JUA LA ELIMU - Historia ya Sheikh MUHAMMAD AYOUB wa Tamta - Tanga | Kuzaliwa | Kusoma hadi Kufariki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 50

  • @murtadhwangereza4208
    @murtadhwangereza4208 Год назад +3

    Maashaa Allah sanad nzuri sana ,Allah amuhifadhi almarhum sheikh M Ayoub

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 2 года назад +6

    Hiyo ndio sanad mzuri ya sheikh wetu MaashaAllah.

  • @AllyKisamvu-ij3wh
    @AllyKisamvu-ij3wh Месяц назад +2

    تغمده الله برحمته nijivunia kupita TAMTAna kupata walau moshi wake

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Год назад +1

    Ahsante kwa taarifa nzuri ya uchambuzi wa kihistoria
    Akhiy nawe MWENYEZI MUNGU ASIKUACHE KATIKA KUNDI LA WAJA WAKE ANAOWAPENDA KWA BARAKA ZAO AAMIIN

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 года назад +8

    Allaah amrehemu shekhe wangu. Alikua akinipenda sana. Niko Oman 🇴🇲 lakini simsahau

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +3

    Mashaallah mzungumzaji ni fasaha sana.

  • @MamuZahran
    @MamuZahran 11 месяцев назад +1

    Asalam alykum ndugu zangu waislamu.kwa majina naitwa Mariam Zahran Dina.nimeipenda historia ya shekhe Muhammed ayoub.me nipo zanzibar.naomba Namba yako ya CMU Kwa mawasiliano na maongezi Zaidi

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 2 года назад +2

    Allah alifanye kaburi lake ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi.

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 2 года назад +1

    قد مات قوم وما ماتت مكارمهم
    وعاش قوم وهم بين الناس أموات
    رضي الله عنه .. 🌹

    • @bundukitv
      @bundukitv  2 года назад

      Maaashaallaaah... Swadakta

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 3 года назад +2

    Shukran Sana nimefurahi kwa tarehe hii mola akubariki sana

  • @fatumabakariki8417
    @fatumabakariki8417 2 года назад

    Mungu amrehemu amueke pema peponi jina zuri la kwetu mnyanjani Shekh kannena wele wa mnyanjani watajua hilo neno

  • @kassimfundi2326
    @kassimfundi2326 3 года назад +3

    Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 2 года назад +2

    INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN Allah amfanyie wepesi katika safar yetu hii na ATUPE mwisho MWEMA YAARAB. Wanafunzi wa sheikh kuweni wenye kuipeleka mbele Dini WACHENI mizozo isiyokuwa na maana katika DINI. Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 3 года назад

    Mungu amrehem shekhe wetu na afanye kaburi yake kuwa viwanja vya peponi amin isnaallah

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 3 года назад +1

    Shukran Sana sheikh

  • @salamapwepwe8857
    @salamapwepwe8857 2 года назад

    Mashaallah alla amuondeshee kiza ktk kabri yake

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi8124 3 года назад

    allah akuhifadhi uzidi kutupa ilimu

  • @HatibuMashombo
    @HatibuMashombo 10 месяцев назад

    Maashaallaah

  • @harounabdallah9036
    @harounabdallah9036 2 года назад

    jazakallahu khayran

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 года назад

    بارك الله فيك

  • @mohamedahmed-yj5rq
    @mohamedahmed-yj5rq 2 года назад +1

    Mashallah

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 3 года назад

    اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @MOMMEDIA1
    @MOMMEDIA1 3 года назад +1

    Kaka mungu akujaarie Mana unaturisha Sana neno la mungu

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi8124 3 года назад

    naomba historia ya muasisi wa mahawa na muasisi wa zahrau

  • @ASMAFILMS25
    @ASMAFILMS25 3 года назад +1

    Wa kwanza

    • @bundukitv
      @bundukitv  3 года назад

      😆😆😆 hongera mzeee💪

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 8 месяцев назад +2

    Wanavyooni wengi wamepitia kwa sheikh Ayoub na ukiwaona aliowasomesha ni mashikh wakubwa

  • @mwanyukmwanyuk7769
    @mwanyukmwanyuk7769 2 года назад

    Kaswida za tamtaa deeii

    • @kassimamiri4131
      @kassimamiri4131 Год назад

      اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @jumaaruwa8793
    @jumaaruwa8793 3 года назад

    Tunaomba historia ya shekh Shaban Mohammed harir muasis wa maawal islam

    • @bundukitv
      @bundukitv  3 года назад

      Inshaallaah. Tutaifuatilia sheikh

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 года назад

    Kasida yangu ipo hapo makao makuu. ان نجا مجتلاء × في ذالهدي

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش Год назад +1

    isisahaulike kuwa Tamta ni chuo cha Masufi.Haifai Kusoma hapo.
    Allah awaongoze.

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c 11 месяцев назад

    ENZI HIZO HAPAKUWA NA MAWAHABI MAANA KWA SASA ANGEONEKANA MJINGA HAFAI WALA HANA ELIMU
    MAWAHABI AKILI ZAO SIJUI ZIKOJE YAANI WAMEANISHWA KUWA WAO NDO WANAJUA KILAKITU ILA WENGINE WOOOOTE HAWAJUI KITU

  • @YahyaSahala
    @YahyaSahala Год назад

    Mbona kidevu umekikwangua sasa😂😂