Mbeya city, dar city yeah safi sana kijana emcee huwa wanawakilisha kwao, sio wapuuzi wakifika jijini dar basi huona noma hata kuitaja "mbeya" ndio maana machizi wa mbeya tunawakubaligi sana masela wa "A CITY, kina Lord eyez na wenzao, Ambao" hawajifichi"
Nilisha sema kwamba ney wa mitego ni the G.O.A.T sijawai tokea ku mpinga Kama una kubali nipe like kwaajili ya support 🔥🔥🔥🔥🔥✍️
G.o.a.t means
Namkubali kinoma yan
Legend
Sanaaa true boy nakubariiii
@@zuhurahaji7615 great of all time
KUDADA DEKI ZAKE LEO NIMEWAHI WA KWANZA 🔥🔥
ata ujawahh
Yes huyu ndo ney org xx sio zile nyimbo za mapenzi wahuniii 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 acha tushike kichwa
Katika marapa wanaoimba ukweli nay yupo ase mungu a tusaidie
From Kenya wapi likes zangu nmekuja mbele
Tru bwooh indeed, Nina jua kua unajua kua your my prezedaa . nakukubal sana Rais. toka swax
Ney sema ney msulimoto mbangunjungwa sikonkodonko naiyeee
Raisi Wa Kitaa Love From 254 kenya Nairobi tumetii kazi yako safi nduguu pamoja TWAWEZA 🤝👉👌💥💥💥wapi like's za Mr nay 🤝👉
Rais wakitaaa 💪💪💪💥💪🙌kama unamkubli gonga like hapa zakushatoo 👍👍👍👍👍👍👍👍👍🏻
youtube.com/@papalevig9559
Hatumukubali bali tunamkubali
@@dianerditto msambaa msamehe tu
Hapingwi
@@dianerditto hatjakuelew hata kidg
Nay alipofika 18yrs wazazi wake walihama wakamwachia nyumba ,wapi like Kenyan love nay
Dadako anava heleni nawewe unavaa kudadeki🔥🔥🔥
Baba Yaga teeeeeena 🔥
Wengine mnajichubua sio bure mnakazwa nyie 😂😂😂
Gonga like Kama unamkubali Mitego
We nay mwehu San, Kila ukitupa jiwe unapga mulemule, sema daaah acha2 tuendelee kushika vichwa
Goma kali sana mdogo wangu nilikuambia.....
Kudadadeki. Rais Wa kitaa keshaa sema Ukwel kaz kwako kuufanyia kazi. Show love kwa raisi Wa kitaa kwa like hapa💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kipenzi chako ana Kipenzi chako oyaaaaaaaa💪💪💪💪👊Unyamwez mtupu😤
Oya Mr ney nakukubali pia unajikibali we ndo unafaaa uishi hapa dunian huogopi unaimba unachokiona ukwel mtupu oya bro miaka 100 unaweza
Kudadadeki .kama ivo lais wa kitaa gonga APA✊👊👊👊👊👊👊
Kama umezaliwa 90, nabado unaishi kwenu, we ni kudada dek
Hizi ndio ngoma tulizozimisi kutoka kwako
True Boy alway tlkn the truth Camandar mwenyewe
Dem wangu alikuwa na Dem wake
Uongo dhambiiii ndo nacho Jua mm.. 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮 gonga like kama unamkubali #MrNay
Vivaa Mr. Street president! We from Kenya we say no to LGBTQ nonsense. Kali ni kali
Ujumbe umefika mtaani.. Sikuiz Mashoga wengi.. Dem na Ana dem wake basi tabu tupu.
Ney wa mitego muuni mmoja iv mwenyew akili nyingi Sanaa
Hujawah kuniangusha nay🙌 kudadadeki Bonge la ngoma🤭 gonga like hapa kama naww umelikubali
Ni babayaga raisi wa kitaaa nakuku ile mbaya... kama una mukubali twende na like...✊✊✊
Eti what up my people good mng, hapa ni baba yaga am on it, Leo sitaki kuimba nataka nichane, Na Kama mnataka niruhusu nitukane, moto hiyo
Cjawah pata hta like 5 kwa Ney jmni!! Hajawah niangusha nawaomben likes zenu kwajir ya Ney
True boy isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🎼 Banger!!!
Kwa hyo huwa anaweka cyo
Machoko wamesikia wimbo wataifa au ndo wanajitoa fahamu
Nakubali sana kudadadeki unajuwa mdogo wako hapo nakubali kazi zako more bless my brother mungu yupo anbariki kazi kazi ya mikono yako
Kudadadeki Hili Bonge La Ngoma Wahuni Tumelipitisha ✌🏽
Ana toa Albam na kirawiki anatowa wapi hiyonguvu kudadadeki😄😄😄🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
BABA YAGAAAA
Omg br uko moto waambie Rais wetu 🕺
Kudadadeki mnaovaa vipini mnakazwa
Rais WA kitaa iyo song ndo yenyew mkuu 🔥 🔥 🔥
Ujawai kosea ata kwasiku mim ni shabikiyako toka 20211 Niko mtoto Mozambique 🇲🇿
Moja safi
Bonge la ngom
Raisi wa kitaa 👊 nakubali sana kudadadeki👊
Namtazama nyani usoni Leo kudadeq
Kudadadeki 🔥 from 🇲🇿🇲🇿
bora nimeiwahi mana najua lazma itafungiwa..
Kwel bro 👏👏👏👏👏
Moto hilo chupa maana dahhh jina la ngoma 2 nishidaaah🥊🥊raisi wa kitaa
youtube.com/@papalevig9559
Bro sijawai kuona kazi Yako ikawa mbaya bigapuuuu sna bro raisi wa kitaaa
Nakubaliii sana Rais wa kitaaa
Huna Mpango wa Ndoa for me😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ngoja Kari imeturia 🔥🔥🔥🔥
Oya oya oya ...oyaaaa apo ndo nakukubali
True boyy 😎
Nay the street Genius… Professor of Facts…. 🇰🇪
Wachane Dada zetu Wa kiume wanaetoboa puwa na maskio Hawa ni mashoga Wa asir
yess huyu ndo mr ney ninae mjua
So good. Burundi tunakupenda fanya uje kutufurahisha
Nakubali sana raisi wa kitaa
✊Raisi wa kitaaa 👋muokozi w wanyonge
🏋️🏋️💥💥💥💥💥 ubabe mwingi
Mara nying uwa ukoseagi
Ukwelii unasemwaaa kamaa ulivyoooo
Mwamba Hii Ngoma Ni Zaidi Ya Hatarii Sema Yote Mkuu
Kudadek kila kitu mchongo 🤣💪💪💪 Santa Ney
Famasiahalaaa na nay weweeee dadeq
Unaimba yaliyopo! Hapo tu ndio hua unajitofautisha na wengine.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uyo kaka ni falky ipupa wa bongo. Respect sana
Mwaka wa RAISI 🪨
Mitaa ya green city mbeya tz uyole hapa 🚶🚶
Umenimaliza waha wanasema oya Apana apana sinasoni Yani Hana aibu na kweli hunaaibu ukweli wa rais🏋️
Hiii haijawahii kusikika aisee ni balahaa Kama yote shikamoo Ney 💪💪💪👍
Mzigo tuliongoja Kwa hamu na ghamu umeshafikia mashabiki🇰🇪🇰🇪🇰🇪....the truboy is in the building...#966
Ngoma qalii iiii like zangu wajuba
Sio nzuri ata
Raisi wa kitaa
Bingwa la kuvaa midabwada 🔥
Ku dadadeki wataelewa tu raisi wa kitaaa
Kama una mpango wa ndoa shika kichwa
Daaa nahisiii m ndo wa mwisho kuliona hiliiii ligoma la lais wa kitaaa usininyime like basiii wadau
Ngomaa kaliii sanaaa
Ngoma hii jamaa kasema kweli sana
Kama unamkubali rais wa kitaa shika kichwa
Wakitaaaaa rais
Ujawah kuniangusha
We jamaa asa fundi gonna like kama unamkubali rais wa kitaa💥💯💯🔥
Hii ngoma ndiyo ya kufungia show mwanangu
Sema nin nay bado sana…kwny hiphop
Mbeya city, dar city yeah safi sana kijana emcee huwa wanawakilisha kwao, sio wapuuzi wakifika jijini dar basi huona noma hata kuitaja "mbeya" ndio maana machizi wa mbeya tunawakubaligi sana masela wa "A CITY, kina Lord eyez na wenzao, Ambao" hawajifichi"
Na mizuka ikipanda mniluhusu nitukane 😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 oya weee uyu ndio rais wa kitaa
Tuipe siku nagapi hii ngoma kuisikiliza kabla ya kufungiwa au tuka download kabisa😃😃
Da kwel wanaume tumepungu
Producer kafanya kazi kubwa hii beat ni hatari🔥🔥🔥 nay Kaua na verse🔥
Demu mweny digree yupo kitaa anakula msotooo,, ila demu mwenye matakooo !! Anatembelea mkokoooo😆😆😆😆
Unavaa ereni na dem wako anavaa ereni uwo ni usen
Much love from Kenya 🇰🇪
Unyama Sana Damu Yangu 🔥🔥🔥🔥
Kudadadeki
Sana mwangu nimelikubar
Hii ngoma haijaisha kabisa @mrney mbona Bado kuna vitu hujavitaja humu
Good song kbxx kiboko yao rais
🔴Raisi Again ✅✅