana

  • @evambughuni5324
    @evambughuni5324 3 года назад

    🥰🥰

  • @rashidijaziru3279
    @rashidijaziru3279 3 года назад

    Gd

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar25 Год назад

    Mbali na mapungufu uliyonayo kama binadamu lakini una vitu vingi ambavyo vijana wenzio tunajifunza kutoka kwako

  • @AbdulnuruMbaraka-me9ri
    @AbdulnuruMbaraka-me9ri Год назад

    KIJANA NIMEKUELEWA NA NATAMAN ULUD KUNDINI.

  • @benny4345
    @benny4345 Год назад

    Tell him it is "Globally" not "Grobale". Negotiations ni "profession" na siyo Professionals. And he is enrolled at one of the top 5 Universities 😆😆

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 3 года назад +2

    PhD baba join our world. Welcome to the world of PhD

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +1

    Natarajia 2025 Inshaallah uje kuwa Rais WETU wa Tanzania maana una kila sifa mashallah

  • @shedrackamos4021
    @shedrackamos4021 3 года назад +3

    Moja ya Viongozi ninao wakubali Sana endelea kusoma Kiongozi naamini PHD unaipata Kama yalivyomalengo yako

  • @hassanabazar9411
    @hassanabazar9411 3 года назад

    Makonda kama makonda

  • @milomohamed7201
    @milomohamed7201 2 года назад

    Huyu ni kiongozi mjinga na ataendelea kuwa mjinga iwapo hatajirekebisha.
    Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE

  • @joachimmgina2847
    @joachimmgina2847 3 года назад

    No no up

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 года назад

    I WEASH uwe mkuu wa mkoa wowote tz

  • @naitwahazina6433
    @naitwahazina6433 3 года назад

    Kaa ukijua watanzania tunakupenda sana

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 3 года назад

    Kwani wewe makonda umemaliza kazi yako ama uliachiswa kazi yako kwa tamaa zaubunge na wana ccm wakakupiga chini 🔥🔥🔥🔥Kigamboni hatr

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 3 года назад

      Babu vp umetumwa? Kama huna zuri la kuongea bora ukae kimya maana chuki hazitokufikisha popote.

    • @mashimbazephania3511
      @mashimbazephania3511 3 года назад

      Aliachishwa au aliacha akaenda kugombea? Kwani kupata na kukosa kuna shda? Jtasmini.

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 3 года назад +1

    Unao usubutu wakufanya maamuzi uogopi ukilipanga jambo zuri lenye tija..ninaimani na ww

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 года назад +1

    Darasa la saba tu ilikushinda sembuse phd.

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 3 года назад +1

      Msenge ww! Kwa hiyo Kama la Saba lilimushinda aliongozaje mkoa ndyo ujinga mlionao

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 3 года назад

      Walioshindwa huwa wanamaneno MENGI yasiyo na kichwa wa miguu

  • @thobiasshikome1480
    @thobiasshikome1480 3 года назад

    Wewe njoo misungwi unachelewa

  • @joviangeofrey866
    @joviangeofrey866 3 года назад

    Kilimo ndiyo kila kitu ila mje niwauzie miche ya vanilla

    • @aminaadam9914
      @aminaadam9914 3 года назад

      Tutafutane kwa maongezi juu ya kilimo cha vanilla. Niko kenya

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 года назад

    Turudishieni malouda wetu

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 3 года назад

    Natamani nikuone tena kwenye uhongozi

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 3 года назад +2

    Natumain pia umejifunza jinsi ya kuanzisha Mambo ambayo unaweza kuyamaliza kwa akili bila kukurupuka,vile vile kuheshimu watu na kutokua na Ego

  • @edwinnyabikwi560
    @edwinnyabikwi560 3 года назад +1

    M

  • @fredrickjohn8412
    @fredrickjohn8412 3 года назад

    Zero braini inaongea pumba, bado anandoto ya kuwa kiongozi , mshenzii kweli

    • @nyakymedia8405
      @nyakymedia8405 3 года назад +1

      Kama ulivyo mshenz kula kulala ww unatukana genius

    • @fredrickjohn8412
      @fredrickjohn8412 3 года назад

      @@nyakymedia8405 utaishia kusikiliza pumbaa tu za huyo ndg yako. Kama alikua kiongozi bora leo yuko wapi. Alitumia mkono wa chuma kwenye ukuu wa mkoa tu vp angekua waziri si angemaliza watu, hujielewi ww unaemsapot

    • @salimucvales7495
      @salimucvales7495 3 года назад

      Ulichokiandika unaona kiko sawa watu wengine uelewa mdogo.

    • @wilsonrwekaza6247
      @wilsonrwekaza6247 3 года назад

      Unamatatizo wewe

    • @fredrickjohn8412
      @fredrickjohn8412 3 года назад

      @@wilsonrwekaza6247 vijana washamba sana nyie, mnafuata mkumbo bila kujisimamia wenyewe, mtaongea sana mtaishia kutukana mitandaoni tu ukweli unauma. Makonda ni zero braini hawezi kubadilika hata asomeje

  • @joycelambwe9016
    @joycelambwe9016 3 года назад +4

    Huyu Paul makonda nampenda sana yuko vizuri sana kwenye uongozi ,Mungu umeona tunashukuru kwa baraka hizo na ziendelee.

  • @rashidijaziru3279
    @rashidijaziru3279 3 года назад

    Gd

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 3 года назад

    Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔

  • @kyaruzidativa9398
    @kyaruzidativa9398 3 года назад +2

    Wewe nikiongozi mzuri Sana naendelea kukukubari Makonda