Nay Wa Mitego -KUDADA DEKI (Official Music Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 531

  • @izzoboy
    @izzoboy Год назад +114

    Nilisha sema kwamba ney wa mitego ni the G.O.A.T sijawai tokea ku mpinga Kama una kubali nipe like kwaajili ya support 🔥🔥🔥🔥🔥✍️

  • @asl6295
    @asl6295 Год назад +58

    KUDADA DEKI ZAKE LEO NIMEWAHI WA KWANZA 🔥🔥

  • @samwelbahati5863
    @samwelbahati5863 Год назад

    Yes huyu ndo ney org xx sio zile nyimbo za mapenzi wahuniii 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 acha tushike kichwa

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 Год назад +1

    Katika marapa wanaoimba ukweli nay yupo ase mungu a tusaidie

  • @eliahrioba6679
    @eliahrioba6679 Год назад +17

    From Kenya wapi likes zangu nmekuja mbele

  • @daudithomasi9640
    @daudithomasi9640 Год назад +1

    Tru bwooh indeed, Nina jua kua unajua kua your my prezedaa . nakukubal sana Rais. toka swax

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Год назад

    Ney sema ney msulimoto mbangunjungwa sikonkodonko naiyeee

  • @roddykenya666
    @roddykenya666 Год назад +30

    Raisi Wa Kitaa Love From 254 kenya Nairobi tumetii kazi yako safi nduguu pamoja TWAWEZA 🤝👉👌💥💥💥wapi like's za Mr nay 🤝👉

  • @CHITABOY_1
    @CHITABOY_1 Год назад +176

    Rais wakitaaa 💪💪💪💥💪🙌kama unamkubli gonga like hapa zakushatoo 👍👍👍👍👍👍👍👍👍🏻

  • @kelvinabere7169
    @kelvinabere7169 Год назад +1

    Nay alipofika 18yrs wazazi wake walihama wakamwachia nyumba ,wapi like Kenyan love nay

  • @astonjackson
    @astonjackson Год назад +1

    Dadako anava heleni nawewe unavaa kudadeki🔥🔥🔥

  • @chrissoty7368
    @chrissoty7368 Год назад +10

    Baba Yaga teeeeeena 🔥
    Wengine mnajichubua sio bure mnakazwa nyie 😂😂😂
    Gonga like Kama unamkubali Mitego

  • @bisekomafuru-ep7lq
    @bisekomafuru-ep7lq Год назад

    We nay mwehu San, Kila ukitupa jiwe unapga mulemule, sema daaah acha2 tuendelee kushika vichwa

  • @mdundotv4501
    @mdundotv4501 Год назад +11

    Goma kali sana mdogo wangu nilikuambia.....

  • @kingkibo1180
    @kingkibo1180 Год назад +9

    Kudadadeki. Rais Wa kitaa keshaa sema Ukwel kaz kwako kuufanyia kazi. Show love kwa raisi Wa kitaa kwa like hapa💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hatsonmwasaru1161
    @hatsonmwasaru1161 Год назад

    Kipenzi chako ana Kipenzi chako oyaaaaaaaa💪💪💪💪👊Unyamwez mtupu😤

  • @shamtempaka2719
    @shamtempaka2719 Год назад

    Oya Mr ney nakukubali pia unajikibali we ndo unafaaa uishi hapa dunian huogopi unaimba unachokiona ukwel mtupu oya bro miaka 100 unaweza

  • @shadrecknazarethboy1772
    @shadrecknazarethboy1772 Год назад +9

    Kudadadeki .kama ivo lais wa kitaa gonga APA✊👊👊👊👊👊👊

  • @jovinjoseph2625
    @jovinjoseph2625 Год назад

    Kama umezaliwa 90, nabado unaishi kwenu, we ni kudada dek

  • @daboe2528
    @daboe2528 Год назад +14

    Hizi ndio ngoma tulizozimisi kutoka kwako

  • @politeRobin.
    @politeRobin. Год назад

    True Boy alway tlkn the truth Camandar mwenyewe
    Dem wangu alikuwa na Dem wake

  • @ndoxmafia
    @ndoxmafia Год назад

    Uongo dhambiiii ndo nacho Jua mm.. 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @classik4realofficial408
    @classik4realofficial408 Год назад +24

    love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮 gonga like kama unamkubali #MrNay

  • @pioneersenior9077
    @pioneersenior9077 Год назад +1

    Vivaa Mr. Street president! We from Kenya we say no to LGBTQ nonsense. Kali ni kali

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga8051 Год назад

    Ujumbe umefika mtaani.. Sikuiz Mashoga wengi.. Dem na Ana dem wake basi tabu tupu.

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 Год назад

    Ney wa mitego muuni mmoja iv mwenyew akili nyingi Sanaa

  • @selemaniheribiyege9271
    @selemaniheribiyege9271 Год назад +13

    Hujawah kuniangusha nay🙌 kudadadeki Bonge la ngoma🤭 gonga like hapa kama naww umelikubali

  • @Wellbeck1
    @Wellbeck1 Год назад +1

    Ni babayaga raisi wa kitaaa nakuku ile mbaya... kama una mukubali twende na like...✊✊✊

  • @kelvinabere7169
    @kelvinabere7169 Год назад

    Eti what up my people good mng, hapa ni baba yaga am on it, Leo sitaki kuimba nataka nichane, Na Kama mnataka niruhusu nitukane, moto hiyo

  • @ndikumanarodrigue5657
    @ndikumanarodrigue5657 Год назад

    Cjawah pata hta like 5 kwa Ney jmni!! Hajawah niangusha nawaomben likes zenu kwajir ya Ney

  • @castromendozaofficial2485
    @castromendozaofficial2485 Год назад +44

    True boy isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🎼 Banger!!!

  • @otelerishia7297
    @otelerishia7297 Год назад +5

    Nakubali sana kudadadeki unajuwa mdogo wako hapo nakubali kazi zako more bless my brother mungu yupo anbariki kazi kazi ya mikono yako

  • @benjaminsemwenda3152
    @benjaminsemwenda3152 Год назад +1

    Kudadadeki Hili Bonge La Ngoma Wahuni Tumelipitisha ✌🏽

  • @richardburundi3090
    @richardburundi3090 Год назад

    Ana toa Albam na kirawiki anatowa wapi hiyonguvu kudadadeki😄😄😄🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @kadabra-one1007
    @kadabra-one1007 Год назад +1

    BABA YAGAAAA

  • @kidclever6145
    @kidclever6145 Год назад

    Omg br uko moto waambie Rais wetu 🕺

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba Год назад +1

    Kudadadeki mnaovaa vipini mnakazwa

  • @dannyurassa-ny9nk
    @dannyurassa-ny9nk Год назад

    Rais WA kitaa iyo song ndo yenyew mkuu 🔥 🔥 🔥

  • @leofocas7503
    @leofocas7503 Год назад

    Ujawai kosea ata kwasiku mim ni shabikiyako toka 20211 Niko mtoto Mozambique 🇲🇿

  • @kaytone_photography__kenya
    @kaytone_photography__kenya Год назад +1

    Moja safi

  • @deocosmas8708
    @deocosmas8708 Год назад

    Bonge la ngom

  • @francissamwelly
    @francissamwelly Год назад

    Raisi wa kitaa 👊 nakubali sana kudadadeki👊

  • @robbyfany3395
    @robbyfany3395 Год назад

    Namtazama nyani usoni Leo kudadeq

  • @alfredoatanasiojorge8300
    @alfredoatanasiojorge8300 Год назад +23

    Kudadadeki 🔥 from 🇲🇿🇲🇿

  • @ShemndoaSellahTz
    @ShemndoaSellahTz Год назад

    bora nimeiwahi mana najua lazma itafungiwa..

  • @kilichomoonlinetv2928
    @kilichomoonlinetv2928 Год назад +1

    Kwel bro 👏👏👏👏👏

  • @mosesfutila4524
    @mosesfutila4524 Год назад +2

    Moto hilo chupa maana dahhh jina la ngoma 2 nishidaaah🥊🥊raisi wa kitaa

  • @pasikarinyakire8215
    @pasikarinyakire8215 Год назад

    Bro sijawai kuona kazi Yako ikawa mbaya bigapuuuu sna bro raisi wa kitaaa

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Год назад

    Nakubaliii sana Rais wa kitaaa

  • @arynxbaba9091
    @arynxbaba9091 Год назад

    Huna Mpango wa Ndoa for me😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @davidsemwa
    @davidsemwa Год назад

    Ngoja Kari imeturia 🔥🔥🔥🔥

  • @rajabmshengahanen1254
    @rajabmshengahanen1254 Год назад

    Oya oya oya ...oyaaaa apo ndo nakukubali

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +1

    True boyy 😎

  • @omarsomo2309
    @omarsomo2309 Год назад +15

    Nay the street Genius… Professor of Facts…. 🇰🇪

    • @chafimabdulbacar9902
      @chafimabdulbacar9902 Год назад

      Wachane Dada zetu Wa kiume wanaetoboa puwa na maskio Hawa ni mashoga Wa asir

  • @babanah3417
    @babanah3417 Год назад

    yess huyu ndo mr ney ninae mjua

  • @crissneyoland
    @crissneyoland Год назад +8

    So good. Burundi tunakupenda fanya uje kutufurahisha

  • @rasaga5482
    @rasaga5482 Год назад

    Nakubali sana raisi wa kitaa

  • @ChuiHabib
    @ChuiHabib Год назад

    ✊Raisi wa kitaaa 👋muokozi w wanyonge

  • @Crister_palas
    @Crister_palas Год назад

    🏋️🏋️💥💥💥💥💥 ubabe mwingi

  • @daudiflavour913
    @daudiflavour913 Год назад

    Mara nying uwa ukoseagi

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 Год назад

    Ukwelii unasemwaaa kamaa ulivyoooo

  • @richimasaitv
    @richimasaitv Год назад

    Mwamba Hii Ngoma Ni Zaidi Ya Hatarii Sema Yote Mkuu

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Год назад

    Kudadek kila kitu mchongo 🤣💪💪💪 Santa Ney

  • @jihadmussa-qn1sq
    @jihadmussa-qn1sq Год назад

    Famasiahalaaa na nay weweeee dadeq

  • @jamesogunya4877
    @jamesogunya4877 Год назад +2

    Unaimba yaliyopo! Hapo tu ndio hua unajitofautisha na wengine.

  • @gloireupite6316
    @gloireupite6316 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uyo kaka ni falky ipupa wa bongo. Respect sana

  • @fabianmasunga3788
    @fabianmasunga3788 Год назад

    Mwaka wa RAISI 🪨

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 Год назад

    Mitaa ya green city mbeya tz uyole hapa 🚶🚶

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Год назад

    Umenimaliza waha wanasema oya Apana apana sinasoni Yani Hana aibu na kweli hunaaibu ukweli wa rais🏋️

  • @EastOneDiamante
    @EastOneDiamante Год назад

    Hiii haijawahii kusikika aisee ni balahaa Kama yote shikamoo Ney 💪💪💪👍

  • @johnlibiah1506
    @johnlibiah1506 Год назад +4

    Mzigo tuliongoja Kwa hamu na ghamu umeshafikia mashabiki🇰🇪🇰🇪🇰🇪....the truboy is in the building...#966

  • @chalresmyamba1071
    @chalresmyamba1071 Год назад

    Ngoma qalii iiii like zangu wajuba

  • @kelvinmbise8978
    @kelvinmbise8978 Год назад

    Sio nzuri ata

  • @budaajimnah5640
    @budaajimnah5640 Год назад +1

    Raisi wa kitaa

  • @chazdax_official3013
    @chazdax_official3013 Год назад +8

    Bingwa la kuvaa midabwada 🔥

  • @DaniBoeeTz
    @DaniBoeeTz Год назад

    Ku dadadeki wataelewa tu raisi wa kitaaa

  • @gadautv
    @gadautv Год назад +1

    Kama una mpango wa ndoa shika kichwa

  • @noelynjelekela5406
    @noelynjelekela5406 Год назад

    Daaa nahisiii m ndo wa mwisho kuliona hiliiii ligoma la lais wa kitaaa usininyime like basiii wadau

  • @piniellaizer5753
    @piniellaizer5753 Год назад

    Ngomaa kaliii sanaaa

  • @iddymsafi2799
    @iddymsafi2799 Год назад

    Ngoma hii jamaa kasema kweli sana

  • @hamidumpeni8333
    @hamidumpeni8333 Год назад +1

    Kama unamkubali rais wa kitaa shika kichwa

  • @jumaabdul530
    @jumaabdul530 Год назад

    Wakitaaaaa rais

  • @Ibrahim-mk7uk
    @Ibrahim-mk7uk Год назад

    Ujawah kuniangusha

  • @khashirjuma3612
    @khashirjuma3612 Год назад +1

    We jamaa asa fundi gonna like kama unamkubali rais wa kitaa💥💯💯🔥

  • @josephmatembo1938
    @josephmatembo1938 Год назад

    Hii ngoma ndiyo ya kufungia show mwanangu

  • @mhogomchungu7882
    @mhogomchungu7882 Год назад

    Sema nin nay bado sana…kwny hiphop

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад

    Mbeya city, dar city yeah safi sana kijana emcee huwa wanawakilisha kwao, sio wapuuzi wakifika jijini dar basi huona noma hata kuitaja "mbeya" ndio maana machizi wa mbeya tunawakubaligi sana masela wa "A CITY, kina Lord eyez na wenzao, Ambao" hawajifichi"

  • @khassimjumanne3813
    @khassimjumanne3813 Год назад

    Na mizuka ikipanda mniluhusu nitukane 😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 oya weee uyu ndio rais wa kitaa

  • @sampart2669
    @sampart2669 Год назад +7

    Tuipe siku nagapi hii ngoma kuisikiliza kabla ya kufungiwa au tuka download kabisa😃😃

  • @johnbahatikaroti5081
    @johnbahatikaroti5081 Год назад

    Da kwel wanaume tumepungu

  • @saidollarchain2895
    @saidollarchain2895 Год назад +10

    Producer kafanya kazi kubwa hii beat ni hatari🔥🔥🔥 nay Kaua na verse🔥

  • @teophilletus8969
    @teophilletus8969 Год назад

    Demu mweny digree yupo kitaa anakula msotooo,, ila demu mwenye matakooo !! Anatembelea mkokoooo😆😆😆😆

  • @fashion-ii8zv
    @fashion-ii8zv Год назад +2

    Unavaa ereni na dem wako anavaa ereni uwo ni usen

  • @gerald5456
    @gerald5456 Год назад +29

    Much love from Kenya 🇰🇪

  • @starwabuza
    @starwabuza Год назад +8

    Unyama Sana Damu Yangu 🔥🔥🔥🔥

  • @husaynndasha1225
    @husaynndasha1225 Год назад +1

    Kudadadeki

  • @bilalikinyozi8935
    @bilalikinyozi8935 Год назад

    Sana mwangu nimelikubar

  • @chachaschachaofficial7792
    @chachaschachaofficial7792 Год назад

    Hii ngoma haijaisha kabisa @mrney mbona Bado kuna vitu hujavitaja humu

  • @irutingabrichard1493
    @irutingabrichard1493 Год назад

    Good song kbxx kiboko yao rais

  • @lemeboyofficial
    @lemeboyofficial Год назад +1

    🔴Raisi Again ✅✅