BALAA LAWASHUKIA WALIOBADILI J.I.N.S.I.A, MMOJA MAPAFU YAME.FE.LI KUTOKANA NA U.PA.SU.AJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 244

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 10 месяцев назад +5

    Ugonjwa wa kujitakia mswahili kasema huambiwi pôle kwa hiyo ni hiari Zao watajuana n'a . Mungu wao wenyewe😡😡😡😡

  • @MiMi-pj2mz
    @MiMi-pj2mz Год назад +62

    Huyu kajitakia kwa kweli siwezi kumpa pole wala mchango Mungu tulinde na vizazi vyetu 🙏

    • @ayni193
      @ayni193 Год назад +2

      Yani janamu kunawasubili mungu tuepushe navizazi vyetu🙏

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z Год назад

      Hawa ni wagonjwa wa akili, canada wapo wengi wanadanganywa na pesa wajitoe kufanya experiment kundi l matajiri na madoctor ili kuzuia Watoto wasizaliwe daaa

    • @safiaothman5175
      @safiaothman5175 23 дня назад

      Aamiin

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 11 дней назад

      @@MiMi-pj2mz we chizi Moshi wapi Kilimanjaro wapi

  • @rahmamohd4822
    @rahmamohd4822 Год назад +39

    Yaa Allah tulinde sisi navizazi vyetu yaarabbil 😭

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 21 день назад +9

    Wanaobadili jinsia,na wanaowabadilisha wanaume wenzao jinsia,MUNGU atawahukumu sawa na matendo yao😭😭😭😭tusihukumu ila tumuachie MUNGU atoe hukumu yake,😭😭😭🙏🙏🙏🙏tuombee uzao wetu wamama😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 22 дня назад +8

    Yaraby mola nusuru taifa letu na vizazi vyetu yaraby🤲🤲 ulimweng unakumbwa na sitofaam kbs yani paka natetemek kiukwe yan hata kuangalia nahs kumkosea Mola wang astagfrllah astagfrllah🤲🤲

  • @aminasalim7571
    @aminasalim7571 Год назад +8

    Allah atuongoze n yy pia Allah amrudi atubue Allah n mwingi wa rehma mwenye kurehemu

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Год назад +48

    Mungu tunusuru na vizazi vyetu

  • @madelynillu3818
    @madelynillu3818 Год назад +15

    Mungu tunusuru watoto wetu Mungu nakuomba sana Baba wetu wa Mbinguni

  • @Fatmakombo-h4h
    @Fatmakombo-h4h День назад

    Ndio ajue Kua Mungu hakumuumba mwanamke sasa Akaona akufuru

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Год назад +10

    Hawa wazungu kweli wamekufuru na sisi waafrica tunapenda kuiga wazungu kwakufanya maovu mbona kumtoa mungu makosa, ata nmeona wametengeza mwanamke dolli hivi karibuni wanaume watakuwa hawataki wanawake watakuwa wakinunua hayo madolii (samantha)
    Allah atuongoze na atusamehe 😢😢😢 na atustirie watoto wetu

  • @SalhaSalmin-bb2se
    @SalhaSalmin-bb2se Год назад +19

    Innalillah wainnailaih rajiuni😭😭😭😭Tunamkosea san Allah 😭😭😭

  • @sophiaissay6307
    @sophiaissay6307 Год назад +1

    Bado nafasi unayo anayo kama kweli kutoka ndani ya moyo unajuta swali swala ya toba hakika mungu wetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤ pia uwe chanzo cha kuwakataza wengine,

    • @shomarymohamed9163
      @shomarymohamed9163 3 дня назад

      @@sophiaissay6307 akiswali ataswali pamoja na wanawake au kwa wanaume?

  • @Tiffany2-Jr
    @Tiffany2-Jr Год назад +11

    Yani huyo wasimchangie hata Figo ya jogoo mamae🤗

  • @AnswarSalim
    @AnswarSalim 15 дней назад +1

    Mungu atunusuru yarabi na vizazi vyetu ya Allah

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 22 дня назад +2

    Inalilah wa inalilah rajuhun msiba huo Allah nilinde mim na family yangu

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Год назад +5

    Awahi tu jehanamu mapema anakosoa kazi ya Mungu.Mwana kulitafuta mwana kulipata

  • @ZulfaYussuf-b1r
    @ZulfaYussuf-b1r 2 месяца назад

    Asante mtangazaji kw kutujuza ya dunia mn napenda kufatilia hbr unapo post t nafaidika kwa kweli❤👏🙌

  • @kamleshbhatt2500
    @kamleshbhatt2500 17 дней назад +1

    Mungu atulindie vizazi vyetu InshaAllah

  • @kamarhelo
    @kamarhelo Год назад +16

    Innalillah wa innalillah rajiun

  • @AhmadijumaJuma-fq2td
    @AhmadijumaJuma-fq2td 24 дня назад +5

    Safi sana naapo bado apo maumivu ayo ni kionjo tu chamaumivu bdo kunamaumivu makubwa sana yanawasubiria aliyewaumba mumeona kawakosea mtajuta apa duniani kabrini nakesho akhera

    • @zayeanasaif87
      @zayeanasaif87 23 дня назад

      @@AhmadijumaJuma-fq2td nakubalian na ww utajut kexh kwa allah

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Год назад +3

    Aliyataka mwenyewe aliona mungu ajamuumba vizuri akaona bora ajitengeneze sawa sawa huyo sio kumpa pole ameyataka mwenyewe

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 19 дней назад

    Hafe hyo Mwenyez Mungu awez kumsamee hyo mweuuuuuuuuuuuuu

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma Год назад +1

    Afe tu mana kajitakia mwenyewe nabado mungu Ataaaangamiz sana

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +9

    Huko ndio waliko mapunga wamelaniwa hao na Allah anakusubiria ukifumba jicho tu umeimia Allah atujaliye khatima njema na kizazi jema

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g Год назад +13

    Yaani watu wameamua tuu kumutukana mwenyezi mungu😢😢😢 yaarabi turehemu wanao tumepotea kwa kukosa maarifa

    • @Nelly25439
      @Nelly25439 Год назад +2

      Mungu atukumbuke aki na atusamehe🙏

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Год назад +2

    Mtangazaji umejitahid sana kuelezea hongera

  • @willygwaikana6783
    @willygwaikana6783 20 дней назад

    Mfumo jike uko kazini ambapo ishara yake ni upotofu wa maadili na ndoa kuanguka ikifuatiwa na majanga toka kwenye hasira ya Mungu kutokana na hawa wanaompinga Mungu kwa kujiweka mahali pa wanaume ambao Mungu aliagiza ndio wawe vichwa. Haya yote si desturi zetu wala hayapo kwenye dini zetu isipokuwa ni haki za wazungu ambazo kwa kutawaliwa kifikra, basi tunachukua tu matakwa ya wazungu. Si ajabu kuona afisa maadili ana wigi la nywele za wazungu.

  • @madelynillu3818
    @madelynillu3818 Год назад +2

    Eeeh Mwenyezi Mungu tunusuru vuzazi vyetu

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 21 день назад

    Wazazi tuombee sna kizazi chetu,kinaangamia bila msaada wa MUNGU😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏tuombee uzao wetu wapendwa😭😭😭mama popote ulipo ombea uzao wako🙏🙏🙏😭😭😭lia na MUNGU kwaajili ya kizazi chetu

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Год назад +3

    Acheni kumhusisha mungu na u pumbavu wa hawa mashoga

  • @HandhwallahHarun-sj2bb
    @HandhwallahHarun-sj2bb 20 дней назад

    Subhana allah

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Год назад +4

    Sasa huyo shoga anae kata viuno apo mwisho ukimuangalia utacheka kwa hasira

  • @Hot_rod-lies
    @Hot_rod-lies 24 дня назад +2

    Mungu ni mungu hajakosia kuwaumba kichapo kitawapata subirenia tu

  • @WilsonDanieGerald-e8r
    @WilsonDanieGerald-e8r 18 дней назад

    Nice

  • @MwigaAli-dy8xr
    @MwigaAli-dy8xr Год назад

    Mungu Atunusuru na Adhab Zake.

  • @eliasheambise4470
    @eliasheambise4470 Год назад +1

    Mbona tunamkosea mungu aliyetuumba mungu kakuumba mwanaume unataka Kuwa mwanamke

  • @suleimanjumamaulid879
    @suleimanjumamaulid879 Год назад

    Amin

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Год назад +6

    Watu wataogopa kuzaa jamani.mbona watoto wa sasa wanataka kuuwa wazazi na pressure jamani?

  • @EsterMbise-pj4vd
    @EsterMbise-pj4vd 8 месяцев назад

    Mwenyenz mungu awaalan wote mnaomkosoa mungu aliewaumba

  • @EditorJames-su1ge
    @EditorJames-su1ge 14 дней назад

    Yesu kristo wasamehe watu Hawa walitenda wasirolijua

  • @FatumaBakari-i4j
    @FatumaBakari-i4j Год назад

    Mungu tusaidie sisi na vizazi vyetu tunusuru yarabi na haya, maana hatujui tulitendalo

  • @AdonKamota-s1u
    @AdonKamota-s1u Год назад +1

    Akika wa meraniwa yata wakuta makubwa Sana wata pata matatizo ya sio isha kwa kumkosoA mungu

  • @saidaidaprincess
    @saidaidaprincess 16 дней назад

    Mipango ya Mungu siku ya kufa lkn bora angefeli roho kabisaaaa.......

  • @RAJABUSAIDI-n3s
    @RAJABUSAIDI-n3s Год назад

    Mungu naona adhabu badohaiwatoshi hembu mungu nakuomba waongezee adhabu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Год назад +3

    Kwani alitumwa abadilishe jinsia huyo ni mshenzi mbwa mungu analipa khukumu hapa hapa dunia akhera hesabu tu atajijuwa kumbwa mwaname hakutosheka akome😅

  • @Khaira555
    @Khaira555 Год назад +2

    Jaman mtihani Allah tusamehe na utunusuru nawengine sisi tusije fanya hii kufuru jaman😭😭 ni mtihan mkubwa huu

  • @skilindaissa5441
    @skilindaissa5441 Год назад +2

    Eeeee Mungu Wngu tulindie Watoto wetu.🙏🙏

  • @ramaMazarau
    @ramaMazarau 2 месяца назад

    Mungu tunusuru na izi laana

  • @MariaMlegea
    @MariaMlegea 16 дней назад

    Hawajui walifanyalo mungu awasamhe🙏

  • @fatihiyadossa375
    @fatihiyadossa375 Год назад +5

    Ivi kama ivo vyakujibadilisha vimewezekana kwann isiwezekane watu kupona ukimwi walete dawa zakuponyesha huo Ugonjwa

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 18 дней назад

    Eiyaaa.....sio poa kwa kubadili jinsia.ni chukizo kwa mungu.

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania 19 дней назад

    Hata huku kenya wamezidii sana

  • @MariamAhmadaMwikalo
    @MariamAhmadaMwikalo Год назад +6

    Mamae wafe kabisaaaa😢mbwa hao

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Год назад

    Karibuni sana katika semina za kaya na familia!

  • @RahabuKal
    @RahabuKal 21 день назад

    Adhabu ya Mungu hiyo

  • @SaadaKiyungi-uz6jn
    @SaadaKiyungi-uz6jn Год назад

    Mungu wangu

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Год назад +3

    Mpitie na kwangu wapenzi

  • @GideonWanje-y6j
    @GideonWanje-y6j 13 дней назад

    Kuwa mwanaume imekuwa ngumu sana ndio maana mashoga ni wengi kuliko wasagaji😢😢😢

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 19 дней назад

    Ziendelee ku fall kbs saf sana ivo ivo Ufe ukifa mwenzio wenye akili kma zko awatofanya ivo

  • @neemamhongole2801
    @neemamhongole2801 Год назад +3

    JAMANI MBONA MUNGU ANATUKANWA KIASI HIKI!!?JAMANI TUTAPONA NA MAJANGA KWA STYLE HII.,YESU WANGU!!EE MUNGU TUREHEMU

  • @Golanh4786
    @Golanh4786 Год назад

    Atubu kwa mola wake kabla mauti hayajamuondoa duniani. Mwenyezi mungu anasamehe makosa yote , sharti atubu kabla ujakata moto.

  • @Yolanda-n3x
    @Yolanda-n3x Год назад +3

    Watu kama hapo bora tu afe haina shida 😅😅😅

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz 21 день назад

    Hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂 sasa bado hajafa anasubiri nini mjinga huyo uchungu wakutairiwa ety we unataka kua demu kufa kwa jina la mwenyezi mungu 😂😂😂😂

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 17 дней назад

    Hatuja enjoy tunasikitika sana

  • @ZuuAthman
    @ZuuAthman 22 дня назад

    Inalilah wainailaih rajiuna mungu awwadhibu dunian na akhera 😢😢😢😢

  • @GloriaCharles-bu4fk
    @GloriaCharles-bu4fk 16 дней назад

    Ukiriharibu hekalu la bwana yaani mwili wako naye mungu atakuharibu okoka ndugu achana na ayo mambo tubu

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 21 день назад

    Mashetani hawa wacha Mwenyezi Mungu azidi kutupa adhabu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Год назад +2

    Wengi wao wanaojibadilisha hawana nguvu za kiume

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 21 день назад

    Allah awaue wote

  • @NinajiMuina-xt3wr
    @NinajiMuina-xt3wr 7 месяцев назад

    Mambo dayan nimekums sana unajuwa

  • @margretdionese493
    @margretdionese493 Год назад

    Yesu kristo anarudi tutubu na kuiamini injili tuko mwisho wa dunia

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад +5

    Mwacheni afe kamchokoza mungu huyo

  • @paulonyango7636
    @paulonyango7636 2 дня назад

    How can man correct God????

  • @MeshackMayele
    @MeshackMayele Год назад +4

  • @Rayvanry
    @Rayvanry Год назад

    Tusamehe mungu wot tunakoxea

  • @IshakaMohd-t5c
    @IshakaMohd-t5c 23 дня назад

    Jamani Mnamjaribu Mungu au siyo ayo ndiyo hadhabu yenu

  • @AbassRamadhan
    @AbassRamadhan Год назад +2

    Na bado allah atawalaani wote

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 22 дня назад

    Mungu fanya azabu kubwa juu yaooo milele na milele

  • @Pili-n3l
    @Pili-n3l 23 дня назад

    Watuma coment tulieni mungu Ana kazi nao Hawa washenzi

  • @mwesi527
    @mwesi527 19 дней назад

    Unasema kwa uwezo wa mungu au nimekusikia vibaya?

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 21 день назад

    Akome mungu ulijua kaweka nini huko ndani

  • @ignasiissaya1718
    @ignasiissaya1718 15 дней назад

    Nigeria imeendelea😂😂😂,

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад +1

    C Uwa Nasikia Ukikatwa Uume Au Uchi Unafariki Au

  • @MackHd-u2r
    @MackHd-u2r Год назад +1

    Dunia chali

  • @mimirush935
    @mimirush935 Год назад

    Yesu Kristu atushindiye !

  • @KwetuuPazurii-l5b
    @KwetuuPazurii-l5b День назад

    Washenzi wakubwa Hawa wamemkufulu mwenyezi mungu mbwa hawa

  • @IddiJumanne-p3o
    @IddiJumanne-p3o День назад

    We mwenyewe unatangaza nimsenge tu mnasapoti usenge

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 Год назад

    Hii yote ni kumkosoa Mungu, ndiyo maana mabaya yanatupata

  • @ashurayassin2541
    @ashurayassin2541 Год назад

    Sasa siku akifa ataandikwa jina gani kwenye kaburi lake maana kwenye hesabu ya Mungu ni mwanaume 😢

  • @rosemneney3244
    @rosemneney3244 11 дней назад

    Mwehu wa mwandishi Moshi wapi Kilianjaro wapi

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 Год назад +1

    Hiyo ni kufuru aliyoifanya huyo kaka. Mungu atusaidie kufikiri kabla ya kutenda.

  • @Kisra-yw3qz
    @Kisra-yw3qz Год назад

    Ya allah tuongoze njia iliyo nyooka😢

  • @rehemanassor352
    @rehemanassor352 26 дней назад +1

    Kwakuwa aliamua kufanya hiyo surgery basi akubali tu roho yake iende ilikotoka cha msingi atubu tu kutoka moyoni kwa Muumba wake

  • @EmmanuelTsuma-u3i
    @EmmanuelTsuma-u3i Год назад

    Huyo Jihanum yamsubiria

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania 19 дней назад

    Wengine wanakufa kwa bahati mbaya ila kuna wanao jiuwa wenyewee.

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n Год назад

    Jamn mungu atusaidie ila mam ak kal asal

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 Год назад +3

    Mungu aturehemu 😢

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Год назад

    Adhabu inamuanzia hapa2 duniani

  • @hellolloheloo9743
    @hellolloheloo9743 20 дней назад

    Na wengine pia bado wataenda 😂😂

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 21 день назад

    Kaskazini inaongoza kwakila kitu, mfano mlima mrefu afrika, hifadhi ya ngorongoro, madini tanzaniti, watalii wakimataifa, watu wenye uwezo, magari yathamani, nyumba zathamani,mastaa, wafanya biashara maarufu, wasagaji, mashoga wakimataifa, majambazi na n.k