DEREVA TAX PART 1 | Jacob Stephen & Jackline Wolper |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • God forbid, they are all insane, they are my passengers.
    Awe mcha mungu awe mwendawazimu wote ni abiria wangu.Hawakukosea waliosema hivyo,majanga tunayokutana nayo Mungu ndie ajuaje.Hata hivyo hi ndio kazi niliyoichagua.TAXI DRIVER,kila shari ina heri yake.

Комментарии • 801

  • @SuzanDithenya
    @SuzanDithenya 6 месяцев назад +84

    Tujuane tunaangalia movies hii ya dereva tax mwaka 2024 ❤❤❤❤❤. Naipenda kinoumar

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 6 месяцев назад +122

    Tunaongalia zetu 2024 huku tukisoma comment taratibu tujuane

  • @abelnduwayoofficial
    @abelnduwayoofficial 3 года назад +9

    Filamu nzuri.ongela sana.tunawapenda.tuko Bujumbura Burundi.mimi nimucezaji mwenzenu .rakini muzehe nirikukuta dalesalama mirimani City nimekusalimia rakini hakunipa muda.tumeongea mengi kuhusu filamu.

  • @jojonostress486
    @jojonostress486 4 года назад +192

    Waooooo napenda sana Jacqueline&Jacob from burundi bujumbura nipe like

    • @fredgomes8639
      @fredgomes8639 4 года назад +1

      Nipende mimi pia basi kama kweli unawapenda.

    • @jojonostress486
      @jojonostress486 4 года назад +1

      @@fredgomes8639 naww nakupenda

    • @ab3ab313
      @ab3ab313 4 года назад +2

      🤣🤣🤣🤣

    • @florarose1626
      @florarose1626 4 года назад

      Fadi Gomes 🤣😂😂😂😂

    • @jojonostress486
      @jojonostress486 4 года назад

      @@AliHassan-mf3dx hhhhh amakuru nimeza umeze saw nawe?

  • @johnsonngonya3463
    @johnsonngonya3463 4 года назад +15

    Movie iko bomba sana kikubwa wasanii tungo ziwe zenye kuijenga jamii na kuleta tafakuri ili kukuza fikra za hadhila

  • @gamingkskcomedy3452
    @gamingkskcomedy3452 6 месяцев назад +6

    Daah sidi ulikua qwa hii movie 😂😂😂 nitmbo sna

  • @cikwaninedaniel3463
    @cikwaninedaniel3463 5 месяцев назад +2

    Capten
    Na Mista Bajaji kwenye season ya kandi😂😂😂

  • @deograuskapunga4298
    @deograuskapunga4298 4 года назад +2

    Nimeikubali sanahii movie kamanaww umeikubali gonga ap twende saw

  • @Allyboee.Shaibu
    @Allyboee.Shaibu 6 месяцев назад +2

    Bonge la move Yan neipenda

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +5

    2021 watching. Mnaolilia sauti mulikwepa shuleni maana mna fasiri yakiengereza hapo chini

  • @OSOONLINETV
    @OSOONLINETV 4 года назад +4

    Kuona comedy na movi za MKOJANI na TIN WHITE bofya apa👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼ruclips.net/video/vjBLSdZWDoY/видео.html

  • @kadijajggf9367
    @kadijajggf9367 4 года назад +6

    Nilikuw naitafuta mnoooo Tnx sana

  • @PhilmonNorman
    @PhilmonNorman 5 месяцев назад +2

    Mpo vizr endeleen kutburdisha jb na jackline

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 4 года назад +7

    Unapendeza sana uhuni Jacqueline

  • @VeronikaAbekya
    @VeronikaAbekya 6 месяцев назад +1

    😂😂😂❤yani nimesheka balaa

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 6 месяцев назад +1

    Kitambo sanaaa ❤ hadi leo tarehe 1-4-2024 bado naichek

  • @dericksmith9604
    @dericksmith9604 2 года назад +3

    Big up

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Год назад

    Kkkkkkkkkkkkk kwa kweli ushizi wa huyu binti unaniuwaga Sana

  • @josephgathaiga8373
    @josephgathaiga8373 Год назад +3

    From Kenya just amazing

  • @NestoryVicent
    @NestoryVicent 4 месяца назад

    Mimi naipenda sanana nestoli

  • @allylada8386
    @allylada8386 2 года назад +1

    Kaz mzur

  • @AnnettNizi
    @AnnettNizi 4 месяца назад

    Nice movie bro barikiwa

  • @LowassaSimonikipaiwa
    @LowassaSimonikipaiwa 3 месяца назад

    Tanao angalia hii movie mwezi wa sita 2024

  • @nkapankapa137
    @nkapankapa137 4 года назад +7

    Jamn iko Bomba ila sauti imekatikia hewan au ni kwangu tu

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌👌 Move ni pouwa sana 👏👏💯💯💯💯💯✌️✌️✌️

  • @irenekaput3408
    @irenekaput3408 Год назад +20

    2023 like zenu jamani

  • @lithamingi5289
    @lithamingi5289 4 года назад +1

    Sina cha kusema sn nic move

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 5 месяцев назад

    asee kanikmbusha skmoja nlkuwa nasafirr kwenda mosh pale urafk kaja jamaa mmoja kalewa kakosea gar anaulizwa anaenda wapi anajbu anaenda dar wakat hata Moshi Ajafika dadekiii pombe syo chai🎉

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji 3 месяца назад

    , Jaco, apo umefika bro maji manene kakaaa.

  • @IzaTway
    @IzaTway 5 месяцев назад +1

    Sikuizi watanzania wamebadilika kwel wanakula kiukweli ukweli kama naww umeona weka like

  • @projestusanyelwisye7984
    @projestusanyelwisye7984 3 года назад +3

    Sauti wa bongo mnakwama wapi

  • @salumusango321
    @salumusango321 4 года назад +1

    Mbona mbele akuna sauti

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 года назад

    Movie imeisha bila sauti kabisa aisee

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 4 года назад

    Hapa mlipatana J and J hii movie kali sana

  • @MosesAteenyiKisembo
    @MosesAteenyiKisembo 3 месяца назад

    Kweli Nina mafundisho

  • @rahimjonjo6777
    @rahimjonjo6777 4 года назад

    Duuuu hili kweli geto la msela

  • @johnsonngonya3463
    @johnsonngonya3463 4 года назад +3

    Kama unatamani kujua nani alimkamatia nzi wolper gonga like

  • @KelvinWaturi
    @KelvinWaturi 4 месяца назад

    Kevo apa kutoka Kenya nko ndani

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 4 года назад

    Niliitafuta sana hii leo ndio mme ileta

  • @rashidsaidi3766
    @rashidsaidi3766 4 года назад

    Anko b nakukubali saana

  • @rahmarogath4067
    @rahmarogath4067 3 года назад +2

    Voice

  • @benezethkapongwa3111
    @benezethkapongwa3111 4 года назад +8

    Sijawahi kudislike lakini hii mmeniudhi...movie inakuwaje haina sauti jmn??

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 4 года назад +1

    Hapa unaangalia kwa vitendo

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 4 года назад

    Mujaribu kuangalia sauti coz apa imefeli tumesaidika tuu na hayo maandishi ya kizungu

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 4 года назад

    Duh!🤣🤣🤣🤣Jacob this tym umepatikana😄😃sio" mzee wa swaga tena" umeona kiboko yako😁aki Wolper you gona.kill me one day😂😂eti" umenibaka?!" Katika bongo movie Wolper nakuaminia kwa kuigoza utukutu na umafia, penda nyinyi sana🙏🙏

  • @tifashadrack7135
    @tifashadrack7135 Месяц назад

    🎉🎉🎉 Worpel

  • @hassanissa4792
    @hassanissa4792 4 года назад +2

    Geto sufuria ya ugali karibu na fagio

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 5 месяцев назад

    nlionaga kpande kmbe ndyo hii movie Ila jack duu

  • @AlifaIbraimo-xc7fl
    @AlifaIbraimo-xc7fl Месяц назад

    Tunaonekana

  • @juniormvungi2502
    @juniormvungi2502 4 месяца назад

    Watching this 2024

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp 2 месяца назад

    From Congo

  • @privalibent3311
    @privalibent3311 3 года назад +2

    Move gan haina sauti kwan mulikwama wap?

  • @ubahhemed5285
    @ubahhemed5285 4 года назад

    Hahahaha sawasawa kabisa

  • @mariyammariyam8722
    @mariyammariyam8722 3 года назад +1

    JB unanichekesha 😂 ety kwanin hulipi sina at sh mia

  • @stewartsylvester2353
    @stewartsylvester2353 6 месяцев назад

    Captain masanja😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @OmmyNaomy
    @OmmyNaomy 4 месяца назад

    tupooooo

  • @babydragonfogo7393
    @babydragonfogo7393 3 года назад +2

    Huyu big nae

  • @berniceonegbmusic2324
    @berniceonegbmusic2324 4 года назад

    Hii movie inaboo sana

  • @StanleyEmmajose-fs8th
    @StanleyEmmajose-fs8th 10 месяцев назад

    Noma

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 4 года назад +1

    Sauti imepotea...au nimimi tu

  • @jacksonrwechungula9479
    @jacksonrwechungula9479 3 года назад

    Move aijakamilka hii saut amna

  • @Lavieka
    @Lavieka 6 месяцев назад +20

    2024 muko, jamani filamu nzuri, ila napendga ile nafasi ambao J.S ana towa sharon gerezani

  • @gamingkskcomedy3452
    @gamingkskcomedy3452 6 месяцев назад

    Daah sidi ulikua qwa hii movie 😂😂😂 nitmbo sna

  • @SamwelKiyanga
    @SamwelKiyanga 5 месяцев назад +35

    Tunaongalia hii huu mwez wa nne wapi like zangu❤❤❤❤

  • @yusuphmyinga
    @yusuphmyinga 5 месяцев назад +13

    Tupo hapa tunaoichek 2024😂😂😂😂😂❤❤❤ kitu kikali

  • @brightonhosiana7660
    @brightonhosiana7660 2 года назад +25

    Tujuane tunao cheki hii move 2022😜😜😜🇹🇿

  • @aamyaamy8504
    @aamyaamy8504 4 года назад +126

    Nimechelewa bt nmefika wale wakusoma comment b4 waone plz tujuane😂😂🤣🤣🙈

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 6 месяцев назад +11

    Walio muona seed wa huba gonga like

  • @iddmaamuni3221
    @iddmaamuni3221 4 года назад +5

    Napenda san na mm kucheza Bongo Movie jmn naombeni Connection wadau 0718965275 Idd Maamuni

  • @MarcelinoKione
    @MarcelinoKione 6 месяцев назад +11

    Hapa nilikua naipenda kweli bongo movie

  • @emmanuelsaguda9008
    @emmanuelsaguda9008 4 года назад +11

    Nice movie dj Benny nakubali mkubwa

  • @ukhtysahu-s3v
    @ukhtysahu-s3v 11 месяцев назад +7

    From Oman daaaah jaman siku zinaenda wolpa amekua Sasa 😂😂😂🎉

  • @TatuMsanja
    @TatuMsanja 5 месяцев назад +5

    Wolper hua nakukubali Sana ktk uigizaji uko vizur hongera

  • @KamselaOg
    @KamselaOg 2 месяца назад +1

    Hii move inafunzo kubwa sana

  • @JailethGodfrey
    @JailethGodfrey 4 месяца назад +2

    Tupo wengiii

  • @adelinadidi3886
    @adelinadidi3886 2 года назад +22

    Jamani naitizama 2022 sichoki hii move kweli 😘♥️

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 5 месяцев назад +4

    jaki wholpher alikuaga pisi kali kwa hii movie nimemuheshimu

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +7

    Nataka wali samaki.anko hapo m niletee maji madogo😂😂

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 6 месяцев назад +4

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana JB anavyolalamika

  • @ramaissa2620
    @ramaissa2620 4 года назад +17

    Move ilikua nzuli lakini sauti hakuna mnao endelea kucheki move hii naombeni like

  • @jadykasimilu3319
    @jadykasimilu3319 Год назад +6

    Sauti imetuponza ila naipenda sana hii my favorite jacklin wolper and Jacob big love from 🇰🇪

  • @dinnamhepwa7415
    @dinnamhepwa7415 2 месяца назад +2

    Kumbe wapo wanawake wamependeza lakin wamepinda kinyama

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 3 года назад +6

    Kuna mda sauti inakata nini shida

  • @stephenwagura3469
    @stephenwagura3469 2 года назад +7

    Bongo movie always lite...bt sauti plz make it surely guys from Tnznia

  • @annamamaalpha8295
    @annamamaalpha8295 2 года назад +12

    From Burundi napenda sana iyi movie

  • @Elia-wk6oh
    @Elia-wk6oh 5 месяцев назад +1

    Ety maji madogo ndo nini 😂 acha ushamba agiza chakula ule

  • @marsheddossa961
    @marsheddossa961 4 года назад +3

    Movie ya zamani nilishaiona ila bado ni movie nzuri naitamani kuiona tena Ila sauti haipo .

  • @jilambepoint9338
    @jilambepoint9338 4 года назад +87

    Mimi nasemajeee hiliii chupaaa nomaaa a'seeee Kama unakubaliana na Mimi like twende sawa

  • @gideonsospeterleonard433
    @gideonsospeterleonard433 3 года назад +5

    Sauti

  • @fuguremalone
    @fuguremalone Год назад +5

    Tujuane tunechek hii move 2023

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 6 месяцев назад +5

    Huwa napenda sana movie za jb ❤❤❤❤❤

  • @mwembambamotto3300
    @mwembambamotto3300 3 года назад +8

    umetisha wolper gonga like kama umeskia daslam

  • @givenchisosa5663
    @givenchisosa5663 3 года назад +6

    Video nzuri naipenda sana kutoka Zambia

  • @evelinaluvata1471
    @evelinaluvata1471 4 года назад +10

    Nime mwona sid wa kwenye HUBA ana uza maandaz🤣

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +10

    Jacob kumbe wewe ni mukristu ? Nakuona umeomba mbele ulale I like it

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 4 года назад +3

    Nani kasikia yangu haina wadudu bhana!!!!!!!!
    Alafu hapo hotelini saa ya kuondoka hawajanawa hivyo kama uko lakini maana yake hapo pabovu.

  • @AgnessJackson-uq8tm
    @AgnessJackson-uq8tm Месяц назад +1

    Duh😢😢😢uyo Alie vunjika mguu duh kumbe alikua mzima kabisa

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 5 месяцев назад +1

    Tupo😂😂

  • @araphaisihaka3283
    @araphaisihaka3283 4 года назад +3

    Jamani movie nzuri sauti nusu kipande hamna daah kueni makini na mshika boom na sound hawakuwa makini kabisa

  • @AbrahmaniHaji
    @AbrahmaniHaji 3 месяца назад +1

    Movies kali sana nakubali kazi